Kituko cha mwaka - Wananchi wa Vunjo wamtuma mwakilishi wao Bungeni kuomba kupewa rasmi ardhi na Serikali ili kufanya makazi mapya

Huko tambarare kila kipande kina mwenyewe mkuu, ukigusa tuu balaa labda ununue.
 
Hivi mkuu wachaga hawakuwa majambazi kweli miaka ya 90 au nimesahau.Mali zenu sio za kumwaga damu na kudhulumu watu, wachaga walikuwa hadi wanauana wenyewe kwa wenyewe kwa kudhulumiana pesa au nimesahau!
Ahahaaa acha porojo dogo, unadhani wachagga ni wachawi kama wasukuma!

Umeshawahi kusikia mganga maarufu kutoka Kilimanjaro?!


Lakini mwanza, shinyanga, simiyu, geita wamejaa tele, tangu Mwanamalundi, mpaka gamboshi habari za uchawi na kufuga imitunga zimezagaa sana! Sijataja Wakina matunge na jilala!


Nadhani hauna elimu juu ya kabila gani lilianza kuelimika mapema na kusoma zamani sana, tangu enzi za mkoloni wachagga walishaamka mapema sana na kuelimika, wachagga ni kabila La kwanza Africa kuwa na gazeti lake lenyewe. Wachagga waliamka mapema kujenga shule na kuelimisha watu wake, hivyo kujipatia vyeo vikubwa serikalini tangu enzi za wakoloni mpaka tulipopata uhuru. Wachagga hakuna hasiyejua Jinsi walivyotapakaa nchi nzima wakimiliki maduka makubwa, biashara na uwekezaji mbalimbali hivi kwa akili zako ndogo unataka kusema wote hao wameiba?!

Acha upumbavu na wivu wakijinga:
kama wachagga wote wanaomiliki biashara hapa Tanzania waliiba mbona basi nyie wasukuma mshindwe kuiba?! Kama kuiba ni rahisi hivyo basi na nyinyi wasukuma hebu ibeni tuone kama kabila lenu litaendelea kama wachagga!

Wivu wakijinga na akili fupi zinawasumbua mkiona mtu kaendelea basi kaiba?! Mbona na wewe umeshindwa kuiba uendelee kama yeye?! Acheni wivu wa kimasikini, hakuna mtu hasiyejua jinsi gani wachagga wanavyojituma na walivyoamka katika biashara na kujiletea maendeleo hata wageni wamataifa mengine ukitaja kabila la wachagga wanawajua!

Nyie endeleeni kuua viokongwe wenu, maalibino na kulogana maana ndio utamaduni wenu! Au nasema uongo ndugu yangu?!
 
Kwa hio nyiewachaga kabila zima mmeendelea? Hivi nyinyi wachaga na wasukuma ni nani wanaolisha nchi hii? Ni nani anachangia pato kubwa serikalini?
Nyinyi mmeendelea kwenye nini na wasukuma hawajaendelea kwenye nini? Lile Jiji la mwanza nyinyi wachaga ndio mlili jenga eti?
Kahama nyie wachaga ndio mmeijenga eti? shinyanga nyie ndio mmeijenga eti? Acheni ujinga wa kizamani.
 
Acha upumbavu wewe maana huu sio ujinga tena umepita kiwango cha ujinga na kuwa upumbavu sasa!

Kulisha maana yake nini?! Jembe la mkono limewahi kumtoa mtu kwenye umasikini?! Tangu lini matajiri wakapatikana kwa jembe la mkono na mikokoteni ya punda?!

Kwanza mikoa inayolisha nchi the big five ni mikoa ya Nyanda za juu kusini Mbeya, iringa, njombe, rukwa na Ruvuma , sio nyie nyumbu wa kanda ya ziwa. Pengine hata hili hulijui ngoja nikuelimishe hata kidogo.

Tanzania na uganda zinailisha Kenya kwa chakula, maana Kenya asilimia 70% ni semi-arid desert area! Lakini bado Kenya iko juu kiuchumi kuliko Tanzania na uganda. Uchumi wa wachagga uko juu sana kuliko wasukuma hilo halina ubishi dogo. Kanda ya ziwa ni moja ya eneo linaloongoza kwa umasikini. Takwimu za nchi haziongopi ziko zinaonyesha kuwa mkoa unaoongoza kwa utajiri ni Dar es salaam ukifuatiwa na Kilimanjaro sasa na hapo pia sijui serikali nayo inapendelea wachagga au?! Wakati takwimu hizo hizo zinaonyesha kuwa mkoa wa Geita ni wapili kutoka chini kwa umasikini Tanzania. Ikiwemo pia mikoa ya simiyu na shinyanga.
 
Pole mno ndugu majaliwa ya mungu haya kuwa mchaga aje jiwe hata aje kimondo hakuna mdudu wa kuwezana na wachaga Over!
Kweli kabisa, utawaweza wapi mashoga, wachawi wasiofika kwao, wanaoishia mjini?
sikuwahi kujua kama wachaga mna mambo mengi hivi..
Niendelee?
 
