Kituko: Binti asie na bikra ya kumpa thamani kiroho na kimwili anatoa wapi ujasiri wa kumkatalia mwanaume asijaribu mitambo mpaka waoane?

Unakutana na binti hata kina single mama hana bikra kashatembea na na wanaume kadhaa ila ajabu ni kwamba anaanza kujiona kwamba yupo sawa na wenye bikra, anamwambia mwanaume hawezi kutoa mzigo mpaka amuoe !!
Hivi unajua hata malaya wauza uchi kuna wanaume wanakataa? Ishu sio bikira ishu ni thamani ya uchi wake dhidi yako! Anajithaminisha kisha anakutathmini... Kisha anakukimbiza kwa kisingizio cha ndoa maana anajua utachomoa tuu [emoji23]
 
Unakutana na binti hata kina single mama hana bikra kashatembea na na wanaume kadhaa ila ajabu ni kwamba anaanza kujiona kwamba yupo sawa na wenye bikra, anamwambia mwanaume hawezi kutoa mzigo mpaka amuoe !!
Kheee, hata kama jaman hakuna kujirahisisha, km unataka virahisi ukanunue Malaya wapo hata wa 3000 tu
 
nitakubali in one condition, tufanye romance with no sex kwanza, then ndoa itakua ni kanisani tu, na mahali nitatoa nusu kwanza.
Kutoa mahari nusu ni mtindo wa wengi
 
Beesmom toto la kisukuma 😁😁
 
Mtoa thread anatafuta matusi Toka kwa Dunga nyembe .....amini amini nakwambia
 
Nilikuwa na mpz wangu aliniambia tusubirie ndoa, ndo ntambikiri. Ni binti niliyempenda hasa. Nikakubali, tukaanza safari ya kuelekea uchumba. Home anajulikana kama mke mtarajiwa wangu. Nami kwao mumewe mtarajiwa. Mimi nasubiria ndoa kumbe mwenzangu Kuna jamaa anamgonga na ndio aliyemtoa bikra.

Rafiki yake ndio alikuja kunipa ishu yote. Na tukapanga kumnasa. Kweli nilimnasa anatoka ghetto kwa jamaa.
Aliniomba sana msamaha. Nikiri nilimsamehe kinafiki tu, tukaenda kupima afya. Nilimgonga Mwaka. Nikamtema

Tangu siku hiyo simwamini mtu yeyote hapa Duniani. Najiamin mwenyewe tu
 
Kuna MTU nishawahi date nae alikuwa anaangaika kweli kupata pa kuchomeka....K kavu ivo tundu kulipata ikabidi nimsaidie tu
Dah
Cc @Liverpol VPN ..kwhy uligomea kumwaga maji mto Ruvu..
 
Safi sanaaaaa na bila shaka miamala ulipunguza pia Bada ya kugundua anabinuliwa kwengine pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…