Mbobo
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 1,392
- 1,818
BODI YA LIGI YAIREJESHA KAGERA SUGER PLAY OFF.
HEMED KIVUYO.
Bodi inayosimamia ligi kuu Nchini imekiri Kuwepo kwa Makosa ya takwimu Na kuirejesha timu ya Kagera suger katika ligi kuu ambapo sasa inacheza hatua ya play off.
Akingea Na ITV mtendaji mkuu wa bodi hiyo Boniface wambura AMESEMA kwa Makosa hayo ofisi yake inawajibika kwa kumpa adhabu aliyepotosha takwimu hiyo.
Kwa Mustakabali huo timu ya Stand United in ashuka daraja moja kwamoja Na Kagera suger italazimika kucheza michezo miwili ya play off ili kupata ridhaa ya Kuendelea Na ligi kuu msimu ujao
HEMED KIVUYO.
Bodi inayosimamia ligi kuu Nchini imekiri Kuwepo kwa Makosa ya takwimu Na kuirejesha timu ya Kagera suger katika ligi kuu ambapo sasa inacheza hatua ya play off.
Akingea Na ITV mtendaji mkuu wa bodi hiyo Boniface wambura AMESEMA kwa Makosa hayo ofisi yake inawajibika kwa kumpa adhabu aliyepotosha takwimu hiyo.
Kwa Mustakabali huo timu ya Stand United in ashuka daraja moja kwamoja Na Kagera suger italazimika kucheza michezo miwili ya play off ili kupata ridhaa ya Kuendelea Na ligi kuu msimu ujao