Kitumbua cha buku

Kitumbua cha buku

SEHEMU YA THELATHINI NA TANO
STORY NA: Mbogo Edgar
ILIPOISHIA SEHEMU YA THELATHI NA
NNE: Hapa wakumsaidia Rose ni
matrida peke yake, ndie takae eleza
ukweli au kuupindisha ukweli, aliwaza
Joyce huku ana tafuta namba ya
Matrida kwenye simu yake, lakini kabla
ajaipiga akakumbuka kuwa aliibiwa
simu kwenye tukio ilo, hivyo akaona
chamsingi ni kesho kwenda kituoni
akamsalimie Rose ili wapange namna
ya kumshawishi Matrida amsaidie
kumtoa kwenye matatizo hayo……….
endelea …..
Maana aliamini kuwa Matrida anaweza
kuwa upande wao, akujuwa kuwa
Matrida amesha pewa ushawishi wa
nguvu, na kumgeuka Rose.******
Naam saa moja na nusu, Kipanta akiwa
kwenye kitanda chake, kwenye kile
chumba cha wangojeao, akishuhudia
pilika pilika za bwana Side alie kuwa
anakamilisha malipo yake, ili aondoke
zake, na ata alipomaliza mida ya saa
mbili na nusu, Kipanta akamwona yule
askari wa jana yani bwana Mikana, ana
kuja kumchukuwa Side, “samahani
kijana nakuomba mala moja” alisema
bwana Kipanta akimwita Mikana,
ambae alimsogelea, “mimi nicaptain
Kipanta” alijitambulisha Kipanta, huku
akitaja kikosi alicho fanyia kazi, kabla
aja staafu, lakini akusema kama
amesha staafu, “unajuwa jana nilikuwa
na kutazama sana, naona mbona kama
ninakufananisha” alisema Mikana
akionyesha kumfahamu bwana Kipanta,
“tulikuwa wote sudani mwakajana”
alikumbusha Mikana, “ok! kijana sasa
mimi nina tatizo kidogo” alisema
Kipinta, na kuanza kumsimulia Mikana
yaliyo mkuta, huku akificha baadhi ya
mambo ikiwa ni kutlekeza familia, “yani
yule demu amekomba kila kitu mpaka
card yangu ya benk, amenikwamisha
kila kitu” alilalamika Kipanta
akimsukumia zambi Rose mary, “sasa
nime kwama fedha ya kulipia matibabu,
na uhakika nikitoka hapa ninapata fedha
yangu, maana yule Malaya amesha
kamatwa na polisi” alisema Kipanta
akionyesha kuwa anaitaji msaada,
“sasa afande mbona hiyo ni inshu
ndogo sana” alisema Mikana, na
kuanza kumpa msaada wa kiutaratibu,
na kitu cha kufanya, ili kuondoka pale
hospital, “kwahiyo inabidi niwaone polisi
ili wao waende wakaniombee msaa wa
mkpo wa matibabu?” aliuliza Kipanta,
kwa sauti ya kuto kuamini, alicho
ambiwa, “tena ata humu usinge ingia,
ungekuwa umesha toka” alisema
Mikana, na hapo wakaagana na Mikana
akaondoka na bwana Side.*****
Naam usiku ulikuwa mfupi sana kwa
upande wa Stellah na Pross, walijikuta
wana hamka, saa mbili asubuhi,
wakiwa wamechoka kweli kweli, ni
baada ya kuvurugana usiku kucha
wakirudia tendo mala kazaa, huku
wakisindikizia kwa wine, mpaka
walipopitiwa na usingizi pasipo wao
kujuwa ilikuwa saangapi, bahati nzuri
Stellah alisha andaa supu, ya nguvu,
kwaajili yao, maana alisha juwa kuwa
kuna kazi ngumu usiku ule, ni kweli
baada ya kuoga, walipata supu, wakiwa
nusu uchi, maana walijuwa chochote
kina weza kutokea muda wowote, ni
kweli baada ya kumaliza kupata supu
na kuona nguvu zime warudia,
wakaangusha madafu kazaa pale pale
sebuleni, hakika kama Kipanta ange
shuhudia, jinsi kijana alie mwajili kama
mlinzi wa shamba la hawara yake Rose,
yani kijana Pross, anavyo jiachia na mke
wake, nazani ange lia hadharani.
Saa tatu na nusu, ndio muda ambao
Pross na Stellah waliachana maeneo ya
stendi pale kibamba hospital, ambapo
Pross alipanda gari kuelekea mbezi,
ikiwa ni safari ya kuelekea kisalawe,
huku Stellah akielekea kibamba ccm,
akiwa na mzigo mkubwa sana kwenye
gari lake, mzigo wa mabegi, sijuwi
alikuwa anaupeleka wapi.******
Nikweli mida hii tayari Polisi walisha
fika kwaajili ya kumchukuwa Kipanta, ili
waondoke nae, kueleka mahakamani,
lakini ikabidi aombe msaada wa
kuwaona ustawi wajimii, akieleza kuwa
kutokana na kuibiwa fedha na kadi ya
benk, asingeweza kulipia matibabu,
hivyo anaomba aluhusiwe kutoka, na
ataleta fedha akisha fanya utaratibu wa
kuchukuwa fedha kwenye account yake,
ni kweli kwa msaada wa insp
likafanyika ilo, na bwana Kipanta aka
achiwa, ili akashugulikie vitu vyake
vilivyo potea, ikiwa card yake ya benk,
na simu zake, ambazo pia alisema zime
ungwa kwenye Simu benk. japo yeye
mwenyewe alijuwa anacho kiongea
niuongo mtu, kama accont ilikuwa na
fedha na angeitoa fedha hiyo yeye
asinge bakia na fedha ata kidogo.
Sasa tatizo likaja lingine, ni kwamba
akuwa na nguo ya kuvaa, ata ondokaje
pale hospital na saa tano kamili
anatakiwa mahakamani, ambako Rose
alikuwa anasomewa shitaka lake, lakini
bahati ikawa upande wao, maana
wakati wanaanza kuwaza watapata
wapi japo nguo yoyote, mala
wakamwona askari wa suma JKT
ambao wanausika na ulinzi pale
hospital, akijana huyu ambae alisha
pitia mafunzo JKT, aliemda moja kwa
moja kwa insp, na kumpigia salut,
“sahamani afande kuna inshu moja
hapa inabidi uitatue, kuna mama
mmoja amekuja na kuleta mabegi, sita
yanguo na viatu, anasema kuwa ni ya
huyu bwana Kipanta, tulimzuwia
kuyaacha, lakini ukweli aliyashusha
toka kwenye gari, na kuondoka zake
akidai kuwa akabidhiwe kipanta
mwenyewe” alisema yule askari, na
hapo insp akatabasamu kidogo, na
kumtazama Kipanta, “bwana Kipanta,
maelewano yako na mkeo yapoje?”
aliuliza insp ambae sasa alianza
kuingiwa na mshaka, pengine mke wa
bwana Kipanta anausika na swala lile
nasiyo mschana Rose, kama ilivyo
elezwa mwanzo, maana ata maelezo ya
Kipanta na Matrida yalipishana kidogo,
“afande ebu achana nae huyo mpuuzi
nita pambana nae nikitoka
mahakamani” alisema Kipanta ambae
akuwa ameelewa kinachoendelea, hapo
insp alicheka kidogo, maana kama
anejuwa kuwa ameletewa mabegi yake
pale basi asinge sema upuuzi wake,
“ok! naona shemeji amekuletea nguo,
twende ukabadiri, ili tuwai
mahakamani” alisema insp huku akiona
wazi kuwa ndoa ya bwana Kipanta
ilisha yumba asa kutokana na tabia za
mzee huyu.******
Naam mpaka Saa tano za asubuhi,
Kinta alikuwa ajafika eneo la
mahakama, hakimu aliingia
mahakamani, na kusoma shitaka
namba hiyo hiyo, linalohusu kesi ya
kuweka dawa kwenye kinywaji, na
kuiba, ambapo mshtkiwa akutakiwa
kujibu kitu sababu bado uchuunguzi,
ulikuwa unaendelea, kwa maana ya
kwamba ushidi ulikuwa auja kamilika,
hivyo kesi ika ailishwa mpaka siku saba
mbele, na Rose akaridishwa mahabusu,
na mpaka watu wanatoka pale
mahakamani, bado kipanta akuwa
ameonekana pale mahakamani.
upande wa Joyce aliona kuwa hii ndiyo
nafasi, ya kumwona Matrda, ili
wazungumze jinsi ya kumsasidia Rose,
na kumfanya atoke mahabusu mapema,
au kumaliza kesi ile, lakini alipo jaribu
kumuwai ili aongee nae juu ya swala
lile, Matrida akutaka ata kumsikiliza
Joyce, “Matrida unafahamu fika kuwa
Rose ajafanya hivyo, kwanini unataka
kumfanyia hivyo lakini” alilalamika
Joyce wakati Matrida anapanda kwenye
gari la mmoja wa rafiki zake walio
mshawishi kujipigia fedha kwa Rose,
huku baadhi ya watu wakimtazama
Joyce kwa mshangao, ukweli Joyce
alionekana akilitazama gari alilopanda
Matrida kwa macho, yaudhuni na
machungu, Joyce alilisindikiza mpaka
gari lile likaoweka kabisa, hapo watu
waliokuwepo pale walimwona Joyce
akifuta machozi, nakuanza kuondoka,
lakini akupiga hatua mbili, akashtuka
ameshikwa bega, “samahani dada
wewe ninani yake Rose?” alisikia sauti
tulivu yakike, Joyce kabla ajajibu,
akageuka na kumtazama alie uliza,
alikuwa ni mwanamke flani, ambe
ukiachilia uzuri wake, ila alionekana
kuwa mwanamke huyu, ni mtu mwenye
maisha mazuri, yule mwana mke akuwa
oeke yake alikuwa pamoja na watoto
wawili ambao walishikwa mikono na
mwanaume mmoja kwenue hasiri ya
Filipino.******
Hivi Kipanta alikuwa wapi na kwanini
akuonekana mahakani, ebu tufwatilie,
kwanza ilikung’amua, ilikuwa hivi,
baada ya kufika nyumbani kwake
Stellah, alisimamisha gari nje ya
nyumba, na kuingia chumbani kwake,
moja kwa moja akajirusha kitandani,
akihisi kuitaji kupumzika, alitamanik
kuchukuwa simu yake ampgie Pross
amwulize kama amesha fika lakini
akaona kuwa kijana huyu atakuwa bado
yupo njiani, na wakati huo akaona
macho yanaanza kuwa mazito, lakini ile
anaanza kuisi macho mazito, mala
akasikia simu ina ita, akaitazama
namba ya mpigaji, akaona kuwa ni
namba ngeni, akaipokea na kuweka
sikioni, hallow ni mwalimu stellah hapa
nani mwenzangu” aliongea mwalimu
Stellah, yani demu wa Pross, “habari za
kazi mwalimu” ilisikika sauti ya kiume
pande wa pili, “nzuri, samahani lakini
ujajitambulisha wewe ni nani” alisema
Rose, ambae aliona kuwa ni sumbufu,
“ya mimi insp wa polisi, nilisha kutafuta
sana, lakini atukufanikiwa, na
tumepishana kidogo sana, hapa
hospital, namba uje mala moja
utusaidie katika maelezo ya bwana
Kipanta” ailiongea ile sauti ya upande
wapili, “samahani we baba, maelezo ya
huyo bwana nitoe mimi, wakati
sikuwanae huko kwenye uzinzi wake?”
aliuliza Stellah kwa sauti ya mshangao,
“sawa aukuwa nae, lakini wewe sindie
mke wake?” aliuliza insp, “ebu
mwulizeni kama ana mke ambae ni
mwalimu” alisema Stellah, ikibakia
kidogo akate simu, lakini kabla aja kata
simu akasikia asauti ya insp safari hii
ikiwa tofauti kidogo, “sasa mama ni
hivi, hii ni amri, unaitajika hapa hospital
kwa mahojiano, maana wewe ndie ule
leta nguo hapa hospital na kusababisha
mshtuko kwa bwana Kipanta, na hivi
tunavyo kuambia, amerudishwa wodini,
kwa huduma za kwanza, ili kumrejesha
fahamu, “sahamani sijuwi kaka au
sijuwi mwanangu, kuna utaratibu wa
kumwita mtu kuja kutoa maelezo, ya
kipolisi, na na katika miito hiyo akuna
wito wa simu, lakini sawa ninakuja
kukueleza juu ya hizo nguo, japo nilisha
mweleza toka jana kuwa ninge mletea
leo asubuhi” alisema Stellah huku
anainuka toka kitandani na kuelekea nje
akipitia funguo mezani, “usumbufu tu
angejuwa mwenzie nilivyo choka”
alijinung’unisha Stellah, wakati anatoka
nje.*****
Pross mala baada ya kuingia kwenye
dala dala, ya kibamba mbezi, ghafla
ikamjia kumbu kumbu ya mwana dada
Rose, mwanadada ambe amewonyesha
upendo wa ghafla, na kisha kutoweka,
pasipo simu wala kuja kumtembealea
tena, japo akujuwa kama kule alikotoka
pengine ange tembelewa na Rose,
aliamini kuwa kama angekuwa anaenda
kule shambani, ange mpigia simu,
“alinidang’anya kuwa anaenda kutafuta
mfanyakazi alafu mimi nikakae kwake
anisomeshe” aliwaza Pross, ambae
ukiachilia ahadi za Rose yeye akuwa na
mpango nazo, kikubwa alitokea
kumpenda sana Rose kuliko Stellah,
ambae aliamini kuwa penzi lao lisinge
kuwa huru, na kujionyesha mbele za
watu, kama vile ambavyo wange fanya
na Rose, japo alitambuwa kuwa Rose ni
mpenzi wa boss wake, ila aikumpa
shida sababu Rose alisha jieleza kuwa
alikuwa kwa Kipanta kulipiza kisasi.
PPross aliwaza mengi juu ya Rose, na
ukimya wake, mpaka alipokuwa
anaingia mbezi stendi, ndipo
akakumbuka siku iliyopita, alimwona
mtu anae fanana na baba yake pale
mbezi, akapanga kuwa makini sana leo,
kutazama kama ange mwona, na
pengine ange jaribu kwenda kumwuliza
kama anamfahamu bwana Vitus Feruz,
lakini mpaka anaingia kwenye basi la
gongola mboto akuweza kumwona yule
mtu, na basi likaondoka kuelekea
barabara ya malamba mawili, lakini
wakiwa wanakatiza kwenye kile kidaraja
cha kwenda malamba, ndipo Pross
alipo waoana watu kadhaa wenye
madumu kama yale aliyo mwona nayo
yule mzee wajana, wakiwa wanachota
maji ya mtoni na kupandisha nayo,
barabara ya zamani, lakini alipotazama
vizuri akumwona yule alie fanana na
baba yake, Pros akapotezea mawazo
hayo, na safari ikaendelea, huku
mawazo mchanganyiko yakimjia
kichwani, kwanza juu Rose pili juu ya
mwanamama Stellah, ana pata ujasiri
wa kuvua nguo mbele yake.********
Insp alikuwa nje ya chumba cha
wagonjwa wa dharula, akionekana
kutingwa na amambo yaliyokuwa
yanaendelea, Insp alikumbuka kauri ya
bwana Kipanta kuwa “huyo mwana mke
achana nae, nitaenda kupambana nae
nikitoka mahakamani” sasa basi
kichekesho pale walipo enda kutazama
hizo nguo alizo ambiwa ameletewa, ile
kipanta kuona mabegi sita, hapo hapo
akaonekana analegea, na kosa polisi
mmoja kumdaka, basi ange jibwaga
chini vibaya sana, akiwa amesha zimia,
na wakamkimbiza kule emrgence
kwenda kupata huduma ya kwanza.
Hapo ndipo insp alipoisi kilio msibu
bwana Kipanta, ni kwamba alikuwa
amefukuzwa nyumbani kwa mke wake,
na kwamba licha ya kustaafu, huyu
bwana akuwa na pakuishi, ndipo alipo
alipo amua kumwita mke wa Kipanta, ili
ajaribu kumshawishi amsamehe huyu
bwana ambae mapaka sasa asinge
weza kwenda mahakamani….
 
SEHEMU YA THELATHINI NA SITA
STORY NA: Mbogo Edgar
ILIPOISHIA SEHEMU YA THELATHI NA
TANO: Hapo ndipo insp alipoisi kilio
msibu bwana Kipanta, ni kwamba
alikuwa amefukuzwa nyumbani kwa
mke wake, na kwamba licha ya
kustaafu, huyu bwana akuwa na
pakuishi, ndipo alipo alipo amua
kumwita mke wa Kipanta, ili ajaribu
kumshawishi amsamehe huyu bwana,
ambae mapaka sasa asinge weza
kwenda mahakamani…. endelea …..
Kutokana na kupoteza fahamu, na
Stellah akuwa mkaidi, maana muda
mfupi, baadae alikutana na insp, ambae
kwanza alipo mwona ana shuka toka
kwenye gari, macho yaka mtoka, “ebu
chek mzigo huo” alisema insp
akimweleza askari mmoja aliekuwa
jirani yake, bila kujuwa kuwa huyo ndie
mwanamke ambae Kipanta alimkimbia,
“kweli hicho ni kitu, yani kime kamilika
kila idara” alijibu yule askari, huku wote
wakimtazama Stellah, ambae alikuwa
anaelekea kwenye kibanda cha walinzi
wa suma JKT, “yani kuanzia sura
mpaka mwili” alisema Insp ambae kwa
mtazamo wa haraka, unge juwa kuwa ni
kweli huyu jamaa amekolea kwa
matamanio, juu ya mwana mama
Stellah, “unajuwa nini afande, yani hapa
hospital kuna muzigo ya maana ,
unaweza kusahau kama umekuja
kutibiwa” walizidi kuongea askari awa
wawili, huku wakimtazama yule mwana
dada mwenye umbo la ahajbu, na
kuvutia, akiongea na wale askari walinzi
wa kampuni ya suma JKT.
Lakini kadili maongezi yalivyo kuwa
yana endelea, ndipo walipoona mlinzi
mmoja anawaonyeshea kidole, nikama
alikuwa anamwambia yule mwanamke
kuwa, aende pale walipo kuwepo wao,
“oya nimekumbuka” alisema insp, huku
akipunguza sauti, na kukwepesha
macho, kumtazama yule mwana mke,
ambae sasa alikuwa anakuja upande
wao, “vipi tena afande unamfahamu ?”
aliuliza yule askari, huku na yeye
akikwepesha macho, na kumtazama
yule mwanamke kwa macho ya kuibia,
“atakuwa ndie mke wa huyu jamaa,
anaitwa mwalimu Stellah wowo”
alisema insp, kwa sauti ya chini kabisa,
kisha wakatulia na kumtazama mama
huyu, ambae sasa alikuwa amesha
wakaribia.
“habari, za leo kaka yangu” alisalimia
Stellah, akimtazama insp, “salama
kabisa dada yangu, nikusaidie” alisema
insp kama vile amjuwi wala kumhisi
mama yule, “labda nikusaidie wewe
kaka yangu, maana ndie ulie niita”
alijibu Stellah lakini kwa namna flani ya
utani, insp akajifanya kushangaa kwa
kuwatazama wenzake, “ok! kaka yangu
kwakifupi mimi ndie mzazi mwenzie wa
Kipanta, ambae ulinipigia simu muda
mfupi ulio pita” alisema Stellah, na hapo
insp na wenzake ndio wakajifanya
kumwelewa mama huyu, “hooo! kumbe
shemeji, afadhari umefika, maana wewe
pekee ndie mwenye uwezo
wakumkumsaidia mume wako” alisema
insp kwa sauti iliyo jaa urafiki,
“sahamani kaka mimi siyo mke wa
Kipanta, nazani mme weza kujionea
wenyewe, aina ya maisha yake, alisha
kimbia yumbani kwangu siku nyingi, na
mpaka aya yanamkuta, akuwa
nyumbani kwangu” alisema Stellah, kwa
sauti ambayo aikuwa na na dalili ya
utani ata kidogo, “lakini Shemeji, kuna
wakati wa kukwaluzana, na kuna wakati
wa kusameheana ili maisha yaendeelee,
ukuchukulia umesha sema yeye ni
mzazi mwenzio” alisema insp kwa sauti
ya kushawishi, “kaka naomba
nikushauri kitu kimoja, usije ukayafanya
ya kuyafanya ukitegemea kusamehewa
kisa ume zaa na mwanamke flani, ebu
ona toka darasa la kwanza, mimi nime
kuwa nikiwalea wanangu, mpaka sasa
wapo secondary, nime kaa na
mwanamke zaidi ya miaka ishilini, aja
nisaidia kwa lolote nime jenga
mwenyewe nime somesha mwenyewe,
pengine kuna wakati mimi ndie
nililazimika kumnunulia nguo, ambazo
zilimpendezesha, na kumfanya azidi
kutongoza wanamwake” alisema
Stellah, lakini bado insp alionyesha
kuwa na nia ya kumshawishi Stellah,
amsamehe bwana Kipanta, “lakini
Shemeji, mmekoseana mala ngapi na
mkasameheana, ishindikane leo, ebu
rudisha moyo nyuma shemeji, mwenzio
yupo katika wakati mgumu” alisema
Insp, huku yeye na wenzie, wakitumia
macho ya wizi, kuutazama mwili wa
mwana dada huyu, ambae kila
alipoongea maziwa yake yali tikisika
kifuani pake, na kuleta picha moja nzuri
sana, yakupendeza machoni pao, “kaka
labda nikusimulie habari za huyu
bwana, ambae na uhakika, ndie
angekuwa shemeji yako, usinge ruhusu
dada yako arudiane nae” alisema
Stellah na kuanza kumsimulia insp kila
kitu, toka maisha ya o yalipo anza huko
Tabora, baada ya kumpatia ujauzito, na
jinsi aliyo safiri kwenda Sudan kwenye
ulinzi wa amani, na kurudi na fedha
nyingi, ambazo alizimalizia kwa
kumjengea hawara nyumba, huku
akimfumania kila leo, pia alivyo toweka
nyumbani baada ya kupata fedha zake
za kustaafia, akidai anakwenda kutafuta
biashara ya kufanya, na jinsi alivyopata
habari kuwa yupo mbezi, na yeye
kumwata kisha kumfukuza kama mbwa,
na ata alipo kamatwa na polisi na yeye
kwenda kumtoa, kisha akaondoka na
mwanamke mwingine, huku yeye
akionekana siyo lolote, “sasa leo
amekutwa na ayo yaliyo mkuta mimi
ndio niwe wa kuokota mizoga, hapana
kwailo aende ata kwenye vyombo ya
sheria, kwangu akanyagi, akaishi aliko
jenga” alisema Stellah ambae
akuonyesha dalili ya kurudisha moyo
wake nyuma.
Naam kwa simulizi hiyo, hakika ata insp
na askari wake walishusha pumzi
ndefu, zilizo ashilia kuwa ile ni ngoma
nzito, na awakuwa na ushwishi
mwingine kwa mwana mama huyu,
ambae walimluhusu, aondoke zake,
wakiwa awana la kufanya.*******
Baada ya Joyce kujitambulisha kuwa ni
rafiki wa Rose, pale alipoulizwa na
Adellah dada yake Rose, basi Adellah na
mume wake wakaondoka na Joyce na
kwenda kukaa nae sehemu ili awaeleze
jinsi mkasa mzima ulivyo kuwa,
waliongozana mpaka kwenye bar moja
ya jirani, na kukaa wakiagiza soda,
kisha Joyce akanza kusimulia, toka
alivyo ufahamu urafiki wa Rose na
Kipanta ambae ni mume wa mtu,
akieleza kila kitu, kuanzia kujengewa
nyumba na kufunguliwa saloon na
maduka, pia kununuliwa shamba, Joyce
alisimulia, na kueleza jinsi, Rose alivyo
kuwa anauchukulia uhusiano ule kama
kumkomoa, Kipanta, kiasi cha yeye na
Matrida kumshangaa, pia alieleza jinsi
alivyo mweleza kuwa “yeye akuwa na
wasi wasi juu ya Matrida kutembea na
Kipanta, ila alitaka kwanza akamilishe
mpango wake, ndipo aachane nae”
alieleza Joyce, na akihisi kuwa huyu
dada na huyu mzungu, (mfilipino)
wanaweza kuwa msaada kwa Rose,
ambae yeye kama yeye aliamini kuwa
Rose akufanya kiu kama hicho, “ok!
mimi ni dada yake Rose, naomba
twende kwa yule Matrida tukaongee
nae” alisema Adellah, na kumshangaza
kidogo Joyce, ambae alichukuwa
jukumu la kuwapeleka kwa
Matarida.******
Baada ya kutoka hospital, na kupitia
sokoni kununua baadhi ya vitu vya
kupika, Stellah akaona aitokuwa vyema
kama asipo pigia mwalimu mwenzie
ambae mala kwa mala uwa
anawasiliana nae na kumpa habari za
mume wake au kushauriana juu ya
maisha yake ya kila siku, huyu ni
mwalimu Celine, ukweli alifanikiwa
kumpata na kumpa ukweli wa tukio, na
pia alimweleza kuwa uhamuzi alio
uchukuwa ni kuachana na bwana
Kipanta, “na kweli wangu, yani utazani
kwenu uli uwa sasa uoanaogopa kurudi,
watashindwa kukupokea” alisema
mwalimu Celine, akikonyesha kuwa
amelizishwa na maamuzi ya mwalimu
mwenzie, ambae mala kwa mala
alikuwa anamsimulia matatizo yake,
ndio hivyo wangu nimesha mpelekea
kila kitu chake, huko huko hospital, eti
akajifanya kuzimia” hapo wakacheka
sana, “sasa mimi nipo kwa mwalimu
suzie tuna kuja kukupa hongera yako,
siutakuwa nyumbani?” alisema
mwalimu Celine, akioyesha kuwa
mwenye furaha kubwa, “niende wapi
tena, wangu, nitakuwa nyumbani
naandaa chakula maana jioni natarajia
ugeni” alisema Stellah, akimalizia kwa
kicheko flani cha kujishtukia, “mh! huo
ugeni jamani, au tayari umeshaziba
pengo?” ilo swali Stellah aklijibu, zaidi
ya wote kucheka, kabla awajaagana, na
kukakata simu.
Nikweli Stellah alikuwa amesha ziba
pengo, na chakula alicho anza kupika ni
kwaajili ya kijana Pross, kijana ambae
amemfanya aione radha ya mapenzi,
yani radha harisi ya dudu.******
Naam baada ya kugonga kisiki kwa
Stellah, insp aliacha bwana Kipanta
anaendelea kupata matibabu, yeye
akaelekea Luguruni bar, ambako
alikutana na Manager, alie mkaribisha
kwenye ofisi yake kisha akaitwa mwana
dada Sinder, ambae baada yakuingia
ofisini tu! na kumwona insp alishtuka
vibaya sana, “mh! wamekuja tena, au
wamesha nishtukia?” alijiuliza Sinder
kimoyo moyo, lakini alijitaidi kujikaza ili
wasi wasi wake usionekane machoni pa
insp, “habari yako, dada dada”
alisalimia insp, huku ana mkazia macho
Sinder ambae hapa kazini kwake
walikuwa wana mtambua kama Janeth,
“salama tu kaka yangu” alijibu Sinder
akijikaza asionyeshe wasi wasi wake,
juu ya ujio wa insp, pale kazini kwao,
“unaitwa nani?” aliuliza insp ambae
alikuwa ameshikilia kalamu na kile
kinote book chake kikiwa mezani, tayari
kuandika mahojiano yake na Sinder,
“naitwa Sin…. naitwa Janeth Martin”
alijibu Sinder ambae ilibakia kidogo
ataje jina harisi, na insp aliona
ubabaikaji wa mschana huyu,
akaachakuandika jina na kumtazama
usoni, kwa macho makali, “binti, siitaji
ubabaishaji, naitaji majina yako harisi,
na siyo majina uliyo jibatiza hapa mjini”
alisema insp kwa sauti ya ukari, uku
amemtolea macho, hapoSinder akajuwa
kuwa tayari mambo yamekuwa
makubwa, “sawa naitwa Sinder Naiso”
alijibu Sinder kwa sauti ya uoga, hapo
insp akaandika kwenye note book, alafu
akamtazama tena Sinder, “wewe ndie
mhudumu pekee ulie wahudumia, wale
wateja waliowekewa dawa kwenye
kinywaji, mpaka wanaingia chumbani,
ambako asubuhi walikutwa wame
poteza fahamu, nikweli au siyo kweli?”
aliuliza insp kwa sauti kavu, uku
akimkazia macho Sinder alie onekana
wazi kuingiwa na uoga wa hali ya juu,
“ndyo ni mimi, ila sijuwi kama
waliendelea kuagiza vinywaji vingine
mimi nilipoondoka” alijibu Sinder, kwa
sauti iliyo jaa wasi wasi, “sikia dada
yangu, ubabaishaji unaweza kukuingiza
kwenye matatizo, hivyo naomba
unieleze jinsi ilivyo kuwa siku ya tukio”
alisema insp na kutulia kusubiri simulizi.
