Simba anahusikaje tenaTFF-SIMBA-KARIA, KIDAO, MGUTO, WAMBURA! NYAMLANI shida tupu
Ishu sio mleta uzi mkuu.. kama kagera kaminywa apewe haki yake pia stand .Kwanza wewe unamjua vizuri mleta Uzi, ni shabiki wa mikia lia lia. Hapo t.f.f kuna mchezo mchafu unaendelea.
Kwa kanuni hizi na matokeo halisi ya timu husika, Kagera haiwezi kushuka daraja labda iwe uamuzi wa kisiasa wa TFF
Acha upumbavu pitia kanuni za tff kama huelewi basi wewe na karia mmekalia akili zenu wenyeweKigezo cha kwanza huwa ni point then head to head,baada ya hapo ni goal difference, hiyo ni kwa mjibu wa TFF mabadiliko waliyofanya msimu huu wakati league inaanza.
Kwahiyo kilichowashusha kagera ni head to head.
Ndio inatumika wakilingana point na GD.. Sijajua table ipi halali kati ya AZAM na TFFKwani kanuni zinataka tuangalie head to head pia ?
Walikosea kwenye goal diffMbona wanasema kashuka.
Hii sheria imeshafanyiwa mabadiliko na huu n msimu wake wa kwanza inatumika.. au unadhan Kagera hawajui?? umesikia wakilalama??
We unadhan Kagera wajinga kukaa kimya??Pole sana chalii ndio m'meshakurupuka [emoji23]
Wawajibike... kwanza ligi haina udhamini tena wanaleta vitambi.Kimsingi Azam walikuwa sahihi.
Tff wameishusha makusudi kagera
Hahahahahaha acha kuwa kituko chalii, sasa imekuwaje kagera karudishwa na stand kashushwa??
Basi jamaa wapo kizamani sana, wazee wa manually. Basi hata ukiwauliza msimu mzima jumla ya kadi za njano na nyekundu zilizotoka huenda hata hawajuiAzam wanayo hiyo system na ndiyo tuwaamn...livescore almost zote zinaenda sawa na Azam..TFF wapo tofauti..itakuwa wanafanya mambo yao manually
Tff wameshatoa tamko kuwa wamepuyanga mkuu.Kwa TPL H2H inatumika baada ya Point na GD kulingana
Watajuaje kama table tu inawatoa jashoBasi jamaa wapo kizamani sana, wazee wa manually. Basi hata ukiwauliza msimu mzima jumla ya kadi za njano na nyekundu zilizotoka huenda hata hawajui
Goal difference hazifanani, Kagera -10 na Stand -12, hivyo Azam wako sahihi. Stand anashuka moja kwa moja.Goal difference zinafanana...ukienda kwenye head to head stand ana advantage as alimfunga kagera 3-1 kaitaba na shinyanga ilikua 1-1...kwa mantiki hiyo kagera anashuka
Pole mkuu.Weka kanuni tuone!
Kagera wakajifunze kucheza ligi nzima sio mechi mbili tu za Simba. Nyambaff zao na huko wakashuke hadi daraja la mwisho.
Na unachezea wa Chelsea *****Pumbavu sana hao na washuke; kwa wengine wanakubali vipigo kwetu wanabana;
Nimefurahi kama Swansea ya england ilivoshukaga maana kila mwaka arsenal tulikuwa tukichezea vipigo toka kwao
Wameirejesha na kukiri kukosea.Kwa kanuni hizi na matokeo halisi ya timu husika, Kagera haiwezi kushuka daraja labda iwe uamuzi wa kisiasa wa TFF