Kitu Perfume. . . .

Kitu Perfume. . . .

kabisa mkuu!majina kitu gani bana!kwanza watu wenyewe siku hata hawajui harufu ya perfume na majina yake!so hata simple brands unapeta tu!mfano kuna moja jamaa barabarani kaniuzia elf 10 napeta nayo tu,inaitwa VR ONE!jamaa sijui kaiba dukani mi sijui

Atakuwa ametoka nayo kwenye duka la mhindi maana hizo ni noma unakuta mtu anakuuzia perfume nzuri kinoma hata D & G kwa bei ya kutupa kwa kuwa ameichukua kwa mdosi
 
Hapo sasa, ila hiyo ya play boy and reduction nimewahi kuskia the way zinavyonukia. So nice, ila majina sasa!


mkuu ingekuwa kuna uwezekana wa kubadilisha chupa yaani ningenunua niweke kwenye chupa nyigine
Au nanunua nakwangua jina lake lisijulikane kabisa
 
Kuna body spray moja inaitwa Attitude. I found it in Arusha. Can assure you was so nice. Tried to find its perfume in vain! And nowadays hata hiyo body spray siioni!
 
mkuu ingekuwa kuna uwezekana wa kubadilisha chupa yaani ningenunua niweke kwenye chupa nyigine
Au nanunua nakwangua jina lake lisijulikane kabisa

Ha ha ha! Ndo bimkubwa anakuja anakuta umepulizia kitu cha playboy, bora ukwangue jina kabisa!
 
kuna perfume nyingine hakuna mtu hata mmoja aliyewahi kuziona hapa,

-behringer
-eminence
-mistuba
-opra
-nexo

hizo ni balaa tupu!teh!teh!teh
 
Kuna body spray moja inaitwa Attitude. I found it in Arusha. Can assure you was so nice. Tried to find its perfume in vain! And nowadays hata hiyo body spray siioni!


Duka gani ulienda
Inaweza ipo ila feki
Mana ukikosa perfume kwenye maduka yanayoeleweka ukienda stand ya vihiace unazikuta ila zilizochakachuliwa
Maana One Million unaweza kuikuta inauzwa 15,000 huko kwenye maduka ya stand ndogo
 
Ha ha ha! Ndo bimkubwa anakuja anakuta umepulizia kitu cha playboy, bora ukwangue jina kabisa!

Yaani unakwangua kabisa asije akaona jina wala asijue ni aina gani na inatumika siku ambazo yeye ametangulia kuondoka rum yeye anahisi harufu tuu ila hajui ni ipi
 
Thats the problem. Mfano hii ya 212 sexy men ipo ya 5,000 sasa ukipaka inaishia hapohapo
Hahaha! Hii iliwahi nikuta asee ila niliuziwa ghali na bado ikawa feki, unapuliza, ukitoka tu nje haipo...

Kuna vijiperfume vinatembezwa na chinga vinauzwa buku mbili, vinanukia hivyo, sema nyingi hazina harufu nzuri, vinakera usiombe ukae siti moja na mtu aliyepuliza hivyo viperfume, utaomba konda akuhamishe siti lol.
 
wadada wenzangu, kuna perfume mpya la lancome inaitwa Tresor (midnight rose) uuuuuwi ni balaa sana sana
yaani ukiipulizia jamaa anaweza ondoka na shingo yote,ni mpya nimeipenda, but my perfume of all time niDKNY grey delicious, Cinema ya yves saint laulent, kuna kitu pia cha lancome kinaitwa Hyponose kama sijakosea balaaaaa

Wanaume mie napenda sana wanukie givenchy na saint laulent mpya inaitwa H'omme hii nayo ni nouma
 
so far wengi wetu tumeishia kutaja mijina ya perfume kama tuko ktk mashindano ya kujua majina ya perfume,mtoa mada anataka pia tueleze zina impact gani ktk mahusiano yetu!
 
Hahaha! Hii iliwahi nikuta asee ila niliuziwa ghali na bado ikawa feki, unapuliza, ukitoka tu nje haipo...

Kuna vijiperfume vinatembezwa na chinga vinauzwa buku mbili, vinanukia hivyo, sema nyingi hazina harufu nzuri, vinakera usiombe ukae siti moja na mtu aliyepuliza hivyo viperfume, utaomba konda akuhamishe siti lol.

Ah hivyo vinanukia harufu za ajabu, mara nanasi, sijui ndizi, tabu tupu
 
Mi nilinunua moja inaitwa HorseNice ni nzuri sana jaribu kuitafuta madukani. Si tunaoishi HorseCity huwa tunaitumia sana. Ubaya ni kuwa imeandikwa kwa HorseLanguage unaweza shindwa kuelewa maandishi yake.
 
so far wengi wetu tumeishia kutaja mijina ya perfume kama tuko ktk mashindano ya kujua majina ya perfume,mtoa mada anataka pia tueleze zina impact gani ktk mahusiano yetu!
Inaeleweka inaleta mvuto wa kimapenzi, kwani kuna lingine, na wewe taja basi perfumes nzuri sio lazima uwe nazo, wakati mwingine umemsikia mtu tu au ulitumia zamani
 
Mi nilinunua moja inaitwa HorseNice ni nzuri sana jaribu kuitafuta madukani. Si tunaoishi HorseCity huwa tunaitumia sana. Ubaya ni kuwa imeandikwa kwa HorseLanguage unaweza shindwa kuelewa maandishi yake.

Najaribu kukuelewa kwa shida!
 
Back
Top Bottom