Naam hapo ndipo Sinder alipokuwa
anapasubiri, maana alitumia uwezo
wake wote kuitengeneza simulizi yake,
ili kujiodoa kwenye msala huu, ambapo
alieleza kuwa yeye aliwapokea saa tano
asubuhi na kuanza kuwahudumia
mpaka saa mbili usiku, maana
walikuwa wanakunywa kwa billy, na
walipo mlipa yeye akaondoka zake,
huku akipishana na mschana falani
akiingia kwenye chumba kile akizania
kuwa wanafahamiana nae,
“unakumbuka yupoje huyo na alivaaje
huyo mschana?” aliuliza insp, huku
akimtazama Sinder usoni, hapo sinder
haraka akavuta kumbukumbu za picha
alio ziona mtandaoni zinazo
mwonyesha mwana mke mrembo,
mfanyakazi wa benk, alie wawekea
dawa za kulevya wakina Kipanta, “ndiyo
nakumbuka yupoje, ni mzuri mzuri hivi,
alivaa shai jeupe, na suruali nyeusi,
alashingoni, alikuwa amevaa kama
kitambaa hivi cha rangi rangi” ilibakia
kidogo insp acheke, maana maelezo ya
Sinder, ni kwamba Rose alikuwa
amevaa sale za benk, na siku hiyo
ilikuwa ni siku ya chrissmas, “una
uhakika Sinder?” aliuliza insp akiwa
amezuwia kicheko chake, “ndiyo” alijibu
Sinder kwa sauti ya uoga, hapo insp
alitulia kidogo kama vile anatafakari
jambo kisha aka mtazama Sinder, “ok!
mtuhumiwa amesha kamatwa, tuna
kupongeza sana kwa kuwa wewe ndie
wakwanza kutoa taharifa juu ya
uonekanaji wa mwanamke huyu”
alisema insp kabla ajaaga na kuondoka
zake, hapo Sinder alishushapumzi ndefu
na kuachia tabasamu, “yani liliogopa,
nilijuwa tayari wamesha nishukia”
aliwaza Sinder huku anaelekea sehemu
yake ya kazi.*******
Saa tisa ndio muda ambao Adellah
alikutana na mdogo wake Rose, kwanza
walipokeana kwa kilio, na ata maongezi
yao yali ambatana na kilio, cha chini
chini, licha ya kutawaliwa na lawama
nyingi sana, toka kwa Adellah, kwenda
kwa Rose, na Rose kujitaidi kujieleza,
lakini mwisho wa siku Adellah akatulia,
na kumsikiliza mdogo wake, ambae
alimsimulia kila kitu, na mpango wake
wa kulipiza kisasi ulio feli mwishoni,
“usijari mdogo wangu, nitapambana
kwa hali na mali mpaka ushinde hii
kesi” alisema Adellah ambae alifikia
kwenye hotel moja kubwa sana pamoja
na familia yake, na alipomaliza kuongea
na na mdogo wake ambae kiukweli ali
yake ilimuumiza sana, sababu
alishaanza kudhoofika kutokana na
kuka kule mahabusu, alianza kufanya
mipango ya kumtoa mdogo wake kwa
dhamana, mpango ambao mpaka saa
kumi za jioni ulikuwa auja fanikiwa,
maana aliambiwa kuwa swala la
dhamana lina usiana na mahakama,
sababu tayari kesi yake ilitinga
mahakamani, hapo ukabakia mpango
wakuongea mschan Matrida.*****
Mida hiyo ndiyo mida ambayo Kipanta
alikuwa amesha luhusiwa kuondoka
pale hospital, ni baada ya kurejewa na
fahamu zake, ukweli akuwa na uwezo
ata wakubeba mabegi yake, kutokana
na kuwa mengi alafu mengine
makubwa, hivyo alichoamua nikuomba
kwa wale walinzi wa suma JKT,
wamuifadhie mabegi yake matano, huku
yeye akichagua moja dogo, ambalo
aliweka nguo na vitu muhimu, kama vile
miswaki, hapo ndipo unapo patapicha
kuwa Stellah alimpelekea kila kitu
ambacho Kipanta alisahau kwake, na
bahati ilikuwa upande wa Kipanta,
ambae alikuta fungo moja kati ya mbili
za gari, aliyo iacha nyumbani kwa mke
wake, huku moja ikiwa nyumbani kwa
Rose mwanamke alie pania kumfilisi,
kila alicho mpatia.
Kipanta angeenda wapi unazania, moja
kwa moja Kipanta alikaiza kwenye eneo
la stendi ya daladala ya hapa muhimbili
ya mloga nzila, na kuelekea mtaa wa
kaza moyo, akitumia njia za mkato,
ambapo alitembea kilomita kama nne,
huku njiani akipishana na watu, ambao
ata walipo msalimia, aliona kama wana
msanifu, kutokana na kujishuku kwa
yale aliyo yafanya, hivyo aliendelea
kutembea huku akijishiku, mpaka
kutokea mbele ya nyumba ambayo hapo
mwanzo alikuwa anajuwa kuwa ni
nyumba yake, lakini baada ya kumkuta
yaliyo mkuta, ndio ametambua kuwa ile
nyumba alijenga mke wake, pasipo yeye
kuchangia ata shilingi mia mbovu,
Kipanta aalipofika alikuta gari la mke
wake ambalo nalo licha ya yeye
kulitumia kwa miaka kazaa kabla
ajanunua la kwake, pia lilikuwa ni la
mke wake na akuchangia ata shilingi,
zaidi ya kuliaribu, na kumwachia likiwa
hoi hae, lakini Gari ilo lilimaanisha kuwa
mke wake huyo yupo ndani, na kingine
kilicho mfanya aamini kuwa mke wake
alikuwa ndani ni mlango wa nyumba
kuwa wazi, hapo kwa hesabu za haraka
haraka, Kipanta akaona bola azame
ndani, haraka, ili akamalizane na mke
wake, huko huko, akutaka chochote
kitokee huku amajirani wakishuhudia.
Haraka Kipanta aliingia ndani ambapo
alikaribishwa na harufu nzuri ya vyakula,
ambayo ilikuwa inatokea jikoni, na ata
alipotazama mle ndani asa kwenye
meza ya chakula, Kipanta aliweza kuona
hot port kadhaa za vyakula zikiwa zime
andaliwa, kwahiyo ukiachia chakula
kinacho andaliwa jikoni, pia kingine
kilikuwa mezani, hiyo ilionyesha kuwa
kama siyo ugeni flani ulikuwa
unatarajiwa, basi sikukuu ilikuwa
inaendelea, ukiachilia mambo ya
chakula pia sebule ilikuwa imetulia safi
kabisa, yani ime wekwa katika mkao wa
usafi wa maana, ikionyesha wazi pale
nyumba kuna mambo mawili, kwanza
akukuwa na watoto, ambao sasa
wamesha funga shule, pia kuna mgeni
lazima alikuwa anatarajiwa kuja pale
nyumbani, “samahani umeingiaje bila
hodi?” alishtuliwa Kipanta naswali toka
kwa mke mke wake, hapo Kipanta
aligeuka na kumtazama mke wake, alie
shikilia hot port ya chakula mkononi,
“acha utani basin a wewe nipige hodi
ata nyumbani kwangu?” aliongea
Kipanta huku akijichekesha, lakini ndio
kwanza mke wake alikunja sura,
akionyesha ataki mazowea, “we!we!we!
ishia hapo, nyumbani kwako wapi?”
aliuliza Stellah, kwa sauti ya juu
ambayo ungesema ina mshangao ndani
yake, huku anaweka hot port mezani,
“lakini mke mke wang…” alitaka
kubembeleza Kipanta, lakini akadakwa
juu kwa juu, “hivi we mwanaume ume
kwama wapi kukumbuka mke wako,
mpaka unaniita mimi mke wako, ok!
labda nikusikilize shida yako, pengine
kuna kitu umekisahau humu ndani, ila
nacho kijuwa mimi, kila kitu nime
lu;etea kule hospital mpaka funguo ya
gari lako” alisema Stellah, huku wote
wakiwa wamsimama kwa kuachiana
mita chache, kipanta akiwa na begi lake
dogo, hapoKipanta akaona kuwa
akizubaa, anaweza kuzalilika, hivyo
akaaamua kujikaza kiume, “hivi,
unajuwa mimi sikuelewi, we
mwanamke, kwanza umenizalilisha pale
hospital, alafu una jaribu kunifukuza
nyumbani kwangu, unazani mimi
mpumbavu kiasi hicho?, kwanza ngoja
nikaweke begi chumbani” aliongea
Kipanta akijaribu kuweka sauti ya kiume
ili asijilegeze mbele ya mke wake, huku
anataka kupiga hatua kuelekea
chumbani, lakini aka dakwa mkono,
“subiri kwanza, Kipanta, unaenda
kwenye chumba cha nani?, kufanya
nini?, kama kuzalilika ulisha jizalilisha
mwenyewe kweye mitandao” alisema
Stellah, kwasauti kavu ambayo aikuwa
na chembe ya utani wala
kubebembeleza, “ebu acha upuuzi, we
mwanamke, huu siyo muda wa utani,
unajuwa kama hali yangu siyo nzuri?”
aliuliza Kipanta huku akijipapatua
mkono toka kwenye mkoni wa Stellah,
na kutaka kuelekea chumbani
akadakwa tena, “kumbe unajuwa kuwa
huu siyo muda wautani, basi nakuomba
utoke nje, uende uliko jenga na
kufungua maduka” alisema Stellah,
namaneno ayo yakaonyesha wakati huo
huo, Kipanta akaliachia begin a
kumkwida stellah, ile anaandaa ngumu,
ili amtandike Stellah usoni, kama alivyo
zowea, mala akasikia, “jamani
mnatukaribisha na ugomvi tena”
ilisikika sauti ya ukari ya kike, toka
mlangoni, na walipo tazamana
walimwona mwalimu Celine akiingia
mle ndani, akiongozana na mwalinu
Suzie, wote wame kunja sura zao kwa
hasira na mshangao hapo ndipo
mwalimu Stellah alipo bahatika
kuchomoka mikononi mwa Kipanta, na
kusogea pembeni, “bahati yako
mshanzi wewe, uwezi kunikosea adabu
kiasi hicho” alisema Kipanta kwa sauti
iliyo jaa ghazab, “nime kukosea adabu,
au ume jikosea mwenyewe, mimi nime
kuambia uende uliko jenga, kwani ndio
kukukosea” alisema Stellah, kwa sauti
ya kupayuka, hapo Kipanta
akachomoka tena kumfwata Stellah,
“ebulia kidogo baba nani, kwani anacho
sema mwalimu Stellah, ni uongo, wewe
si ume mkimbia na kwenda kukajengea
kale kabinti nyumba sasa una kasirika
nini?” alisema mwalimu Suzie, kwa
sauti ya kupayuka pia, akionyesha
kuchukizwa na kukasirishwa kama
mwalimu Celine, “kwani huyu amefwata
nini kwako, yani upuuzi wote huo
alioufanya bado una mruhusu aingie
kwako, hakika mimininge mng’oa
pumb..” alisema Celine kwa hasira,
“kusikia hivyo mwana jeshi mstaafu
akasitisha zoezi la kumfwata Stellah, na
kuwatazama wanawake awa walio ingia
humu ndani, kwamacho ya hasira, “kwa
hiyo, ndiyo kusema nini, kewani
mmefwata nini hapa?” aliuliza Kipanta
kwa sauti iliyo jaa hasira, “unatuuliza
kamanani, kwani hapa ni kwako,
muulize mwenye nyumba, wewe si
uliona bora kuwajengea malaya”
alisema mwalimu Suzie, ambae
alionekana kuwa akuwa na subira ata
kidogo, kutokana na ujinga alio ufanya
Kipanta, maneno hayo yalimchukiza
Kipanta, ambae alipiga hatua za haraka
kuwa fwata wanawake awa wawili,
ambao walipoona vile walikimbilia
upande wajikoni, wakiongozana na
Stellah, mwenyeji wao, Kipanta akiwa
amejaa hasira, aliamua kuwafwata kula
kule jikoni.
Lakini kabla ajaufikia mlango wa jikoni,
akajikuta anasimama mlango
ghafla……….….
 
  • Thanks
Reactions: ADK
SEHEMU YA THELATHINI NA SABA
STORY NA: Mbogo Edgar
ILIPOISHIA SEHEMU YA THELATHI NA
SITA: “unatuuliza kamanani, kwani hapa
ni kwako, muulize mwenye nyumba,
wewe si uliona bora kuwajengea
malaya” alisema mwalimu Suzie,
ambae alionekana kuwa akuwa na
subira ata kidogo, kutokana na ujinga
alio ufanya Kipanta, maneno hayo
yalimchukiza Kipanta, ambae alipiga
hatua za haraka kuwa fwata wanawake
awa wawili, ambao walipoona vile
walikimbilia upande wajikoni,
wakiongozana na Stellah, mwenyeji
wao, Kipanta akiwa amejaa hasira,
aliamua kuwafwata kula kule
jikoni.Lakini kabla ajaufikia mlango wa
jikoni, akajikuta anasimama ghafla………
endelea …..
Ni mala baada ya kusikia vurugu ya vitu
vikigongana gongana huko jikoni, na ile
kutazama vizuri, akawaona
wanawanawake wale watatu, wakiibuka
kwenye mlango wa jikoni, huku kila
mmoja ameshika kitu ambacho
kingeweza kutumika kama silaha, na
kumjeluhi vibaya, kama siyo kumuuwa,
maana wakati Stellah mwenyewe akiwa
ameshika kibao cha nazi, huku Celine
Suzie mwenye hasira kupita wenzie,
alikuwa ameshika mwichi wakutwangia
kwenye kinu, Celine yeye alikuwa
ameshika kisu flani kikubwa , ungesema
nusu panga, walikuwa wanamjia kwa
kasi, wakionyesha kuwa awakuwa na
msamaha kwake.
Hapo Kipanta akusubiri, filimbi wala ile
bastora ya kuashiria mwanzo wa mbio,
fupi za mita mia moja, au mia mia nne,
aligeuka na kukimbia kwa speed ya
mwizi, kuufwata mlango wa kutokea nje,
pale sebuleni, huku bado wale wakina
mama wakimwata kwa speed, ata pale
nje Kipanta akusimama, alikimbia kwa
umbali wa mita hamsini, ndipo
alipogeuka na kutazama, “mshenzi
wewe, si unajifanya kidume, njoo sasa,
unakimbia nini?” yalisikika maneno ya
kina Stellah, ambao walipoona
ameenda mbali kidogo walisimama.
Kiapnta akabakia anathema juu juu,
huku akiwatazama, wale wanawake,
hofu ime mtanda, macho yame mtoka,
akuamini kama kweli huyu ndie yule
Stellah, mnyonge wake, sehemu yake
ya dharula, mwanamke ambae, upole
wake ulikuwa ni zaidi urofa, maana
kuna wakati Kipanta alipo wasimulia
rafiki zake, juu ya matukio aliyo kuwa
anayafanya, juu ya mwanamke huyu,
walimweleza kuwa ametumia dawa za
jadi, kumpumbaza, mfano kuna siku
walikuwa wanaongelea jinsi wanavyo
maliza kesi zao na wake zao, “mimi
bwana mke wangu, atakama nime
mkosea vipi, nikimnunulia chupi,
nyekundu au nyeupe, hapo ata mzigo
atatoa, muda huo huo” alisema mmoja
wao, “mh! mwanangu mimi lazima
kwanza simu ipigwe kwa wazee, hapo
ata kama sija semwa lolote, yeye roho
yake inatulia kabisa” alisema mwingine,
hapo Kipanta akacheka kidogo, kabla ya
kuelezea yeye anavyo tafuta suluhu,
katika kesi zake na mke wake, “nyie
mnabembeleza sana, unajuwa wife juzi
alinifumania, nika mkunjia sura, alafu
nikamweleza twende home tuka
yaongee, hapo bado nime kunja sura”
anaeleza kipanta, huku wenzie
wakimsikiliza kwa umakini, “na
tulipofika home nika mlia bati, huku uso
wambuzi, mida ya chakula cha jioni
sasa, ile anakuja, kunikaribisha chakula,
akapiga magoti mbele yangu, alafu
akaanza kwakuniomba msamaha”
alisema Kipanta, na wenzake
wakashangaa, “yani anakuomba
msamaha wewe na siyo wewe uombe
msamaha?” aliuliza mmoja wao,
“sasaje?, tena kwa unyenyekevu
mkubwa” alisema Kipanta kwa majisifu,
“sasa na wewe una mwambiaje hapo?”
aliuliza mwenzie, huku wote
wakionyesha mshangao, “nikamweleza
kuwa nimeshakusamehe, lakini usirudie
tena, huku bado nime kunja sura uso
wambuzi kweli kweli” alisema Kipanta
kwa majisifu ya kishujaa, wenzie
wakastaajabu, “kaka siyo bule, kuna
kitu memfanyia” alisema mmoja wao.
Lakini Leo, Kipanta anamwona yule yule
Stellah, aliekuwa anamwomba
msamaha, ata kwa kosa lake yeye
mwenyewe, akisaidiana na wenzake
kumtimua pale nyumbani, na watu
walishaanza kujaa eneo lile, kama
ujuwavyo, kelele za huyo huyo, zilisha
anza kusikika, Kipanta akaofia
kuonekana mbele ya watoto wake, hivyo
akaamua kuondoka zake, na kabla
ajaanza kuondoka, akamwona Stellah,
anaingia ndani haraka na kutoka na
begi lake dogo, alilotokanalo hospital,
kisha akamrushia, “kawasalimie, wanao
juwa mapenzi, na watoto usije kuwaona
apa nyumbani, watakuja kukutembelea”
alisema Stellah, wakati Kipanta
anaokota begi lake, huku anashangiliwa
na watu, mshangilio wa kuzomewa,
Kipanta aka chukuwa begi lake na
kutokomea mitaani, huku akiiona dunia
ina mwelemea, lakini akuacha kujipa
moyo, “we! ngoja tu! nikisha mfilisi
Rose, ata jileta mwenyewe” aliwaza
Kipanta huku anaendelea na safari
yake.
Huku nyuma wakina Stellah, walirudi
ndani na kuagiza wine kwaajili ya
kujipongeza, na kumpongeza Stellah,
kwa kujitoa kifungoni.*******
Naam Matrida tayari alisha pewa RB,
toka kituo cha polisi, kwa upotevu wa
vitamurisho vyake na simu, na akiwa na
wenzake, walimpeleka kwenye ku renew
line zake za simu, huku akikagua na
kukuta kuna kiasi cha million mbili
kwenye simu, kama alivyo tumiwa na na
bwana Kipanta, ambae alimwacha
hospital akiwa amekosa fedha ya
kulipia matibabu.
Baada ya hapo saa kumi ndip mmuda
ambao aliingia nyumbani kwake, akiwa
na wenzake, wakifikia kuanza kupata
wine kama kusherehekea mafanikio
yajayo, ambapo walikuwa na uhakika
wa kujivunia fedha toka kwa Rose, huku
wenzie wakimsifia kwa kitendo chake
cha kuto kumsikiliza Joyce, “na
ukimsikiliza tu umekufa masikini ndugu
yangu” aliongea mmoja wao, huku
mwingine akiongeza, “tena Rose
mwenyewe amekudhalilisha mtandaoni,
nani alimwambia hawara ana
mufamuniwa, yeye mwenyewe mwizi”
alisema mwingine na wote wakacheka
kwa pamoja, kabla awaajakatishwa
kicheko kwa kusikia hodi kwenye
mlango, wote wakatulia ili kusikia na
kuhakikisha kama walicho sikia ni
mlango ulikuwa una gongwa au wenge
lao.
Nikweli wakasikia tena mlango
ukigongwa huku sauti ya kike ikifwatia
“hodi wenyewe” wote wakatazamana,
kama vile wanaulizana ni nani alikuwa
anagonga mlango, wote waliofia asije
kuwa ni Joyce alie onyesha nia ya
kumsaidia Rose na kuwakosesha fedha,
nakabla awajapata jibu, wakasikia tena
hodi, “hodi wenyewe” hapo walitambua
kuwa hiyo sauti aikuwa ya Joyce, ndio
mmoja wao, alipoinuka haraka na
kuelekea mlangoni akafungua.
Naam ile kutazama nje akaona kuna
watu kama watano hivi, na alie
mtambua ni mmoja tu, yani Joyce,
wengine walikuwa ni mdada mmoja alie
onekana kuwa mwenye maisha mazuri,
kwa uvaaji wake na ung’aavu wa ngozi
ya mwili wake, pia aliweza kumwona
mtu mmoja mwenye umri wa ujana
unao elekea utu uzima, mwenye hasiri
ya watu wa ufilipino, akiwa amewasika
mikono watoto wawili, na kingine kilicho
mfanya aone kuwa watu awa walio
ongozana na Joyce ni mwenye maisha
mazuri, gari lililo kuwepo nyuma yao, ni
aina ya BMW new model, ya campuni
flani ya kukodisha, japo yeye
akulitambua ilo, “Joy ume fwata nini
huku?” alijikuta ameuliza swali ambalo
akutarajia, likiambatana na sauti ya
mshangao, wa hasira na chuki, “kwani
wewe ni kwako hapa, unaniuliza kama
nani, awa ni wageni wa Mart ebu
tupishe tuingie” alisema Joyce
akionyesha kukasirika zaidi ya
mwanamke huyu, wa hapa mlangoni,
huku ana pita kwa nguvu pale mlangoni,
na kumfanya huyu, mwana mke asigoo
pembeni, kisha Adellah akafwatia na
mume wake alibakia nje na watoto.
Matrida na wenzake mle ndani
wakashikwa na mshangao na mshtuko
kidogo, kwanza walizania pengine Joyce
alileta kama siyo polisi, basi ni
mwanasheria, hivyo wakamtazama kwa
macho ya hasira na Chuki, “habari zenu
jamani” alisalimia Adellah, baada
yakuona awawengine wanatazama
kama vile wapo vitani nzuri, sijuwi
tuwasaidie nini?” aliuliza mpambe
mwingine, na siyo Matrida mwenyewe,
mpaka hapo Joyce akajuwa kuwa
ushawishi mkubwa wa Matrida
kumwangamiza Rose, unatoka kwa
wanawake awa ambao anawafahamu
vizuri kabisa, sababu wanafanya kazi
wote pale benk, “Mart huyu ni dada yake
Rose amekuja kuongea na wewe
kuhusu Rose, je unaweza kutoka kidogo
tukaongee sehemu” alisema Joyce kwa
sauti tulivu, huku yeye na Adellah,
wakimkazia macho Matrida,
wakamwona anawatazama wenzake,
ambao walimminyia jicho kumweleza
akatae, “hapana siwezi kutoka, bado
najisikia vibaya, kutembea mitaani kwa
mambo yaliyo tokea” alijibu Jocyce
hapo Adellah akatazama mezani,
ambapo palitapakaa vyupa vya pombe,
kisha akamtazama tena Matrida, “ok!
siyo mbaya tukiongea hapa hapa”
alisema Adellah, kwa sauti ya upole na
tulivu, hapo mmoja kati ya wale
waschana wakadakia, “dada mimi
naona we umwache Mart apumzike,
kwanza alicho fanyiwa na mdogo wako
siyo kizuri kabisa,kime mhathiri
kisaikolojia, alafu isitoshe kesi ipo
mahakamani, ameambiwa aluhusiwi
kuiongelea pembeni” alisema yule
mwanamke kwa sauti flani ya
kusimanga, huku akitazama pembeni
na kubetua midomo, hapo Adellah aka
mtazama Joyce ambae pia alikuwa
anamtazama Adellah, kwa macho ya
mshangao, kabla Adellah aja mtazama
yule mschana mwongeaji, na
kumwambia “lakini akuna mahakama
inazuwia kuongea jambo kama ili
pembeni, isitoshe sisi atuja fika kuingilia
mambo ya kimahakama, ila tunaitaji
kufahamu mambo machache juu ya
kilichotokea” alisema Adellah kwa sauti
ya upole, lakini Matrida akujibu kitu,
zaidi ya kutulia akitazama chini, “lakini
nimesha waambia Mart ajisikii
kuzungumzia swala hilo, mbona
amuelewi?” alsema yule mschana kwa
sauti ya juu, “mbona wewe una kimbele
mbele, au ndio ulio wafanyia hivyo alafu
una mshawishi amtaje Rose, sisi tuna
taka kujuwa kama kweli Rose
aliwafwata hapo Guest, na
aliwawekeaje, wekeaje hiyo dawa”
alisema Joyce kwa ukali, hapo nikama
alihamsha masehetani ya wale
waschana, maana nao walianza
kuongea kwa pamoja, “we mpuuzi nini,
nani afanye ujinga kama huo, tena kwa
rafiki yake” alisema wakwanza, na
wapili akadakia, “eti kisa mwaume”
hapo wakaangua kicheko cha kisngingi,
“usikose ata wewe ulikuwa nae wakati
anaweka dawa” alisema mwingine, na
yule wa kwanza akaongezea, “na ukizidi
kujifanya kimbele mbele na wewe
unatajwa” waschana awa waliongea
kwa dakika nzima wakimshambulia
Joyce, huku Adellah na Matrida,
wakisikiliza bila kuongea kitu, “jamani
yasiwe makubwa, tunaomba tuondoke
zetu tuwaache” alisema Adellah, baada
ya kuona kuwa wale waschana wanao
kunywa pombe, huku anainuka na
akifwatiwa na Joyce, ambae pia
alisimama, tayari kwa kuondoka,
“nendeni kwani tulmewaita hapa?”
aliuliza mmoja wao kwa kwejeli, huku
wakimtazama Adellah aliekuwa
anafungua pochi yake ya mkononi, na
kutoa card, “Matrida mdogo wangu,
naimani kuna jambo ambalo lime
fichika, chukuwa hii card ina namba
zangu za simu, ukitulia nipigie” alisema
Adellah, huku anampatia card Matrida,
lakini mmoja wao ali kuwa karibu
akawai kuchukuwa mkononi kwa
Adellah, “dada nikuambie ukweli akuna
cha kupigiwa la kubipiwa, tukutane
mahakamani” alisema yule alie
ipokonya card, hapo Adellah
akaonekana wazi kujawa na hasira,
akamtazama yule mwana mke alie
pokonya ile card, kwa macho makali,
kisha akaachia tabasamu la uchungu,
alafu akamtazama Matrida, ambae
muda wote alikuwa kimya, “mdogo
wangu, kama kweli mdogo wangu
alikuwekea dawa sheria isimame, lakini
kasiyo, nakuambia hivi, vyovyote
utakavyo shauriwa na rafiki zako, lakini
kumbuka, namfahamu Kipanta vizuri
kuliko mnavyo mfahamu, na kitu
ambacho nataka kukueleza, ajawaikuwa
rafiki watu na asimwachie matatizo,
lakini nakuhakikishia, safari hii, awezi
akafanikiwa uovu na uonevu wake, na
kama kuna unachotegemea toka kwa
Rose, kutokana na Kessi hii, andika
maumivu, nitapambana mpaka mwisho,
ukweli ujulikane, na ikibainika ni uongo,
basi jiandae, maana sito kuwa na muda
wakuongea na wewe, nitakuomba
undelee kukaa kimya kama ulivyo kaa
leo” alisema Adellah kisha akatoka nje
ya nyumba ile akifwatiwa na Joyce,
huku wakisindikizwa na kicheko cha
kebehi, “maneno ya mfamaji” alisema
mmoja wao huku wakifunga mlango,
wakina Adellah awakujari wakaondoka
zao, wakitumia gari aina ya BMW.
“Anaonekana anafedha yule dada alafu
mume wake mzungu” alisema mmoja
wao huku wote wakichungulia
madirishani, nakuliona BMW likiondoka,
“hizo fedha ndio tuna zitaka, siyo
anakuja kuomba omba hapa” safari hii
aliongea Matrida, huku akichukuwa
glass ya pombe na kuinywa kwa
fujo.*****
Naam bwana Kipanta baada ya
kufukuzwa kwa aibu nyumbani kwa
Stellah, alienda moja kwa moja
nyumbani kwa Rose, na alipofika pale
nje akasimama na kuitazama nyumba
ile kwadakika kadhaa, kisha
akajisemea, “jasho langu alipotei”
alisema Kipanta huku anaelekea kwenye
gari lake, na alipo lifikia akaanza
kulikagua matairi, kabla ajausogelea
mlango wa gari, “kama siyo nyumba
kama ilivyo, basi lazima auze ili anipatia
mkwanja wangu, siwezi kudhalilika”
alisema Kipanta huku anatoa funguo ya
gari na kufungua mlango wa gari ilo aina
ya Toyota IST, ambalo anasiku kadhaa
ajalitumia.
Naam ile kuchomeka funguo na kuweka
on, dash board ikasoma, kitu cha
kwanza macho yakatua kwenye gage ya
mafuta, mshale ulikuwa ume lala
kushoto, kwenye ‘E’ hapo aka hema kwa
nguvu, “dah! kweli mala ya mwisho
sikuweka mafuta” alijisemea Kipanta
huku akiegemea stearing, ambapo
alishtuliwa na mlio mkali wa honi, na
kujiinua haraka, kisha akaegemea kiti.
Alitulia hivyo kwa dakika kadhaa, huku
akiwaza ili na lile, ikiwa ni sehemu ya
kula na sehemu ya kulala, alikumbuka
kwa Matrida, lakini kitendo cha kutoka
pale hospital akimwacha yeye
anashangaa shangaa pasipo msaada
wowote, kiliashilia kuwa Matrida
asingeweza kumsaidia kwa lolote,
inamana mapenzi yao aliishia usiku
watukio, la kuwekewa dawa, mala
Kipanta akakumbuka shambani kwa
Rose, “yess kile kibanda cha yule
shamba boy” alijisema Kipanta, lakini
atafikaje huko shamba, maana akuwa
na ata shiringi, “dah! kweli maisha ni
mzunguko” aliwaza Kipnta kabla
ajakumbuka jambo, “yes nime
kumbuka” alisema Kipanta, na kuanza
kukagua kwenye dash board ya gari
lake, haraka haraka, mpaka alipo ikuta
shilingi elfu saba, ya buku buku, kwenye
kimkebe cha dash board akatabasamu,
na kushuka haraka, toka kwenye gari,
akafunga milango na kuondoka zake
akiwa na shilingi elfu saba, “hii nita
itumia kama nauli, chakula nitapata kule
kule shamba” aliwaza Kipanta huku
anaelekea barabara kuu kwenda
kupanda magari ya kwenda Kisalawe,
sehemu pekee ambayo anaweza kupata
sehemu ya kulala, ambayo aitokuwa na
mashriti yoyote, “kesho namtafuta dalali
niuze lile gari, nipate kianzio” alisema
Kipanta, huku akiendelea kutembea
taratibu, kulekea barabarani, huku njaa
akimchamanda kweli kweli.*****
Saa kumi na mbili na robo, tayari Stellah
na wakina Celine wa walikuwa
wamesha agana, na kutawanyika zao,
wakimwacha Stellah anaendelea na
maandalizi ya kupokea mgeni, ambae
wao binafsi awakuweza kumjuwa zaidi
ya kumkadilia kuwa atakuwa ni mbaba
flani wa maana, sababu Stellah
mwenyewe siyo wa pole pole, ni zinga la
mama.
