Kituko: Binti asie na bikra ya kumpa thamani kiroho na kimwili anatoa wapi ujasiri wa kumkatalia mwanaume asijaribu mitambo mpaka waoane?

Kituko: Binti asie na bikra ya kumpa thamani kiroho na kimwili anatoa wapi ujasiri wa kumkatalia mwanaume asijaribu mitambo mpaka waoane?

Ana haki pia,lakini wafumbueni macho pia kuwa kuolewa siyo kila kitu...unaweza olewa na ukaenda ikosa furaha....ivo waelimisheni watest mitambo kwanza wasije wakakutana na mume asiyejua hata tundu sahihi la kutomb3a ni lipi mwisho akang'ang'ania jicho
Duuh napita tu jamani
 
Nilikuwa na mpz wangu aliniambia tusubirie ndoa, ndo ntambikiri. Ni binti niliyempenda hasa. Nikakubali, tukaanza safari ya kuelekea uchumba. Home anajulikana kama mke mtarajiwa wangu. Nami kwao mumewe mtarajiwa. Mimi nasubiria ndoa kumbe mwenzangu Kuna jamaa anamgonga na ndio aliyemtoa bikra.

Rafiki yake ndio alikuja kunipa ishu yote. Na tukapanga kumnasa. Kweli nilimnasa anatoka ghetto kwa jamaa.
Aliniomba sana msamaha. Nikiri nilimsamehe kinafiki tu, tukaenda kupima afya. Nilimgonga Mwaka. Nikamtema

Tangu siku hiyo simwamini mtu yeyote hapa Duniani. Najiamin mwenyewe tu
Hii kitu inauma Sana chief [emoji23]
 
Unakutana na binti hata kina single mama hana bikra kashatembea na na wanaume kadhaa ila ajabu ni kwamba anaanza kujiona kwamba yupo sawa na wenye bikra, anamwambia mwanaume hawezi kutoa mzigo mpaka amuoe !!
Pole, naona povu kama lote. Kukataliwa kubaya!!
 
1. Tu assume aibakwa,
2. Alifanya kosa ameamua kutubu na kuacha zinaa hadi ndoa,
3. Alidanganywa ataolewa akaachwa so amejifunza trick za wanaume waovu
4. Hakupendi ameamua akuzunguushe huku akikulia vyako,

Whatever the case, bint kutokua bikra hakukupi mandate juu ya mwili wake, kama vipi kanunue wanaojiuza
Ridemu flani la Mbagala liliniambiaga hayo hayo!!! ivi kumbe bado mpo weengi eti cha kuchekesha likanambia eti tusionjane mpaka niliwowe!! Mweee!! halafu eti hela za Matumizi/tiba linataka kutoka kwangu!! heee!

Nikaliambia wala isiwe taabu sikupi hela!! sababu sijakuwowa so subiri tuwowane nitakupa!! maweee lika kata kamba jii mpaka leo sijui liko wapi! mengine janja janja tu hata kizazi lilisha ng'oa!

Hakuna me mwenye ujasiri wa kubaka Mke/mdada!! ila wanajibakisha tu, ili wapate sifa!..na mara nyingi hawaolewagi!......Dunia yote hii vidada ndo vinabaka me sana! sababu vinakomaa mapema kabla ya wkt!

Me walivyo! km akikosa hela, mkewe akiwa mapepe hatulii au aki-mbwato nje huko /nuna tu, ndani ya nyumba, kamwe mwanaume Mnara hausomi/ hausimami vizuri!! sembuse kutumia nguvu za kubaka??

Kam alitubu kwa mungu wake huyo,nisiye mjua basi atapewa mme huko huko! tobani kwake, sababu mume bora atapewa na mungu wake siyo mie!

Km alidanganywa na walio pita akakubali basi ni mjinga sana! sababu hana machale akili/ wala maono?? hata nikimuoa ni mzigo atadanganywa vilevile! akajifunze aendelee kujifunza mpaka awe tayari kutoa papuchi!

kama ameamua kunilia vyangu basi Huyo ni mwizi km walivyo vibaka!! hana tofauti na kaka poa au ni jambazi hasa kwa hiyo moto wa jehanamu unamfaa achomwe tu!

Mwili wake ni mandate kwangu kwa sababu tunahitajiana! km hataki aseme hataki! nisepe zangu. nisake vimwana wengine watamu kuliko lkn kuonja chakula popote ni Must!

habari za kuwowa kavukavu! kisa?? kuto kuonja ni huko vijijini unamjua demu tangu anakua! hata kama hana mashavu makubwa nijue! wengine tunapenda vitu vya kutema mafuriko, kurusha kma bwawa raha sana!

ninayachapa sichoki! kadiri yanavo kuja ndo na mie napendaaa kuogelea mpaka yanakauka kau! karibuni wenye Mabwawa yanayotema!
 
Nilikuwa na mpz wangu aliniambia tusubirie ndoa, ndo ntambikiri. Ni binti niliyempenda hasa. Nikakubali, tukaanza safari ya kuelekea uchumba. Home anajulikana kama mke mtarajiwa wangu. Nami kwao mumewe mtarajiwa. Mimi nasubiria ndoa kumbe mwenzangu Kuna jamaa anamgonga na ndio aliyemtoa bikra.

