Kitu kipi ambacho serikali inakifanya kisichotegemea kodi? Kwa nini watoa kodi, tunanunua huduma zetu wenyewe?

Kitu kipi ambacho serikali inakifanya kisichotegemea kodi? Kwa nini watoa kodi, tunanunua huduma zetu wenyewe?

Paulsylvester

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2021
Posts
1,464
Reaction score
3,379
Mtanzania, umewahi kujiuliza kuwa, vioongozi wa serikali, wafanyakazi wote wa umma, v8, na magari yote wanayotumia viongozi, hospitali na madawa yake, majengo ya shule, vyuo na vifaa vyote, miundo mbinu yote, maofis yote ya serikali n.k, matokeo ya hayo yoote ni kodi ya watanzania

Maswali ya kujiuliza,

Ikiwa upatikanaji wa madawa ya binadama n.k, hununuliwa Kwa kodi za watanzania, wafanyakazi hulipwa Kwa kodi za watanzania, Kwa nini kutozwa pesa wakati wa kupata huduma hizo?

Okay, umeenda shule, madarasa kodi yako imetumika kuyajenga, walimu wanalipwa Kwa kodi yako, vifaa vilivyopo vimenunuliwa Kwa kodi yako, Kwa nini ulipie tena masomo.?

Okay, umepita kwenye daraja la Nyerere pale, kodi yako ndiyo iliyotumika kujengwa, Kwa nini utozwe pesa hapo?

Tunahitaji kuvuka uwezo tulionao kufikiri zaidi ili tuanze kuishi mahali tunapopaswa kuishi,

Duniani sio sehemu ya mateso, pa mateso papo, ambapo ni jehanamu

Mnadhani ni Kwa nini wizara hazijawahi kuanza kujitegemea mbali na kwamba kila wanachofanya ni lazima wachote pesa za kodi zetu mbali na kwamba huduma zao wanatuuzia tena?

Tunahitaji vichwa vinavyowaza zaidi na sio bora liende!

Ndiyo, tuko myuma saana, Ila, tunahitaji viongozi wasiowaoga, wakitishiwa tu waseme, wanayapenda sana maisha yao kuliko maisha ya wengine

Tunataka Watu majisiri na wenye uwezo wa kufikiri na kutenda, sio hawa wanaowaza tozo tu ili hali hawawezi hata kuzisimamia!

Tanzania Tunakupenda, siku si nyingi utanawili,

Tanzania nchi yangu!
 
Mtanzania, umewahi kujiuliza kuwa, vioongozi wa serikali, wafanyakazi wote wa umma, v8, na magari yote wanayotumia viongozi, hospitali na madawa yake, majengo ya shule, vyuo na vifaa vyote, miundo mbinu yote, maofis yote ya serikali n.k, matokeo ya hayo yoote ni kodi ya watanzania

Maswali ya kujiuliza,

Ikiwa upatikanaji wa madawa ya binadama n.k, hununuliwa Kwa kodi za watanzania, wafanyakazi hulipwa Kwa kodi za watanzania, Kwa nini kutozwa pesa wakati wa kupata huduma hizo?

Okay, umeenda shule, madarasa kodi yako imetumika kuyajenga, walimu wanalipwa Kwa kodi yako, vifaa vilivyopo vimenunuliwa Kwa kodi yako, Kwa nini ulipie tena masomo.?

Okay, umepita kwenye daraja la Nyerere pale, kodi yako ndiyo iliyotumika kujengwa, Kwa nini utozwe pesa hapo?

Tunahitaji kuvuka uwezo tulionao kufikiri zaidi ili tuanze kuishi mahali tunapopaswa kuishi,

Duniani sio sehemu ya mateso, pa mateso papo, ambapo ni jehanamu

Mnadhani ni Kwa nini wizara hazijawahi kuanza kujitegemea mbali na kwamba kila wanachofanya ni lazima wachote pesa za kodi zetu mbali na kwamba huduma zao wanatuuzia tena?

Tunahitaji vichwa vinavyowaza zaidi na sio bora liende!

Ndiyo, tuko myuma saana, Ila, tunahitaji viongozi wasiowaoga, wakitishiwa tu waseme, wanayapenda sana maisha yao kuliko maisha ya wengine

Tunataka Watu majisiri na wenye uwezo wa kufikiri na kutenda, sio hawa wanaowaza tozo tu ili hali hawawezi hata kuzisimamia!