Wakati akimalizia maandalizi yake huku
anaendelea na wine yake, ndipo
alipokumbuka kuwa abado ajamweleza
mpenzi wake Pross kuwa aanze safari,
akachukuwa simu haraka na kumpigia
Pross.****
Nikweli Pross mida hii, alikuwa amekaa
kwenye gogo chini ya mwembe, amesha
ulamba tayari kwa safari ya mjini, kwa
mpenzi wake mwana mama Stellah,
hapo kuna wakati alikuwa
anamkumbuka sana Rose, boss wake,
Pross alikuwa ameweka simu yake
pemmbeni yake, yani juu ya gogo,
anasubiri simu toka kwa Stellah, kama
alivyo ahidia, kuwa anajulishwa muda
wakuanza kutoka, na wakati nasubiri
simu, mala akashangaa kuona kuna
mtu anae mfahamu akiwa anakuja kwa
miguu na begi mkononi, “mh! kwani
boss anahamia huku, au ananiletea
zawadi?” alijiuliza Pross, huku
anamtazama bwana Kipanta, alie kuwa
anakuja tartibu akionekana amehoka
kweli kweli, “unashangaa nini wewe
mjinga, ebu njoo haraka, unipokee”
aliwaka Kipanta, kwa sauti iliyo jaa
jazba, Pross akatoka mbio, na kwenda
kumpokea, “shikamoo boss” alisalimia
Pross ambae licha ya kushangazwa na
ujio wa boss wake, tena wa miguu, pia
alishaingiwa na uoga flni, sababu alisha
mega tunda la mpenzi wa boss wake
huyu, “marahaba, vipi kuna chakula
chochote?” aliuliza Kipanta, huku
wakitembea kuelekea kwenye kibanda
cha mabati, ambacho tumezowea
kuisoma kama nyumba ya Pross, “kuna
ugari na kambale, niliobakiza mchana”
alijibu Pross, na wakati huo walisha fika
nje ya kibanda, “ok! weka ili begi ndani,
leo nalala hapa hapa, alafu fanya
mpango wa ugari” alisema Kipanta,
huku ana kaa kwenye gogo, la chini ya
mwembe, pembeni ya simu ya Pross,
huku njaa ikimtafuna vibaya sana, “dah!
huyu mzee anazingua, sasa anakuja
kulala huku ili iweje” aliwaza Pross
ambae baada ya kuweka begi la boss
wake, kisha akachukuwa ugari na
kambale, akatoka navyo nje, na kwenda
kuviweka karibu na boss wake ambae
nusu aanze kula bila bila kunawa,
kutokana na njaa aliyo kuwa nayo,
“boss ngoja nikuletee maji ya kunawa”
alisema Pross huku anaanza kupiga
hatua kuelekea ndani, lakini basi kabla
ajapiga hatua ata mbili, akasikia simu
yake inaita, na wakwanza kuiona
alikuwa ni Kipanta, “kumbe una simu
bwana, alisema Kipanta huku ana
ichukuwa simu ya Pross, iliyo kuwa
bado inaita, na kuitazama mpigaji, hapo
hapo macho yaka mtoka kwa
mshangao……….….
 
  • Thanks
Reactions: ADK
SEHEMU YA THELATHINI NA NANE
STORY NA: Mbogo Edgar
ILIPOISHIA SEHEMU YA THELATHI NA
SABA: “boss ngoja nikuletee maji ya
kunawa” alisema Pross huku anaanza
kupiga hatua kuelekea ndani, lakini basi
kabla ajapiga hatua ata mbili, akasikia
simu yake inaita, na wakwanza kuiona
alikuwa ni Kipanta, “kumbe una simu
bwana, alisema Kipanta huku ana
ichukuwa simu ya Pross, iliyo kuwa
bado inaita, na kuitazama mpigaji, hapo
hapo macho yaka mtoka kwa
mshangao……….…. endelea …..
Ni mala baada ya kuona jina la mpigaji,
“hahahahaha na wewe una demu wako”
aliuliza Kipanta kwa mshangao,
akitanguliza kicheko, cha dharau, “ndio
boss ni zinga la demu, ukiliona ata
wewe mwenyewe uta mtamani” alisema
Pross ambae tayari alisha mfikia
Kipanta na kuchukuwa simu yake,
akaitazama ilikuona jina la mpigaji, ‘my
love’ ndivyo lilivyo someka jina ilo,
ambalo Stellah ndie alie andika wakati
anasave namba yake kwenye simu ya
kijana huyu, Pross akaipokea na
kuiweka sikioni, “hallow niambie mama”
aliongea Pross kwa sauti flani iliyo tulia
kimahaba ya kiume, “ninalo basi
mpenzi, zaidi ya kukuitaji” Kipanta
aliweza kuisikia sauti hiyo kwambali
ikiwa ina ongea kwa mahaba ya kike
yenye kujuwa kubembeleza, na
kumkumbusha mbali sana, maana
aliifananisha na ubembelezaji wa mke
wake, asa siku ambazo alikuwa anadai
dudu, japo kipindikile alikuwa anaiona
kama kelo, lakii kwa sasa alijikuta
anaitamani, “kwahiyo nije au?” aliuliza
Pross, huku Kipanta akifwatilia
maongezi yale, “sijo jambo la kuuliza ilo
baby, tena chukuwa pikipiki, nitalipa
huku, pita barabara ya mkato” alisikika
Stellah akisisitiza, ukweli sauti na
ubembelezaji, huu ulizidi kumuumiza
kipanta, ambae leo aliiona thamani ya
mke wake, sijuwi ingekuwaje kama
ange tambua kuwa mwanamke anae
ongea kimahaba, na kijana huyu, ni mke
wake, “poa nakuja sasa hivi” alisema
Pross, kisha akakata simu na kuiweka
mfukoni, alafu akaelekea ndani
kuchukuwa maji, ya kunawa na
yakunywa, kisha akamletea Kipanta
ambae alikuta amezama kwenye
mawazo, “karibu boss” alisema Pross
huku anamkabidhi maji, ambayo bwana
Kipanta akayapokea na kunawa haraka,
kisha akaanza kula, “sasa bwana
mdogo kuna namba nataka unipigie
sehemu, si unasalio la kupiga” aliuliza
Kipanta huku akiendelea kula.
Hapo Pross akaona kuwa akisema
anasalio la kupiga, lazima
atacheleweshwa, hivyo ni bola akisema
kuwa akuwanalo, ili aweze kuwai safari
yake, “boss kifurushi kime isha, lakini
nita toka sasa hivi, kama vipi
nikununulie vocha nikutumie kwenye
simu yako” alishauri Pross, na hapo
Kipanta akatulia kidogo na kutafakari,
ukweli n kwamba akuwa na simu, na
kumweleza Pross kilichotokea, ni aibu
kwake, napengine akaacha ata
kumweshimu, hivyo ilibidi azuge, “aina
haraka sana, nitajiunga kesho” alisema
Kipanta, ambae alikuwa anaendelea
kula kiporo cha ugari na kambale,
alichobakiza Pross, kijana ambae
akuwai kumlipa wala kumchukulia
kama binadamu mwenzie.
Naam baada ya hapo Pross akaaga
naboss wake akamluhusu kuondoka,
maana aliitaji kujiachia pale kwenye
kibanda, yeye peke yake, ata Pross alipo
ondoka na yeye kumaliza kula, akaingia
kibandani ambako kabla ya kulala
alizungusha macho huku na huku na
kujikuta akizidi kuumia roho, maana
akutegeea kulala kwenye kibanda kama
kile, akiwa amekosa kabisa sehemu ya
kulala, mle ndani alikuta chupa kadhaa
za wine, ambazo zimesha tumika,
“chupa zilimtonesha moyo wake,
sababu wine hii ndiyo anayo ipenda
sana mke wake, “inamana aka kajank,
kama uwezo wa kununua ata wine, basi
kesho nita kapiga mzinga ili nipate japo
elfu kumi, kisha niende mbezi nika
kutane na madalali, niuze gari, kabla
sijaenda kuchukuwa RB” aliwaza
Kipanta pasipo kujuwa kuwa Pross
alikuwa ameenda kukesha na kitumbua
cha mke wake, mwana mke ambae yeye
mwenyewe alimwona siyo lolote siyo
chochote.******
Naam siku ya pili ilianza kwa pilika
pilika wakati Adellah, na mume wake
wanamalizia kupata kifungua kinywa,
iliwaende Kiluvya, kituo cha polisi,
kwenda kumtazama Rose na kumtia
moyo, bwana Kipanta alie hamka
mapema, kutokana na usingizi kuisha
mapema, ikisababishwa na mawazo, na
kuamua kuanza safari kueleka Mbezi,
ambako alipanga angeenda kutafuta
dalali wakuliuza gari lake, apate fedha
za kumsogeza sogeza, wakati anasubiri
kumfirisi Rose, ambae kiukweli alijuwa
fika akuwa anausika kwa lolo, juu ya
kuwekewa dawa kwenye kinywaji, huku
Pross nae alichelewa kuhamka
kutokana na kukesha na kitumbua, na
wine, maana mpaka saa mbili nanusu,
bado Pross na Stellah, walikuwa
kitandani, kama walivyo zaliwa,
wamechoka kweli kweli, maana kazi
waliyo ifanya usiku aikuwa ndogo,
“baby, leo umenikata kiu yangu, yani
hapa mpaka naisi kitumbua kina waka
moto” alisema Stellah, kwa sauti ya
kivivu, huku anapeleka mkono wake
kwenye dudu ya Pross, na kukuta dudu
ikiwa imesimama, akamtazama Pross
usoni, “we mtoto, unakulaga nini kule
shambani?” alisema Stellah, huku
anainuka toka kitandani kama alivyo
zaliwa na kumfanya Pross autazame
mwili wa mama huyu, na kuufaidi vizuri,
maana aukumchosha kuutazama,
“ngoja nikaandae supu, iliupate nguvu
ya kunitumikia vyema” alisema Stellah,
huku akisogelea kwenye kabati la nguo,
huku kila alipopiga hatua, makalio yake
makubwa yalitikisika, na
kuzidikuchochea moto kwenye dudu ya
Pross.
Stella alichukuwa kanga moja na
kujifunga, kisha akatoka mlechumbani,
na kuelekea jikoni, kwenda kuandaa
supu, kwaajili ya mpenzi wake, wakati
huo mume wake mzazi mwenzie, bwana
Kipanta alikuwa mitaa ya mbezi stend,
alisha pata supu ya maharage, na sasa
alikuwa anaelekea barabara ya chini
ambako kuna sehemu wanaosha
magari, hapo aijuwa lazima angepata
dalali.*****
Naam baada ya kufika kituo cha polisi,
leo wakina Adellah walifika kituo cha
polisi, na kufanikiwa kuonana na insp
ambae alikuwa anafanya uchunguzi wa
kesi hii ya Rose, na walifahamu hivyo
baada ya kuomba kuonana na Rose,
“wewe ni nani wake” aliuliza insp, “mimi
ni dada yake” alijitambulisha Adellah,
“ok! imekuwa vizuri sana umekuja, mimi
ndie ninae fanya uchunguzi juu ya kesi
hii, maelezo ya mwanzo ya watu walio
tendewa uovu, yana mkandamiza Rose,
japo kuna aina flani ya ubabaisha,
katika maelezo ayo, mfano huyu binti
anaitwa Matrida, mwanzo alisema kuwa
akumwona Rose, pale Gues, lakini
nasikia jana, ametoa maelezo mengine
hapa kituoni, anadai kuwa Rose alifika
pale Guest, hivyo bado tuna kazi ngumu
sana kuupata ukweli, na upande wa
Rose mwenyewe anadai kuwa yeye
akuwepo eneo la tukio, na mala ya
mwisho kuonana nao, ilikuwa ni
asubuhi kule mbezi, allipo wafumania”
alisema insp na hapo akamshauri sana,
Adellah aweke wanasheria wazuri ili
kumtetea mdogo wake, na mwsho
wakaruhusiwa kuongea na Rose.*****
Wakati akiwa anaendelea na mapishi
yake Stella akamwona Pross anakuja
kule jikoni, akiwa na simu yake
mkononi, ambayo ilikuwa ina ita,
alipotazama jina la mpigaji, ilikuwa ni
namba ngeni, akaipokea, “hellow” aliita
Stellah, na hapo akakutana na sauti ya
mtoto wake wakike, “shikamoo mama”
alisalimia binti yake, na hapo ghafla
Stellah, hakiri ikamkaa sawa kuwa, leo
ndiyo siku ambayo, watoto wake
wanatakiwa kurudi nyumbani, ni baada
ya kusherehekea chrismass, “hoo
mwanangu umesusa, yani leo siku ya
kurudi ndio mna nikumbuka, “ alisema
Rose, huku Pross akisikiliza kwa
pembeni, “lakini mama siunajuwa atuna
simu, nime azima ili nikuambie kuwa
sisi tuna karibia mbezi, uje utupokee na
gari lako” alisema mtoto wa Stelllah,
kwa sauti iliyo jaa uchangamfu, wala
msiwe na wasi wasi, wanangu, tena
mkifika tutapika zinga la pilau, alafu
yule kijana washambani
mnamkumbuka?” aliuliza Stellahm
“ndiyo mama, si yule kijana alie
tuangulia nazi, amefanyaje” aliuliza binti
wa Stellah, kwa bashasha, leo anakuja
kututembelea, nazani mtamkuta”
alisema Stellah, akasikia sauti ya binti
yake akimweleza kaka yake, “kaka yule
Pross wakisalawe leo anakuja
nyumbani” hapo akasikia wote
wakifurahia, ni sababu siku ya kwanza
kuonana nao, aliwafanyia fadhira kubwa
sana, na aliwakaribu vizuri sana, “alafu
mama hivi nasikia baba alikutwa
amezimia huko guest, ume ona video
zake mtandaoni?” aliuliza mtwa kike wa
Stellah, alie zaa na Kipanta, “kwahiyo
na wewe umeziona?” aliuliza Stellah,
kwa sauti iliyo poa, maana alizikumbuka
vizuri sana zile video nakama binti yake
ameziona, basi ilikuwa ni aibu ya
mwaka, siyo kwa kipanta pekee ata
yeye pia, kwa kuonekana kwa dudu iliyo
mwingia mala kadhaa, “haku sija ziona”
alijibu mtoto huyo, lakini kwa mama
mtu mzima kama Stellah, alijuwa kuwa,
binti yake anakataa kuuwa soo, “ok!
basi nita kuja kuwapokea hapo mbezi
mnisubiri” hapo ndipo maongezi
yalipoishia, Stellah alikata simu na
kumtazama Pross, “watoto
wametuaribia picha yetu, sasa leo tuta
lala shamba” alisema Stellah huku
anampatia simu Pross, na yeye
kuendelea kupika, “lakini kule shamba
bpss wangu amehamia kule, maana
jana amekuja na begi kabisa” alisema
Pross kwa sauti ya kiunyonge, “wala
usijari tuta tafuta gust tuta lala kwa leo,
alafu kesho na wasafirisha tabora kwa
babu yao, wataondokea huko huko
kwenda shule” alisema Stellah, alie
onekana kukolezwa na penzi la kijana
huyu. ******
Kipanta alifanikiwa kifika pale kwenye
kuosha magari, ambako alikuta watu
kadhaa, wakiendelea na uoshaji wa
magari huku wengine wakichotelea
maji, toka kwenye mto wa jirani, karibu
na daraja la barabara ya malamba
mawili, lakini kila alipotazama pengine
ange mwona ata mmoja ambae ange
mwuliza, alikosa imani na watu awa
asa kutoka na mwonekano wao, licha
ya kuwa wengi wao ni vijana pia
walikuwa wamechakaa, lakini alipo taka
kuondoka, akamwona mmoja wawa
watu awa mwenye mwonekano wa
uzee, akija maali pale huku amebeba
dumu la maji, “habari yako mzee”
alisalimia bwana Kipanta, baada ya yule
jamaa kuweka maji chini, “safi vipi una
inshu?” aliuliza yule mzee kwa lugha
flani ya kiuni, tofauti na umri wake,
hapo Kipanta akababaika, yule mzee
kuona hivyo akaachana nae, na
kumfwata kijana kijana mmoja, “hiyo
dumu la kumi ilo, niandalie jelo lango,
nikapate supu ya alaghe alisema yule
mzee ambae kiukweli ungeshangaa
anafanya nini mjini, baada ya kurudi
kijijini, au atulie nyumbani acheze na
wajukuu, “oya Feruz, una wasi wasi
gani, we piga kazi, si unaona
mwenyewe ndio kwanza tunaanza kazi”
alijibu yule jamaa alie kuwa anaosha
gari, “tatizo nikileta dumu nyingi,
uchelewi kuzingua” alijibu yule mzee
huku ana chukuwa lile dumu la maji na
kwenda kumimina kwenye kipisi cha
jaba, kisha akaelekea tena mtoni, hapo
Kipanta akaona kuwa pale akukuwa na
dili, hivyo akaondoka zake, kurudi
stendi, na kuanza safari ya Kiluvya.
Kipanta alifika Stendi na kuingia kwenye
basi ziendazo kibaha, gari alikuchelewa
kuondoka, lakini wakati lina anza
kuondoka, akamsikia kondakta,
akisema, ebwanae ebu cheki yule mtoto
alie ongozana na yule kijana, sijuwi
dada yake au demu wake, ni mkali
kinyama” hapo siyo kipanta pekee alie
geuka kutazama nje yagari kuangalia
alicho kuwa anakisifia kondactor, ile
kutazama akakutana macho kwa uso
na wanae, akazania kuwa wakumwona,
maana awakuonyesha kuwa na habari
nae, akamwakazia macho, ndio kwanza
akaona wanaonyesheana vidole kuja
kwake Kipanta, ikionyesha mmoja
wakiume alikuwa anamshtua dada yake
kama amemwona baba yao, Kipanta
akajitabasamulisha, na wote waka
mtazama, kisha wakakunja sura alafu
wakatazama pembeni, hapo kipanta
aliumia roho vibaya sana, “yani
wananifanyia hivyo mimi baba yao”
aliwaza Kipanta, ambae alijaribu kuwaza
na kukumbuka katika ubaba wake,
alifanikiwa kuwafanyia nini watoto awa,
ambao mwonekano wao wa watoto wa
kishua, ni kwanguvu za mama yao,
akagundua kuwa zaidi ya kumpa mimba
baba yao, akukuwa na kingine cha
zaidia alicho toa, hivyo akatulia na
kuacha gari likiondoka pale mbezi, huku
yeye akiwa ndani yake.*****
Mama Pross pia alipata habari za
kukamtwa kwa mschana alie mleta
sikuile nyumbani, ikiwa pamoja na
kumnunulia soda, habari ile
ilimuuzunisha sana mama Pross, mke
wa bwana Feruz, ilimuuzunisha kwa
maana mbili, kwanza kabisa, Rose
kuwepo Jella, maana ni binti mbae yeye
binafsi alimwona kuwa mwenye moyo
safi, pili mkasa wa huyu mwanaume,
ambae ameitelekeza familia na kwenda
kufumaniwa, na mahawara, “mh! kweli
wanaume awawezi kubadirika” aliwaza
mama Pross, ambae yeye alisha jikatia
tamaa juu ya mume wake, ambae
mpaka sasa kuwa anajuwa yupo
wapi,”huyu mtoto leo alikuja mapema
sana, hivi alilala huku, au likuja mala
moja” ilo swali lilimjia mama Pross
mala baada ya kumkumbuka
Pross.*******
Hapo ndipo patamu, unajuwa ni utamu
hupi, baada kutoka pale mbezi, huku
akijisikia vibaya baada ya kuchuniwa na
watoto wake, bwana Kipanta, alitulia
kwenye gari mpaka aliposhtuliwa na
kodakta, kuwa walisha fika gogoni, yani
Kiluvya, njia panda ya kawawa,
akashuka na kueleka kwenye kito cha
polisi, ambako kwanza alikutana na gari
moja matatasana, aina ya BMW,
pembeni yake alikuwepo mfilipino
mmoja akiwa na watoto chotara,
“wasenge awa wana kula maisha
kwenye inchi yetu, wakati sisi tuna pata
tabu” alijisemea kimoyo moyo bwana
Kipanta, huku akimkata jicho la chuki
yule mfilipino, ambae sisi tuna
mfahamu kama bwana Mauricio
Fernandez, mwanajeshi wa jeshi la
Filipino, ndie mume wa Adellah, yani
wanamke wa zamani wa bwana
Kipanta, ambae nae pia alimtazama
Kipanta kwa macho ya utambuzi,
akionyesha kama siyo kumwona live,
basi alisha wai kumwona kwenye picha,
“jambo rafiki” alisalimia Mauricio
Fernandez, huku akipunga mkono, kwa
Kipanta, “poa! alijibu kikauzu Kipanta
kisha akatazama mbele kule uliko
mlango wakuingilia ndani, ambako uso
kwa uso, macho macho, nusumvae
mwana mke mmoja mrembo na
wakuvutia kwa sura na umbo la mwili
wake, wakajikuta wame tazama usoni,
kwa macho ya mshangao, na mshtuko,
“Adellah, ni wewe au macho yangu?”
aliuliza Kipanta kwa sauti ya kuto
kuamini, “ni mimi, au ulizania nie jiuwa
baada ya kunitapeli?” aliuliza Adellah
kwa sauti tulivu huku akitabasamu….
endelea …..
 
  • Thanks
Reactions: ADK
SEHEMU YA THELATHINI NA TISA
STORY NA: Mbogo Edgar
ILIPOISHIA SEHEMU YA THELATHI NA
NANE: “jambo rafiki” alisalimia Mauricio
Fernandez, huku akipunga mkono, kwa
Kipanta, “poa! alijibu kikauzu Kipanta
kisha akatazama mbele kule uliko
mlango wakuingilia ndani, ambako uso
kwa uso, macho macho, nusumvae
mwana mke mmoja mrembo na
wakuvutia kwa sura na umbo la mwili
wake, wakajikuta wame tazama usoni,
kwa macho ya mshangao, na mshtuko,
“Adellah, ni wewe au macho yangu?”
aliuliza Kipanta kwa sauti ya kuto
kuamini, “ni mimi, au ulizania nie jiuwa
baada ya kunitapeli?” aliuliza Adellah
kwa sauti tulivu huku akitabasamu….
endelea …..
Lakaini ni tabasamu ambalo alikuwa
kwa nianjema, lilikuwa tabsamu la
dharau, lakini licha ya hivyo Kipanta
akajikuta analipukwa na roho yake, ni
baada ya kuona jinsi mwanamke huyu,
alie wai kuwa mpenzi wake akiwa ame
nawili na kuwa mzuri zaidi ya kipindi
kile, “hapana Adellah, yani ume nisusa
kabisa, akuna kutafutana, akuna
kupeana habari za mtoto, sasa hivi si
atakuwa mkubwa sana?” aliongea kwa
uchanga mfu Kipanta, “sana ni mkubwa
sana, yupo na bibi yake Shinyanga, vipi
kazi yako ya jeshi bado unaendelea
nayo?” aliuliza Adellah, kwa nza Kipanta
akatazama kushoto na kulia, kama
kuna watu wanawafwatilia maongezi
yao, akaona kuwa japo kilikuwa na
watu wengi pale nje ya kituo raia kwa
askari, lakini akuna mtu anae
wafwatilia, zaidi ya yule mzungu na
watoto wake, waliokuwa
wanawatazama, “nime staafu mwaka
huu, mwezi wasita, nikapata mamatizo,
nime poteza kila kitu” aliongea kipanta
kwa sauti ya kinyonge, hapo Adellah
akajifanya ajuwi lolote, akajiweka sura
ya uzuni, “pole sana jamani, ilikuwaje?”
aliuliza Adellah kwa sauti ya uzuni, hapo
kipanta akashusha punzi ndefu, kabla
ajaongea, “ukweli ni story ndefu sana
Adellah, awa wanawake ni hatari sana,
ila yote kwa yote nashukuru mungu
ametukutanisha, nitakusimulia vizuri”
alisema Kipanta, huku macho yake
yakionyesha wazi, kuutazama kwa uchu
mwili na sura ya Adellah, pasipo kujuwa
kuwa mume wake amesimama
pembeni, ana watazama, “basi poa,
sijuwi nitakupata wapi na lini?” aliuliza
Adellah, ambae alikuwa anapima, kama
Kipanta anatambua kuwa yeye na Rose
ni ndugu, “kama una muda ata saa hivi,
nachukuwa tu RB, alafu tunaweza
kuongea, kama una muda lakini”
alisema Kipanta kwa sauti flani ya
kubembeleza na yakistaarabu, kama
unge isikia ungejuwa kuwa Kipanta ni
mstaarabu kweli kweli, hapo Adellah
akatulia kidogo kama anatafakari
jambo, ukweli ni kwamba lile tabasamu
alilo kuwa analionyesha usoni mwake
mala kwa mala, lilikuwa la kujilazimisha,
ila moyoni mwake, alikuwa anamchukia
huyu mtu kuliko mtu mwingine yeyote,
akainua kichwa chake na kutzama
ng’ambo ya barabara, akaiona bar moja
kubwa hivi ambayo ilikuwa na watu
wengi, kwakifui ilichanga mka kidogo,
“au bado una kumbuka mambo ya
zamani Adellah” aliuliza Kipanta, kwa
sauti flani ya kumshawishi Adellah,
ambbae ndio kwanza moyoni mwake
alizidi kuchukia, huku moyoni
akionyesha tabasamu angavu,
“nitaachaje kukukumbuka Kipanta, ila
akuna shida nakusubiri” alisema
Adellah, na hapo akaliona tabasamu
pana kwa kipanta, “poa ngoja
nichukuwe RB faster kisha tuongee”
alisema Kipanta alafu akaingia ndani ya
jengo la polisi, akimwacha Adellah,
anamsindikiza kwamacho, “yes huyu
mjinga si anajifanya mjuwaji, sasa nime
kutana na mama lao, mbona atatafuta
sehemu ya kujificha, na nikisha mfirisi
Rose, ndio kabisaaaa, ananywea maji
kwenye kifuu” alijisemea Kipanta
kimoyo moyo, huku akifwata counter,
“alafu anaonekana anamawe ya
kuelewekana, nita lia lia, mpaka ni vune
fedha ya kutosha” alijisemea Kipanta
kabla aja eleza shida yake na kupewa
RB.
Tukio la kupewa RB lilitumia muda
mfupi, ni kama dakika tano, kisha
akatoka haraka kumuwai, Adellah,
amenona huyo, leo lazima nikale mzigo,
kisha miziga inaanza mpaka atajuta
kukutana na mimi” alijisemea Kipanta
huku akiangaza ngaza macho
kumtafuta Adellah, ambae mwisho
wake akamwona amesimama pembeni
ya BMW, lile lile alilokuwa amesimama
mzungu mwenye watoto chotara, “mh!
au yupo nae nini?” alijiuliza Kipanta,
huku akimtazama Adellah, ambae pia
alimtazama na macho yao yalipo
kutana Adellah akatabasamu, kilicho
mpa moyo kuwa Adellah akuwa na yule
mzungu, ni kuto mwona mzungu wala
watoto, Kipanta akapiga hatua
kumfwata Adellah, pale kwenye BMW,
“nazani unaweza kwenda kukaa pale
tuongee vizuri” alisema Adellah huku
anatoa funguo ya gari, na kufungua
milango kwa remote, “hongera sana
Adellah, inaonyesha mambo yako siyo
mabaya” alisema Kipanta akiwa ndani
yagari, huku Adellah akiendesha aratibu,
kuelelea kwenye ile bar, ambayo ilikuwa
umbali wamita kama mia moja tu toka
kituo cha polisi, “sikushindi wewe
Kipanta, nasikia uwa mnalipwa vizuri
sana, mnapostaafu” alisema Adellah
kwa sauti tulivu na iliyo jaa upole na
ukarimu, usinge juwa alicho kiweka
moyoni, hapo Kipanta alitulia kidogo
akishusha kichwa chini, kwa uzuni, japo
ilikuwa ya kutengeneza, “yani Adellah,
uwezi amini, limenikuta balaha kubwa
sana, nime poteza kila kitu” alisema
Kipanta kwa sauti iliyojaa uzuni kubwa,
huku Adellah akisimamisha gari, na
wote wakashuka, “kwanini unasema
hivyo Kipanta, inamaana umeibiwa?”
aliuliza Adellah huku wanatembea
kuingia ndani ya bar, “nitakueleza tu!
wala usiwe na haraka” alisema Kipanta
huku wanatembea taratibu ndani ya bar,
wakikatiza pembeni ya meza za wateja
wengine walio kuwepo pale bar, wengi
wao walikuwa wana pata supu na
vinywaji visivyo na ulevi, wao walikuwa
wanaiendea meza moja waliyo iona hipo
tupu, “unajuwa kama kuna kitu
sikipendi, ni awa watu wanje, yani
utakuta wana kaba ajira zote, alafu
wananchi wanapata tabu” alisema
Kipanta, na hapo Adellah, akamtazama
Kipanta, na kumwona amemkazia
macho mfilipino wake alie kuwa
amekaa kwenye meza moja na watoto
wao wawili, Adellah akaishia
kutabasamu tu! “nabado utamchukia
sana” alijisemea Adellah, kimoyo moyo,
huku wanaendelea kutembea kuelekea
kwenye meza waliyo ichagua kukaa.
