Kituko cha serikali ya CCM: Wanajenga Zahanati vijijini za kuombea kura si za kutatua changamoto za kiafya katika jamii

Kituko cha serikali ya CCM: Wanajenga Zahanati vijijini za kuombea kura si za kutatua changamoto za kiafya katika jamii

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Sasa karibu kila kijiji kina zahanani na kwenye kata kuna kituo cha afya.

Nadhani lengo la CCM ni kupata kura ili waendelee kutawala na si kutatua changamoto za wananchi ndani ya jamii.

Sasa zahanani ina watumishi wawili tu itaendeshwaje?

Kijijini kwetu huko ndani ya wiki moja lazima angalau siku 1 au zaidi zahanani ifungwe watumishi wako mjini kufuata dawa, kuhudhuria semina elekezi au kufuatilia majitaji yao ikiwa pamoja na mikopo.

Kuna kijiji zahanani ina mtumishi mmoja tu, awali walikuwa 3 mmoja kahama.

Huyu akiumwa na kwenda hospitali ya wilaya funguo za zahanani anamwachia mgambo.

Ndege moja kubwa ya abiria gharama yake ingeweza kuajiri na kuwalipa mshahara wauguzi, laboratory technician na madaktari kadhaa kwa muda wa mwaka mzima.

Ila serikali hii kipaumbele chake hakijulikani.

Leo hii am sure hata umuulize Waziri wa uchumi akuambie kuwa sasa kama nchi tuko kwenye sera gani hajui.

Muulize tuko kwenye Tanzania ya kilimo, Ufugaji, madini, Uvuvi, viwanda au biashara hajui .
 
Sasa karibu kila kijiji kina zahanani na kwenye kata kuna kituo cha afya.

Nadhani lengo la CCM ni kupata kura ili waendelee kutawala na si kutatua changamoto za wananchi ndani ya jamii.

Sasa zahanani ina watumishi wawili tu itaendeshwaje?

Kijijini kwetu huko ndani ya wiki moja lazima angalau siku 1 au zaidi zahanani ifungwe watumishi wako mjini kufuata dawa, kuhudhuria semina elekezi au kufuatilia majitaji yao ikiwa pamoja na mikopo.

Kuna kijiji zahanani ina mtumishi mmoja tu, awali walikuwa 3 mmoja kahama.

Huyu akiumwa na kwenda hospitali ya wilaya funguo za zahanani anamwachia mgambo.

Ndege moja kubwa ya abiria gharama yake ingeweza kuajiri na kuwalipa mshahara wauguzi, laboratory technician na madaktari kadhaa kwa muda wa mwaka mzima.

Ila serikali hii kipaumbele chake hakijulikani.

Leo hii am sure hata umuulize Waziri wa uchumi akuambie kuwa sasa kama nchi tuko kwenye sera gani hajui.

Muulize tuko kwenye Tanzania ya kilimo, Ufugaji, madini, Uvuvi, viwanda au biashara hajui .
Piga picha zahanati 3 na vituo vya afya vitatu vya aina hiyo karibu na eneo ulipo kuthibitisha maneno hayo?
 
Sasa karibu kila kijiji kina zahanani na kwenye kata kuna kituo cha afya.

Nadhani lengo la CCM ni kupata kura ili waendelee kutawala na si kutatua changamoto za wananchi ndani ya jamii.

Sasa zahanani ina watumishi wawili tu itaendeshwaje?

Kijijini kwetu huko ndani ya wiki moja lazima angalau siku 1 au zaidi zahanani ifungwe watumishi wako mjini kufuata dawa, kuhudhuria semina elekezi au kufuatilia majitaji yao ikiwa pamoja na mikopo.

Kuna kijiji zahanani ina mtumishi mmoja tu, awali walikuwa 3 mmoja kahama.

Huyu akiumwa na kwenda hospitali ya wilaya funguo za zahanani anamwachia mgambo.

Ndege moja kubwa ya abiria gharama yake ingeweza kuajiri na kuwalipa mshahara wauguzi, laboratory technician na madaktari kadhaa kwa muda wa mwaka mzima.

Ila serikali hii kipaumbele chake hakijulikani.

Leo hii am sure hata umuulize Waziri wa uchumi akuambie kuwa sasa kama nchi tuko kwenye sera gani hajui.

Muulize tuko kwenye Tanzania ya kilimo, Ufugaji, madini, Uvuvi, viwanda au biashara hajui .
kwahiyo wewe hiyo hatua muhimu ya maendeleo kwa wananchi imekuudhi na kukughadhabisha sana, right ?🤣

hutaki kabisa kuona ujenzi wa zahanati maeneo mbalimbali nchini ili hatimae wananchi wapate huduma za afya kwa urahisi na kwa karibu zaidi, right?🤣

wewe unataka nini sasa ndugu mpinga maendeleo? 🤣
 
kwahiyo wewe hiyo hatua muhimu ya maendeleo kwa wananchi imekuudhi na kukughadhabisha sana, right ?🤣

hutaki kabisa kuona ujenzi wa zahanati maeneo mbalimbali nchini ili hatimae wananchi wapate huduma za afya kwa urahisi na kwa karibu zaidi, right?🤣

wewe unataka nini sasa ndugu mpinga maendeleo? 🤣
Miaka 60 ya toka TANU ,bado kuna sehemu hakuna zahanati kumbe🤔
 
Sasa karibu kila kijiji kina zahanani na kwenye kata kuna kituo cha afya.

Nadhani lengo la CCM ni kupata kura ili waendelee kutawala na si kutatua changamoto za wananchi ndani ya jamii.

Sasa zahanani ina watumishi wawili tu itaendeshwaje?

Kijijini kwetu huko ndani ya wiki moja lazima angalau siku 1 au zaidi zahanani ifungwe watumishi wako mjini kufuata dawa, kuhudhuria semina elekezi au kufuatilia majitaji yao ikiwa pamoja na mikopo.

Kuna kijiji zahanani ina mtumishi mmoja tu, awali walikuwa 3 mmoja kahama.

Huyu akiumwa na kwenda hospitali ya wilaya funguo za zahanani anamwachia mgambo.

Ndege moja kubwa ya abiria gharama yake ingeweza kuajiri na kuwalipa mshahara wauguzi, laboratory technician na madaktari kadhaa kwa muda wa mwaka mzima.

Ila serikali hii kipaumbele chake hakijulikani.

Leo hii am sure hata umuulize Waziri wa uchumi akuambie kuwa sasa kama nchi tuko kwenye sera gani hajui.

Muulize tuko kwenye Tanzania ya kilimo, Ufugaji, madini, Uvuvi, viwanda au biashara hajui .
Nimecheka sana hapo kwa huyo mgambo😂😂😂 usishangae kukuta huyo mgambo anapokea wagonjwa na kuwapa dawa kabisa🤣🤣🤣🤣ila hii nchi ina raha yake jaman
 
Kwa akili yako ya babycare mgando unafikiri ajira za kada ya afya on process hawa wanaoenda kuajiriwa wanaenda kua waalimu???
 
sasa unababaika na mpinga maendeleo gentleman?🐒

eti mtu anakasirika wananchi kujengewa zahanati ili kusudi wapate huduma za kiafi karibu na maeneo ya makazi yao, huo si ushirikina ndrugu zango 🤣

anachotaka ni nini sasa? kwamba zahanati isijengwe alaa? ujenzi wa mashule maabara na mabweni ya wanafunzi, mabarabara, mavituo ya afya, mazahanati na mahospitali, maviwanja ya ndege, maviwanja ya mpira n.k

ndio hasa siri ya kukubalika, kuaminika na ushindi wa kishindo wa CCM katika kila uchagizi 🐒
 
sasa unababaika na mpinga maendeleo gentleman?🐒

eti mtu anakasirika wananchi kujengewa zahanati ili kusudi wapate huduma za kiafi karibu na maeneo ya makazi yao, huo si ushirikina ndrugu zango 🤣

anachotaka ni nini sasa? kwamba zahanati isijengwe alaa? ujenzi wa mashule maabara na mabweni ya wanafunzi, mabarabara, mavituo ya afya, mazahanati na mahospitali, maviwanja ya ndege, maviwanja ya mpira n.k

ndio hasa siri ya kukubalika, kuaminika na ushindi wa kishindo wa CCM katika kila uchagizi 🐒
😂😂😂 mtu anaanzisha uzi kulalamikia ujenzi wa zahanati. Ndo hawa walipinga SGR sasa imeanza kaz wanaona aibu kupanda
 
Back
Top Bottom