Comment yako inaonesha kuwa ninyi ni bora kuliko makabila mengine otherwise kwanini uhisi mnaonewa wivu.Wapumbavu sana, wanadhani kumchukia aliyefanikiwa watalingana nao, kumbe kufanikiwa ni juhudi za jamii Fulani huwezi kufanikiwa kwa kujenga chuki na visasi,
Chuki umuumiza aliyeiweka kifuani!
Hivi una umri gani wewe jamaa.Daraja la mwisho Ni wale wanaoishi nyumba za tembe Hadi karne hii,pia wale wanaopanda punda kama usafir
Hebu nisomee hapa wewe mchunga mbuzi Naona una hasira Sana unaposikia Neno "wachaga"View attachment 1701815
Hakika wewe ni kubwa jinga.Ahahaaa! Nimecheka kwa dharau sana, hivi we kilaza utanizidi nini aisee, we mtoto wa juzi hapa 23 October 2019 bado kabisa unanuka maziwa mdomoni?!
Hata kama unatumia new ID, Mimi Niko humu tangu mwaka 2006 as anonymous, nikajiunga 2012. Bado sana hujanikuta, utasubiri sana dogo!
Watu tulianza kutumia social media tangu enzi za Dar Hot Wire, tukaamia Jambo Forums, marafiki.com, Hi5, BBM, miaka ya 2002. vipi enzi hizo ulikuwepo wewe kindergartner?!
Madogo wasiku hizi mnadharau sana kaka zenu, kujua kutumia smartphone imekuwa nongwa sana! Usije nifanya nikapigwa ban bureee, Mara ya mwisho kupigwa ban na moderator ilikuwa mwaka 2016, hivyo tuliza mshono dogo unapo deal na kaka zako!
Unahisi tunapoweka hifadhi hatuna akili.huwezi develop nchi nzima.Mapori yote yalioko Tanzania yasiokaliwa wakimegewa wanaoweza kwenda kuishi. Ya nini kuweka Pori nyingi wakati kuna wenye Nchi hawana ardhi ya kutosha? Tanzani ni kubwa hatuaezi kuijaza Hadi Yesu kurudi. Wapewe wenye ujana wa ardhi walaitumie. Chili ziachwe. Bcoz hata hao wanaoona Wivu hawanyanganywi ya kwao.
Nani kasema ni inferior? Kwa nini unaingiza kitu ambacho sijasema. Nimesema kuwa wazungu walipokuja moja ya maeneo waliofanya makazi ni Kilimanjaro. Kwa hiyo walileta positive influence iliyosabaisha wengi wa wakazi wa maeneo hayo kuendelea. Ningekuwa naona wachaga ni superior ningesema maendeleo yao yalisababishwa na akili zao kitu ambacho sidhani. Kuhusu kuonewa wivu hili liko wazi. Kumekuwepo na chakuchaku za chini kwa chini hasa awamu hii ya kutaka kuonyesha kuwa wachaga siyo watu wazuri na kujaribu kuwadhibiti.Mkuu kumbe Makabila yaliyobaki ni inferior kwa Wachaga!! Na wanaonewa wivu!
Tuhuma zako siyo mpya. Zimejijenga kwenye ile ile dhana ya ''mbaazi isipozaa husingizia jua''. Afrika tuko nyuma kimaendeleo na watawala wetu siku zote wamekuwa wanalaumu mabeberu badala ya kujiangalia sisi wenyewe. Watanzania weusi kila siku hatuishi kuwalaumu wahindi tunapokumbwa na masaibu. Na nyie hamuishi kuwalaumu wachaga mnapokumbwa na shida. Lbda nikuambie kisa cha watu wasio wachaga kuitwa ''vyasaka''. Vyasaka maana yake ni watu wa porini. Ukweli ni kuwa wachaga wamezoea boma wanaloishi linazungukwa na migomba na kahawa na lina kivuli. Hii ni tofauti na sehemu kama Dodoma ambazo boma la familia liko tu porini. Hivyo wakajikuta wao wanajiita ''watu wa migombani'' na sehemu ambazo hazina migomba wakaita ''watu wa porini''Hahaha nilitegemea utetezi kama huu
Badilikeni mazee, au mkishindwa kubadilika oneni aibu basi
Ardhi haiuzwi kwa chasaka hapa moshi ila mchaga akienda Mwanza au Moro anakaribishwa kama ndugu na anauziwa ardhi aitakayo(kwa akili yako hii utasema mnauziwa ardhi huko kwasababu watu wa huko ni wajinga na wapumbafu)
Kubadilika haina maana ya kufeli, kubadilika ni ustaarabu pia.
Nani wanazaliana hovyo? Unazungumza kinyume au?Unahisi tunapoweka hifadhi hatuna akili.huwezi develop nchi nzima.
Hata USA the world superpower ana hifadhi Na mapori pia.
Mnazaliana hovyo hovyo sana.
Wewe naona una ugililigili mkubwa sana. Umepigigika nini? Au uko kwenye hii awamu ambayo inajidanganya kuwa imedhibiti wachaga!We don't do that primitive shit anymore.
Eti uhamishe jamii. Tuna jamii moja tu ya MUHIMU sasa inaitwa Tanzania.
Wanazaliana hovyo hafu unataka maeneo mengine ya bure.
Acheni kuzaliana hovyo hovyo.