Naam ile kukaa tu, mhudumu
akawafwata, na kuwauliza wanaitaji
nini, “na soda yoyote ya orange, alisema
Adellah, Kipanta yeye akamtazama
kwanza Adellah, ambae alitabasamu
“agiza chochote, usinionee aibu”
alisema Adellah, na hapo Kipanta
akatabasamu, “naona mwenzangu
unaagiza soda, au aunywi bia?” aliuliza
Kipanta, huku akijichekesha chekesha,
ambae kiukweli nisiku ya nne leo
ajagusa pombe, kitu mbacho kwake ni
mwiko, sema uhaba wa fedha ndio ume
sababisha, “mh! ulitaka niagize bia
asubuhi hii” alisema Adellah, na wote
wakacheka kidogo, “niletee bia,
itakuwavyema ukiniletea tano
ilikuepusha usumbufu, alafu, niitie mtu
wa jikoni” alisema Kipanta, wakati sisi
tuna kumbuka mtu huyu akuwa na
uwezo wa kulipia ata bia moja, “vipi
wewe uagizi chakula” aliuliza Kipanta
akimtazama Adellah, “hapana nitakula
usiku” alijibu Adellah, na mhudumu
akaondoka zake, akiwaacha wakina
Adellah wanaanza maongezi, “ok! nipe
story, nini kilitokea” alisema Adellah,
huku akitoa simu yake na kushika
mkononi, akiibofya bofya kidogo, *******
Aya sasa, ebu twendeni mbezi stendi,
siyo kwa watoto wa bwana Kipanta au
Stellah na Pross, ni moja kwa moja
mpaka barabara ya zamani, mita
chache kwenye njia panda yamalamba
mawili, kwenye kijiwe cha kuoshea
magari, bado wanaonekana vijana walio
valia nguo chakavu, wengine wakiosha
magari na pikipiki, wengine wakichotea
maji, “oya tayari zimeshafika kumi
nyingine, nitoe buku langu” alisema yule
mzee anae itwa Feruz, akimweleza mtu
mmoja alie kuwa anaosha gari, “Feruzi
unajuwa kudai, aya chukuwa buku
lako” alisema yule jamaa, na
kumkabidhi mzee Feruz buku lake,
“sasa je saa tano hii, bado sija pata
chai, ngoja nipate wali harage kisha
nirudi kazini” alisema Feruz, huku
anaondoka zake kuifwata barabara hii
upande wa stend ya mbezi, ambapo
alitembea kwa mwendo wa mita
kadhaa, akashtuka anashtuliwa, “mzee
feruz habari za siku nyingi” ilikuwa ni
sauti ya kiume, toka nyuma yake, hapo
Feruz akashtuka na kumtazama
msalimiaji, huku moyoni mwake
akishangaa kweli kweli, maana
akutegemea kama kuna mtu anaweza
akawa anamfahamu huku mbezi, na
ndio kisa cha yeye kuja kuishi huku,
macho yake yakakutana na askari polisi
alie kuwa kwenye sale, za kazi, lakini
akuwa anamfahamu kwa sura askari
ambae alionyesha sura ya mshangao,
“poa za masiku” aliitikia Ferz, ambae
kwa mtu ambae amesha msahau mzee
huyu, ndie yule yule baba yake Pross,
“mzee Fruz, ipi unatoka shamba, mbona
hupo hivi katikati ya mji” aliuliza yule
askari ambae kama ni muda wakazini,
alikuwa na miaka isyozidi sita, hapo
Feruz akajuwa kuwa huyu askari
anamfahamu toka kipindi yupo kazini,
“kijanwa ngu ni maisha tu, siunajuwa
fedha mbuzi ambayo tunalipwa, baada
ya kustaafu” alisema Feruz, huku
anamtazama yule askari kijana, ambae
kiukweli alionyesha wazi kuto
kulizishwa na jibu la bwana Feruz, na
Feruzi alipoona vileakaanza kundoka
zake kuelekea stend, akimwacha yule
polisi kijana, anamsindikiza kwa macho
ya mshangao, “unashangaa nini we
mpumbavu, subiri na wewe ustaafu”
alijisemea Feruz, huku anaendelea na
safari yake.
Naam bwana feruz wakati anakatiza
kwenye stend ya Mbezi, mala akawaona
watoto wawili wakike na wakiume,
watoto ambao umri wao umepishana
kidogo, na watoto wake, alio waacha na
mke wake, watoto ambao kwa sasa
ajuwi wanaishi wapi na mama yao,
“ukweli roho ilimuuma sana,
alipokumbuka kuwa akuwaachia ata
sehemu ya kuishi, “kama Pross, ni bora
angebakia kwa mama yake, kuliko
amekuja huku, alafu nime mtelekeza na
mama wakambo” aliwaza Feruz ambae
kiukweli, akuwa anapenda kukumbuka
sana mambo ayo, sababu zaidi ya
kumuumiza roho, asingeweza kufanya
lolote kurudisha muda nyuma na kufuta
makosa, “usingoje majuto, ndipo
ulekeshe makosa” aliwaza Fruz huku
anawatazama wale watoto, ambao
kiukweli walionyesha kuwa na maisha
mazuri, akawaona wanainuka pale
walipokuwa na kuchukuwa mabegi yao
madogo, kisha wakaanza kuelekea
upande wa karibu na gate la kutokea,
huku nyuso zao zikionyesha furaha,
“ona walio andaa maisha yao”
alijisemea Feruz, huku anatazama kule
walikokuwa wanaelekea wale watoto,
yani upande wa gate la kutokea.
Naam hapo ndipo bwana Feruz,
aliposhikwa na mshangao, ni mala
baada ya kumwona mwanae Pross
akiwa anashuka toka kwenye gari aina
ya Toyota vits, sambasamba na mwana
mama mmoja matata sana, “macho
yangu au naona wenge?” alijiuliza Feruz
huku nashuhudia wale watoto wakienda
kukumbatiana na yule mama, kisha
kupeana mikono na mwana Pross,
ambae kiukweli alikuwa amenawili, licha
yakuwaonekana kuzudi kukuwa, pia
alionekana kama vile anaishi maisha
mazuri, kuanzia mavazi na mwonekano
wa mwili na sura.
Feruz alibakia ameduwaa mpaka,
akimshangaa mwanae ambae alikuwa
mita kama hamasini toka alipokuwepo,
“kumbe familia yangu aitakuwa mbali
na hapa” aliwaza Feruz, ambae bado
alikuwa ameduwaa, akiwatazama
mwanafamilia, walikuwa pamoja na
mwanae Pross, ambao sasa walikuwa
wanaingia kwenye gari na mabegi yao
madogo ya mgongoni, ndipo Feruz,
alipopata wazo la kumfwata Pross,
lakini alisha chelewa, ile anapiga hatua
tu! akaliona gari lina anza kuondoka,
akaanza kukimbia, lakini aikusaidia, gari
lilitoka nje ya stendi na kuikamata
barabara ya morogoro, wakielekea
upande wa kibamba.******
Ebu turudi gogoni, mita mia moja, toka
kituo cha polisi, kwenye ile bar, tunaipita
meza ya mfilipino bwana Mauricio
Fernandez, ambae alikuwa ana
watazama mke wake Adellah akiwa
anaongea na mzazi mwenzie Kipanta,
ambae ndie alie msababishia matatizo,
mdogo wa mke wake, yani mschana
Rosemarry, na tukifika kwenye meza ya
kina Kipanta tuna mkuta Kipanta alie
kuwa amesha kunywa bia nne na
anamalizia ya tano na tayari alisha
maliza kula na amesha agiza bia
nyingine tano, na kila bia ilikuwa ina
uzwa tsh elfu mbili.
“unaona Adellah, yani ilikuwa kama
lahana yako, mpaka nikajuta kukuacha
na kumchukuwa Stellah, tena
nililazimishwa tu! ameniletea mikosi
mitupu, sina kitu zaidi ya gari, kuna
kipindi nilisafiri, nikamwachia mshahara
wote, ili ajenge nyumba kwaajili yetu na
watoto, yeye akauza kiwanja cha
kwanza, na kununua kingine kwa jina
lake, alafu akajenga nyumba, kwa jina
lake, mwishoe akanifukuza” alisimulia
Kipanta, akijitaidi kutengeneza story,
ambayo aita mpa lawama, zaidi ya
kuonewa huruma, huku anaendelea
kufakamia bia, maana ata zile tano
nyingine zilisha letwa, “baada ya
kunifukuza nyumbani kwake, nika
mpata mwana mke mwingine, ambae
anaitwa Rose, huyu ndie mshenzi kuliko
Stellah, huyu nilipostaafu tume tumia
fedha zangu, na marafiki zake, na
mwisho wa siku, nimepatwa na
matatizo, amenikimbia kabisa” alisema
Kipanta, kwa sauti ya uchangamfu wa
pombe, “kwani yeye ndie ulie kuwa nae
wakati unawekewa dawa kwenye
pombe” aliuliza Adellah, ambae
mudawote alikuwa ameishika simu yake
mkononi, “hapana, huyu alikuwa
ameshaanza vituko, siku hiyo nilikuwa
na mschanammoja anaitwa Matrida”
alisema Kipanta, kwa sauti ya majisifu,
utazania ilikuwa ni sifa kubwa,
“niliamua kupita nae sababu Rose
alijifanya mjanja, lakini ndio yakatokea
hayo” alisema Kipanta akimalizia na
kicheko cha kilevi, “au Rose ndie alie
kuwekea dawa kwenye kilevi, na
kukuibia fedha zako?” aliuliza Adellah,
kamavile alikuwa anamtilia mashaka
Rose, “ndivyo watu wanavyo amini,
lakini ukweli ni kwamba, kuna kitui
alitaka kukisikia toka kwa Kipanta
mwenyewe, “wengi wanaamini hivyo,
lakini Rose akuwepo wala akuja pale
bar, ila mimi nataka nimfilisi, arudishe
kila kitu changu, nilicho mpatia, maana
bila ya hivyo nita zalilika” alisema
Kipanta, ambae mpaka mwisho wa
maongezi yao tayari alisha kuwa
amekunywa bia kumina chakula,akiwa
anaamini kuwa Adellah ata lipia ghala
za chakula na vinywaji, “pole sana
bwana Kipanta, ila kabla sija ondoka
naomba nikutambulishe watu flani”
alisema Adellah, huku anabonyeza simu
yake na kuiweka kwenye kibegi chake,
kisha akatazama upande aliokuwepo
mume wake bwana Mauricio Fernandez,
na watoto wao, kisha akawaonyesha
ishala ya kuwa wasogee pale
walipokuwepo, yeye na Kipanta, huku
Kipanya japo alikuwa amelewa lakini
alikuwa ametoa macho ya mshangao,
akiwatazama wakina Mauricio
Fernandez,na watoto wawili wdogo,
ambao walikuwa wanatembea taratibu,
kupita pembezoni mwa meza zawatu,
kuwasogelea wao, “unataka
kusema…..?” aliuliza Kipanta
akishindwa kumalizia kwa mshangao
aliuo upata, na wakati huo tayari, bwana
Mauricio Fernandez, na watoto walisha
wafikia pale walipo, “Kipanta huyu,
anaitwa Mauricio Fernandez, ni doctor
mwanajeshi nilikutana nae ngara, akiwa
major, na sasa ni cornel (kanali) ni
mwenji wa Filipino, ambako sas
tunaishi, kwenye mji wa Sun philipe, na
wan i watoto wetu” sijuwi kama Kipanta
alikuwa anauzinga tia huo utambulisho,
ata kama aliuzingatia sidhani kama
aliuona una umuhimu kwake, maana
alinekana wazi kuduwaa ba kwwa kile
alicho kuwa anakiona, na kukisilia,
“mume wangu huyu ndie Kipanta mzazi
mwenzangu, ambae umesha sikia sana
habari zake” alimaliza kutambulisha
Adellah, sasa bwana Mauricio
Fernandez,akampa mkono bwana
Kipanta, ambae aalikuwa amekunja
sura kwa hasira, na akuupokea mkono
wa bwana Mauricio, zaidi ua kuinuka
kwa hasira, na kutaka kuondoka zake,
lakini Adellah akamuwai,“samahani
bwana Kipanta, kuna kitu ujamaliza
hapa mezani” alisema Adellah na hapo
Kipanta akasimama na kutazama
mezan, ambapo palikuwa na chupa
moja ya soda iliyo bakiwa na soda robo,
zaidi ya hapo kulikuwa na chupa tano
za bia, huku moja wapo ikiwa na bia
nusu, wakati huo mhudumu alie
wahudumia alisha wafikia nazani bada
ya kuona dalili za watu awa kuondoka,
hivyo alikuwa ana fwata malipo yake,
“sina aja nayo” alisema Kipanta, kisha
akageuka na kutaka kuondoka, lakini
akasikia Adellah akiongea tena,
“simaanishi bia iliyo bakia, sababu
umeshha kunywa Tisa, na nusu,
nazungumzia malipo ya bia na chakula”
maneno hayo ya Adellah, yalimstua
sana, Kipanta ambae aligeuka na
kumtazama Adellah kwa mshangao,
akamwona anatoa shilingi miatano ya
kitanzania nakumpatia yule mhudumu,
ikiwa ni ghalama ya soda aliyo kunywa,
hapo ndipo Kipanta alipoona kijacho
chembamba kwenye paji la uso wake,
kikichuruliza kuja kwenye pua, na kuwa
kama kina mtekenya hivi, huku pombe
alizo kunywa zikianza kupotea kichwani
kwake, asa alipo kumbuka kuwa zaidi
ya bia za elfu ishilini, pia alisha kula
kuku nusu na ndizi za kukaanga,
ambazo pia thamani yake ni elfu kumi
na moja na mia tano, kwa jumla ilikuwa
ni elfu therathini na moja ja na mia tano,
na hapo mfukoni alikuwa amebakiza
nauri ya dala dala kumfikisha kisalawe
ambayo ni elfu moja na mia tano.…………
endelea ….
 
  • Thanks
Reactions: ADK
SEHEMU YA ALOBAINI
STORY NA: Mbogo Edgar
ILIPOISHIA SEHEMU YA THELATHI NA
TISA: na kumtazama Adellah kwa
mshangao, akamwona anatoa shilingi
miatano ya kitanzania nakumpatia yule
mhudumu, ikiwa ni ghalama ya soda
aliyo kunywa, hapo ndipo Kipanta
alipoona kijacho chembamba kwenye
paji la uso wake, kikichuruliza kuja
kwenye pua, na kuwa kama kina
mtekenya hivi, huku pombe alizo
kunywa zikianza kupotea kichwani
kwake, asa alipo kumbuka kuwa zaidi
ya bia za elfu ishilini, pia alisha kula
kuku nusu na ndizi za kukaanga,
ambazo pia thamani yake ni elfu kumi
na moja na mia tano, kwa jumla ilikuwa
ni elfu therathini na moja ja na mia tano,
na hapo mfukoni alikuwa amebakiza
nauri ya dala dala kumfikisha kisalawe
ambayo ni elfu moja na mia tano.…………
endelea …..
Kipanta aka mtazama Adellah kwa jicho
kali la mshangao, “inamaana ulinileta
hapa kuni zalilisha?” aliuliza Kipanta
kwa sauti ya juu iliyo jawa hasira, sauti
ambayo iliwafikia baadhi ya watu
waliokuwa meza zajirani, “kivipi
Kipanta, kwani huku tanzania wanaume
ndio wanawapeleka wanawake bar, na
kuwa nunulia chakula na pombe,
mbona uliweza kukesha bar na
wanawake huku ukilipa ghalama zote,
au umezowea kuwa mimi ndie mtu
wakukulipia ghalama zako?” aliuliza
Adellah, huku anasimama, “lakini wewe
ndie ulie niambia niagize tu, si eti
dada?” aliuliza Kipanta huku akimgeukia
yule mhudumu, “mi sijuwi nachotaka ni
ela ya vinywaji na chakula” alijibu yule
dada wakati huo tayari watu walisha
geuka na kuwatazama wakina Kipanta,
huku wengine wakiingiza mikono
mfukoni, kutoa simu zao, tayari
kuchukuwa tukio, hapo Adellah, na
mume wake pamoja na watoto wao,
wakaondoka zao, wakipishana na
manager wa bar,ambaealisha ona dalili
zakuto kuelewana, kati ya mfanyakazi
wakenamteja Kipanta, hivyo akaamua
awasogelee, “samahani ndugu kuna
tatizo?” aliuliza manager baada ya
kufika pale na kumkuta Kipanta
akitokwa na jasho jembamba usoni,
“wewe ndie msimamizi wa hapa?”
aliuliza Kipanta huku anamtazama
manager, “ndiyo mimi ni manager wa
hapa” alijibu yule jamaa, na hapo
Kipanta akatazama kushoto na kulia,
kutazama kama kuna mtu
anawafwatilia, ukweli ni karibu
barnzima, ilikuwa ina wafwatilia, na
mbaya zaidi, wengine walifika mbali
zaidi na kuanza kuchukuwa video, huku
minong’ono ya chini ikisambaa, “hiyu
sindie yule alie wekewa dawa na
kuibiwa kila kitu” ayo ni baadhi ya
maneno yaliyokuwa yana tembea chini
chini, “manager naomba tukaongelee
pembeni” alisema Kipanta, kwa sauti ya
chini na yakubembeleza, “ok! wewe
twende pamoja na huyu mteja” alisema
manager akimweleza mhudumu, kisha
wakaondoka kwa pamoja wote watatu,
kuelekea upande wa ndani, hakika unge
mwona leo bwana Kipanta, ndiyo unge
juwa kweli alistaafu kiuhalali, maana
alionekana kuwa amezeeka kweli kweli,
na sasa akuonyesha dalili kuwa
amelewa, ilionyesha kuwa pombe
imemtoka kichwani.
Naam walielekea moja kwa moja
upande wa jikoni, jiko la ndani, ambako
shughuli za upishi zilikuwa zinaendelea,
“niambie wewe nini kime tokea” alisema
manager, akimtazama mhudumu wake,
ambae alielezeakuanzia alipowapokea
wakina Kipanta, na kuanza kuwa
hudumia, kipanta akiagiza bia kwa
mafungu ya tano tano, pamoja na kuitaji
mhudumu wajikoni, “sasa yule
mwanamke alie kuwa nae, amesha lipa,
amebakia yeye, anadaiwa elfu therathini
na moja na miatano” alimaliza kuongea
mhudumu, na hapo manager
akamtazama Kipanta, “nikweli mzee
umekunywa bia na utaki kulipa?”
aliuliza manager, hapo Kipanta akaweka
sura ya huruma kidogo, kabla ajaanza
kuongea, “siyo kwamba sitaki kulipa,
ukweli kabisa mimi nilijuwa yule
mwanamke talipa, sasa ameamua
kunikomoa, na kuondoka bila kunilipia”
alisema bwana Kipanta, na kumfanya
manager ashangae kidogo, “mzee
inakuwaje una mleta mwanamke bar, ili
akununulie pombe na chakula,
ungekuwa kijana mdogo tusinge
shangaa, lakini wewe ni mzee” alisema
Manager, kwa sauti ya kusimanga,
hapo Kipanta akabkia ametazama chini,
kwa aibu, akikosa jibu wala kitu cha
kumweleza kijana yule, ambae ni
manager wa bar ile, “mzee kiukweli sisi
atuna cha kukusaidia zaidi ya kulipa
hizo, bia, bola zingekuwa moja au mbili,
lakini kumi, na chakula, hiyo lazima
ulipe” aliongea manager akionyesha
kuwa akuwa na chembe ata moja ya
huruma, juu ya Kipanta, “kijana japo
unifahamu, lakini naomba nijiaminishe
kwake, sisi wote ni wanaume, naomba
nidhamni, nitaleta hizo fedha jumatatu”
alisema Kipanta, na kuzidi kumchochea
manager, “weee nikudhamini kivipi,
kama wamshindwa kukudhamini wale
wenzako, nitawezaje mimi?” aliuliza yule
manager kwa sauti ya kumruka kwa futi
mia, hapo Kipanta aka ajikuta anathema
kwa nguvu akivuta pumzi kwa mkupuo
na kuishusha kwanguvu, “leo naumbuka
tena” aliwaza Kipanta huku akiwa
ametazama chini, kama kuna kitu
anakitafuta, “yani mzee we toa
mkwanja tu, vinginevyo tuna kupeleka
polisi” alisema yule manager kwa
msisitizo akionekana kuwa akuwa
anatania, kwa kile alicho kuwa
anakisema, “lakini ndugu yangu,
naomba unielewe, hiyo elfu therasini
kwa sasa sina, ila nitakuletea ata kesho
mapema tu! naomba uni amini ndugu
yangu” alibembeleza Kipanta, kwa sauti
iliyotia huruma, “ok! unaacha nini kama
dhamana ya elfu therasini?” aliuliza
Manager, huku akimtazama Kipanta,
hapo Kipanta akatulia, siyo kwa kufikilia
ataacha nini ila kwa kujuwa kuwa
akuwa na kitu, ambacho anaweza
kukiacha hapa, kama dhamana, “ebu
tuonyeshe simu yako, kama tunaweza
kubakiana yo mpaka utakapo leta ela
yetu” alisema manager, lakini ndio
kwanza Kipanta akashusha tena pumzi,
“inamaana ata simu auna, awa ndio
wazee wababaishaji” alisema manager,
kwasauti ya kumshuku Kipanta,
“hapana kijana wangu, mimi siyo
mbabaishaji, ila nime patwa na
matatizo makubwa sana siku ya
chrissmas, ata yule mwanamke
niliekuwa nimekaanae pale, nilikuwa na
msimulia matatizo hayo” alisema
Kipanta na kusimulia kile kilicho mpata,
kule luguruni, “nikaibiwa kila kitu, leo
nimetoka hospital na kuja huku
kuchukuwa RB, nika chukuwe card
yangu ya benk, niweze kuchukuwa
fedha nika renew line na kununua simu,
pamoja na kuja kuwalipa fedha yenu”
alisema Kipanta, na hapo manager
akaonekana kuelewa somo, “kumbe
wewe ndie yule ulie wekewa dawa
zakulevya, dah! pole sana, lakini mzee
wangu lazima tukaandikishiane kituo
cha polisi” alisema yule manager, na
wakakubaliana hivyo, maana Kipanta
akuwa na ujanja mwingine.*****
Naam mida hii ya saa nane mchana,
ndio mida ambayo Sinder aliingia getoni
kwao, na kumkuta mpenzi wake
waghola, akiwa amejilaza kitandani,
lakini akionyesha dalili ya kuwa alikuwa
ameingia hapo muda siyo mrefu, maana
alikuwa na nguo zake zote mwilini,
“mwenzio yame nikuta makubwa”
alisema Sinder yule mwana dada
mhudumu wa bar, huku ana pembua
nguo moja baada ya nyingine, “kuna
nini tena, kuna mtu ullitaka kuwibia
amekushtukia?” aliuliza Waghora,
pasipo kugeuka kumtazama Sinder,
“hapana, siyo hivyo, si una wakumbuka
wale watu wawili tulio waibia mpaka
nguo zao?” aliuliza Sinder, hapo
Waghola akainuka na kumtazama
Sinder, “ndiyo wamefanyaje?” aliuliza
Waghora kwa mstuko.
Hapo Sinder akamsimulia kila kitu
bwana Waghola, tokea alipoitwa na
manager kuwa aende ofisini kwake, na
kukutana na insp wa polisi, na maswali
aliyo mwuliza, na majibu ambayo yeye
aliyatoa, “nilimshinda hakili, akaondoka
zake” alimaliza Sinder kusimulia, “hapo
sawa ila nazani inabidi utafute bar
nyingine, vinginevyo tuta kamatwa”
alisema Waghora, huku akijilaza tena
kitandani, “vipi wewe ulifanikiwa
kuiotea password?” aliuliza Sinder,
ambae yeye na mpenzi wake, licha ya
kukuta fedha kwa kina Kipanta, pia
walisha uza simu na vitu vilivyo uzika,
walivyo vichukuwa kwakina Kipanta na
Matrida, “nime shindwa tena leo, yule
mshenzi sijuwi aliweka password gani?”
alilalamika Waghola, “duh! hapo
tutakosa miela” alisema Sinder huku
anapanda kitandani, tayari alisha vua
nguo zake na kubakia na nguo za ndani,
“siwezi kukubari nikose ela za yule
mshenzi, tena inaonyesha kuwa bado
ajaibloack, maana ukiichomeka
inasoma kama kawaida” alisema
Waghola, huku akiendelea kusema
kuwa juma tatu anaanza kudili na card
hiyo ya bwana Kipanta mpaka apate
fedha.******
Yap! video za tukio la kudaiwa fedha
pale bar, zilianza kusambaa kwenye
mitandao ya kijamii, ikieleza kuwa yule
jamaa alie fumaniwa na kuwekewa
dawa kwenye pombe , leo ame kunywa
pombe na kushindwa kulipa, video hiyo
ilimkuta Stellah akiwamezani na watoto
wake pamoja na Pross wana pata
chakula cha mchana, ikiwa ni pilau la
kuku, alicho kifanya alicheka kidogo, na
kusema kwa sauti ndogo, “na bado
mbona uta zalilika sana mwaka huu”
alisema Stellah, ambae alikuwa muda
huu licha ya kupata chakula, lakini
walikuwa wanamaongezi makubwa na
watoto wake, ambao waligomesha
kwenda tabora kwa babu yao, wakiitaji
kwanza washerehekee mwaka mpya na
mama yao, jumatano inayo fwata, na
siku hiyo ilikuwa ni ijumaa, “mama sisi
tutaondoka tarehe mbili” alisema mtoto
wa kiume wa bwana Kipanta, “lakini
mama kwanini usiwaachie wale mwaka
mpya hapa hapa, maana Chriss mass
akuwa nao” alisema Pross na
kuwafanya watoto wa stellah, furahi
kwa msaada huo wa Pross, “ok! kaka
yenu amewatetea, mtaondoka tarehe
mbili” alisema Stellah, na wanae
wakashangangilia, kwa nguvu, “alafu
mama kesho juma moss twende
shambani kwa kaka Pross, alisema
mtoto wa kike wa bwana Kipanta, hapo
kabla Pross ajajibu, kuwa boss waka
yupo, tayari Stellah, alisha jibu, kuna
tope jingi sana akuendeki” alipinga
Stellah, ambae alikuwa anajuwa kuwa
mume wake ameamishia makazi kule
shambani, na wakati huo huo simu yake
iliita, ile anaitazama ni simu toka kwa
Celine, mwalimu mwenzie, akaipokea
na kuiweka sikioni, “hallow niambie
mwalimu” alisema Stellah, na hapo
akakutana na kicheko cha maana,
“Stellah, katika maamuzi uliyowai
chukuwa juu ya ndoa yako ili la
kuachana na yule baradhuri, ni uamuzi
wa maana sana, umeona video zake
mpya?” aliongea Celine, na apo Stellah
akainuka na kusogea pembeni na
maongezi yakaendelea.******
Naam Kipanta baada ya kumaliza
kuandikishiana pale kituo cha polisi,
akaelekea benk, ambako alifanya
utaratibu wa kuandikisha kadi nyingine,
ambayo alipewa siku kumi na nne
aifwate, huku wakiifunga ile ya zamani
na kuitrack, popote itakapo tumika
ifahamike na mtumiaji akamatwe mala
moja, pia alifanya utaratibu wa
kuangalia hakiba ya fedha ambayo
ilibakia kwenye account yake, akakuta
kuna tanzania shilingi elfu themanini
pekee, kati ya milioni zaidi ya themanini
alizo lipwa kama fedha ya kustaafia,
lakini uwezi amini bwana Kipanta
aliziona kuwa ni nyingi sana, nikama
ilikuwa toka sifuli mpaka mia, hivyo kitu
cha kwanza alienda moja kwa moja
kwenye ilebar, na kulipa ile fedha, , na
kubakia na shilingi, elfu alobaini na tisa
na mia tano, kisha akaanza safari ya
kuelekea kisalaweakinuna chupa
kadhaa za pombe kali, kisha akaelekea
kule shambani, akiwa na elfu kumi tu!
ambako alikuta akukuwa na dalili ya
uwepo wa Pross, “imanaana jana
akurudi” aliwaza Kipanta, huku anatoka
nje ya kibanda kile, akiwa na
chupamoja ya pombe kali, “we mwache
tu, nikisha kikomboa shamba langu,
namtimua, hayupo makini kabisa
mpuuzi huyu” alijisemea Kipanta huku
anakaa chini ya mwembe pale kwenye
gogo, na kufungua chupa moja ya
pombe kali, nakuanza kuinywa taratibu,
huku akijipa moyo kuwa, siku siyo
nyingi ata jipatia mali zote za Rose.
Naam hayo ndiyo maisha ya Kipanta
kwa week end hii, alibakia analinda
shamba, huku kila siku akiwa
anakunywa chupa moja ya pombe kali,
akishondia mihogo, ya kuchemsha,
sababu akuwa na uwezo wa kutega
wala kununua kambale, fedha aliyo
kuwa nayo ya kiasi cha elfu kumi
aliitunza kama nauli ya jumatatu,
kuendea mahakamani, wakati huo
Pross alikuwa anaendelea kufaidi
kitumbua cha mke wa Kipanta, ambapo
kila usiku ulipowadia Pross alitoka na
kwenda kusimama mtaa wapili toka
kwa Stellah, na baada ya dakika kadhaa
Stella, ange washa gari na kumpitia
kisha wanaenda kulala kwenye guest
flani, ambapo wange lala mpaka alfajili,
na stellah kutangulia nyumbani kisha
Pross akafwatia.
Ratiba hiyo ilidumu mpaka juma tatu,
siku ambayo Kipanta alifika
mahakamani mapema, na kukutana na
Matrida, ambao walielewana kuwa
wampe kesi Rose, lakini wakati
wanataka kuingia mahakamani baada
ya muda wakusikilizwa kesi yao
ulipofika, Matrida akakumbuka jambo,
“hivi umekutana na dada yake Rose?”
aliuliza Matrida, kwa sauti ya chini, “sija
kutana nae, ata simjuwi mtu
mwenyewe, kwani ana dada hapa
mjini?” aliuliza Kipanta, na wakati huo
wakaliona gari aina ya BMW, likiingia
pale kwenye viwanja vya mahakama,
wote kila mmoja kwa muda wake
akalikumbuka, na kulitambua kuwa lima
milikiwa na nani.
Naam wakati Kipanta anashangaa, na
kujiuliza kuwa, “amefwata nini huyu
Malaya” huku Matrida akisema kwa
sauti, “tena huyooo! anaingia” hapo
Kipanta akamtazama Matrida kwa
macho ya mshangao, “kwani Adellah ni
dada yake Rose?”………..
 
  • Thanks
Reactions: ADK
SEHEMU YA ALOBAINI NA MOJA
STORY NA: Mbogo Edgar
ILIPOISHIA SEHEMU YA ALOBAINI: “sija
kutana nae, ata simjuwi mtu
mwenyewe, kwani ana dada hapa
mjini?” aliuliza Kipanta, na wakati huo
wakaliona gari aina ya BMW, likiingia
pale kwenye viwanja vya mahakama,
wote kila mmoja kwa muda wake
akalikumbuka, na kulitambua kuwa lima
milikiwa na nani. Naam wakati Kipanta
anashangaa, na kujiuliza kuwa,
“amefwata nini huyu Malaya” huku
Matrida akisema kwa sauti, “tena
huyooo! anaingia” hapo Kipanta
akamtazama Matrida kwa macho ya
mshangao, “kwani Adellah ni dada yake
Rose?”……….. endelea …..
