Acha porojo za kipumbavu wewe, waziri haandiki dawa na si lazima awe Daktari. Mbona madaktari wanapoteuliwa kuwa wabunge na wakuu wa mikoa na hata mawaziri katika wizara zisizohusiana na udaktari hamlalamiki? Kumbe kusoma si kumaliza ujinga eeh?
Siwezi kukulaumu sana,may be naweza kuwalaumu wazazi wako waliokupeleka shule ya kata,ndio maana mapovu mengiiii hapo ndio nilipotaka kwamba Waziri mwenye taaluma ya kilimo anakuwa waziri wa Sheria hahaha Lol si ndio maana tunapata viongozi DHAIFU sasa mtu kama huyu hata hafahamu nini sheria inasemaje anafaa kweli si ndio wale wote wanaosema ahhhh hakuna haja ya katiba mpya(Selina Kombani)Sasa ona madawa feki kibao na waziri wa mifugo hana utaalamu wa ushauri kuhusu madawa ya binadamu anasubiria tu kudanganywa then yuko Liwalo naliwe bora mie situmii hizo dawa watatumia kina KUKOMYA