Kituko gani alikufanyia mtoto wa mwenyeji wako ulipokuwa ugenini huwezi kukisahau hadi leo hii?

Kituko gani alikufanyia mtoto wa mwenyeji wako ulipokuwa ugenini huwezi kukisahau hadi leo hii?

Mpondoshilla

Member
Joined
Jul 4, 2022
Posts
36
Reaction score
132
Mimi nakumbuka siku moja nikiwa ugenini, huyu mtoto wa mwenyeji wangu aliing'ang'ania radio yangu na mwenyeji wangu akaniambia tumsubirie asinzie watamnyang'anya nakumbuka walinipatia radio yangu saa nne usiku toka saa 12 jioni

Niliwamindi familia yote ila basi tu hawakujua

Weka na wewe cha kwako hapa,
 
Aliniuliza kabati la kuwekea nguo kwa kingereza linaitwaje kipindi nipo form nyoya wakuu

Nimetoka zangu senti kayumba najua kingereza cha good morning na can you help me some drinking water tosha katoto kalikuwa English medium

Kabla sijajibu kakataja halafu kakasema sijui nikaaibika sana siku ile

Nilikuja kununua dictionary nikajifunza maneno mengi sana mpaka naweza kukaa na mzungu tukapiga ngeli hata siku nzima
 
Katoto kanaitwa junior kalininyang'anya simu yangu huku mama yake akachekea, nakumbuka nilienda kumtembelea rafiki yangu mshi mwaka jana

Sekunde nyingi naskia "pwaa''. Kwa kweli siku ile kama walinisema waniseme tu nilimtandka dogo kofi moja la kelebu hlmpaka sauti ikamkauka

Nakumbuka msela sikumkuta ila niliondoka yule shemeji alikua kaninunia kwa mbali
 
Mimi nakumbuka siku moja nikiwa ugenini, huyu mtoto wa mwenyiji wangu aliing'ang'ania radio yangu na mwenyeji wangu akaniambia tumsubirie asinzie watamnyanganya nakumbuka walinipatia radio yangu saa nne usiku toka saa 12 jioni
Niliwamindi familia yote ila basi tu hawakujua
Weka na wewe cha kwako hapa,
Hao wazazi bure kabisa

Huyo mtoto alikuwa haitwi junior kweli?
 
Katoto kadogo darasa la awali namfundisha tuition hapa (do not comment 🤣) jana tu alinisimulia jinsi bibi yake alivyochimba au tuseme alivyouza mchanga eneo la hifadhi akakamata.

Mtoto anamtaja hadi mtu aliyemfitini bibi yake.

Alimtaja hadi aliyemtolea bibi yake hela ya dhamana.

Akaniambia siku ya kesi ni tarehe 8, nimeona mtoto mdogo mwenye uwezo mkubwa wa uelewa.
 
Nilienda kwa kaka yangu wa tumbo moja.
Nipo sebuleni naangalia TV, mtoto wa bro alitoka shule. Alipofika hata hakunisalimia.
Kakasimama katikati ya TV, nikamwambia toka hapo, bado tu. Nikamwambia tena. Kakazima TV kakaingia chumbani.
Nikawasha, nikasubiri kanatoka chumban. Nikakashika, nikakapa kifinyo.
Usiku bro anakuja, kanamwambia. Nimempiga. Bro akasema, huyu akileta ujinga piga.
Wazazi wa sasa, jitahidini kuwalewa watoto wenu katika tabia njema ndiyo maana hata ndoa za siku hizi zinavunjika kwa sababu ya malezi.
Namshukuru sana mama yangu, ametulea katika maadili mema. Sisi nyumbani ukimkuta mgeni lazima umsalimie halafu unaenda kucheza nje. Mgeni aletewe hata soda halafu nawe unataka unywe naye kipigo utakachopata.
 
