shansarie
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 5,690
- 3,367
SIJAWAHI kabisa kula nyama ya kondoo sasa nimeletewa na mimi ndo mpishi yamani msaada please.
Jinsi ya kupika hii nyama
Jinsi ya kui seasone
Spices gani natakiwa nitumie nisije kuharibu mmh
na je kuichoma inakuwaje maana inaonekana ni laini mno
cc miss amu nasikia we ni mpishi mzuri
Jinsi ya kupika hii nyama
Jinsi ya kui seasone
Spices gani natakiwa nitumie nisije kuharibu mmh
na je kuichoma inakuwaje maana inaonekana ni laini mno
cc miss amu nasikia we ni mpishi mzuri
Last edited by a moderator: