Kituko cha utotoni ambacho sitakisahau

Hahahaaaaa! Yaani nimecheka hadi nimelia maana sio kwa kufakamia chai huko ikiwa ndani ya "semosi"
Hahahaah yani mito na mashauzi yake yote anayotuleteaga kumbe "semosi" ilishamtenda vibaya. Naona sasa hivi kila nikiona semosi ntakuwa namkumbuka. Nimecheka sana, ngoja aje leo
 
Hahahaah yani mito na mashauzi yake yote anayotuleteaga kumbe "semosi" ilishamtenda vibaya. Naona sasa hivi kila nikiona semosi ntakuwa namkumbuka. Nimecheka sana, ngoja aje leo
Yaani hapa nimeiangalia semosi nikamkumbuka yeye, nshomile mashauzi kaanza alivyofikisha miaka 48
 
Hahahaa umeteleza huku nguo umevua teh teh
Nilimpasua mvulana alikuwa akinita "mchumba" alafu simpendiiii, nikamvizia siku ya siku na jiwe.
Aah kumbe alikuwa ni mkaka. Daah kuna mtu alinipasua na jiwe tulikuwa kanisani wenyewe kwenye mazoezi ya "sikukuu ya Michael na watoto". Tena ilikuwa muda wa tuition ila niligoma kwenda
 
Yaani hapa nimeiangalia semosi nikamkumbuka yeye, nshomike mashauzi kaanza alivyofikisha miaka 48
Yani leo bora asiingie tu humu, sio kwa vichambo nitakavyompa. Sasa hivi anatudiss eti tunatafuta ushirikiano naye kumbe hahahhaha
 
Hahahaa umeteleza huku nguo umevua teh teh

Aah kumbe alikuwa ni mkaka. Daah kuna mtu alinipasua na jiwe tulikuwa kanisani wenyewe kwenye mazoezi ya "sikukuu ya Michael na watoto". Tena ilikuwa muda wa tuition ila niligoma kwenda

Yaani akili za utoto majibu unajiropokea tu bila kufikiria, yaani acha kabisa.

Yeah alikuwa mkaka. Daah pole sn.
 
Nakumbuka nikiwa darasa la 3 pale makambako. Enzi hizo ikikaribia na sikukuu ya pasaka kunakua na mkesha pale kanisani. Watu wanachanga pesa by then ilikua ni sh. 100. Ukilipia pesa hiyo mnaangalia sinema, kula na kunywa. Rafiki zangu walikua wamelipa tayari, mimi pesa sina, kumuomba mdingi nikaona atanitolea nje. Kulikua na sister ana biashara zake ndogo ndogo hivyo nikamwibia 100 nikaenda kulipia.

Kuna kipindi niliokota shanga zile wanavaa akina mama shingoni kama mkufu hivi. Kuna mama mmoja akaniambia nimpe halafu atanipatia pesa, nikakubali. Sasa ile pesa akawa hanipi kila ninapomdai.

Wakati natoka kulipia nipo na rafiki yangu tunarudi home, sasa tupo uwanja wa mpira kwa mbali namuona mdingi anakuja hapo katoka job maana hata uniform alikua hajavua. Kumuona tu nikajua kimenuka. Ikabidi niongeze mwendo tukakutana. Akauliza umetoka wapi nikamwambia misheni hapo kulipia mkesha. Pesa umepata wapi? Hapa hata akili sijui ilikuwaje hadi nikawaza vile. Nikamwambia kanipa mama fulani (nikimtaja yule niliyempatia ile chain). Akasema twende. Kiomoyoni kosa la pili hili, maana nimeiba halafu nikasema uongo ndio vitu ilikua mzee hapendi kabisa.

Tukamkuta yule mama. Mzee akamuuliza umempa pesa huyu? Yule mama akajibu ndio. Duh nikasema mungu mkubwa. Basi tukarudi home. Siku ya kwenda mkesha naogopa kumuomba ruhusa nikapotezea na pesa ikawa imepotea. Na ile pesa ya shanga sikumdai tena yule mama kwa kuniokoa kwenye msala. Nikikumbuka huwa nasema kweli utoto ni noma
 
Siku moja tulienda mtoni na mpwa wangu ila tunashare age..! Sasa yeye akajifanya fundi wa kuongelea kuruka kwenye maji akabamiza goti kwenye jiwe akawa ananyanyua mkono juu akiomba msaada sisi tunajua ndiyo kamudu we kidogo afie mle sisi tunacheka tu, kumvuta alikuwa kashiba maji hawezi ata kutembe tukafuta mkongojo kufika tu home mother alikuwa mjeshi katuzawadia bokora za kutosha mzee nae kuingia akaambiwa katutoa tena nje usiku kutupa mikanda ya kutosha nikikumbuka mgonjwa anakung'utwa nabakiga hoi...
 
story ya ukubwani lakini tukio la kitoto
 
kweli mlikua utotoni
 
ungekua mkubwa ungeupanda
 
nakumbuka nilugua celebral malaria ikawa kazi yangu kutangaza mpira tu
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] umenifurahisha sana Dada yangu. Eti nimeteleza hahaha huku umevua nguo. Utoto bhana acha tu
 
mzee kumbe hii field umeianza kitambo.
 
Nikiwa darasa la tano,nilimtongoza dada jirani yetu alikuwa anajifanya dada yangu akamwambia mama yake.

Jioni mama yake kaja kwa maza akamwambia nimemtongoza dada yangu nilikula bakora na mijeledi wacha kabisa afu badae akaja akakubali nijambanjua nikiwa form two...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…