Kituko: TFF yaishusha Kagera Sugar ,Azam tv yaishusha Stand Utd

Kituko: TFF yaishusha Kagera Sugar ,Azam tv yaishusha Stand Utd

nzagambadume

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2018
Posts
2,430
Reaction score
5,779
Ebanaeee, balaa kubwaaaa
azam.PNG
tff.PNG
 
Kagera waliendewa mpk fifa na mikia,hapo inatumika kila namna kagera ashushwe hata kinguvu ili tu timu pendwa na tff ipate kupumua
Acha umbumbuta wa soka,kwa nini hakushika nafasi za juu? Kang'ang'ania nafasi za chini,hii inaonyesha uwezo wake ni mdogo.Ashuke na wanaostahili wapande.
 
Mpaka tff hawajui nani mwingine anashuka baada ya African Lyon
 
Back
Top Bottom