Kituko cha mwaka - Wananchi wa Vunjo wamtuma mwakilishi wao Bungeni kuomba kupewa rasmi ardhi na Serikali ili kufanya makazi mapya

Hata mpumbavu akikaa kimya huhesabiwa kuwa ana hekima. Zamani Kimei alikuwa kimya tulimuona mtu mwenye akili. Leo ameanza kuongea ndiyo tumejua ukilaza wake. Eti anamuomba rais ardhi kwaajili ya wananchi wenzake!
 
Hata mpumbavu akikaa kimya huhesabiwa kuwa ana hekima. Zamani Kimei alikuwa kimya tulimuona mtu mwenye akili. Leo ameanza kuongea ndiyo tumejua ukilaza wake. Eti anamuomba rais ardhi kwaajili ya wananchi wenzake!


Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake usije ukafanana nae!

Wewe nae ukoo wenu mzima hamuwezi kamwe kimfikia kimei, hata mkaroge kule gamboshi kwenu,

Credibility ya kimei wewe ngumbaru na familia yako kamwe huwezi hata kuinusa! Utaisikia kwenye bomba tu! Wewe endelea kufuga imitunga yenu! Kimei ni next level,
 


Wao waendelee kuua vikongwe wao na kufanya uchawi labda wataendelea.

Habari za kimei hawezi kufikia akili yake hata robo. Kimei kawazidi akili sana kama mbingu na ardhi ndio maana hawezi kumwelewa kamwe.
 
Wao waendelee kuua vikongwe wao na kufanya uchawi labda wataendelea.

Habari za kimei hawezi kufikia akili yake hata robo. Kimei kawazidi akili sana kama mbingu na ardhi ndio maana hawezi kumwelewa kamwe.


Kwanza mnajadiliana vipi huyu kilaza.

Avatar yake tu inaonyesha akili zake ziko makalioni.
 
Unaweza kwenda benki kuomba hela kwa sababu siyo kosa?
 
Ardhi inakuwaje tatizo... Moshi ni wilaya sio mkoa
 
Wafuga mafisi sahv mmeshikishwa adabu maringo yote kwisha ,mtazd kubaki maskini mno maana aliyekuwepo pamoja na kuwabeba beba bado mlibaki kuwa mikoa maskini sasahv sipati picha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…