Aliuliza Kipanta kwa mshangao, “kwani
unamfahamu?” aliuliza Matrida kwa
mshangao, “ndiyo namfahamu” alisema
Kipanta akishindwa kufafanua
anamfahamu kivipi, “ni dada yake, tena
anaishi na mzungu” alisema Matrida
kwa sauti ya kunong’ona, huku
wanalitazama BMW ambalo sasa
lilikuwa limesha simama na akashuka
Matrida pamoja na familia yake, yani
mume wake Mauricio Fernandez, na
watoto wao, hapo ndipo Kipanta
alipovuta picha ya kile anachoelezwa ,
kuwa huyu ni dada wa Rose,
akakumbuka kuwa kipindi yupo na
Adellah kule tabora, Adellah, alikuwa na
mdogo wake wakike, alikuwa mdogo
sana, “Matrida sasa tume tajirika, yeye
si anajifanya mjanja” alisema kwa
kunong’ona bwana Kipanta, huku
akikwepesha macho yake yasi mtazame
Adellah, “kivipi kwani wanaela nyingi?”
aliuliza Matrida swali ambalo jibu lake
analo, maana kwa mwonekano wa
Adellah, na familia yake , na usafiri
wanao tumia, yani gari aina ya BMW
jipya kabisa, “sasa je anaishi Suns
philipe uko Filipino, mume wake ni
kanali wa jeshi, yani ili mdogo wake
aachiwe lazima watulipe fedha ndefu”
alisema Kipanta ambae matumaini yake
yalizidi kuongezeka, ata Matrida pia
aliingiwa na matumaini mengi zaidi,
maana alionekana anatabasamu, tena
tabasamu la matumaini, “mi ndio napo
kupendea hapo, na tukifanikiwa, siku
hiyo tuna kasha tunapombeka mpaka
asubuhi” alisema Matrida kwa
kunong’ona, kisha wakacheka na
kugongeana mikono, kabla awaja
mwona insp anakuja mbele yao,
“salama kaka, pole sana na matatizo ya
jana” alisema insp akimsalimia Kipanta,
“asante sana kaka, ndio ukubwa huo”
alisema Kipanta, kwasauti ya kinyonge,
“dah! niliona kwenye mitandao, lakini
nasikia ulisha maliza” alisema insp, “ni
kweli nilisha maliza” alijibu Kipanta, “ila
we ndugu yangu bwana, kwani ukujuwa
kama yule ni dada yake Rose” aliuliza
Insp, “sikujuwa ila mwache ajifanye
mjanja, wakati mimi nimeshikilia
makali” alisema Kipanta huku wana
tazama kule liliko BMW, yani kwenye
mahegosho ya magari, ambako
waliweza kumwona Adellah ana agana
na familia yake kisha akanza kutembea
kuwafwata pale walipo, “Kipanta bwana,
lakini ukifanikiwa, nenda nyumbani
tabora, usibakie hapa mjini” alisema
insp kwa sauti ya chini, “habari zenu
jamani” alisalimia Adellah, akiwasalimia
wote kwa ujumla wao, lakini aliitikia
insp peke yake, huku wakina Kipanta na
Matrida wakielekea ndani ya ukumbi wa
mahakama, na wakati huo gari la
watuhumiwa likiingia pale mahakamani,
“insp nina ushaidi naomba unielekeze
namna ya kuuwakilisha, mahakamani”
alisema Adellah, huku akitoa simu yake,
toka kwenye mkoba wake, “niushaidi
wa sauti?’ aliuliza insp kwa sauti ya
mshangao huku akiachia tabasamu la
kustaajabu, “ndiyo insp, nilipngea na
Kipanta jana alinieleza ukweli kuwa
Rose akuusika na kwenye tukio hilo”
alisema Adellah, na hapo insp
akatabasamu, “kweli wewe ni
mwanamke wa kuigwa, ok! muda
mchache japo nilitaka niisikilize, lakini
wacha nikakubadhi kwa mwendesha
mashataka, ili akupe nafasi ya
kuwakilisha ushaidi wako” alisema insp
kisha wakaongozana na Adellah,
kuingia ndani, “kweli huyu mzee
anamikosi” alisema insp pasipo
kufafanua.*******
Wakati hayo yanaendelea pale
mahakamani, huku mwana mama
Stellah, akiwa nyumbani kwake, pamoja
na wanae na kijana Pross, mala
akapigiwa simu na Celine, akimweleza
kuwa lisaa limoja badae yeye na rafiki
zake wakina Suzie na wengine wata
kuja pale nyumbani kwake, hivyo
Stellah, akawataka watoto wake
wafanye maandalizi ya kina, huku Pross
akiaga na kusema anaenda kuangalia
kule shamba, maana alisha pitisha siku
tatu bila kukuona na ukichukulia boss
wake alikuwepo kule shamba, “ok!
wewe nenda alafubadae uje kama
kawaida” alisisitiza Stellah, na Pross
akaondoka zake, huku Stellah akiwa
amempatia fedha za nauli, ya kwenda
kurudi na fedha ya chakula.******
Naam Rose akiwa kwenye kizimba cha
mahakama, aliweza kumsikia Kipanta
na rafiki yake Matrida wakitoa maelezo,
yanayo fanana, juu ya tukio
linalosemwa kuwa ni la yeye
kuwawekea dawa kwenye vilevi, wawili
awa, na kupoteza fahamu, ukweli Rose
aliumia sana kuona anasingiziwa hivi
hivi, nambaya zaidi, ata Adellah alipotoa
ushidi wa wa sauti, ya kipanta akisema
kuwa Rose akuusika na lolote, ila ana
taka amkomoe na kumfilisi, ukweli
ipanta alipinga vikali, huku akieleza
kuwa, yeye akuongea mambo ayo na
Adellah, ila Adellah, ametengeneza sauti
hiyo, kwa lengo la kumkomoa yeye
sababu ya visa vya kimapenzi, na pia
kumtetea mdogo wake, “kwanza jana
atungeweza kuongea mamboyote hayo
sababu, mimi na yeye tulikuwa katika
ugomvi mkubwa sana, kiasi cha
kukataa kulipia vinywaji ambavyo
mwanzo alisema angelipia” alieza
Kipanta, na kuzidi kuupoteza maboya
ushaidi wa Adellah.
Adellah alijitaidi, kutoa ufafanuzi wa
ushaidi wake lakini mahakama ulikataa
ushaidi ule, kwa madai kuwa
kumekuwepo utengenezaji na uigizaji
wa sauti za watu, hivyo ushidi wa sauti
pekee usingeweza kutosha kumfanya
Rose aondolewe hatia, “kesi ina
ailishwa mpaka kesho, ambapo
mnatakiwa kuleta ushidi wenu, zaidi ya
hapo, hukumu ita fwatia” hayo yalikuwa
ni maneno ya hakimu, ambayo
yalimvunja nguvu, Adellah ata Rose
mwenyewe, na rafiki yao Joyce, huku
Matrida na Kipanta wakiachia tabasamu
la nguvu, liliashilia ushindi.
Nawalipotoka mahakamani, Adellah,
aliekuwa anatililikwa na machozi huku
anaagana na Rose, akaweza kumwona
Kipanta akiwa ana agana na Matrida
ambae alimkabidhi elfu therasini,
wakiwa na matumaini kuwa kuna fedha
zaidi inakuja.
Adellah awakati anaagana na Rose,
walijaribu kushauriana mawili matatu,
lakini akuna kitu cha kufanya walicho
kipata, ambacho kina weza kuwasaidia
ili kumtoa Rose kwenye huu mkasa,
“lakini ni kweli Kipanta amesema
anataka kukusingizia ili akufilisi”
alisema Adellah akionekana kuwa
mwenye machungu makubwa sana, na
mpaka waachana awakuwa wamepata
wazo litakalo wasaidia. ******
Mida hii ndiyo mida ambayo Pross
alifika kule shambani, na alikuta
pamefungwa, na akuna mtu yoyote,
alichowaza, ni kuwa boss wake Kipanta
ata kuwa amesha rudi mjini kwa mpenzi
wake Rose, na kila alipo mkumbuka
Rose, alijikuta anaona wivu, maana
anakumbuka mschana huyu, alimhaidi
mambo mengi sana usiku wa chriss
mas, lakini matokeo yake, akapotea
moja kwa moja, “au aliona mimi
simfai?” alijiuliza Pross, huku anafungua
mlango kwa funguo nyingine, na
alipoingia ndani akakuta, begi la boss
wake bado lipo, hivyo akajuwa kuwa
boss wake lazima ata rudi tena,
kwamaana yakwamba bado ajarudi
mjini, na muda wowote atarudi pale
shamba, na zaidi ya hapo aliona chupa
kadhaa tupu za pombe kali, akajuwa
kuwa boss wale ni mnywaji wapombe
pia, “kumbe huyu jamaa anakunywaga
pombe” aliwaza Pross ambae alikuwa
anapekuwa pekuwa kutafuta mfuko wa
kubebea vitu vya kwenda navyo mjini,
kuepeleka nyumbani kwao na kwa
mwana mama Stellah, na baada ya
kuupata aka zunguka mashambani,
akikusanya mazaga kibao, alafu akarudi
ndani na kujilaza kidogo, ili akiamka
aende zake kibamba, lakini kutokana na
uchovu, wa kukesha na
# kitumbua_chabuku kwa siku tatu,
akajikuta akipitiwa na usingizi
mzito.******
Kipanta baada ya kuachana na Marida,
alie mkuwa amempatia fedha kiasi cha
elfu therathini, akaelekea mbezi, kwenda
kutafuta dalali, ili aweze kuliuza gari
lake, ukweli ni kwamba akupenda kuishi
kama anavyo ishi, hivyo aliona akijipatia
fedha kupitia gari lake, Toyota IST,
akiwa na maana ya kuliuza, sababu
aliamini siku siyo nyingi atakuw
amrshapata fedha nyingi , leo Kipanta
alifanikiwa kukutana na dalali mmoja
pale mbezi, huyu ni bwana Mic
Mhagama, ni dalali mmoja ambae
alisha fanikiwa kuuza magari mengi
sana, ya watu alio mletea, “sasa
chukuwa namba yangu nitumie picha
whatsaap” alisema dakaki Mhagama,
huku anatoa simu mfukoni, lakini
Kipanta akuwa na simu, na aliona aibu
kusema kuwa akuwa na simu, “da simu
nimeiacha chaji, niandikie sehemu,
nitakutumia baadae” alisema Kipanta,
akiwa na uhakika kuwa ata enda
kumtafuta mtu mwenye simu yenye
uwezo huo, asa Matrida ambae
atakutana nae siku inayofwata kwenye
mahakama.
Kipanta alipewa namba za simu na
kuondoka zake, kuelekea
kisalawe,akipitia chupa kadhaa za
pombe kali, akiwa na lengo la kwenda
kupumzika na kujinywea pombe yake,
kama ilivyo kuwa juzi na jana.******
Naam, mambo yalikuwa ni mpwito
mpwito, wakati Stellah, alikuwa
nyumbani kwake na marafiki zake
anajinywea pombe, huku wakisimuliana
na kuonyeshana picha na video za
whatsaap zilizomwonyesha Kipanta
anavyo dhalilika mtaani, huku Matrida
alikuwa na rafiki zake wanaendelea
kujipatia vinywaji, kwafujo, wakiongea
na kupanga ili na lile, katika kumfilisi
Rose, lakini Rose mwenyewe alikuwa
kwenye chumba cha mahabusu,
anamwaga michozi, asiamini kama
rafiki yake Matrida anasema kuwa
alimwona Rose akiwa anaingia
chumbani na kuwa fanyia fujo huku
akigusa gusa glass zao, “sijuwi nime
mkosea nini, Mat?” ilo swali akuwai
kulipatia jibu Rose, ambae ata dada
yake Adellah, alishindwa kumsaidia
kujinasua, toka kwenye ile kesi, wakati
huo, huo Adellah, pia alikuwa
amejifungia hotelini, akiendelea kulia
kwa muda mrefu, mume wake
akishindwa kum bembe leza, kutokana
na machungu aliyo nayo, ilimuuma
sana, asa alipo vita picha ya jinsi
kipanta akatavyo jiona kuwa ni shujaa,
kwa kuweza kuiingiza familia yao
kwenye matatizo kwa mala nyingine, na
mbaya zaidi Adellah, alimsikia Kipanta
mwenyewe akisema kuwa anaamua
kumsingizia Rose ili amfilisi, kwakweli
ulikuwa ni ucungu mkubwa sana.******
Saa kumi za jioni ndio mida ambayo
Pross alihamka toka kitandani, huku
akihisi njaa ina mchonyota, cha kwanza
kabisa alitoa simu yake na kuipiga kwa
Stellah, ambae alimweleza kuwa
aendelee kusubiri kidogo, ata mstua,
“maana wageni bado wapi” hivyo Pross
akatoka nje ya kibanda chake, na
kwenda kuwasha moto chini mwembe
dodo, alafu akaanza kuandaa chakula
maana njaa ilikuwa ina mcharaza kweli
kweli, hivyo kijana Pross ambae ssa
alizidi kunawili, na kupendeza,
aliendelea kujipikia chakula chake, ikiwa
na kwenda barabarani, kuchukuwa
samaki wakavu aina ya kambale,
ambao walikuwa wanapatikana kwa
wingi eneo ilo, kisha akaja kuwa
tengeneza kwaajili ya mboga.
Lakini basi wakati anaendelea
kujipikilisha, akamwona Kipanta
anaingia kwa mwendo wa uchovu, huku
amekumbatia kifurushi cha chupa ya
pombe ali, “kumbe we mpuuzi uwa
aulindi ili shamba kabisa, kazi yako ni
kudhurula mitaani, hivi si utaasababisha
watu waje kuiba” alisema Kipanta bila
ata salamu, akiwa mita kadhaa kabla
ajamfikia Pross alie kuwa chini ya
mwembe anaanza kusonga ugari,
“shikamoo boss” alisalimia Pross kabla
ajaanza kujitetea, lakini akupewa nafasi
ya kujitetea, alikutana na lawama nyingi
zilizo ambatana na masimango, “sasa
kinacho fwata ni wewe kuondoka hapa,
maana naona kazi imesha kushinda”
alisema Kipanta huku akiwa
anasogelea, kwenye gogo, “lakini boss
nilikuaga, kuwa naondoka kidogo”
alijitetea Pross, “lakini ukuniambia
kama utakaa sikuzote hizi” aliongea
Kipanta ambae alikuwa amesha fika
pale gogoni, na kutupa macho jikoni,
akaona sufulia la ugari lina chemka, aka
tazama sufuria la pembeni, akaona
samaki wanae elea kwenye mchuzi
mzito, hapo aka jichekesha, “kumbe
umesha fanya mambo, utatutosha kweli
huo maana nina njaa” alisema Kipanta
huku anajichekesha chekesha,
“unautosha, ni mwngi sana huu” alijibu
Pross, alie kuwa anendelea kushugulika
na mapishi, ila wewe dogo, unaweza
kuishi popote na ukaanikiwa,
unaonekana unajiuma sana” alisema
Kipanta uku akijikalisha kwenye gogoni,
ukiwa ni mkao wa kula.*****
Yap, mama Pross alikuwa anaendelea
shughuri zake pale nyumbani, kama
ilivyo kawaida, aliuliza mboga na vitu
vingine vingi vya gengeni kwake,
akisaidiana na mdogo wake, na kuna
wakati walikuwa wanazama kwenye
maongezi, huku wana sukana, mama
mdogo siku hizi, alikuwa moto mzuri,
akuwa anaenda tena kutafuta
wanaume, na kunywa pombe nyingi
nyingi, kama alivyo kuwa anafanya
zamani, “hivi dada unamkumbukaga
shemeji kweli?” aliuliza mama mdogo,
akiwa ana msuka dada yake, yani
mama Pross, “yani uwezi amini, kuna
wakati uwa najiuliza sijuwi alipatwa na
nini, mpaka akaamua kutukimbia”
alisema mama huyu, kwa sauti ya upole
iliyoanza kuingiwa na unyonge, “lakini
sawa ni ela zake, ila ange wakumbuka
ata wanae basi” alisema mama Pross,
kwa sauti ile ile ya masikitiko, “iala dada
tushukuru Pross alibakia na sisi,
vinginevyo tunge umbuka” alisema
mama mdogo, huku wote wakiamini
kuwa bwana Feruz anaishi maisha
mazuri, huko aliko, “ulitaka kumwagia
radhi mtoto wawatu” alisema mama
Pross wote wakacheka, “usinikumbushe
dada yani pombe siyo chai, nilijuwa nipo
na shemeji yako” alisema mama mdogo
wakiendeleea kucheka, “na una bahati
mtoto ange juwa kuwa umefanya
makusudi, lazima ange kutia” alisema
dada mtu, “sijuwi ninge mtazamaje siku
yapili, ila siku hizi ana nawili anakuwa
mzuriiii!” alisema mama mdogo, “alafu
anazidisha kutoa fedha nyingi, sijuwi
anazipata wapi?” alisema mama Pross,
huku wakiendelea kuongea ili na lile, na
kusukana.******
Naam mida ya saa kumi na moja na
nusu, Pross alikuwa ndani ya kibanda
cha bati, ame jilaza kitandani, ni baada
ya kuwa alisha maliza kula na kuosha
kuosha vyombo, mida hiyo, Kipanta
alikuwa amekaa nje ya kibanda, pale
chini ya mwembe, ana kunywa pombe
taratibu huku anafilia jinsi atakavyo,
miliki mali za Rose, “asa lile gari, yani
sijuwi nilikuwa nawaza nini, mpaka
nikatoa million kumi na nane
kumnunulia” aliwaza Kipanta ambae
sasa alishaanza kulewa, pia aliwaza juu
ya Rose kuwa mdogo wake Adellah,
“kwamaana hiyo Rose akujuwa kama
nimewai kuembea na dada yake?”
alijiuliza Kipanta, ambae akuwaza kama
kilikuwa ni kisasi, “alafu na huyu
mpumbavu anajifanya kuni record ime
kula kwake, sas wote nim wakanyaga,
na nina mkomba kila kitu” alijisifu
Kipanta, ambae sasa alianza kupata
hamu ya kumweleza mtu, kiasi kwamba
ata koo lilianza kumpwita pwita.
Wakati Kipanta anawaza juu ya hayo,
huku nako Pross alikuwa anaona
anachelewa kwenda mjini, maana bado
alikuwa ajapigiwa simu na Stellah,
kama aende au asiende, “we dogooo!”
Pross alisikia sauti ya kilevi ya boss
wake, kwanza aliona kama usumbufu,
akaachia msonyo wa chini chini, na
kukausha kimya, mala ikasikika tena
sauti ya Kipanta, “we! dogooo!” safari
hii, ilikuwa ya juu zaidi, “naam boss”
aliitikia Pross, kwa sauti ya
unyenyekevu, “ebu njoo dogo, unakaaje
ndani kama utumbo, kijumba chenyewe
kama banda la mbuzi” alisikika Kipanta
kwa sauti yake ile ile ya kilevi, “nakuja
boss” aliitikia Pross, ambae kiukweli
akupenda jambo lile na dharau za
bwana Kipanta, “haaa! una niwekea
usiku bwana, unataka nini?, alafu
unadharau hiki kibanda, wakati ume
ng’ang’ania huku utaki kaa mjini”
alisema Pross kwa sauti ya chini, huku
anainuka toka kitandani, na kuvaa viatu
vyake, alafu akatoka nje, na kuelekea
pale chini ya mti, “ebu kaa hapa dogo,
alafu wewe siunakunywa pombe,
kwanini usinywe kidogo” alisema
Kipanta kwa sauti ya kilevi, “mimi
sinywa hizo kali, na kunywa wine”
alisema Pross huku anakaa kwenye
gogo pembeni ya Kipanta, simu yake
ikiwa mkononi, “ok! tuyaache hayo
najuwa demu wako atakupigia mkanywe
pombe zenu za kichoyo” alisema
Kipanta na kuweka kituo kidogo,
akinywa funda moja la ile wisk, na kisha
kuisikilizia kama vile ina mchoma maini,
au utumbo, alafu akaendelea, “dogo
nataka niku fundishe kitu, kuusu
maisha, siyo unakaa kindezi ndezi”
alisema Kipanta kwa sauti ambayo, ata
wewe kama ndiyo unamsikiliza hakika
usinge mtilia maanani, kwaku juwa ni
mlevi tu!, “ujuwe wanawake ni watu
wakuishi nao kwa hakiri sana, hivi una
juwa demu wangu yupo wapi?” ………..
endelea …..
 
  • Thanks
Reactions: ADK
SEHEMU YA ALOBAINI NA MOJA
STORY NA: Mbogo Edgar
ILIPOISHIA SEHEMU YA ALOBAINI: “sija
kutana nae, ata simjuwi mtu
mwenyewe, kwani ana dada hapa
mjini?” aliuliza Kipanta, na wakati huo
wakaliona gari aina ya BMW, likiingia
pale kwenye viwanja vya mahakama,
wote kila mmoja kwa muda wake
akalikumbuka, na kulitambua kuwa lima
milikiwa na nani. Naam wakati Kipanta
anashangaa, na kujiuliza kuwa,
“amefwata nini huyu Malaya” huku
Matrida akisema kwa sauti, “tena
huyooo! anaingia” hapo Kipanta
akamtazama Matrida kwa macho ya
mshangao, “kwani Adellah ni dada yake
Rose?”……….. endelea …..
Aliuliza Kipanta kwa mshangao, “kwani
unamfahamu?” aliuliza Matrida kwa
mshangao, “ndiyo namfahamu” alisema
Kipanta akishindwa kufafanua
anamfahamu kivipi, “ni dada yake, tena
anaishi na mzungu” alisema Matrida
kwa sauti ya kunong’ona, huku
wanalitazama BMW ambalo sasa
lilikuwa limesha simama na akashuka
Matrida pamoja na familia yake, yani
mume wake Mauricio Fernandez, na
watoto wao, hapo ndipo Kipanta
alipovuta picha ya kile anachoelezwa ,
kuwa huyu ni dada wa Rose,
akakumbuka kuwa kipindi yupo na
Adellah kule tabora, Adellah, alikuwa na
mdogo wake wakike, alikuwa mdogo
sana, “Matrida sasa tume tajirika, yeye
si anajifanya mjanja” alisema kwa
kunong’ona bwana Kipanta, huku
akikwepesha macho yake yasi mtazame
Adellah, “kivipi kwani wanaela nyingi?”
aliuliza Matrida swali ambalo jibu lake
analo, maana kwa mwonekano wa
Adellah, na familia yake , na usafiri
wanao tumia, yani gari aina ya BMW
jipya kabisa, “sasa je anaishi Suns
philipe uko Filipino, mume wake ni
kanali wa jeshi, yani ili mdogo wake
aachiwe lazima watulipe fedha ndefu”
alisema Kipanta ambae matumaini yake
yalizidi kuongezeka, ata Matrida pia
aliingiwa na matumaini mengi zaidi,
maana alionekana anatabasamu, tena
tabasamu la matumaini, “mi ndio napo
kupendea hapo, na tukifanikiwa, siku
hiyo tuna kasha tunapombeka mpaka
asubuhi” alisema Matrida kwa
kunong’ona, kisha wakacheka na
kugongeana mikono, kabla awaja
mwona insp anakuja mbele yao,
“salama kaka, pole sana na matatizo ya
jana” alisema insp akimsalimia Kipanta,
“asante sana kaka, ndio ukubwa huo”
alisema Kipanta, kwasauti ya kinyonge,
“dah! niliona kwenye mitandao, lakini
nasikia ulisha maliza” alisema insp, “ni
kweli nilisha maliza” alijibu Kipanta, “ila
we ndugu yangu bwana, kwani ukujuwa
kama yule ni dada yake Rose” aliuliza
Insp, “sikujuwa ila mwache ajifanye
mjanja, wakati mimi nimeshikilia
makali” alisema Kipanta huku wana
tazama kule liliko BMW, yani kwenye
mahegosho ya magari, ambako
waliweza kumwona Adellah ana agana
na familia yake kisha akanza kutembea
kuwafwata pale walipo, “Kipanta bwana,
lakini ukifanikiwa, nenda nyumbani
tabora, usibakie hapa mjini” alisema
insp kwa sauti ya chini, “habari zenu
jamani” alisalimia Adellah, akiwasalimia
wote kwa ujumla wao, lakini aliitikia
insp peke yake, huku wakina Kipanta na
Matrida wakielekea ndani ya ukumbi wa
mahakama, na wakati huo gari la
watuhumiwa likiingia pale mahakamani,
“insp nina ushaidi naomba unielekeze
namna ya kuuwakilisha, mahakamani”
alisema Adellah, huku akitoa simu yake,
toka kwenye mkoba wake, “niushaidi
wa sauti?’ aliuliza insp kwa sauti ya
mshangao huku akiachia tabasamu la
kustaajabu, “ndiyo insp, nilipngea na
Kipanta jana alinieleza ukweli kuwa
Rose akuusika na kwenye tukio hilo”
alisema Adellah, na hapo insp
akatabasamu, “kweli wewe ni
mwanamke wa kuigwa, ok! muda
mchache japo nilitaka niisikilize, lakini
wacha nikakubadhi kwa mwendesha
mashataka, ili akupe nafasi ya
kuwakilisha ushaidi wako” alisema insp
kisha wakaongozana na Adellah,
kuingia ndani, “kweli huyu mzee
anamikosi” alisema insp pasipo
kufafanua.*******
Wakati hayo yanaendelea pale
mahakamani, huku mwana mama
Stellah, akiwa nyumbani kwake, pamoja
na wanae na kijana Pross, mala
akapigiwa simu na Celine, akimweleza
kuwa lisaa limoja badae yeye na rafiki
zake wakina Suzie na wengine wata
kuja pale nyumbani kwake, hivyo
Stellah, akawataka watoto wake
wafanye maandalizi ya kina, huku Pross
akiaga na kusema anaenda kuangalia
kule shamba, maana alisha pitisha siku
tatu bila kukuona na ukichukulia boss
wake alikuwepo kule shamba, “ok!
wewe nenda alafubadae uje kama
kawaida” alisisitiza Stellah, na Pross
akaondoka zake, huku Stellah akiwa
amempatia fedha za nauli, ya kwenda
kurudi na fedha ya chakula.******
Naam Rose akiwa kwenye kizimba cha
mahakama, aliweza kumsikia Kipanta
na rafiki yake Matrida wakitoa maelezo,
yanayo fanana, juu ya tukio
linalosemwa kuwa ni la yeye
kuwawekea dawa kwenye vilevi, wawili
awa, na kupoteza fahamu, ukweli Rose
aliumia sana kuona anasingiziwa hivi
hivi, nambaya zaidi, ata Adellah alipotoa
ushidi wa wa sauti, ya kipanta akisema
kuwa Rose akuusika na lolote, ila ana
taka amkomoe na kumfilisi, ukweli
ipanta alipinga vikali, huku akieleza
kuwa, yeye akuongea mambo ayo na
Adellah, ila Adellah, ametengeneza sauti
hiyo, kwa lengo la kumkomoa yeye
sababu ya visa vya kimapenzi, na pia
kumtetea mdogo wake, “kwanza jana
atungeweza kuongea mamboyote hayo
sababu, mimi na yeye tulikuwa katika
ugomvi mkubwa sana, kiasi cha
kukataa kulipia vinywaji ambavyo
mwanzo alisema angelipia” alieza
Kipanta, na kuzidi kuupoteza maboya
ushaidi wa Adellah.
Adellah alijitaidi, kutoa ufafanuzi wa
ushaidi wake lakini mahakama ulikataa
ushaidi ule, kwa madai kuwa
kumekuwepo utengenezaji na uigizaji
wa sauti za watu, hivyo ushidi wa sauti
pekee usingeweza kutosha kumfanya
Rose aondolewe hatia, “kesi ina
ailishwa mpaka kesho, ambapo
mnatakiwa kuleta ushidi wenu, zaidi ya
hapo, hukumu ita fwatia” hayo yalikuwa
ni maneno ya hakimu, ambayo
yalimvunja nguvu, Adellah ata Rose
mwenyewe, na rafiki yao Joyce, huku
Matrida na Kipanta wakiachia tabasamu
la nguvu, liliashilia ushindi.
Nawalipotoka mahakamani, Adellah,
aliekuwa anatililikwa na machozi huku
anaagana na Rose, akaweza kumwona
Kipanta akiwa ana agana na Matrida
ambae alimkabidhi elfu therasini,
wakiwa na matumaini kuwa kuna fedha
zaidi inakuja.
Adellah awakati anaagana na Rose,
walijaribu kushauriana mawili matatu,
lakini akuna kitu cha kufanya walicho
kipata, ambacho kina weza kuwasaidia
ili kumtoa Rose kwenye huu mkasa,
“lakini ni kweli Kipanta amesema
anataka kukusingizia ili akufilisi”
alisema Adellah akionekana kuwa
mwenye machungu makubwa sana, na
mpaka waachana awakuwa wamepata
wazo litakalo wasaidia. ******
Mida hii ndiyo mida ambayo Pross
alifika kule shambani, na alikuta
pamefungwa, na akuna mtu yoyote,
alichowaza, ni kuwa boss wake Kipanta
ata kuwa amesha rudi mjini kwa mpenzi
wake Rose, na kila alipo mkumbuka
Rose, alijikuta anaona wivu, maana
anakumbuka mschana huyu, alimhaidi
mambo mengi sana usiku wa chriss
mas, lakini matokeo yake, akapotea
moja kwa moja, “au aliona mimi
simfai?” alijiuliza Pross, huku anafungua
mlango kwa funguo nyingine, na
alipoingia ndani akakuta, begi la boss
wake bado lipo, hivyo akajuwa kuwa
boss wake lazima ata rudi tena,
kwamaana yakwamba bado ajarudi
mjini, na muda wowote atarudi pale
shamba, na zaidi ya hapo aliona chupa
kadhaa tupu za pombe kali, akajuwa
kuwa boss wale ni mnywaji wapombe
pia, “kumbe huyu jamaa anakunywaga
pombe” aliwaza Pross ambae alikuwa
anapekuwa pekuwa kutafuta mfuko wa
kubebea vitu vya kwenda navyo mjini,
kuepeleka nyumbani kwao na kwa
mwana mama Stellah, na baada ya
kuupata aka zunguka mashambani,
akikusanya mazaga kibao, alafu akarudi
ndani na kujilaza kidogo, ili akiamka
aende zake kibamba, lakini kutokana na
uchovu, wa kukesha na
# kitumbua_chabuku kwa siku tatu,
akajikuta akipitiwa na usingizi
mzito.******
Kipanta baada ya kuachana na Marida,
alie mkuwa amempatia fedha kiasi cha
elfu therathini, akaelekea mbezi, kwenda
kutafuta dalali, ili aweze kuliuza gari
lake, ukweli ni kwamba akupenda kuishi
kama anavyo ishi, hivyo aliona akijipatia
fedha kupitia gari lake, Toyota IST,
akiwa na maana ya kuliuza, sababu
aliamini siku siyo nyingi atakuw
amrshapata fedha nyingi , leo Kipanta
alifanikiwa kukutana na dalali mmoja
pale mbezi, huyu ni bwana Mic
Mhagama, ni dalali mmoja ambae
alisha fanikiwa kuuza magari mengi
sana, ya watu alio mletea, “sasa
chukuwa namba yangu nitumie picha
whatsaap” alisema dakaki Mhagama,
huku anatoa simu mfukoni, lakini
Kipanta akuwa na simu, na aliona aibu
kusema kuwa akuwa na simu, “da simu
nimeiacha chaji, niandikie sehemu,
nitakutumia baadae” alisema Kipanta,
akiwa na uhakika kuwa ata enda
kumtafuta mtu mwenye simu yenye
uwezo huo, asa Matrida ambae
atakutana nae siku inayofwata kwenye
mahakama.
