mankachara
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 6,152
- 3,473
duh, kumbe heri ya miemimi tukio ninlo kumbuka tuliona gari inakuja tukasema tulale barabarani tuone nini kitatokea nakumbua nilikuwa na age kama 5 or 4 years na gari kuiona kijijini ni kama mara moja kwa mwezi kilicho tokea yule derevya alisimamisha gari akachukua fimbo akanipapa wenzangu wakakimbia baada ya kuchwapa akili ndi ikaja nini kingetokea
aise yani utadhani umetungaNakumbuka nilikua na mchezo wa kudandia magali kwa nyuna bila dereva kujua..bas siku moja nilidandia trector nikashindwa kushuka trector lilikua linafata mawe polini mbali kidogo...nlivoona naji yamenizidi ilibidi nijisalimishe tu kwa dereva...dereva akanambie twende wore mpaka anakochukua mawe tutarudi wot,kufika kule alinigonga bakora za kutosha.
Mda wa kurudi trector likaalibika ijabidi tulale ukouko..uku home nako natafutwa sana Aaah keshi yake nilivorudi nlikura njiti za kutosha..
inaonekana ulikua hujui kupiga fix hongera kama umewekeza hapoNilitoroka madrasa na kuenda kuangusha madafu, kwa bahati mbaya nilijikata wakkati nafua dafu, na nilijikata pakubwa sana kwenye mkono, ikanibidi niende nyumbani na nilipofika kwanza nilichapwa sana halafu ndio nikapelekwa spitali
a ha haMimi niliwahi kupotea na mdundiko[mganda].....niliufuata bila kujijua kutoka magomeni hadi pugu!!!!!!!
lazima sasa hivi wewe n mwanasiasa kama sikoseimimi nakumbuka nikiwa darasa la tatu niliku mpenzi sana wa samaki sasa mzee alikuwa kila week analeta samaki wa bichi mama anawakaanga fresh anatia ndani ya jokofu.. mimi hata unipe samaki mzima kiu hamu haishi .. nikawa na katabia cha kuokoa samaki nakula upande mmoja halafu namgeuza anaonekana ajaguswa wakati wa kupika mama akiuliza kila mtu anakataa.. siku moja jioni jioni nikafanya huo mchezo wangu wa udokozi acha mfupa unipalie kooni mama ndiyo akagundua mwizi wake ni nani kipigo nilichopata baada ya kutolewa mfupa aisee mpaka leo siwezi gusa kitu cha mtu bila kuomba,........... udokozi mbaya hasa wa samaki
aaaahhhhh umenifanya nigundue kitu kwakoNikiwa mdogo niliwahi kuiba hirizi iliyokupenda inapumua ya mzee mmoja mchawi aliyekuwa anaogopeka sana pale kijijini. .kwenda kuipasua nilikuta kinyonga aliyekatwa mkia alitweta kwa kukosa pumzi vizuri
Lile tukio lilikuwa kubwa na baya pale kijijini mpaka ikibidi nihamishwe
Nshakijua lakini sio hivyo ni coincidence tuuaaaahhhhh umenifanya nigundue kitu kwako
hapana mkuu siasa naiogopa sanalazima sasa hivi wewe n mwanasiasa kama sikosei
unaujasiri sana aiseeNikiwa mdogo niliwahi kuiba hirizi iliyokupenda inapumua ya mzee mmoja mchawi aliyekuwa anaogopeka sana pale kijijini. .kwenda kuipasua nilikuta kinyonga aliyekatwa mkia alitweta kwa kukosa pumzi vizuri
Lile tukio lilikuwa kubwa na baya pale kijijini mpaka ikibidi nihamishwe
Mambo ya kitoto yanakupa guts za ajabuunaujasiri sana aisee
kabisa aiseeMambo ya kitoto yanakupa guts za ajabu
hukutafakari kama una kipaji cha kujikaushaNilichukua miba ya mtende huwa ni mikubwa hivi nikaichimbia nikiacha ncha kali kwa juu katika kinjia wanapita watu halafu nikajificha,akapita kaka mmoja akakanyaga nikacheka akaniona nilikimbizwa mpaka leo sikurudia japo hakunipata.
umenifanya nicheke na kuangalia kama kuna anayeniona aiseeNilichukua miba ya mtende huwa ni mikubwa hivi nikaichimbia nikiacha ncha kali kwa juu katika kinjia wanapita watu halafu nikajificha,akapita kaka mmoja akakanyaga nikacheka akaniona nilikimbizwa mpaka leo sikurudia japo hakunipata.
Yaani nahisi hicho kipaji sina,halafu aligumia kwa maumivu sana ndio kilinifanya nicheke sanahukutafakari kama una kipaji cha kujikausha