Kituko cha utotoni ambacho sitakisahau

Kituko cha utotoni ambacho sitakisahau

Nilitoroka madrasa na kuenda kuangusha madafu, kwa bahati mbaya nilijikata wakkati nafua dafu, na nilijikata pakubwa sana kwenye mkono, ikanibidi niende nyumbani na nilipofika kwanza nilichapwa sana halafu ndio nikapelekwa spitali
 
mimi tukio ninlo kumbuka tuliona gari inakuja tukasema tulale barabarani tuone nini kitatokea nakumbua nilikuwa na age kama 5 or 4 years na gari kuiona kijijini ni kama mara moja kwa mwezi kilicho tokea yule derevya alisimamisha gari akachukua fimbo akanipapa wenzangu wakakimbia baada ya kuchwapa akili ndi ikaja nini kingetokea
duh, kumbe heri ya mie
 
Nakumbuka nilikua na mchezo wa kudandia magali kwa nyuna bila dereva kujua..bas siku moja nilidandia trector nikashindwa kushuka trector lilikua linafata mawe polini mbali kidogo...nlivoona naji yamenizidi ilibidi nijisalimishe tu kwa dereva...dereva akanambie twende wore mpaka anakochukua mawe tutarudi wot,kufika kule alinigonga bakora za kutosha.
Mda wa kurudi trector likaalibika ijabidi tulale ukouko..uku home nako natafutwa sana Aaah keshi yake nilivorudi nlikura njiti za kutosha..
aise yani utadhani umetunga
 
Nilitoroka madrasa na kuenda kuangusha madafu, kwa bahati mbaya nilijikata wakkati nafua dafu, na nilijikata pakubwa sana kwenye mkono, ikanibidi niende nyumbani na nilipofika kwanza nilichapwa sana halafu ndio nikapelekwa spitali
inaonekana ulikua hujui kupiga fix hongera kama umewekeza hapo
 
Mimi niliwahi kupotea na mdundiko[mganda].....niliufuata bila kujijua kutoka magomeni hadi pugu!!!!!!!
hii ilikua kwa watoto wengi sana ila bahati mbaya enzi za midundiko kupita mitaani hakukua na TV tungekujua leo
 
Nikiwa mdogo niliwahi kuiba hirizi iliyokuwa inapumua ya mzee mmoja mchawi aliyekuwa anaogopeka sana pale kijijini. .kwenda kuipasua nilikuta kinyonga aliyekatwa mkia alitweta kwa kukosa pumzi vizuri
Lile tukio lilikuwa kubwa na baya pale kijijini mpaka ikibidi nihamishwe
 
mimi nakumbuka nikiwa darasa la tatu niliku mpenzi sana wa samaki sasa mzee alikuwa kila week analeta samaki wa bichi mama anawakaanga fresh anatia ndani ya jokofu.. mimi hata unipe samaki mzima kiu hamu haishi .. nikawa na katabia cha kuokoa samaki nakula upande mmoja halafu namgeuza anaonekana ajaguswa wakati wa kupika mama akiuliza kila mtu anakataa.. siku moja jioni jioni nikafanya huo mchezo wangu wa udokozi acha mfupa unipalie kooni mama ndiyo akagundua mwizi wake ni nani kipigo nilichopata baada ya kutolewa mfupa aisee mpaka leo siwezi gusa kitu cha mtu bila kuomba,........... udokozi mbaya hasa wa samaki
lazima sasa hivi wewe n mwanasiasa kama sikosei
 
Nikiwa mdogo niliwahi kuiba hirizi iliyokupenda inapumua ya mzee mmoja mchawi aliyekuwa anaogopeka sana pale kijijini. .kwenda kuipasua nilikuta kinyonga aliyekatwa mkia alitweta kwa kukosa pumzi vizuri
Lile tukio lilikuwa kubwa na baya pale kijijini mpaka ikibidi nihamishwe
aaaahhhhh umenifanya nigundue kitu kwako
 
Nikiwa mdogo niliwahi kuiba hirizi iliyokupenda inapumua ya mzee mmoja mchawi aliyekuwa anaogopeka sana pale kijijini. .kwenda kuipasua nilikuta kinyonga aliyekatwa mkia alitweta kwa kukosa pumzi vizuri
Lile tukio lilikuwa kubwa na baya pale kijijini mpaka ikibidi nihamishwe
unaujasiri sana aisee
 
Nilichukua miba ya mtende huwa ni mikubwa hivi nikaichimbia nikiacha ncha kali kwa juu katika kinjia wanapita watu halafu nikajificha,akapita kaka mmoja akakanyaga nikacheka akaniona nilikimbizwa mpaka leo sikurudia japo hakunipata.
 
Nilichukua miba ya mtende huwa ni mikubwa hivi nikaichimbia nikiacha ncha kali kwa juu katika kinjia wanapita watu halafu nikajificha,akapita kaka mmoja akakanyaga nikacheka akaniona nilikimbizwa mpaka leo sikurudia japo hakunipata.
hukutafakari kama una kipaji cha kujikausha
 
Nilichukua miba ya mtende huwa ni mikubwa hivi nikaichimbia nikiacha ncha kali kwa juu katika kinjia wanapita watu halafu nikajificha,akapita kaka mmoja akakanyaga nikacheka akaniona nilikimbizwa mpaka leo sikurudia japo hakunipata.
umenifanya nicheke na kuangalia kama kuna anayeniona aisee
 
Back
Top Bottom