Nilienda kwa kaka yangu wa tumbo moja.
Nipo sebuleni naangalia TV, mtoto wa bro alitoka shule. Alipofika hata hakunisalimia.
Kakasimama katika ya TV, nikamwambia toka hapo, bado tu. Nikamwambia tena. Kakazima TV kakaingia chumbani.
Nikawasha, nikasubiri kanatoka chumban. Nikakashika, nikakapa kifinyo.
Usiku bro anakuja, kanamwambia. Nimempiga. Bro akasema, huyu akileta ujinga piga.
Wazazi wa sasa, jitahidini kuwalewa watoto wenu katika tabia njema ndiyo maana hata ndoa za siku hizi zinavunjika kwa sababu ya malezi.
Namshukuru sana mama yangu, ametulea katika maadili mema. Sisi nyumbani ukimkuta mgeni lazima umsalimie halafu unaenda kucheza nje. Mgeni aletewe hata soda halafu nawe unataka unywe naye kipigo utakachopata.
mkuu umenikumbusha zamani tulikuwa tukisikia ndugu zetu wamekuja tunaemda kuwasalimia huko walikofikia(ndugu zetu wanatoka huko mikoani)basi bwana siku moja tumeenda kuwasalimia kaka yangu akawa amesimama wima anazungukia wageni kuwasalimia sie wengine unabend kidogo,basi baada ya hapo maza akapata taarifa wee kaka yangu kidogo apokee kichapo cha haja
 
Mtoto mkubwa wa sister ni mkubwa tuu 18 years now kamaliza form 4. kaja home. kufika kakuta wamepika makange akasema yeye hali makange. nkampa hela akaenda nunua chips. asubuh chai tukanunua mihogo kasema halagi mihogo anataka chapati za maji, akapewa. inshu ikaja kwenye kusaidia kazi. hakuna kazi anayoweza labda vyombo tuu kuosha na sio masufuria. kitu pekee anaweza pika ni chai. hata ugali wa mtu mmoja hawezi pika. nkamuuliza vizuri akasema yeye hata kwao wakipika ugali yeye hataki basi anapewa hela anaenda kula mgahawani.

nguo zake anafuliwa. na sio kwamba kwao ni matajiri hapana kipato chao ni cha chini sana.
 
Mtoto mkubwa wa sister ni mkubwa tuu 18 years now kamaliza form 4. kaja home. kufika kakuta wamepika makange akasema yeye hali makange. nkampa hela akaenda nunua chips. asubuh chai tukanunua mihogo kasema halagi mihogo anataka chapati za maji, akapewa. inshu ikaja kwenye kusaidia kazi. hakuna kazi anayoweza labda vyombo tuu kuosha na sio masufuria. kitu pekee anaweza pika ni chai. hata ugali wa mtu mmoja hawezi pika. nkamuuliza vizuri akasema yeye hata kwao wakipika ugali yeye hataki basi anapewa hela anaenda kula mgahawani.

nguo zake anafuliwa. na sio kwamba kwao ni matajiri hapana kipato chao ni cha chini sana.

Piga makofi huyo
 
Mimi nakumbuka siku moja nikiwa ugenini, huyu mtoto wa mwenyiji wangu aliing'ang'ania radio yangu na mwenyeji wangu akaniambia tumsubirie asinzie watamnyanganya nakumbuka walinipatia radio yangu saa nne usiku toka saa 12 jioni
Niliwamindi familia yote ila basi tu hawakujua
Weka na wewe cha kwako hapa,
sasa alipolala walimnyang'anya au waliichukua!?
Si mtoto tena huyo ni mshirika wao!
 
Mtoto mkubwa wa sister ni mkubwa tuu 18 years now kamaliza form 4. kaja home. kufika kakuta wamepika makange akasema yeye hali makange. nkampa hela akaenda nunua chips. asubuh chai tukanunua mihogo kasema halagi mihogo anataka chapati za maji, akapewa. inshu ikaja kwenye kusaidia kazi. hakuna kazi anayoweza labda vyombo tuu kuosha na sio masufuria. kitu pekee anaweza pika ni chai. hata ugali wa mtu mmoja hawezi pika. nkamuuliza vizuri akasema yeye hata kwao wakipika ugali yeye hataki basi anapewa hela anaenda kula mgahawani.

nguo zake anafuliwa. na sio kwamba kwao ni matajiri hapana kipato chao ni cha chini sana.
Na mna ishi nae aseee
 
Back
Top Bottom