Rafiki yake ndio alikuja kunipa ishu yote. Na tukapanga kumnasa. Kweli nilimnasa anatoka ghetto kwa jamaa.
Aliniomba sana msamaha. Nikiri nilimsamehe kinafiki tu, tukaenda kupima afya. Nilimgonga Mwaka. Nikamtema

Tangu siku hiyo simwamini mtu yeyote hapa Duniani. Najiamin mwenyewe tu
Aaahh mimi nikishaona ivyo nachukua 50 zangu kumbe kuna muhuni anahudumiwa wewe anakuzungusha eti mpaka unioe aisee mkuu ulimweza kweli.
 
1. Tu assume aibakwa,
2. Alifanya kosa ameamua kutubu na kuacha zinaa hadi ndoa,
3. Alidanganywa ataolewa akaachwa so amejifunza trick za wanaume waovu
4. Hakupendi ameamua akuzunguushe huku akikulia vyako,

Whatever the case, bint kutokua bikra hakukupi mandate juu ya mwili wake, kama vipi kanunue wanaojiuza
Kweli kabisa. Aliahidiwa ndoa, akamlisha mkate siku moja tu, mimba hii hapa. Atakuwa mjinga akirudia tena.

Siyo single mothers wote walikuwa wadangaji. Kuna wengine walirubuniwa hivihivi wakatoa mkate kisha yakawa hayo.

Kuna kisa kimoja kilisimliwa redio Maria songea miaka kadhaa iliyopita. Binti alikula msimamo hadi jamaa alipotangaza harusi. Siku mbili kabla ya harusi akaamua kumpa jamaa aonje maana si muda watakuwa mke na mume. Kumbe jamaa alikuwa tapeli. Alipoonja tu siku ya harusi akiwa nje ya kanisa, alitoroka na kumtelekeza bibi harusi na shela lake.

Wanaume, baadhi tumekuwa chanzo cha maamuzi haya ya wadada.
 
Lazima uliwe na ule mie siitaki kubana maana ikute naolewa na mtu hajui mapenzi mie siitaki mwanaume ambaye hajua kula chakula vizuri mtu aenjoy mitaka mtu anayejua mizuka tuoane na nitampa vyema watu wanasema Malaya ila Wala hatujali nataka mtu ajue kut*****a hadi ukiamka umkiss yaani akikupa kakupa vizuri sio matigo , unatoa nyuma hao waajuagi kutema cheche ndio maana waenda tigo nyuma ilaanayekushughulika wewe anakupa vizuri so kama ukipewa unasepa sepa atakuja atakayetulia tulia na Mimi siwezi olewa nikachepuke Tena Sina energy yakutoa mara mbili nipo busy sana
 
Mi kuna demu alinambia hvyo eti yeye ni bikra mpaka nimuoe ndo atanipa mzigo nikampotezea siku moja ananiambia nilikuwa nakutania tu mp leo hii sina mpango naye mi mwanamke akinambia hvyo nakimbia mbali sana.
 
Unakutana na binti hata kina single mama hana bikra kashatembea na na wanaume kadhaa ila ajabu ni kwamba anaanza kujiona kwamba yupo sawa na wenye bikra, anamwambia mwanaume hawezi kutoa mzigo mpaka amuoe !!
Kwa akili yako ya kibloflo boflo unaamini kabisaa kuwa mtu akifanya mistake moja hana nafasi ya kujirekebisha.

Acha kuwa na akili za nyegere
 
Hahahaha 🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂 umenikumbusha singo mama mmoja alimwambia rafiki yangu Hadi wafunge ndoa ndo ale mkate🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃 unamtoto halafu unabania...🙆🙆🙆
😁😁😁 single mother wana matatizo mengi sana
 
Lazima uliwe na ule mie siitaki kubana maana ikute naolewa na mtu hajui mapenzi mie siitaki mwanaume ambaye hajua kula chakula vizuri mtu aenjoy mitaka mtu anayejua mizuka tuoane na nitampa vyema watu wanasema Malaya ila Wala hatujali nataka mtu ajue kut*****a hadi ukiamka umkiss yaani akikupa kakupa vizuri sio matigo , unatoa nyuma hao waajuagi kutema cheche ndio maana waenda tigo nyuma ilaanayekushughulika wewe anakupa vizuri so kama ukipewa unasepa sepa atakuja atakayetulia tulia na Mimi siwezi olewa nikachepuke Tena Sina energy yakutoa mara mbili nipo busy sana
🤣
 
Kumbe bikra ni thamani ya roho na mwili! sasa mbona wanaitoa kwa chipsi kavu? Aisee
 
1. Tu assume aibakwa,
2. Alifanya kosa ameamua kutubu na kuacha zinaa hadi ndoa,
3. Alidanganywa ataolewa akaachwa so amejifunza trick za wanaume waovu
4. Hakupendi ameamua akuzunguushe huku akikulia vyako,

Whatever the case, bint kutokua bikra hakukupi mandate juu ya mwili wake, kama vipi kanunue wanaojiuza
Acha kuassume tumia akili. Wewe una assume kwan yeye hana mdomo wa kusema sababu zilizomfanya kuwa na mtoto?!

Na nini kinazuia kulala nae sasa hapo?!
 
Back
Top Bottom