Kipanta alipewa namba za simu na
kuondoka zake, kuelekea
kisalawe,akipitia chupa kadhaa za
pombe kali, akiwa na lengo la kwenda
kupumzika na kujinywea pombe yake,
kama ilivyo kuwa juzi na jana.******
Naam, mambo yalikuwa ni mpwito
mpwito, wakati Stellah, alikuwa
nyumbani kwake na marafiki zake
anajinywea pombe, huku wakisimuliana
na kuonyeshana picha na video za
whatsaap zilizomwonyesha Kipanta
anavyo dhalilika mtaani, huku Matrida
alikuwa na rafiki zake wanaendelea
kujipatia vinywaji, kwafujo, wakiongea
na kupanga ili na lile, katika kumfilisi
Rose, lakini Rose mwenyewe alikuwa
kwenye chumba cha mahabusu,
anamwaga michozi, asiamini kama
rafiki yake Matrida anasema kuwa
alimwona Rose akiwa anaingia
chumbani na kuwa fanyia fujo huku
akigusa gusa glass zao, “sijuwi nime
mkosea nini, Mat?” ilo swali akuwai
kulipatia jibu Rose, ambae ata dada
yake Adellah, alishindwa kumsaidia
kujinasua, toka kwenye ile kesi, wakati
huo, huo Adellah, pia alikuwa
amejifungia hotelini, akiendelea kulia
kwa muda mrefu, mume wake
akishindwa kum bembe leza, kutokana
na machungu aliyo nayo, ilimuuma
sana, asa alipo vita picha ya jinsi
kipanta akatavyo jiona kuwa ni shujaa,
kwa kuweza kuiingiza familia yao
kwenye matatizo kwa mala nyingine, na
mbaya zaidi Adellah, alimsikia Kipanta
mwenyewe akisema kuwa anaamua
kumsingizia Rose ili amfilisi, kwakweli
ulikuwa ni ucungu mkubwa sana.******
Saa kumi za jioni ndio mida ambayo
Pross alihamka toka kitandani, huku
akihisi njaa ina mchonyota, cha kwanza
kabisa alitoa simu yake na kuipiga kwa
Stellah, ambae alimweleza kuwa
aendelee kusubiri kidogo, ata mstua,
“maana wageni bado wapi” hivyo Pross
akatoka nje ya kibanda chake, na
kwenda kuwasha moto chini mwembe
dodo, alafu akaanza kuandaa chakula
maana njaa ilikuwa ina mcharaza kweli
kweli, hivyo kijana Pross ambae ssa
alizidi kunawili, na kupendeza,
aliendelea kujipikia chakula chake, ikiwa
na kwenda barabarani, kuchukuwa
samaki wakavu aina ya kambale,
ambao walikuwa wanapatikana kwa
wingi eneo ilo, kisha akaja kuwa
tengeneza kwaajili ya mboga.
Lakini basi wakati anaendelea
kujipikilisha, akamwona Kipanta
anaingia kwa mwendo wa uchovu, huku
amekumbatia kifurushi cha chupa ya
pombe ali, “kumbe we mpuuzi uwa
aulindi ili shamba kabisa, kazi yako ni
kudhurula mitaani, hivi si utaasababisha
watu waje kuiba” alisema Kipanta bila
ata salamu, akiwa mita kadhaa kabla
ajamfikia Pross alie kuwa chini ya
mwembe anaanza kusonga ugari,
“shikamoo boss” alisalimia Pross kabla
ajaanza kujitetea, lakini akupewa nafasi
ya kujitetea, alikutana na lawama nyingi
zilizo ambatana na masimango, “sasa
kinacho fwata ni wewe kuondoka hapa,
maana naona kazi imesha kushinda”
alisema Kipanta huku akiwa
anasogelea, kwenye gogo, “lakini boss
nilikuaga, kuwa naondoka kidogo”
alijitetea Pross, “lakini ukuniambia
kama utakaa sikuzote hizi” aliongea
Kipanta ambae alikuwa amesha fika
pale gogoni, na kutupa macho jikoni,
akaona sufulia la ugari lina chemka, aka
tazama sufuria la pembeni, akaona
samaki wanae elea kwenye mchuzi
mzito, hapo aka jichekesha, “kumbe
umesha fanya mambo, utatutosha kweli
huo maana nina njaa” alisema Kipanta
huku anajichekesha chekesha,
“unautosha, ni mwngi sana huu” alijibu
Pross, alie kuwa anendelea kushugulika
na mapishi, ila wewe dogo, unaweza
kuishi popote na ukaanikiwa,
unaonekana unajiuma sana” alisema
Kipanta uku akijikalisha kwenye gogoni,
ukiwa ni mkao wa kula.*****
Yap, mama Pross alikuwa anaendelea
shughuri zake pale nyumbani, kama
ilivyo kawaida, aliuliza mboga na vitu
vingine vingi vya gengeni kwake,
akisaidiana na mdogo wake, na kuna
wakati walikuwa wanazama kwenye
maongezi, huku wana sukana, mama
mdogo siku hizi, alikuwa moto mzuri,
akuwa anaenda tena kutafuta
wanaume, na kunywa pombe nyingi
nyingi, kama alivyo kuwa anafanya
zamani, “hivi dada unamkumbukaga
shemeji kweli?” aliuliza mama mdogo,
akiwa ana msuka dada yake, yani
mama Pross, “yani uwezi amini, kuna
wakati uwa najiuliza sijuwi alipatwa na
nini, mpaka akaamua kutukimbia”
alisema mama huyu, kwa sauti ya upole
iliyoanza kuingiwa na unyonge, “lakini
sawa ni ela zake, ila ange wakumbuka
ata wanae basi” alisema mama Pross,
kwa sauti ile ile ya masikitiko, “iala dada
tushukuru Pross alibakia na sisi,
vinginevyo tunge umbuka” alisema
mama mdogo, huku wote wakiamini
kuwa bwana Feruz anaishi maisha
mazuri, huko aliko, “ulitaka kumwagia
radhi mtoto wawatu” alisema mama
Pross wote wakacheka, “usinikumbushe
dada yani pombe siyo chai, nilijuwa nipo
na shemeji yako” alisema mama mdogo
wakiendeleea kucheka, “na una bahati
mtoto ange juwa kuwa umefanya
makusudi, lazima ange kutia” alisema
dada mtu, “sijuwi ninge mtazamaje siku
yapili, ila siku hizi ana nawili anakuwa
mzuriiii!” alisema mama mdogo, “alafu
anazidisha kutoa fedha nyingi, sijuwi
anazipata wapi?” alisema mama Pross,
huku wakiendelea kuongea ili na lile, na
kusukana.******
Naam mida ya saa kumi na moja na
nusu, Pross alikuwa ndani ya kibanda
cha bati, ame jilaza kitandani, ni baada
ya kuwa alisha maliza kula na kuosha
kuosha vyombo, mida hiyo, Kipanta
alikuwa amekaa nje ya kibanda, pale
chini ya mwembe, ana kunywa pombe
taratibu huku anafilia jinsi atakavyo,
miliki mali za Rose, “asa lile gari, yani
sijuwi nilikuwa nawaza nini, mpaka
nikatoa million kumi na nane
kumnunulia” aliwaza Kipanta ambae
sasa alishaanza kulewa, pia aliwaza juu
ya Rose kuwa mdogo wake Adellah,
“kwamaana hiyo Rose akujuwa kama
nimewai kuembea na dada yake?”
alijiuliza Kipanta, ambae akuwaza kama
kilikuwa ni kisasi, “alafu na huyu
mpumbavu anajifanya kuni record ime
kula kwake, sas wote nim wakanyaga,
na nina mkomba kila kitu” alijisifu
Kipanta, ambae sasa alianza kupata
hamu ya kumweleza mtu, kiasi kwamba
ata koo lilianza kumpwita pwita.
Wakati Kipanta anawaza juu ya hayo,
huku nako Pross alikuwa anaona
anachelewa kwenda mjini, maana bado
alikuwa ajapigiwa simu na Stellah,
kama aende au asiende, “we dogooo!”
Pross alisikia sauti ya kilevi ya boss
wake, kwanza aliona kama usumbufu,
akaachia msonyo wa chini chini, na
kukausha kimya, mala ikasikika tena
sauti ya Kipanta, “we! dogooo!” safari
hii, ilikuwa ya juu zaidi, “naam boss”
aliitikia Pross, kwa sauti ya
unyenyekevu, “ebu njoo dogo, unakaaje
ndani kama utumbo, kijumba chenyewe
kama banda la mbuzi” alisikika Kipanta
kwa sauti yake ile ile ya kilevi, “nakuja
boss” aliitikia Pross, ambae kiukweli
akupenda jambo lile na dharau za
bwana Kipanta, “haaa! una niwekea
usiku bwana, unataka nini?, alafu
unadharau hiki kibanda, wakati ume
ng’ang’ania huku utaki kaa mjini”
alisema Pross kwa sauti ya chini, huku
anainuka toka kitandani, na kuvaa viatu
vyake, alafu akatoka nje, na kuelekea
pale chini ya mti, “ebu kaa hapa dogo,
alafu wewe siunakunywa pombe,
kwanini usinywe kidogo” alisema
Kipanta kwa sauti ya kilevi, “mimi
sinywa hizo kali, na kunywa wine”
alisema Pross huku anakaa kwenye
gogo pembeni ya Kipanta, simu yake
ikiwa mkononi, “ok! tuyaache hayo
najuwa demu wako atakupigia mkanywe
pombe zenu za kichoyo” alisema
Kipanta na kuweka kituo kidogo,
akinywa funda moja la ile wisk, na kisha
kuisikilizia kama vile ina mchoma maini,
au utumbo, alafu akaendelea, “dogo
nataka niku fundishe kitu, kuusu
maisha, siyo unakaa kindezi ndezi”
alisema Kipanta kwa sauti ambayo, ata
wewe kama ndiyo unamsikiliza hakika
usinge mtilia maanani, kwaku juwa ni
mlevi tu!, “ujuwe wanawake ni watu
wakuishi nao kwa hakiri sana, hivi una
juwa demu wangu yupo wapi?” ………..
endelea …..
 
  • Thanks
Reactions: ADK
SEHEMU YA ALOBAINI NA MBILI
STORY NA: Mbogo Edgar
ILIPOISHIA SEHEMU YA ALOBAINI NA
MOJA: “ok! tuyaache hayo najuwa demu
wako atakupigia mkanywe pombe zenu
za kichoyo” alisema Kipanta na kuweka
kituo kidogo, akinywa funda moja la ile
wisk, na kisha kuisikilizia kama vile ina
mchoma maini, au utumbo, alafu
akaendelea, “dogo nataka niku fundishe
kitu, kuusu maisha, siyo unakaa kindezi
ndezi” alisema Kipanta kwa sauti
ambayo, ata wewe kama ndiyo
unamsikiliza hakika usinge mtilia
maanani, kwaku juwa ni mlevi tu!,
“ujuwe wanawake ni watu wakuishi nao
kwa hakiri sana, hivi una juwa demu
wangu yupo wapi?” ……….. endelea ….
aliuliza Kipanta huku akimtazama
Pross, na usowake umechanua kwa
tabasamu la kilevi, hapo zaidi ya
tabasamu, Pross aliweza kuona ndevu
za bwana Kipanta zilizo jawa na mvi,
ilionyesha kuwa bwana Kipanta ata
usmart wa kunyoa ndevu uli mshinda,
“sijuwi alafu siku hizi simwoni kuja
huku, na rafiki zake” alisema Pross
ambae sasa alianza kupata hamu ya
kusikiliza mafunzo aliyo taka kupewa,
maana yalionyesha dalili ya kumuusu
Rose, mwanamke ambae alisha peana
nae dudu, kwa usiku kucha, na wali
furahia usiku wao vizuri sana, siku ile ya
christimas, “ata wezaje kuja wakati
yupo mahabusu” alisema Kipanta kwa
kujisifu, na kuanza kuelezea jinsi
mambo yalivyo kuwa, “nili mnasa rafiki
yake nika enda kutafuna, yeye akaja
kujifanya kufumania, nika mtimua, lafu
akajifanya kuni fungia vioo, wakati mimi
nime mnunulia vitu kibao, mpaka lile
gari, nyumba nime mjengea, nime
mjengea maflemu kibao, nime mpa
mitaji kibao, alafu leo aniache kilahisi
hivi, sasa nime msingizia kesi, ya
kuniwekea dawa kwenye pombe, na
kesho ndiyo hukumu yake” alisema
Kipanta kwa sauti ya kilevi, na
kumshtua sana Pross, ambae
alitambua kwanini akuwa anamwona
Rose, kuja pale shambani kama walivyo
kubaliana, “nita mfilisi kila kitu, na dada
yake amejifanya mjanja, nime mkataa
mbele ya hakimu, amebakia analia lia
tu!” alisema Kipanta, na kumkumbusha
Pross simulizi aliyo wai kusimuliwa na
Rose, siku ile ya Christimas, “kwani we
boss auna mke na watoto?” aliuliza
Pross, swali ambalo lili mshtua Kipanta
japo alikuwa amelewa, “yupo … yupo…
mke wangu yupo bomba kinyama, yani
akipita hapa ata wewe japo moto lazima
unge kubari kuwa najuwa kuchagua
mademu bomba” alijisifu Kipanta, “ok!
sasa yeye anajuwa kama una
mwanamke mwingine, na ulimjengea
nyumba” aliuliza Pross na wakati huo
huo simu yake ikaita, kutazama alikuwa
ni Stellah, “demu wako huyooo
nakupigia” alisema Kipanta, na wote
wakacheka kidogo, huku Pross
anapokea simu, “niambie mama”
alisema Pross, huku wanatazamana na
Kipanta, ambae akusikia maneno ya
upande wa pili, ila alimsikia Pross
akiuliza, “kwahiyo niende moja kwa
moja mpaka pale pale pa jana?” kusikia
hivyo Kipanta akacheka kidogo, mtoto
hatari wewe” alisema kipanta kwa sauti
ya kilevi sauti ambayo ilionyesha kuwa
Stellah aliisikia, maana Pross alisikika
akisema, “ni boss wangu huyo….. ok!
nakuja, nikifika mbezi nitakupigia, ….
sawa nakama ninjia ya huku
nachukuwa piki piki” hapo Pross
alimaliza kuongea na simu ikakatwa,
alafu Pross akamtazama boss Kipanta,
“sasa Boss wacha mimi nisogee mjini”
alisema Pross, “we nenda tu! ila mimi
kesho natoka mapema, nawai
mahakamani, nikifanikiwa mambo
yangu huku sito rudi, tuta wasiliana
kwenye simu” alisema Kipanta ambae
alimini baada ya kutoka mahakamani
kesho, atakuwa na fedha nauwezo
mkubwa sana, ikiwa pamoja na kumiliki
magari nyumba maduka ya Rose, na
kujinunulia simu ya kisasa, “ aina shida
boss” alisema Pross ambae alijitwisha
furushi, lake na kuanza kusogea
barabarani, huku anatoa simu yake
nakumpigia bodaboda, ili ake
kumfwata.
Dakika chache baadae alikuwa tayari
amesha kutana na boda boda na safari
ya mjini imeanza, akiwa juu ya pikipiki,
huku amefunga mzigo wakenyuma
kabisa, Pross alionekana kuwaza sana
juu yakile ambacho Kipanta alipanga
kumfanyia, Rose, na kilicho muumiza
zaidi ni kwamba aikuwa mala ya
kwanza kwa Kipanta kuitendea uovu
familia ya kina Rose, maana Pross
alisha simuliwa na Rose kila kitu, ukweli
roho ilimuuma sana Pross, mpaka
akapanga kumsimulia Stellah, ambae
walipokutana dakika alobaini natano
mbele, Stellah, aligundua unyonge wa
Pross, “jamani mpenzi, umechukia,
nilivyo kuambia ukakae kwanza shamba
niongee na rafiki zangu” aliuliza Stellah
alie kuwa amelewa, huku wakiwa bar,
wanapata wine na chakula, kuongeza
nguvu na chachu ya kuingia chumbani,
“hapana Stellah, ila kuna story moja ina
umiza roho mpaka nashindwa
nifanyaje” alisema PPross na kuanza
kumsimulia Stellah, mkasa mzima juu
ya kilicho tokea baina ya Rose na
Kipanta, pasipo kujuwa kuwa Kipanta ni
mume wa Stellah, huku Pross akitumua
hakiri nyingi kuepusha kipengele cha
kupeana dudu na Rose.
Ukweli japo Stellah, alikuwa amelwa
kwa kiasi chake lakini simulizi ile
ilimshangaza sana na kumshtua,
“imanaana alitembea na dada mtu na
kuzaa nae, kisha akamtelekeza na
baadae kusababisha kifo cha kaka yao,
na yeye akaoa mwanamke mwingine?”
aliuliza kwa mshangao Stellah, “ndiyo
na sasa anamsingizia kuwa alimwekea
dawa, ili mfilisi kila kitu, na
kumkomesha mke wake, ambae
anasema anajifanya mjanja” alisema
Pross na hapo Stellah, alicheka kidogo,
“huyu mshenzi ata dharirika sana
mwaka huu” alisema Stellah,
pasipoPross kujuwa mama huyu ana
maanisha nini, kisha wakatulia kidogo,
“Sikia Pross kuna kitu mimi nataka
nikushauri, ebu msaidie huyo boss
wako” alisemStellah na kuanza
kumweleza Pross kitu cha kufanya., ili
kumsaidia Rose, maana ukiachilia
Stellah, kushtushwa na unyama
alioufanya Kipanta kwa Adellah, pia
akupenda Kipanta afanikiwe, maana
yeye angekuwa katika wakati mgumu,
na lengo lake yeye ni kuona Kipanta
analipia aliyo yafanya.*******
Naam siku ya pili saa mbili asubuhi, nje
ya viwanja vya mahakama, watu
walionekana wamefulika vibaya sana,
watu wa kawaida kwa waandishi wa
habari, kila mmoja alionyesha kuwa
alitaka kujuwa tamati ya kesi ile
ambayo siku za hivi karibuni, ili tawala
sana mitandaoni, kuna wakati
waandishi walionekana wakimzonga
zonga Adellah, na kumwuliza anatabiri
vipi juu ya humu ya mdogo wake,
“kuhusu hukumu tuiachia mahakama
ila ukweli mdogo wangu, akufanya
kitendo hicho” alisema Adellah, ambae
leo alikuwa amevaa miwani meusi,
kuzuwia wekundu wa macho yake
ambayo alikesha akilia usiku kucha.
Lakini waandishi hao hao walipo
mfwata ipanta na kumwuliza
mwenendo wa kesi, aliongea kwa
majigambo, “nazani ilo siyo la kuuliza,
mtuhumiwa tayari amesha kosa la
kujitetea, na leo ana ngoja hukumu
yake’ alijibu Kipanta kwa sauti iliyojaa
majivuno na kujiamini, “unazani ni
kwanini mschana Rose, alialiamua
kukuwekea dawa kwenye kinywaji”
aliuliza mmoja wa waandishi wa habari,
“ni visa vya kimapenzi, sababu
niliachana nae kutokana na tabia zake
mbaya, na yeye akaamua kufanya hivyo,
akizania kuwa nitapoteza maisha, ili
aweze kubakia na malizangu zote”
alisema bwana Kipanta, kwa sautimile
ile ya kujiamini, kama unge msikia kwa
muda huo unge juwa kuwa kipanta ni
mtu mwenye fedha nyingi, na wakati
waandishi wanataka kuendelea kuhoji,
ndipo watu wakatakiwa kuingia
mahakamani, tayari kuanza kusikilizwa
kwa kesi ya kwanza ambayo ilikuwa ni
ya mschana Rose, kesi ambayo ilivutia
watu wengi, kutokana na kuzagaa
mitandaoni, wengi wakitegemea kuskia
adhabu kali inatolewa kwa mschana
Rose, kwa kitendo aliacho kifanya,
ambacho wengi walitafthiri kama ni
kitendo cha kinyama na cha
udharirishaji ambacho kina itaji
kukomeshwa.
Hapo watu wakaingia mahakamani,
huku wakitaani kuona Rose anapewa
adhabu kali, kasolo Adellah na Joyce
pekee ndio walikokuwa wanatamani
kuona Rose anashinda kesi ile, japo
matumaini yalikuwa madogo, hivyo
Adellah, akiwa na Joyce wakaingia
mahakamani, na kukaa karibu kabisa
na Rose, huku muda wote Adellah,
akimshika Rose mikono, na kushindwa
kuzuwia machozi yao.*******
Upande mwingine mida hii ya saa mbili
za asubuhi, bwana Waghora yeye
alikuwa amesha toka magetoni,
akiongozana na Sinder, mpaka stendi
ya mbezi, ambapo waliachana, Sinder
akipanda gari za kwenda Kibamba,
kwalengo la kushukia, Luguruni, na
Waghora akaelekea, upande wa stendi
ya malamba mawili,a mbapo aliipita na
kuvuka barabara, alafu akaelekea
kwenye tawi la benk la NMB, moja kwa
moja akajiunga kwenye foleni ya ATM
ambayo ilikuwa na watu wachache
sana, Waghora alitulia kwenye foleni
kwa muda mchache, kisha, ikafikia
zamu yake, nae akaingia na kuchomeka
card yake kama machine ailivyo
mwelekeza, lakini basi ilikuwa ni tofauti
na mala ya mwisho alipochomeka card
hii, na kushindwa kuipatia password, leo
card aikusoma kabisa, akaicancer na
kukuichomeka tena, mambo yakawa vile
vile, akaicancer tena na kuichomeka
kwa mala ya tatu, “kaka vipi, kama kuna
jambo lina kutatiza ni bora uombe
msaada” alipiga kelele dada mmoja alie
kuwa nyuma yake, pamoja na wengine
kadhaa, ambao walikuwa nasubiri
huduma, “ungekuwa na haraka si
ungekuja asubuhi” alisema Wagora
huku akicancer tena na kuichomeka
card kwa mala ya nne, hapo ata wateja
wengine waliingilia kati na kupaza sauti
za malalamiko kuwa wanacheleweshwa
, lakini ili ni sikio la kifo, Waghora
aliendelea kuchomeka na kuchomoa,
card ile ambayo ilisha mweleza kuwa
inamatatizo.
Kitu ambacho waghora akukijuwa ni
kwamba, tayari simu toka makao
makuu ya benk hii mkoa wa pwani
walisha piga simu kwenye tawi la la
mbezi, na kueleza kuwa kuna mtu
anatumia card iliyo reportiwa kuwa
imeibiwa, na camera zimesha mnasa
hivyo haraka sana wawai kwenda
kumkamata hapo kwenye ATM, na
pamoja na maelezo hayo pia walituma
picha za mtu huyo.
“Bwanaeee! kama card inamatatizo,
ingia ndani” alisema mmoja wa wateja
waliokuwa wana msakama Waghora
mbae sasa aliona isiwe shida,
alichomoa card na kutoka nayo kwenye
izimba cha ATM, huku anapishana na
yule dada wakwanza kumpigia kelele,
ambae alimkata jicho kali, “samahani
kaka vipi card yako inamatatizo?”
alishtuka Waghora akiulizwa na mtu
mbele yake, ile kumtazama, alikuwa ni
kijana mtanashati ndani ya sale za
wafanyakazi wa benk, “hapana nazani
aina salio” alisema Waghora, huku
kiendelea kutembea, kueleka kwenye
lango la kutokea nje, ambalo lilikuwa na
polisi wawili wenye silaha aina ya smg,
maana alijuwa kuwa akiambiwa
aonyeshe ile card na ikionekana siyo
yak wake, lazima ata kamatwa.
Lakini alisha chelewa, maana yule
mfanyakazi wa NMB, ambae alipanga
kutumia ujanja kumwingiza ndani, kisha
kuwaita polisi, alipoona Waghora
anatoka na kuna dalili za kumkosa,a
akaona isiwe shida, akawatazama wale
polisi, na kuwapa ishala kuwa
wamkamate Waghora, ambae sasa
alikuwa anakaribia, lango la kutokea nje
ya uzio wa eneo la benk, “simama hapo
hapo” ndivyo alivyo sikia Waghra, hapo
akajuwa kuwa tayari amekwisha, na
akuwa na ujanja, akasimama mala
moja, huku akiwatazama wale polisi,
wenye silaha zao mikononi, “huyu
bwana anatumia card ya wizi, hivyo
tunaomba asachiwe, na hivi
tunavyoongea tayari kuna polisi wa
kituo cha mbezi, wapo njiani wanakuja,
kumchukuwa” alisema yule jamaa
mwenye kuvalia sale za benk, ma hapo
aikuwa na haja ya kusachi bwana
Waghora, maana card alikuwanayo
mkononi.******
Yap, mahakama ilikuwa imetulia kimya
kabisa, kiasi kwamba ata kama kikoozi
kime kubana, basi ungeona aibu
kukooa, maana lazima watu wange
geuka kukutazama, “mwendesha
mashtaka soma shtaka” alisema
hakimu, huku akiweka miwani yake
vizuri na kukodolea makaratasi
yaliyokuwepo mbele yake, wakati huo
mwendesha mashataka akisimama na
karatasi mkononi, “kesi namba 0… 51
inayo mhusu Rose mery Danford,
mwenye miaka 24, fanyakazi wa Benk,
ambae usiku wa tarehe 25, yani siku ya
christams aliwavamia bwana Kipanta,
na bi Matrida, ndani ndani ya chumba
namba … kwenye nyumba ya kulala
wageni, ya Luguruni bar, na katika
uvamizi huo, alifanikiwa kuweka, dawa
za kulevya, ambavyo zilisababisha,
walalamikaji, kupoteza fahamu kwa
masaa yasiyo pungua, kumi na tano,
ushaidi wa pande zote mbili, umetolewa,
lakini upande wa mshatakiwa ushaidi
wake umekosa nguvu, kwa kukosa
uthibitisho, na ushidi wa uoande wa
walalamikaji, umeonekana unga nguvu,
sababu wenyewe wote wawili wanakili
kumwona mtuhumiwa, akiingia na
kuwafanyia fujo, huku akigusa gusa,
vinywaji vyao” alisikika mwendesha
mashtaka, huku watu wakiwa kimya
wanamsikiliza, ambapo Rose alikuwa
amesha kata tamaa kabisa, na mchozi
yana mtililika, sababu usiku unaotajwa
kuwa aliwavamia pale guest, yeye
alikuwa ana suguiwa kitumbua na kijana
Prosper, kule shambani kwake, wakati
Rose Adellah, na Joyce wanazidi kukata
tamaa, huku bwana Kipanta alie kuwa
amekaa karibu na Mtrida, pamoja na
rafiki zake Matrida, wale wanne,
walionekana, kujawa na nyuso za
furaha, maana waliona mafanikio
yakiwa karibia kwa speed kali, muda
wote midomo yao ilishindwa kukutana,
yani wajuu na chini, na kufanya meno
yawe nje, kama fisi alieona mfupa,
hukuwakiona msoma mashtaka
anachelewa, bola arudishe kesi kwa
hakimu ili atoe hukumu, “lakini licha ya
ushidi wenye nguvu, toka kwa
walalamikaji, na video zinazo sambaa
mitandaoni, leo tume pata shaidi
mwingine, kwa liksa yako mhesimiwa
hakimu, tunaomba kabla ya kusoma
hukumu, umluhusu, shaidi huyu,
awakilishe ushidi wake” alisema
msoma Mashtaka, ghafla watu
wakaonekana kutazamana, kwa
mishangao, mbali mbali, na hapo pande
zote mbili, yani mastakiwa na
walalamikaji, wakashangaa, huku Rose
anajuwa kuwa wakina Kipanta
wameleta shaidi mwingine, na wakina
Kipanta na Matrida wanajuwa Rose
ameleta shaidi mwingine, hivyo kila
mmoja akashangaa ka wakati wake,
Rose na ndugu zake wakizidi kukata
tamaa, “sawa, ushidi wa mwisho”
alisema hakimu, na hapo ukapita
ukimya mkubwa, na sekunde chache
baadae zikaanza kusika sauti za
vishindo vya nyayo, vya watu wawili,
watu wote wakageuza shingo zao
kutazama kule viliko tokea vishindo,
ambako ni kwenye mlango mkubwa
wakuingilia mahakamani.
Naam siyo Rose siyo Kipanta siyo Joyce
wala Matrida, wote walionekana
wakitoa macho kwa mshangao, huku
wakitazama kule vilikotokea vishindo,
yani kwenye kolido la mahakama,
Adellah aliona mishangao hiyo, hivyo na
yeye akatazama kule vilipo tokea
vishindo, na kumwona polisi mmoja
akiwa ameongozana na kijana mmoja
mtanashati alie valia vizuri kabisa,
mwenye sura na umbo zuri,
akamtazama Rose, na kusogeza
mdomo wak kwenye sikio la mdogo
wake huyo, na kabla ajauliza tayari
Rose, alisha juwa kuwa dada yake
anajambo la kuuliza, hivyo akatangulia
kutoa jibu…
 
SEHEMU YA ALOBAINI NA TATU
STORY NA: Mbogo Edgar
ILIPOISHIA SEHEMU YA ALOBAINI NA
MBILI: Naam siyo Rose siyo Kipanta
siyo Joyce wala Matrida, wote
walionekana wakitoa macho kwa
mshangao, huku wakitazama kule
vilikotokea vishindo, yani kwenye kolido
la mahakama, Adellah aliona
mishangao hiyo, hivyo na yeye
akatazama kule vilipo tokea vishindo, na
kumwona polisi mmoja akiwa
ameongozana na kijana mmoja
mtanashati alie valia vizuri kabisa,
mwenye sura na umbo zuri,
akamtazama Rose, na kusogeza
mdomo wak kwenye sikio la mdogo
wake huyo, na kabla ajauliza tayari
Rose, alisha juwa kuwa dada yake
anajambo la kuuliza, hivyo akatangulia
kutoa jibu… endelea …..