Mkuu sina maana ya kuwaonea wivu jamaa yanguTuhuma zako siyo mpya. Zimejijenga kwenye ile ile dhana ya ''mbaazi isipozaa husingizia jua''. Afrika tuko nyuma kimaendeleo na watawala wetu siku zote wamekuwa wanalaumu mabeberu badala ya kujiangalia sisi wenyewe. Watanzania weusi kila siku hatuishi kuwalaumu wahindi tunapokumbwa na masaibu. Na nyie hamuishi kuwalaumu wachaga mnapokumbwa na shida. Lbda nikuambie kisa cha watu wasio wachaga kuitwa ''vyasaka''. Vyasaka maana yake ni watu wa porini. Ukweli ni kuwa wachaga wamezoea boma wanaloishi linazungukwa na migomba na kahawa na lina kivuli. Hii ni tofauti na sehemu kama Dodoma ambazo boma la familia liko tu porini. Hivyo wakajikuta wao wanajiita ''watu wa migombani'' na sehemu ambazo hazina migomba wakaita ''watu wa porini''
Yaelekea mtoa mada ni mtoto sana au ukabila unakusumbua sana.
Ngoja nikuelimishe kidogo, miaka Fulani ya nyuma kwenye 70's baba wa taifa mwalimu Julius kambarage nyerere aliwahi kuwashauri wachagga wasigombee ardhi ndogo iliyoko Kilimanjaro Bali waende kutafuta ardhi kwingine maana Tanzania ni kubwa na ardhi ni nyjngi.
Kwenye mchakato huo alitoa ardhi Rukwa, sehemu ambayo kwasasa ni mkoa mpya wa katavi, kuna kijiji ambacho wakazi wake asilimia 90 ni wachagga kutoka mkoa wa Kilimanjaro, eneo hilo liliwahi kuonyeshwa na Tanzania safari channel kuna mto unaitwa mto mapacha!
Pia kuna maeneo ya mkoa wa morogoro ambayo wachagga waliwahi kupewa ardhi sikumbuki ni eneo gani kwajina, kwahiyo utaratibu wa kuomba na kupewa eneo la ardhi sio mgeni wala sio shida,
Jifunze historia mkuu kabla ya kutoa lawama au kulaumu! Ni bora ungeuliza kuliko kujifanya much know kumbe ni tabula rasa!
Who is "We" ??We don't do that primitive shit anymore.
Eti uhamishe jamii. Tuna jamii moja tu ya MUHIMU sasa inaitwa Tanzania.
Wanazaliana hovyo hafu unataka maeneo mengine ya bure.
Acheni kuzaliana hovyo hovyo.
Wamasai ni jamii zinazo hama hama kufuata malisho ya mifugo yao , same thing na baadhi ya wasukuma , wachaga hawana tabia hiyoArdhi nyingi zipo kwa wanavijiji na sedikali za vijij.Zingine za kuvamia tu, wasukuma na wamasai wamang'ati wamevamia sana ardhi na wala serikali haijawahi kuwafukuza ispokuwa hifadhi pekee.Wahame kama masai.
Huu sasa sio ujinga Bali ni upumbavu,Msilete mambo ya 1970 kuhalalisha mambo ya ajabu ajabu.
That was a very primitive move.eti unahamisha kabila !!!! We are done with that.
MTU anaedai Kilimanjaro wana uhaba wa ardhi ni Mjinga sana ambaye hajitambui.
Tanzania ni nchi moja kuna free movement unaweza kuishi mkoa wowote ,kijijj chochote kama wanaona kuna changamoto huko wahamie kagera, rukwa iringa ,mbeya,tabora morogoro hakuna anae wakataza ni haki yao kama watanzania..
Ila hii ya kuomba eneo kikabila yani mkajazane wenyewe tu sehemu Fulani inaleta ukakasi.
We kweli kiazi, wasukuma ni wakabila kuliko hata watutsi, hivi unajitoa ufahamu huoni jinsi JIWE alivyojaza wasukuma serikali?!Kuna watu wakabila zaidi ya wachaga kwenye hii nchi.
Wakishika ofisi yoyote wanajaa wao.
Wewe ndio mwenye low IQ Kuna kipi Cha uongo nimeandika labdaHivi una umri gani wewe jamaa.
Unaonekana una akili ndogo sana aisee.
Wanaozaliana hovyo huwajui? Lake zone ndio inazaliana kwa 100% kule average minimum ya family members Ni watoto 10Unahisi tunapoweka hifadhi hatuna akili.huwezi develop nchi nzima.
Hata USA the world superpower ana hifadhi Na mapori pia.
Mnazaliana hovyo hovyo sana.
Hata mm nimemshangaaNani wanazaliana hovyo? Unazungumza kinyume au?
Mmm. Umepiga ikulu mkuu.We kweli kiazi, wasukuma ni wakabila kuliko hata watutsi, hivi unajitoa ufahamu huoni jinsi JIWE alivyojaza wasukuma serikali?!
Hebu anza kuhesabu mawazari uone ni kabila gani limeesheheni kwenye nyazifa hizo?! Nenda kwa wakurugenzi kuanzia TRC mpaka bandari, njoo jeshini, anza na mkuu wa majeshi,
Hata nyerere akujaza wazanaki namna hiyo! Alafu eti kwa ukabila kama huu mnataka kumfananisha na mwl nyerere thubutuuuu!
Nyerere alijaza wazanaki serikalini au jeshini?! Nyerere aliipendelea Butiama kama ilivyo sasa Chato?!
Alafu bila hata haya wala aibu unakuja hapa na kujitoa ufahamu unadai wachagga wakabila ofisi, mzee MEKO huoni anavyofanya sasa kuwajaza wakwenu?!
Alafu mnataka aongezewe muda??? Thubutuuuu mnataka kuigeuza Tanzania kama Rwanda?! Acheni upumbavu nyinyi!
Shame on you!