Wewe usipotoshe. Wakati wa ukoloni eneo hilo liliitwa Jimbo la Kaskazini na Makao yalikuwa Arusha na wala eneo hilo halikuitwa mkoa wa Kilimanjaro kama unavyodanganya. Jimbo hilo lilijumisha eneo kote la mkoa wa Arusha na Manyara ya sasa na mkoa wa Kilimanjaro wa sasa bila kujumlisha wilaya za Same na Mwanga ambazo zilikuwa Jimbo la Tanga. Kwa hiyo kueleza kwamba eti mji wa Arusha ulimegwa kutoka mkoa wa Kilimanjaro ni upotoshaji wa Historia. Baada ya kupata uhuru ndipo yaliyokuwa majimbo yakaanza kugawanywa na kuunda mikoa mipya kutoka majimbo tisa yaliyokuwepo. Katika kuligawa Jimbo la Kaskazini ndipo ukazaliwa mkoa wa Kilimanjaro wenye wilaya mbili kwa wakati huo ambazo ni Moshi kutoka jimbo la kaskazini na Pare kutoka Jimbo la Tanga. Kwa hiyo ni uongo kudai kwamba eti Mji wa Arusha ulimegwa kutoka mkoa wa Kilimanjaro wakati kabla ya uhuru hapakuwa na kitu kilichoitwa mkoa wa Kilimanjaro bali ni Jimbo la kaskazini lenye Makao Makuu Arusha.
 
Mabadiliko gani wameleta hao wachagga wako ? Mbona mnapenda kuwapa sifa wasiyokuwa nayo. Labda huko kwenu uswekeni
 
Wameru ni wachagga mkuu, hata wao wenyewe wanajua hilo, na wamasai ni ndugu zetu tunaishi nao vizuri sana hawanaga tatizo na mtu wala wivu na chuki za kijinga kama wasukuma!
Msukuma ni level nyingine kwenu. Huwezi kulinganisha watu milioni kumi na ka kikundi ka watu mil. Mbili. Pole sana.
 
Kwani nani hawako kila mahala ? We vipi ?
Yaani hawa wapo kila mahala mkuu, nenda Mtwara mjini wapo, Katavi nimefika juzi wapo. Morogoro, Dodoma ndo usiseme. Mkoa ambao sijaona Wachaga na wapare wengi ni Lindi.
 
Waambie wajinga sana hawa na Sijui Nyanza na Shirecu zilikuwa za wachagga. Hii mijitu mijinga sana.
 
Huna makucha wala meno ya kumparua mtu. Ninyi ni wa kutawaliwa tu.
Wachaga ndo tumeendelea?nambie wewe umeendelea nini?,mimi ni mtanzania ila ukigusa kabila langu na utaifa wangu wa Kilimanjaro hapo nitakuparua kama sikujui
 
Bandiko lako linaonesha kiwango cha busara uliyonayo.
 
Kwa bahati nzuri mimi pia ni muha. Tena kuva kibondo hivyo tafakari ujumbe kabla huja jibu
 
Kwa bahati nzuri mimi pia ni muha. Tena kuva kibondo hivyo tafakari ujumbe kabla huja j

Kwa bahati nzuri mimi pia ni muha. Tena kuva kibondo hivyo tafakari ujumbe kabla huja jibu
Ndio maana nimesema walikuwa amsha wewe na waha wa kibondo ila waha nao wafahamu mimi waliwatoa wachaga kwenye biashara miaka ya 90 huko shy.wachaga ikabidi wafunge maduka wafanye mambo mengine.
Kama walikuamsha wewe huko kibondo sikatai ila mimi na ukoo wangu hatukuamshwa na wachaga.Wazazi,ndugu zangu walianza kwenda kutafuta maisha mikoa mingine miaka ya 70 mpaka.Wamanyema walipewa mpaka mtaa pale kariakoo utaemaje walituamsha! ina maana wao ndio walitutoa kigoma mpaka Dar su mwanza.Mtaa wa kongo ule una wamanyema kitambo wanamiliki nyumba pale.Kwa hio usinilazimishe kuamini kama wewe wakati nimeshuhudia mengi yaliofanywa na mababu zetu, wachu.
Treni ya mjerumani ndio iliotuamsha wanakigoma,we traveled to all part of the world to explore the opportunities.
 
Chuki?

Bado unaishi zama za ujima na hadithi za kukaririshwa.

Kabila gani kubwa ulienda mahali ukalikosa nchi hii?

Kwa sasa makabila yote watu wamesoma na wanafanyabiashara vilevile.
Hahahaha una matatizo wewe kwahyo kila mahali ukienda unaweza kumkuta mmatumbi au mmwera msomi na mfanyabiashara? Acha kuchekesha
 
Amekimbia
 
Wewe nawe umetokea wapi ? Ni lini kanda ya ziwa walikuja kuomba chakula Kilamnjaro ?ninyi ndio njaa tupu kutwa kuzurura kwenye mikoa iliyobarikiwa.
Hujui kuwa KILIMANJARO tunailisha Nairobi,Mombasa,dar, kwa ndizi na parachichi?
Huko kwenu tunakuja kupiga hela,Kwan wazungu wanapokuja huku tz inamaanisha kuwa tz Ni tajiri kuliko ulaya? Use your common sense
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…