“Pross, mlinzi wa shambani kwangu”
alisema Rose, kwa sauti ya masikitiko,
maana alijuwa kuwa lazima, Kipanta
alishaenda kumpanga Pross, ili aje atoe
ushaidi wa uongo, Rose akamtazama
Pross alie kuwa anatembea kwa uoga,
kueleka mbele akisindikizwa na yule
polisi, “jamani Pross atawewe” aliwaza
Rose huku anafuta chozi la jicho la
kushoto, kisha anamtazama Pross alie
kuwa anatembea huku anatazama
kushoto na kulia, kama vile kunamtu
anataka amwone, mala wakakutana
macho yao, na Pross akayakwepesha,
japo ilikuwa ni nukta chache, lakini Rose
aliweza kuona macho yaliyo jawa na
uoga na wasi wasi ya Pross, ambae
alipelekwa moja kwa moja mpaka
mbele.
Rose alimtazama Pross, huku
akikumbuka jinsi walivyo peana utamu
usiku ule wa Christimas, ikiwa pamoja
na kumkabidhi fedha zake zote alizo
kuwa anazidai, Rose alikumbuka upole
na ukarimu wa wa Pross, na mambo
waliyo yapaga kuyafanya baada ya
usiku ule wa Christimas, “labda sababu
nilikuwa na mnyanyasa siku za nyuma,
lakini nilimwomba msamaha”aliwaza
Rose, huku ana mwona Pross
anatazama upande aliokaa Kipanta, na
yeye akamtazama Kipanta, akamwona
amemkazia macho Pross, tena macho
makali, hapo Rose akishindwa
kuendelea kumtazama Pross, na
kujiinamia akilia kwa kwikwi.
Wakati Rose anawaza ayo, huku
Kipanta nae alikuwa amesha hisi kosa
alilo lifanya, ni kumsimulia na
kumweleza ukweli Pross, jana jioni,
akiwa amelewa, “lakini na mkataa
kama nilivyo mkataa Adellah, na
tukitoka hapa, asirudi tena kule
shambani” aliwaza Kipanta, huku
akimkazia macho Pross, tena macho
makali, ata Pross alipokutanisha macho
yake na Kipanta, alijikuta akishtuka na
kuyakuyakwepesha haraka, “ok! huyu ni
shaidi wa upande gani na anaitwa
anani, apewe kiapo haraka, lazima leo
hukumu itoke” alisema Hakimu, na
hapo mwendesha mashtaka aka
simama akiwa ameshika kitabu cha
dini, na kumpelekea Pross, ambae sasa
alikuwa ameimama kizimbani.********
Naam polisi walifanikiwa kumchukuwa
Waghora ambae walimpeleka nyumbani
kwake yani magetoni, na kwenda
kumsachi ambapo walimkuta na
vitambulisho na card za benk za watu
wengi sana, ambazo alisha wai kuziiba
siku za nyuma, na ikabainika kuwa
akuwa anaishi peke yake, hivyo polisi
wakaenda kumkamata sinder kule kazini
kwake, yani Luguruni bar, na kisha
wakapelekwa kituo cha kati, kule
kiluvya, wakiwa na vitu ambavyo nika
aushidi, wa uharifu wao.
Baada ya kuandikishwa, na kutolewa
vitu muhimu, ambavyo awatakiwi
kuingia navyo mahabusu, wakaingizwa
mahabusu na kisha akachukuliwa
Sinder na kupelekwa kwa insp, ili akatoe
maelezo kamili, sasa basi ile anaingia
ofisini kwa insp, kwanza aliwakuta
askari wawili walio valia tishert nyeusi,
na suruali za kaki, na buti nyeusi, sura
zao zikiwa zime funikwa kwa kofia za
sox, ambazo aliacha mdomo na macho
pekee, alafu alimwona insp akiwa
amekaa kwenye kiti chake, kilichopo
mbele ya meza kubwa, na insp alipo
inua uso wake na kumtazama,
akamwona insp akiachia tabasamu
pana, “wewe ndie yule mhudumu wa
Luguruni bar siyo?” aliuliza insp, huku
anapekuwa note book yake, na kusoma
kidogo, kisha akainua uso wake na
kumtazama Sinder, “Sinder Naiso, ndio
wewe au?” aliuliza insp lakini Sinder
aliinama chini akishindwa kujibu lolote,
sijuwi kwa aibu au kiburi, “jibu wewe”
hapo alikutana na kofi moja zito la
mgongoni, ambalo lili mwingia
barabara, na kumfanya ahisi mgongo
una waka moto, lakini kwa jinsi gani
Sinde alivyo komaa kwenye maswala ya
uovu, aliachia mguno tu, kama mtu alie
paliwa na pili pili, huku akipeleka mkono
ili kujikuna, “Sinder unaweza kuona ni
kiasi gani ume mwingiza mwanamke
asie na hatia kwenye matatizo?” aliuliza
insp kwa sauti flani tulivu, huku
akimtazama Sinder usoni, lakini Siner
alitazama chini, akikosa la kujibu,
unajifanya bubu we mwanamke
mwawlifu?” iliskika sauti ya askari
mmoja kati ya wale wawili,
waliosimama na hapo Sinder, alistuka
kigongwa mateke ya nguvu kwenye
goko za miguu yake yote miwili, na wale
askari wawili walio vaa buti za kijeshi,
maumivu makali yalipenya kwenye
moyo wa Sender ambae alijitaidi
kuvumilia, na kutoa sauti ya kama mtu
alie finywa, yani “asssss” huku
anaimana kupagungusa, sehemu alizo
pigwa, na hapo ndipo alipo stukia buti
likigonga kwenye vinganja vyake, huku
kofi likituwa mgongoni, safari hii
alishindwa kuvumilia, aka piga piga
kelele, “mama na kufaaa, jamani basi
nitaongea” alisema Sinder, huku
akimtazama inps kwa macho ya
kumsamaha, “ok! eleza ukweli nani
aliwawekea dwa wakina Kipanta,” hapo
Sinder alisita kidogo, lakini alipo geuka
kuwatazama wale jamaa wawili, akaona
ana weza kuuwawa hapa hapa, kwa
kipigo, “ni mimi, ni mimi…. lakini
nilitumwa na Waghola, “ alisema Sinder
kwa haraka haraka, akijiepusha na
kipigo, huku akieleza ilivyo kuwa, na
kwamba akumwona Rose, eneo lile
alisema vile sababu aliona kwenye
mitandao ya kijamii, kuwa watu wengi
wana mshuku Rose, “ok! vitu vingine
vipo wapi, kama simu na fedha?”
aliuliza insp, na safari hii Sinder alijibu
haraka, “alichukuwa Waghola, akaenda
kuviuza” alijibu Sinder, “ok! mtoeni
mleteni huyo mshenzia” alisema insp.
Dakika chache badae tayari Waghra
alikuwa mbele ya insp, huku zile njemba
mbili zikiwa nyuma yake, zina subiri
muda wakufanya kazi, “bwana Eaghora,
wewe na Sinder mume shilikiana kuwa
tilia dawa Kipanta na Matrida, kisha
kuwaibia kila kitu, ikiwa mpamoja na
simu vitamburisho card yabenk, fedha
na nguo walizovaa, ni kweli au siyo
kweli?” aliuliza insp, hapo Whagora
aliekuwa ameweka uso wa mbuzi,
alimkata jicho flani la hasira insp, alafu
akatazama chini, lakini kabla ata
macho yake ayajaangaza vizuri sakavu
ya chumba kile, alishtuka akishiwa
ukosi wa shati lake na kuinuliwa juu,
akavutiwa pembeni, ile ana tahamaki,
tayari miguu yake yote miwili ilisha
zolewa, na kujikuta yupo hewani,
ambako alidumu sekunde mbili, na
kujibwaga chini akifikia kiuno, na ata
kabla aja sikilizia maumivu ya kiuno
tayari, alisha pigwa teke la mbavu, na
kihisi kama pumzi zinabana, ile
anajiuliza afanye nini ili kusimamisha
kipigo, hapo alishuhudia mvua za buti
kwenye ngoko zake za miguu, zikishuka
mfululizo, “ndio wazee, ni kweli niliiba”
alipiga kelele Waghora, “sisi tunajuwa
uliiba, ila tunakufundisha adabu, ujuwe
faida ya kusababisha matatizo kwa
watu wasio na hatia” alisema insp
huku, akimtazama Waghora alivyo kuwa
anapokea kipigo cha staiki yake, yani
mbwa mwizi.*******
“Naitwa Prosper Feruz, naapa kwamba,
kila nitakacho kisema hapa ni kweli
tupu” alisema Prossper, akifwatisha
maneno aliyo elekezwa, na mwendesha
mashataka, akiwa ameshikilia kitabu
cha dini, na kuwafanya watu wapande
zote mbili wazidi kuingiwa na wasi wasi,
maana akuna kati yao alie juwa Pross
anataka kuongea nini, mala
wakamwona mwanasheria wa serikali,
akimsogelea Pross pale kizimbani, “aya
endelea kueleza unachoona kinachofaa
katika ushaidi wakesi hii” aliambiwa
Pross na mwanasheria wa serikali, hapo
kila mmoja aktulia na kusikiliza Pross
ataongea nini, hofu zikimpanda kila
mmoja siyo Rose mwenyewe, siyo
Kipanta, siyo Joyce wala Marida na
rafikizake, siyo Adellah, dada yake Rose,
hapo Rose akamwona Pross
anamtazama, kwa macho ya uoga,
kisha akayakwepesha, “mimi nipo hapa
kusema kuwa Rose siyo mtu alie
wawekea dawa wakina Kipanta, na
Matrida usiku wa Christimas” maneno
ayo ya Pross yali pokelewa kwa namna
tofauti katika makundi matatu tofauti,
kwanza kundi la Kipanta Matrida na
rafiki zake, ambao walishikwa na
mstuko mkubwa sana, na mshangao
ulio waacha midomo wazi, na kukunja
sura zao kwa hasira na chuki, japo
Kipanta alijipa moyo kuwa ata mshinda
Pross, sababu lazima atasema kuwa
aliambiwa na yeye mwenyewe, kuwa
Rose ausiki, upande wa watu waliokuja
kusikiliza kesi, nao walishangaa sana,
kwakuona bado kuna watu wanajaribu
kumtetea Rose, wakati tayari
ilishaonekana kuwa ametnda kosa,
lakini kwa upande wa Rose, Adellah na
Joyce, walishikwa na mshangao wa
furaha, ambao ilibakia kidogo
uwasababishie washangilie kwa sauti.
Naa wakati watu wapo katika
mahangao, mala akasikia sauti ya
mwanasheria wa serikali, “bwana Pross,
chini ya kiapo ilicho apa unaweza
ukaieleza mahakama, ni kwanini Rose
akutenda kosa ilo wakati walalamikaji
wanasema Rose aliwavamia na
kuwaweea dawa kwenye vinywaji vyao,
na ukumbuke kuwa ushaidi wa uongo ni
kosa pia, na linaweza kukusababihia
kifungo” alisema mwanasheria, na hapo
Kipanta akatabasamu kwa kujuwa
Pross anaweza kuingiwa uoga na
kughairi kutoa ushaidi, huku Rose
akihisi hivyo hivyo, hapo akaanza
kukata tamaa, na ata alipo mtazama,
akamwona Pross nae anamtazama kwa
macho ya uoga, lakini yaliyo jaa aibu
flani, hapo Rose akakumbuka yale
waliyo yafanya na Pross, na pengine
akayasimulia ili kuweka sawa ushaidi,
lakini aikumjalisha sana Rose, kikubwa
na kushinda kesi, “nasema hivyo kwa
sababu mbili, moja siku ya Christimass
siku ambayo imetajwa kuwa ndiyo siku
ambayo Rose alifanyatukio ilo, Rose
alikuwa shambani kwake, kuanzia jioni
ya saa kumi, ambapo alishinda huko
mpaka siku ya pili saa sita alipoondoka,
kuelekea nyumbani kwake kibamba, na
hapo sikumwona tena, wala akunipigia
simu, mpaka jana niliposikia kuwa yupo
polisi, anakabiliwa na kesi hii” hapo
kipanta akashangaa, maana
akutegemea kama , Pross ata sema
hivyo, sababu akujuwa kuwa siku ile
Rose Joyce na dada yake,
wakatabsamu huku wanashikana
mikono, “ok! sababu ya pili ambayo
inakufanya usema kuwa Rose akuusika
na uwekaji wa dawa kwenye kinywaji,
na pia ulijuwaje kuwa Rose yupo polisi”
alisema mwanasheria, na hapo watu
wakatulia kusikiliza sababu ya pili,
“sababu ya pili ndiyo ambayo itaeleza
nilisikiaje” alisema Pross, na hapo
Kipanta akatazama chini akijuwa fika
kuwa anaenda kuumbuka, maana
pombe ndizo zilizo mfanya akalopoka
kila kitu, “siku ya ijumaa ndiyo siku ya
alhamini nilimpokea bwana Kipnta kule
shambani, sababu yeye ndie alie
mnunulia shamba boss wangu, hivyo na
yeye uwa namwita boss, na sikuwa na
shaka nae sababu sikuwa nimejuwa
kinachoendelea, baina yao.. mpaka….”
hapo mwanasheria akamkatiza kidogo,
“fafanua vizuri, ulimpokea kwamaana
yakukaa kule shamba, au alikuja na
kuondoka?” aliuliza mwanasheria,
“alikuja kukaa, na ataleo hii ametokea
huko” alisema Pross, na kuwafanya
watu mle mahakamani watazamane
kwa na kuteta chini chini, “anaendaje
kukaa shambani kwa mwanamke
anaesema amemwekea dawa” ni
baadhi ya minong’ono, ilisema hivyo,
“ok! endelea, “alikaa kule shamba,
mpaka jana jioni, ambapo alikuja
napombe, akanikuta ninaandaa chakula,
baada ya kumaliza kula, akaanza
kunywa pombe na ndipo alipo anza
kunisimulia juu ya kilichotokea” alisema
Pross na hapo akaelezea kama
alivyoelezwa na Kipanta jana jioni, na
mwisho wa simulizi, aliwaacha watu
midomo wazi, “bwana Pross kama
unamaanisha kuwa bwana Kipanta na
bi Rose, boss wako, ni wapenzi?”
aliuliza mwanasheria, “walikuwa hivyo
sijuwi kwa sasa, maana ata bwana
Kipanta alisema kuwa Rose
alimfumania na akajifanya kumfungia
vioo” alieleza Pross, ambae sasa
alipunguza uoga kwa hasilimia kubwa,
“na kwamba vitu, ilo shamba ni moja
kati ya vitu, ambavyo Kipanta, alivyo
mnunulia Rose?” aliuliza mwansheria,
“ndiyo tena ni uhakika, sababu mmiliki
wa kwanza alikuwa boss wangu pia, na
siku wanakuja kuuziana shamba
nilikuwepo” alisema Pross, akionyesha
kuwa na uhakika, na acho kisema,
“kwahiyo bwana Pross umeamua kuleta
uongo mahakamani, kuwa bwana
Kipanta anataka kumfilisi, mtu alie
msaidia yeye mwenyewe?” aliuliza
mwanasheria akimkazia macho Pross,
“ata mimi nilishangaa mwanzo, lakini
baadae, nikagundua kuwa sababu
walisha achana, ndio maana anataka
kuzulumu” alisema Pross, ambae kila
alipoongea watu walikubariana nae kwa
kichwa, huku Kipanta, akitukana kimoyo
moyo, wakayi huo Matrida na wenzake
wana mlahumu, Kipanta kimoyo moyo,
“Pross unaweza kusema kwa nini asiwe
Rose ndie alie fanya ayo yote, sababu
yeye ndie mwanamke alie mfumania
Kipanta, na kuingiwa na wivu wa
kimapenzi, huku akianza kuwafanyia
fujo kule mbezi?” aliuliza mwanasheria,
akimkazia macho Pross, “ukweli mimi
nimeeleza ninacho kijuwa, ila kuhusu,
kufumania na ugomvi wa kimapenzi,
nazani kwa kipanta, siyo Rose peke
yake, ata mke wake pia anaugomvi nae,
sababu mpaka sasa amefukuzwa
nyumbani kwa mke wake, na alisema
kuwa akisha pata fedha toka Rose, ata
enda kumnyasa nyasa mke wake” hapo
ulisikika miguno wa wazi kabisa, toka
kwa sikilizaji na wafwatiliaji wakesi,
wakati huo huo akaonekana askari
mmoja mwenye cheo cha insp akiingia
ndani ya mahakama na kueleka moja
kwa moja kwenye meza ya mwendesha
mashtaka, “kwahiyo Pross ukiwa kama
mlinzi wa shamba, uliamua kufanya
upelelezi, wa maisha binafsi ya Boss
wako, au kuna mtu alikutuma kufanya
hivyo” aliuliza mwanasheria, huku
akimkazia macho Pross, “sija mpeleleza
boss wangu, ila yeye mwenyewe ndie
alie ni simulia, na wala sija tumwa na
mtu” alijibu Pross, “aya bwana Pross
unaweza kumtambua, na kutuonyesha
huyo boss wako, yani bwana Kipanta?”
aliuliza mwanasheria, “ndiyo ni, yule
pale” na hapo Pross akamwonyesha
Kipanta kwa mkono, “sina swali zaidi,
shaidi ni wako” alisema mwanaseria,
kisha akaenda kukaa, wakati huo watu
waliokuwa wamekaa kwenyemeza ya
mwendesha mashtaka, walionekana
wakinong’onezana jambo, “huku
mwendesha mashtaka akienda kwenye
meza ya hakimu na kumnong’oneza
jambo, alafu akarudi kwenye kiti
chake.****
Yap asubuhi ya leo bwana Fruz alikuwa
onekana kukosa amani muda wote pale
kijiweni, ata wenzake walimshangaa,
sababu ata utendaji wake ulikuwa ni wa
taratbiu sana, muda wote akionekana
kuwaza sana, ni kweli alikuwa anawaza
na alikuwa anawaza kuhusu familia
yake, ambayo kwa sasa alijuw aata
akikutana nayo asinge weza kuisaidia
kwa lolote, sababu yeye akuwa ana
uwezo ata wakujinunulia nguo nzuri,
zaidi ya kutafuta fedha ndogo ndogo za
chakula, kwa kuchota maji, kwenye
madumu, na kupeleka kwa waosha
magari, “Pross ata kuwa amewakimbia
wenzake” aliwaza Kipanta, ambae toka
usiku alikuwa anwaza sana juu ya
familia yake, na kujiona mjinga sana,
kwa kupotezza fedha nyingi akitumia na
Khadija, mwanamke ambae akuwa na
shukrani, wa fadhira, kuna mambo
ambayo feruz akiyakumbuka uwa yana
muumiza roho, na kutamani kufanya
dhambi ya mauwaji, kwa kwenda kuitoa
roho ya Khadija, mschana ambae yeye
anamchukulia kama mnyama, kwa
mambo aliyo mfanyia, “nilikuwa mjinga
sana, sijuwi mke wangu na watoto
watakuwa wapi?” aljiuliza Feruz akiwa
na dumu mkononi, amekaa pembeni ya
mto, “siwezi kwenda kijijini, ni aibu
sana, kwa walio fahamu kuwa niliwai
kuwa askari” aliwaza Feruz huku
akiwawatazama watoto flani wenye
umri wa miaka kama kumi natisa au
ishirini, wakiokota makopo ya maji na
kuyaweka kwenye mfuko, ili wakayauze,
hapo Feruz akaona, kuwa kwa kukosa
matunzo familia yake itakuwa huko, na
kwa ugumu wa maisha, pengine ata
mwanae Pross ameamua kuwa house
boy, sababu yule mwanamke alie kuwa
na Pross, akuwa ana mfahamu, na
kama akuwa anamfahamu, na
ukizingaia Pross ni mgeni hapa dar,
sasa anakuwanae kivipi, “da tayari
amesha kuwa house boy, anafua
mpaka nguo za baba mwenye nyumba”
roho ilimuuma sana Feruz, ambae
akiwa pale chini alikumbuka siku
ambayo to isahau siku ambayo mbayo
alijuwa maana ya mtu kusihi na mke, na
siyo hawara, siku ambayo Feruz,
aligundua kuwa fedha ndiyo iliyo mfanya
Khadija, amwone yeye kuwa ni mtoto,
kiasi cha kumwita baby, akimbeba
wakati wakwenda bafuni na wakati
mwingine kumnawisha uso, ni mala
baada ya kuishiwa, ambapo yeye
alitegemea kuwa sasa watatumia fedha
zitakazo tekea kwenye saloon ya
Khadija, saloon aliyo mfungulia yeye
mwenye, na kuishi kwenye nyumba
ambayo mlipia kodi ya mwaka mzima,
huku akinunua vitu vya kisasa, lakini
kilicho mtokea sidhani kama atakuja
kusahau…..
 
SEHEMU YA ALOBAINI NA NNE
STORY NA: Mbogo Edgar
ILIPOISHIA SEHEMU YA ALOBAINI NA
TATU: sababu yule mwanamke alie
kuwa na Pross, akuwa ana mfahamu,
na kama akuwa anamfahamu, na
ukizingaia Pross ni mgeni hapa dar,
sasa anakuwanae kivipi, “da tayari
amesha kuwa house boy, anafua
mpaka nguo za baba mwenye nyumba”
roho ilimuuma sana Feruz, ambae
akiwa pale chini alikumbuka siku
ambayo to isahau siku ambayo mbayo
alijuwa maana ya mtu kusihi na mke, na
siyo hawara, siku ambayo Feruz,
aligundua kuwa fedha ndiyo iliyo mfanya
Khadija, amwone yeye kuwa ni mtoto,
kiasi cha kumwita baby, akimbeba
wakati wakwenda bafuni na wakati
mwingine kumnawisha uso, ni mala
baada ya kuishiwa, ambapo yeye
alitegemea kuwa sasa watatumia fedha
zitakazo tokea kwenye saloon ya
Khadija, saloon aliyo mfungulia yeye
mwenye, na kuishi kwenye nyumba
ambayo mlipia kodi ya mwaka mzima,
huku akinunua vitu vya kisasa, lakini
kilicho mtokea sidhani kama atakuja
kusahau..….. endelea …..
nazani itakuwa vyema tukitembea na
kumbu kumbu za Feruz, ili kuweza
kupata kisa na mkasa wa kile kilicho
mtokea, japo yeye mwenyewe akutaka
kabisa kujiwa na kumbu umbu hizo,
kichwwani mwake, lakini alijikuta ana
kumbuka siku ambayo, alienda kwenye
ATM machine na kuchukuwa million
moja, na kubakiza elfu kumi na nne,
akiwa na mpenzi wake Khadija, pamoja
na marafiki zake, na kuingia tena
kwenye bar moja kubwa kishakuanza
matumizi, sasa walikuwa awaendi
kulala guest kama mwanzo, walikuwa
wanaenda kulala kwenye nyumba
ambayo Feruz alikuwa amempangishia
Khadija, wakati yeye mwenyewe akuwa
nasehemu ya kuishi, na ata familia yake
akujuwa inaishije, maana akuiachia ata
shilingi moja, na aliiacha katika ukata
mmoja kali sana wafedha,
Wao walipiga ela, mpaka walipoona bar
inafungwa, wakaondoka zao, na kila
mmoja akaelekea kwake, huku Feruz
akielekea kwa Khadija, ukweli siku ile
Feruz akujuwa ametumia kiasi gani cha
fedha, ila anacho kumbuka ni kwamba
asubuhi alipo amka na kujipapasa
akajikuta ana tsh laki mbili tu!, hapo
akajikausha, na kuugulia kimoyo moyo,
huku akijilahumu, kwa matumizi
mabaya ya fedha, akufukilia kuwa
wakati amelala, Khadija alipitia kwenye
mifuko yake na kuondoka na tsh laki
sita, kwa hiyo usiku wa jana alitumia
kiasi cha fedha kisichozidi laki mbili,
napengone akufikisha idadi hiyo ya
fedha, idadi hii yafedha ndiyo
iliyomfanya Feruz aanze kuikumbuka
familia yake, kwamba sasa aliona kuwa
maisha ya aibu ndiyo yana fwatia, mana
fedha aliyo kuwa nayo, isinge tosha
kuwa nywesha pombe wale wanawake,
sababu ilikuwa ndogo sana, sehemu
pekee ambayo fedha ile ingeonekana
kuwa ni nyingi ni nyumbani kwake yani
kwenye familia yake tu! na siku hiyo
jioni, walikaa bar yakaribu kabisa na
saloon kwa Khadija pale pale mivinjeni,
ambapo walitumia laki moja tu! huku
Feruz, akishindwa kufurahia siku ile,
kutokana na kutawaliwa na mawazo
kuhusu fedha ambayo ilisha mwishia,
na siku ya pili ndiyo siku feruzi, alipo
maliza kabisa fedha zake, na kualipo
jikagua siku iliyo fuata, alijikuta ana
shilingi elfu tatu mfukoni, na aikuwa siri
tena kuwa ameishiwa, Khadija
alitambua mapema sana, mana siku ile
walishindwa ata kunywa supu
Picha ilianza pale Khadija alipo mwacha
Feruz ndani na kwenda kujipatia supu
ya kutolea lock, huku Feruz, akishinda
na njaa mpaka mida ya mchana, alipo
pikiwa chakula na Khadija, ambae aliishi
na Feruzi kwa siku kadhaa huku
masimango yakianza taratibu,
ikifwatiwa na sharau, za hali ya juu, na
“yani ndani hakuna maji alafu umekaa
tu unangalia TV, au unasubiri nirudi
nichote maji” ali sema Khadija kwa
kulalamika, akimweleza Feruz, ambae
alikuwa amelala kwenye sofa alizo
zinunuanyeye akiangalia TV aliyo inunua
yeye.
Feruz akuwa na jinsi, akainuka na
kwenda kuchota maji, ambapo alijaza
jaba kubwa, kwa kubebelea kwenye
madumu ya lita ishilini, huku njiani
akikutana na rafiki zake Pross
waliokuwa wana msalimia, “shikamoo
baba Pross” na yeye naliitikia kwa
mkato, huku akiendelea na safari yake
na madumu mkononi.
siku zilienda ukakatika mwezi, Feruzi
akizidi kufanyishwa kazi zandani,
maana ilianza maji, na siku moja
akaambiwa, “jamani we mzee, yani kila
kitu nifanye mimi, usafi ni fanye mimi,
ela nitafute mimi wewe kazi yako kula
na kulala tu” hapo Feruzi akajuwa kuwa
anatakiwa aoshe vyombo na kudeki
ndani, hivyo akaanza kazi hiyo ambayo
toka alipoanza kuishi na mke wake
akuwai kuifanya, na kitu ambacho
kilimuumiza zaidi Feruz, ni kitendo cha
Khadija, kuanza kuchelewa kurudi, toka
kazini kwake yani saloon, ambapo
alirudi saa sita mpaka saa saba, huku
akiwa amlewa, akujuwa kama zile
pombe alikuwa ana nunuliwa na
wanaume tofauti tofauti kila siku.
Tukio ambalo akuweza kulisahau, ni
siku ambayo, Khadija alirudi mchana
pale nyumbani, akiwa na kijana mmoja
hivi, ambae alionekana kujiamini sana
pale nyumbani, Khadija alimwita Feruz
watoke nje kidogo, “sikia baby, huyu ni
shemeji yangu anakaa na mdogo
wangu, kule temeke mwisho, sasa
akijuwa ninaishi na wewe bila ndoa ata
mwambia, na dogo ataenda kumsimulia
mama na baba, alafu watanisema sana,
mimi nime mweleza kuwa wewe ni
mzee wa hapo jilani uwa una tuchotea
maji” alisema Khadija kisha akampa
Feruz shilingi elfu thelasini, akanunue
bia kumi na konyagi kubwa, na ikawa
hivyo leo Feruz alionja pombe baada ya
kukaa miezi kadhaa bila kunywa
pombe, na aliifakamia konyagi kama
maji, huku wenzake wakinywa bia, na
ata alipopitiwa na usingizi, akujuwa
ilikuwa saa ngapi, ila alishtushwa na
ubaridi mkali sana, akatazama pale
alipolala, palikuwa ni sebuleni, na ile
kutazama vizuri ilikuwa ni saa kumi na
moja za alfajili, akainuka toka juu ya
sofa ile anakanyaga chini akaona kama
amekanyaga nguo akajuwa ni kitambaa
cha kwenye kochi, lakini alipo kiokota
ndipo alipogundua kuwa ilikuwa ni nguo
ta ndani ya Khadija, na alipotazama
vizuri pale sebuleni, aliona nguo za yule
jamaa, ikionyesha kuwa alikuwa
amevulia pale sebuleni, sambamba na
nguo za Khadija, kengere ya tahadhari
ikagonga kichwa ni kwa Feruz, ambae
alieleka chumbani.