Tanzania Tunakupenda, siku si nyingi utanawili
Tanzania nchi yangu!
Endelea kuelimisha mkuu! lakini najua kuna kunguni watakupinga!
Mimi bado msimamo wangu ni watanzania wateseke wakati ukiwaelimisha ili ubongo upanuke na kuchukua hatua
 
Serikali hii ya ccm wanachojua wao ni kuchuja pesa na kuhakikisha wao na kizazi chao wanapata maisha bora.

Ukweli ndio huo huduma zote za msingi kwa taifa lizipaswa ziwe bure kupitia kodi zetu
 
Serikali hii ya ccm wanachojua wao ni kuchuja pesa na kuhakikisha wao na kizazi chao wanapata maisha bora.

Ukweli ndio huo huduma zote za msingi kwa taifa lizipaswa ziwe bure kupitia kodi zetu
Tunataka watu sahihi kama wewe wa kuliongoza taifa letu
 
Mtanzania, umewahi kujiuliza kuwa, vioongozi wa serikali, wafanyakazi wote wa umma, v8, na magari yote wanayotumia viongozi, hospitali na madawa yake, majengo ya shule, vyuo na vifaa vyote, miundo mbinu yote, maofis yote ya serikali n.k, matokeo ya hayo yoote ni kodi ya watanzania

Maswali ya kujiuliza,

Ikiwa upatikanaji wa madawa ya binadama n.k, hununuliwa Kwa kodi za watanzania, wafanyakazi hulipwa Kwa kodi za watanzania, Kwa nini kutozwa pesa wakati wa kupata huduma hizo?

Okay, umeenda shule, madarasa kodi yako imetumika kuyajenga, walimu wanalipwa Kwa kodi yako, vifaa vilivyopo vimenunuliwa Kwa kodi yako, Kwa nini ulipie tena masomo.?

Okay, umepita kwenye daraja la Nyerere pale, kodi yako ndiyo iliyotumika kujengwa, Kwa nini utozwe pesa hapo?

Tunahitaji kuvuka uwezo tulionao kufikiri zaidi ili tuanze kuishi mahali tunapopaswa kuishi,

Duniani sio sehemu ya mateso, pa mateso papo, ambapo ni jehanamu

Mnadhani ni Kwa nini wizara hazijawahi kuanza kujitegemea mbali na kwamba kila wanachofanya ni lazima wachote pesa za kodi zetu mbali na kwamba huduma zao wanatuuzia tena?

Tunahitaji vichwa vinavyowaza zaidi na sio bora liende!

Ndiyo, tuko myuma saana, Ila, tunahitaji viongozi wasiowaoga, wakitishiwa tu waseme, wanayapenda sana maisha yao kuliko maisha ya wengine

Tunataka Watu majisiri na wenye uwezo wa kufikiri na kutenda, sio hawa wanaowaza tozo tu ili hali hawawezi hata kuzisimamia!

Tanzania Tunakupenda, siku si nyingi utanawili,

Tanzania nchi yangu!
Umendika kitu cha kufikirisha na akili nyingi sana big up mkuu...
 
Serikali hii ya ccm wanachojua wao ni kuchuja pesa na kuhakikisha wao na kizazi chao wanapata maisha bora.

Ukweli ndio huo huduma zote za msingi kwa taifa lizipaswa ziwe bure kupitia kodi zetu
Inasikitisha sana mkuu
 
Kwanza niseme kati ya maamuzi ya hovyo ni tozo; kumnyang'anya mwananchi akiba yake aliyojiwekea kwa kisingizio cha tozo ili viongozi waishi maisha ya anasa! Ni ushetani. Hata waitete vipi it doesn't make sense.

Ila kodi ili huduma ziwe endelevu hatuna budi kuzilipia tena hata kama zilijengwa kwa kodi zetu. Otherwise, hakutakuwa na sustainability. Labda hoja ni kiwango cha kodi na harama za kupata huduma.
 
Kwanza niseme kati ya maamuzi ya hovyo ni tozo; kumnyang'anya mwananchi akiba yake aliyojiwekea kwa kisingizio cha tozo ili viongozi waishi maisha ya anasa! Ni ushetani. Hata waitete vipi it doesn't make sense.

Ila kodi ili huduma ziwe endelevu hatuna budi kuzilipia tena hata kama zilijengwa kwa kodi zetu. Otherwise, hakutakuwa na sustainability. Labda hoja ni kiwango cha kodi na harama za kupata huduma.
Sustainer built isiyo shughurikiwa na kodi?
 
Kitu kisicho hitaji Kodi kutoka Kwa serikali kwenda Kwa mwananchi wake ni kukupereka mahabusu au selo.........hiyo haiitaji Kodi wala kizavi za Bina na bila kusahu mkong'oto Bala bala
 
Back
Top Bottom