Ahahaaa acha porojo dogo, unadhani wachagga ni wachawi kama wasukuma!
Umeshawahi kusikia mganga maarufu kutoka Kilimanjaro?!
Lakini mwanza, shinyanga, simiyu, geita wamejaa tele, tangu Mwanamalundi, mpaka gamboshi habari za uchawi na kufuga imitunga zimezagaa sana! Sijataja Wakina matunge na jilala!
Nadhani hauna elimu juu ya kabila gani lilianza kuelimika mapema na kusoma zamani sana, tangu enzi za mkoloni wachagga walishaamka mapema sana na kuelimika, wachagga ni kabila La kwanza Africa kuwa na gazeti lake lenyewe. Wachagga waliamka mapema kujenga shule na kuelimisha watu wake, hivyo kujipatia vyeo vikubwa serikalini tangu enzi za wakoloni mpaka tulipopata uhuru. Wachagga hakuna hasiyejua. Jinsi walivyotapakaa nchi nzima wakimiliki maduka makubwa, biashara na uwekezaji mbalimbali hivi kwa akili zako ndogo unataka kusema wrote hao wameiba?!
Acha upumbavu na wivu wakijinga kama wachagga wote wanaomiliki biashara hapa Tanzania waliiba mbona basi nyie wasukuma mshindwe kuiba?! Kama kuiba ni rahisi hivyo basi na nyinyi wasukuma hebu ibine tuone kama kabila lenu litaendelea kama wachagga!
Wivu wakijinga na akili fupi zinawasumbua mkiona mtu kaendelea basi kaiba?! Mbona na wewe umeshindwa kuiba uendelee kama yeye?! Acheni wivu wa kimasikini, hakuna mtu hasiyejua jinsi gani wachagga wanavyojituma na walivyoamka katika biashara na kujiletea maendeleo hata wageni wamataifa mengine ukitaja kabila la wachagga wanawajua!
Nyie endeleeni kuua viokongwe wenu, maalibino na kulogana maana ndio utamaduni wenu! Au nasema uongo ndugu yangu?!