Naam ile kuingia chumbani nusu azimie
kwa kile alicho kiona, alikuta mle
chumbani, ukweli Feruz aliwakuta
Khadija na yule kijana wakiwa wamelala
fofo juu ya kitanda kile, wapo uchi wa
mnyama, nusu ya mwili wa Khadija
ukiwa juu ya mwili wa Kijana yule,
ukweli Feruz alihisi miguu inakosa
nguvum akajikongoja mpaka kitandani,
na kumshika mguu yule kijana, “we
kijana wewe ndie shemeji yake Khadija”
alisema Feruz huku anamvuta mguu,
hapo Khadija na yule kijana wakashtuka
toka usingizini, “we mzee mbona
umekosa adabu hivyo kwanini
unavamia watu walala” alipiga kelele
Khadija, Feruz aka duwaa, “tena
nasema toka haraka humu ndani we
mshnzi nenda nyumbani kwako”
alisema Khadija huku akianza
kupekuwa pekuwa, nguo za Feruz, alie
kuwa amesimama, na kumrushia,
“lakini Khadija kumbuka yake niliyo
kufanyia…..” alisema Feruz kwa sauti ya
kubembeleza, huku akijaribu
kumsogelea Khadija aliekuwa bado
ajavaa nguo yoyote, “usinisogelee we
mzee” alisema Kahdija huku
anamsukuma Feruz alie rui hatua kadaa
nyuma, “baby ebu mtoe huyu mzee”
alisema Kahdija huku akimtazama yule
kijana, ambae alichomoka kama
mshalke na kuanza kumsukuma bwana
Feruzi kutoka nje, huku Khadija akizoa
nguo za feruz na kumtupia nje.
Hapo Feruz ndipo alipo kumbuka kuwa
akuwa na sehemu ya kuishi na alisha
maliza fedha zote, benk, akakumbuka
kuwa aliiacha familia yake kule kwenye
nyumba za makazi ya askari, hivyo
akutaka mpaka juwa lichomoze aka
ondoka haraka kuelekea kule kotaz,
ambako aligonga mlango wa nyumba
ambayo aliiacha familia yake lakini
alishangaa anatoka askari kijana, na
kumwuliza amsadie nini, Feruz
akajieleza vyema, na kwamba anaiulizia
familia yake, jibu la kijana yule askari,
lilimfanya Feruz, agundue kuwa familia
yake ilisha ama pale kotaz, ila akuna
alie kuwa anajuwa familia ile imeenda
wapi, na huo ndio ulikuwa mwanzo wa
maisha machungu ya bwana Feruz,
ambae alienda kuchukuwa elefu kumi
kwenye ATM ikiwa ndiyo hakiba pekee
iliyo bakia, na kuanza kuangaika, na
maisha, akitanga tanga kwa kufanya
vijikazi vidogo, na kujipatia fedha za
kula, huku akilala kwenye vijichochoro
vya mtaa, na alipoona watu wameanza
kummnyooshea vidole vya
kumsimanga, akaamua kuhama na
kuamia mbezi ambako alianza maisha
mapya kama kilaka, kazi yoyote alifanya
ilia pate fedha ya kula, na mwisho aka
jikita kwenye uoshaji wa magari,
Ukweli kumbu kumbu hii uwa ina
mtoaga machozi Kipanta kila apo
ikumbuka.******
Naam tuachane na kumbukumbu za
Feruz na kurudi mahakamani, ambako
sasa insp alikuwa ameingia mle ndani
akionekana kuwa na ujumbe flani,
ulifwatia ukimya wa dakika mbili nzima,
huku wakionekana wale wanasheria na
mwendesha mashtaka wakiambizana
jambo flani, alafu mwendesha
mashataka aka simama, “sasa nakuita
mlalamikaji namba moja, bwana
Kipanta, upande kizimbani” alisema
mwendesha mashataka na Kipanta
akasimama na kuelekea Kizimbani,
alafu mwanasheria wapili nae wa
serikali, akasimama na kusogea pale
kizimbani, “bwana Kipanta, maelezo yak
o ya awali yanasema, sili ya tarehe 25
mwezi wa kumi na mbili, ulivamiwa na
mshtakiwa Rosemery kiwa na mpenzi
wako Matrida, na kukufanyioa fujo huku
akishiak shika vinywaji vyenu, je ni kweli
maelezo hayo, au kuna jambo
ulilisahau?” aliuliza yule mwanasheria,
“nihayo tu mheshimiwa” alijibu Kipanta,
ambae alikuwa anasubiri swali la
kuhusu maneno ya Pross, “bwana
Kipanta siku ya tukio ulikuwa umelewa,
je una uhakika kuwa ulie mwona
akiwavamia na kuwafanyia fujo ni
mshtakiwa Rose mary?” aliuliza
mwanasheria huku akimtazama Kipanta
alie kuwa amesimama Kizimbani, “ndiyo
mheshimiwa, nilimtambua vizuri sana,
mimi atakama nikilewa uwa sipotezi
kumbu kumbu” alisema Kipanta kwa
kujiamini, “safi sana Kipanta,
unaonyesha ni jinsi gani ulivyo hodari,
na unavyo jielewa, sasa bwana Kipanta
unaweza kuielezea mahakama,
unamtambuaje kijana Pross?” aliuliza
mwanasheria, huku akitazama upande
mwingine, upande wa wasikilizaji, “huyu
kijana ni mlinzi wa shamba, ambalo
nilinunua na Rose wakati tulikuwa
wapenzi na tunaishi pamoja” alijibu
Kipanta, kwa jiamini, “unakumbuka
maneno uliyo ongea mbele ya kijana
huyu, jana jioni?” aliuliza mwanasheria,
safari hii akimtazama Kipanta usoni,
hapo Kipanta alitulia kidogo, kama
anajikumbusha maongezi yake na
Pross, “hapana, sikumbuki” alijibu
Kipanta, ambae alifanya hivyo makusudi
kwa kujuwa ndiyo njia pekee ya kukataa
ushidi ule ambao aukuwa na kielelezo,
“mheshimiwa naomba ni mkumbushe
kidogo mlalamikaji namba moja, kuwa
ulimwita kijana Pross kwa lengo la
kumfundisha kitu juu ya wanawake, na
hapo ulimsimulia kama alivyoelezea
Pross, “bwana Kipanta unakumbuka
hayo?” alimaliza mwanasheria kwa
kuuliza hivyo, “mheshimiwa ukweli hayo
maneno siyakumbuki, na huyu kijana
ame yaongea hayo, sababu anajuwa
nilikuwa nime lewa na siwezi
kuyakumbuka” aliongea Kipanta,
akiamini kuwa anakanusha ushaidi wa
Pross, “Kipanta mwanzo ulisema kuwa
wakati rose anavamia uliweza
kumtambua, japokuwa ulikuwa
umelewa, na siku hiyo ulikuwa
umekunywa pombe kuanzia saa tano
asubuhi, mpaka saa mbili usiku, muda
ulipoingia ndani, ya chumba ulicho kodi,
sasa utawezaje kusahau kitu ulicho
kiongea ukiwa ujamaliza ata chupa
moja ya pombe?” aliuliza mwanasheria,
nahapo Kipanta akaa kimya, akijilahumu
kwa kuto kumbuka alicho kiongea
dakika chache zilizo pita, “bwana
Kipanta nikisema kuwa ata tarehe 25
ukuwa unajitambua na ukuweza
kumtambua mtu alie wavamia,
nitakuwa nakosea?” aliuliza
mwanasheria, huku akimtazama
Kipanta, ambae alikuwa amemkata
jicho Pross aliekuwa amekaa, benchi la
tatu nyuma ya wakina Rose, huku mala
kwa mala Rose akiwa anageuka na
kumtazama Pross, ata macho yao
yalipokutana walitabasamuliana, hakika
Rose akuamini, alicho kifanya juu yake
maana ulikuwa msaa mkubwa sana,
“mheshimiwa ilo ninalikumbuka, na
siwezi kusahau” alipaza sauti Kipanta,
kiasi cha kukumfanya hakimu agonge
nyundo mezani, “Kipanta, hii ni
mahakama, na utatakiwa kuongea kwa
sauti ya chini” alisema Hakimu, na hapo
Kipanta akwa mpole, “mheshimiwa
Hakimu sina swali zaidi” alisema
mwanasheria, na hapo Kipanta
akatolewa kizimbani, na ikafwata zamu
ya Matrida, ambae aliulizwa maswali na
yule yule mwanasheria, “mlalamikaji
namba mbili bi Matrida, ukweli siku ile
ulikuwa umelewa sana, kama
alivyolewa mpenzi wako Kipanta, je una
weza kuithibitishia mahakama kuwa,
licha ya kulewa uliweza kumtambua
vizuri mstakiwa Rosemary, ambae
kwenye melezo yako ya mwanzo,
ulisema kuwa ndie alie wavamia na
kuwawekea dawa kwenye kilevi?”
aliuliza mwanasheria namba mbili,
“ndiyo nilimtambua, na nilimwona
akiingia chumbani na kuanza kutuletea
fujo” alisema Matrida, kwa sauti ya chini
iliyokosa kujiamini, “unakumbuka
ilikuwa je, yani mala baada ya
kuwavamia Rose alifanyanini?” aliuliza
mwanasheria, hapo kwa kubabaika,
Matrida akajibu, “alituvamia akaanza
kututukana, huku anashika shika chupa
zetu za pombe, alafu akaondoka” hapo
mwanasheria aka mtazama Matrida
kwa macho ya tabasamu la kumcheka,
“unakumbuka nyie mlifanya nini baada
ya kuondoka Rose mary?” aliuliza
mwanasheria, hapo Marida alibakia
kimya akionekana akuwa na jibu,
“nazani ujaelewa swali, je mlitoa taarifa
kwenye uongozi wa hotel?” aliuliza
mwanasheria na hapo Matrida
akamtazama Kipanta, ambae pia
alikuwa ametoa macho kwa fadhaa,
“hapana atukutoa taarifa, ila tuliendelea
kunywa pombe na ndipo tulipo poteza
fahamu na kujikuta tupo hospital” alijibu
Matrida, Matrida labda nikuulize swali
jingine, kama kweli ulikuwa na
kumbukumbu, je wakati Rose
anawavamia, alikuwa na na mtu au
watu wengine?” aliuliza mwanasheria,
“hapo Matrida alikataa kwa kichwa
akimalizia kwa sauti, “alikuwa peke
yake” alisema Matrida, “ok Matrida
nitaomba umtambue mtu mmoja, hapa
mahakamani” alisema mwanasheria,
kiisha akamtazama mwendesha
mashtaka, ambae alisimama na
kumweleza jambo insp, ambae
alitazama upande wan je, na kuonyesha
ishara ya kuwa mtu aingie, hapo wote
wakageuka na kutazama kwenye lango
kubwa la kuingilia, ukweli Rose, Adellah,
Joyce na marafiki wa Matrida, awa
kujuwa yule mwanamke alie kuwa
anaingia mle mahakamani akiwa
amefungwa pingu mkononi, na
kusindizwa na polisi akuwa ni nanani,
na kwanini atambuliwe na Matrida.
Lakini kwa Kipanta na Matrida wao
walitoa macho ya mshangao
uliochanganyika na fadhaa, pamoja na
mshtuko, waliganda wakimtazama yule
mschana akiletwa mpaka mbele ya
mahakama, “Matrida unaweza
kumtambua huyu dada” aliuliza
mwanasheria, na hapo Matrida alie
kuwa amesha isi kitu, akamtazama
Kipanta, kwa macho ya kumwuliza ni
jibu nini, Kipanta akamwonyesha ishala
ya kukataa, “hapana smtambui” Matrida
nae alifwata ushauri wa Kipanta, kwa
kukataa kuwa amtambui mwana dada
huyo, “mlete mlalamikaji wapili nae
amtambue” alisema Hakimu, na hapo
mwendesha mashtaka akamsimamisha
Kipanta ili amtambue, mwana dada
huyo, nae aka goma kumtambua,
“simtambui, na sidhani kama niliwai
kukutana nae” alisema Kipanta, kwa
sauti iliyo jifanya kujaa uhakika.
Hapo Kipanta akiwa pamoja na Matrida
wamesimama kizimbani, wakasikia
mwendesha mashtaka akisema,
“mheshimiwa hakimu, kesi hii imekuwa
na changamoto nyingi sana, huyu
mschana unae mwona hapa mbele
yako, anaitwa Sinder Naiso, ni
mhudumu wa Luguruni bar, alie
wahudumia walalamikaji siku ya tarehe
25, leo hii yeye pamoja na mwenzie
wakiume, ambae amekimbizwa hospital
kwa mataibabu, bada ya kuumia
kwenye mahojiano na polisi,
wamekamatwa na polisi, wakijaribu
kutumia card ya benk, ya bana Kipanta
kwenye tawi la benk, la mbezi, pamoja
na hiyo card pia wamekamatwa na
vitamburisho, huku wakikili kuwa wao
ndio walio weka dawa za kulevya
kwenye vinywaji vya walalamikaji, kisha
kuwaibia, kila kitu walicho kuwa nacho”
alisema mwendesha mashtaka, na hapo
bwana Kipanta akamtazama Matrida,
ambae pia alikuwa anamtazama, kwa
macho ya mshangao, wakatazamana
kwa sekunde kadhaa, wakigutuliwa kwa
sauti ya hakimu, “mpandishe kizimbani
ili ahojiwe anaweza kuwa ni shaidi
muhimu sana katika kesi hii” alisema
hakimu, kwa sauti ambayo japo ilikuwa
ya kawaida tu, lakini iliwavuruga wakina
Kipanta, na Matrida, ambao walimwona
yule mwana dada akipanda kizimbani
na akasogezewa kitabu cha dini,
kwaajili ya kuapa…………..
 
SEHEMU YA ALOBAINI NA TANO
STORY NA: Mbogo Edgar
ILIPOISHIA SEHEMU YA ALOBAINI NA
NNE: alisema mwendesha mashtaka, na
hapo bwana Kipanta akamtazama
Matrida, ambae pia alikuwa
anamtazama, kwa macho ya
mshangao, wakatazamana kwa
sekunde kadhaa, wakigutuliwa kwa
sauti ya hakimu, “mpandishe kizimbani
ili ahojiwe anaweza kuwa ni shaidi
muhimu sana katika kesi hii” alisema
hakimu, kwa sauti ambayo japo ilikuwa
ya kawaida tu, lakini iliwavuruga wakina
Kipanta, na Matrida, ambao walimwona
yule mwana dada akipanda kizimbani
na akasogezewa kitabu cha dini,
kwaajili ya kuapa………….. endelea …..
Kuona hivyo Kipanta akamtazama Rose
kwamacho ya kumlahumu na
kumchukia, lakini ndiyo kwanz
alimwona Rose alikuwa amegeuka
kumtazama Pross, kisha akageuka
huku anatabasamu, “ona yanavyo
chekeana” alijisema Kipanta kimoyo
moyo, huku akishtuliwa na sauti ya
Sinder alie anza kula kiapo, “mimi
Sinder Naiso, naapa kuwa
nitakachosema hapa, ni ukweli mtupu,
mungu nisaidie” alimaliza kusema
Sinder akiwa ameshika kitabu cha dini
yake, “Sinder kama ulivyo hapa, mbele
ya mahakama, kuwa utasema kweli
tupu, mbele yake, sasa unaweza
kueleza mahaka siku ya tarehe 25
ilikuwaje” alisema mwanasheria na
hapo Sinder akaanza kueleza kuanzia
saa tano mida aliyo wapokea wakina
Kipanta na Marida, na kuanza kuwa
hudumia, nilipoona kuwa wana fedha
nyingi alafu wanalewa bila mpangilio,
nikampigia simu Waghora, aje ili
tuwaibie” alisema Sinder, na kuendelea
kusimulia, kisa chote mpaka
alipowaingiza ndani na kuwawekea
dawa kwenye glass zao za finywaji,
kisha wao kunywa na Waghora kuja
kuwaibia kila kitu, “alafu nika singizia
nilimwona yule dada akiingia mle
chumbani., sababu niliona kwenye
mitandao akisemwa kuwa yeye ndie
atakae kuwa amefanya hivyo” alimaliza
Sinder, “Sinder Naiso, unaweza
kuwatambua wateja ulio kuwa una
wahudumia na kuwawekea dawa siku
hiyo ya tarehe 25?” aliuliza yule
mwanasheria, “ndiyo ni wale pale”
alisema Sinder akiwaonyesha vidole
wakina Matrida na Kipanta, ambao kwa
sasa walikuwa wametazama chini kwa
aibu, huku moyoni Kipanta akijawa na
chuki kubwa sana, “huyu mschana
mshenzi, ajuwi kama ananiaribia”
alijisemea Kipanta pasipokujuwa kuwa,
kuna madhara makubwa yana fwata
kutokana na ushaidi ule, “sina swala
zaidi, shaidi ni wako” alisema
mwanasheria na hapo maswali
yakaamia kwa wakina Kipanta, “bwana
Kipanta uliithibitisshia mahakama kuwa
japo ulikuwa umelewa, lakini uliweza
kumtambua, mtuhumiwa Rose,
alipoingia chumbani, je una kubariana
na ushaidi uliotolewa na mhudumu alie
wahudumia tarehe 25?” aliuliza mwana
sheria, “mimi sikuwa nime lewa kiasi
cha kuto kujitambua, hii ni njama ya
Adellah, sababu niliacha kumuoa na
kuoa mwanamke mwingine, sasa
ananikomoa na kutaka nisipate mali
zangu toka kwa Rose” alisema Kipanta
kwa sauti ya jazba, huku watu wote
wakimshangaa, hapo hapo ikasikika
sauti toka kwa hakimu, “bwana Kipanta,
kwanza unaonekana wewe mtelekezaji
wa wake zako, kwa ilikuwa ni Adellah,
ukaoa na kutelekeza mke, ukafumaniwa
na hawara, ukiwa na hawara mwingine,
na hayo ndiyo matunda ya uthariti na
utelekezaji” alisema hakimu, kisha
akamwachia mwanasheria aendelee na
maswali, “kwahiyo bwana Kipanta una
msingizia Rose, sababu unaitaji mali
ulizo mnunulia wakati mkiwa wapenzi,
uku unafahamu fika kuwa Rose
akuwepo eneo la tukio, je unafahamu ni
kosa kisheria kusema huongo mbele ya
mahakama, wakati ulihapa kusema
ukweli, pili ni kosa pia kumsingizia mtu
kosa” aliuliza mwanasheria na hapo
Kipanta akatazama chini kwa aibu,
“mheshimiwa sina swali zaidi, shaidi ni
wako” alimaliza mwanasheria na
ikafwata zamu ya Matrida nae aka
simama kizimbani, “mlalamika ji namba
mbili, ulisema kuwa siku ya tukio
japokuwa ulikuwa umelewa lakini
ulikuwa na uwezo wa kutambua ni
kweli?” aliuliza mwanasheria, “ndiyo
mheshimiwa nilikuwa na uwezo wa
kutambua” alijibu Matrida kwa sauti
ambayo ilionyesha wazi, kujawa na
wasi wasi, “kwahiyo unakubaliana na
shaidi bwana Prosper kuwa wewe na
bwana Kipanta mmefanya mausudi
kumsingizia Rosemerry kuwa
aliwavamia, ili muweze kumfilisi mali
zake?” aliuliza mwanasheria, na hapo
Matrida alibakia kimya, akitazama chini,
“bi Matrida, unakumbuka kiapo ulicho
apa mbele ya mahakama, na ulisema
kuwa utalo sema ni kweli tupu?” aliuliza
mwana sheria, na Matrida aliitikia kwa
kichwa akikubari, “kwa hiyo una kili
kuwa umekiuka kiapo na umefanya
kosa, la kudanganya mahakama na pia
umefanya kosa, la kumsingizia bi Rose
kosa ambalo ajalifanya, kwa lengo la
kuchukuwa mali zake kama mwenzio
kipanta alimweleza kijana Pross?” hapo
Matrida ajikuta ana angua kilio,
mahakamani, “mimi nilishawishiwa na
Kipanta, aikuwa nia yangu kumsingizia”
hapo atawasikilizaji wa kesi, mle ndani
ya mahakama, walishindwa kuvumilia
na kujikuta wakiachia miguno ya
fadhaa, iliyo ambatana na minong’ono
ya chini chini, “kumbe awa ni washenzi
matepeli” alisema mmoja wawatu
waliokuwepo mle ndani, “tena inabidi
wa hukumiwe washenzi awa”
iliendeleea kusikika minong’ono, mpaka
walipomsikia mwanasheria akisema,
sina maswali zaidi, shaidi ni wako
mheshimiwa” kisha mwanasheria
akaenda kukaa sehemu yake.******
Naam ukweli ni kwamba mwalimu
Stellah, kwa sasa alikuwa nje ya
mahakama, akiwa nje ya gari lake, yeye
ndie aliemleta Pross na kumkutanisha
na mwendesha mashtaka, Stellah alisha
gundua kuwa kuna kitu kinaendelea kati
ya Rose na Pross, maana jana usiku
alipokuwa pale hotelini na Pross, ana
mweleza kitu cha kufanya, alimwomba
amweleze ukweli juu ya mausiano yake
na Rose, zaidi yay ale ya kumlindia
shamba, na hapo Pross akumficha kitu,
alimsimulia, kila kitu, kilicho fanyika,
siku moja kabla awajaanza mausiano
yao, ukweli ni kwamba Stellah
alikubariana na maneno hayo, japo wivu
ulimchoma kidogo, “ok! kwahiyo mimi
ndie nilie iba, basi akuna tatizo, ila
nitakapo kuitaji nakuomba usikatae”
stellah, alikumbuka maongezi yake na
Pross, na sasa Stellah, alikuwa
anaendelea kusikiliza kesi, akiwa nje ya
mahakama.******
Naam ndani ya mahakama baada ya
mwanasheria kumaliza kuwa hoji,
wakina Matrida, hapo akasimama
mwendesha mashtaka, ambae
akawaeleza walalamikaji wote wapende
kizimbani, na pia akamweleza
mshatakiwa apande kizimbani, baada
ya hapo mwendesha mashataka
akachukuwa file la kesi, na kuanza
kusoma marudia ya kesi hii, toka
mwanzo, mpaka ilipofikia, “mheshimiwa
tunaomba itolewe hukumu ya kesi hii,
na iwe mfano kwa wengine watakao
idharau mahakamani na kufanya
makosa kama aya” alisema mhendesha
mashtaka, kisha akaenda kukaa
sehemu yake.
Mahakama ilikuwa kimya kabisa, akuna
ata sauti iliyo sikika kwa muda dakika
tano nzima, huku hakimu akisoma
kwenye kijitabu flani mezani kwake, siyo
Rose mtuhumiwa wala, Kipanta na
Matrida walalamikaji, wote walikuwa na
wasi wasi kibao, mala wakamwona
Hakimu anainuwa kichwa chake, na
kutazama kwenye Kizimba cha
mtuhumiwa, yani Rose ambae alikuwa
na wasi wasi, mwingi sana, “kutokana
na ushidi ulio tolewa na pande zote
mbili, maelezo ya mpelelezi wa polisi,
hivyo basi kifungu cha sheria namba ….
ina ni pa mamlaka ya kutoa huku
ifwatayo” alisema hakimu kisha akatulia
kidogo, na kutazama tena kijitabu
mezani kwake, safari hii akutumia muda
mrefu aka mtazama tena Rose, huku
mioyo ya watu mle ndani ikienda mbio,
asa Adellah, Joyce, Pross wakina
Kipanta na Matrida ata maarafiki wa
Matrida, na watazamaji wengine ambao
walisha gundua ukweli kuwa Kipanta na
Matrida walikmsingizia kesi Rose, kwa
lengo la mdhurumu mai zake, “Bi Rose
mahakama ime kupata auna hatia yoyo
wala kesi ya jibu, kwa hiyo kuanzia sasa
hupo huru, na unaweza kwenda
nyumbani kwako, baada ya mahaka hii”
hapo Kipanta na Matrida walihisi, wana
banwa na haja, maana wakati Matrida
anafikilia aibu itakayo mkuta kazini
kwao, kwa kitu alicho kifanya, huku
Kipanta alikuwa anafikilia ataishije
baada ya hapo, maana kuwepo huru
kwa Rose ndio kukosa kwake mali za
fedha toka kwa mschana huyo,
ukizingatia akuwa na sehemu ya
kwenda na mke wake alisha mtimua
nyumbani, kwa hiyo kitu pekee alicho
kuwa nacho, ni gari tu! tena lipo
nyumbani kwa Rose, Kipanta
akamtazama Rose akamwona akiwa
amesimama kizimbani, huku tabasamu
pana likiwa limechanua usoni mwake,
huku anatazama upande waliokaa
wakina Adellah, ambao karibu wote
walikuwa wametawaliwa na nyuso za
furaha, ata Pross nae alikuwa
ametabasamu, “Pia mahakama hii ime
baini kuwa, walalamikaji namba moja
na namba mbili, wakiwa na hakiri
timamu, walimsingizia bi Rosemerry,
kuwa aliwatendea uharifu huo, huku
walalamikaji hao wakijuwa ni kosa
kisheria, hivyo basi, kutokana na
usmbufu walio usababisha kwa Bi Rose,
mahaka imewapata na hatia, kwakosa
hilo, hivyo basi, hukumu ya kwanza, ya
kumsingizia Bi Rose kuwa amewavamia
na kuwatendea kosa, Bi Rose
mwenyewe ata taja kiasi cha fedha
kama fidia ya usmbufu na muda walio
upoteza kwa Bi Rose ambae amekaa
mahabusu week nzima” alisema hakimu
na kutulia kidogo, akiwatazama Matrida
na Kipanta, ambao sasa walionekana
wazi kuchanganyikiwa, mala
wakamsikia hakimu akiongea tena, “pili
bwana Kipanta, utaenda jela miezi sita,
kwa kosa la kudanganya mahakama na
kuiletea usumbufu” hapo Kipanta
akashika kichwa na kuachia yowe,
“mayo nacha boleeee” aliongea lugha
ambayo anamiaka mingi ajawai
kuiongea, nakufanya kisikike kicheko
mle ndani ya mahakama, “bi Matrida
uta hukumiwa kifungo cha nje, kwa
miezi mitatu, na utafanya kazi za kijamii
kila siku kwa masaa mawili, kama
utakavyo kuwa unapangiwa na
mahakama, kwakosa la kushiriki kosa
la kumsingizia Bi Rosemerry, huku
ukijuwa fika kuwa siyo mtu alie
wavamia na kuwaekea dawa kwenye
vinywaji” na baada ya hapo hakimu
akimu alimwambia Rse ataje kiwango
cha fedha sikichozidi million tano, kama
malipo ya usumbufu alio sababishiwa
na wakina Kipanta, hapo kwa haraka
Rose akafilia kwa haraka haraka, na
kuona kuwa ata akitaja million tano
bado Kipanta akuwa na uwezo wa
kumlipa, maana alicho bakiza ni gari
pekee, gari aina ya Toyota ist, “wanilipe
million tano” alisema Rose, “Rose yote
niliyo kufanyia bado unashindwa
kunionea huruma” alipiga kelele
Kipanta, na hapoakatulizwa na hakimu
akimkumbusha kuwa pale ni
mahakamani, “bwana Kipanta uta
lazimika kulipa fedha hiyo ndani ya
week moja, kama auto kuwa na fedha
tathrim, basi bi, Rose ata weza
kuchukuwa kitu chochote chenye
thamani ya fedha hiyo toka kwako”
alimaliza hakimu na kugonga nyundo
mezani, hapo watu wote mle ndani
wakamwona Kipanta akianza kukosa
nguvu na kuanguka chini, kama kiroba,
akiwa amepoteza fahamu, mana
kipanta alijuwa kuwa, kibao kime
mgeukia, lazima Rose atachukuwa gari,
kitu ambacho kinge msaidia pindi
akitoka gerezani*******
Naam watu walitoka mahakamani,
waandishi awakuwa mbali, kuchukuwa
picha na video za wakina Rose alio
onekana akiongozana na dada yake
pamoja na mschana Joyce, alie kuwa
nae bega kwa bega kipindi chote cha
matatizo, wakiwa wenye nyuso za
furaha, waliongozana mpaka kwenye
BMW lililosimama pembeni ya Toyota
vits, na mwana mama mwenye umbo la
maana akiwa amesimama nje yake.
Kabla awaja ingia kwenye gari lao, aina
BMW wakamwona Kipanta akitolewa
mahakamani juu juu amesha lejewa na
fahamu zake, amepigwa pingu,
anainamisha kichwa chini, anaona aibu,
waandishi wakimchukuwa video na
picha za kawaida, pia walimwona
Matrida akitoka mahakamani akiwa
peke yake, mbali kabisa na wale rafiki
zake ambao tayari walisha ingia kwenye
gari lao na kuondoka zao wakimwacha
Matrida, ambae alikuwa anabubujikwa
machozi, na kumtazama Rose kwa
macho ya kuomba msamaha.
Lakini Rose akumjali, “jamani Pross
yupo wapi?” aliuliza Rose akitazama
nyuma, na kumwona Pross akisogea
kwenye Vits pale aliposimama mke wa
Kipanta, ambae Rose na Joyce
walikuwa wanamfahamu vizuri kabisa,
“hoo dada kumbe hupo hapa” aliuliza
Rose huku akimsogelea mke wa kipanta
yani Stellah, ambae alikuwa anamtzama
mume wake alie kuwa anapakizwa
kwenye kalandinga……….…………..
endelea …..
 
SEHEMU YA ALOBAINI NA SITA
STORY NA: Mbogo Edgar
ILIPOISHIA SEHEMU YA ALOBAINI NA
TANO: Lakini Rose akumjali, “jamani
Pross yupo wapi?” aliuliza Rose
akitazama nyuma, na kumwona Pross
akisogea kwenye Vits pale aliposimama
mke wa Kipanta, ambae Rose na Joyce
walikuwa wanamfahamu vizuri kabisa,
“hoo dada kumbe hupo hapa” aliuliza
Rose huku akimsogelea mke wa kipanta
yani Stellah, ambae alikuwa
anamtazama mume wake alie kuwa
anapakizwa kwenye kalandinga……..
endelea …..
Huku ameziba uso wake, akiogopa
kupigwa picha na camera za waandishi
ambao walikuwa wametapaa pale nje
ya mahakama, “ingia kwenye gari”
alisema Stellah akimweleza Pross huku
ana anamfungulia mlango wa gari, na
Pross na akaingia kwenye gari, hapo
wakina Rose wakamwona Stellah
akitoka na kuelekea kwenye kalandinga,
na yeye akataka kwenda kuongea na
Pross sababu alikuwa ana itaji jambo
flani, “Subiri kwanza yule mama arudi”
alisema Joyce, na hapo waka mtazama
Stella, ambae alifika kwenye kalandinga,
na kuongea na askari polisi walio
changanyika na askari magereza,
akawasalimia na kuomba kumsalimia
mfungwa Kipanta, “ni nani wako?”
aliuliza mmoja wa askari alie onekana
kuwa na cheo kikubwa kuliko wenzake,
“ni mzazi mwenzangu” alisema Stellah,
na hapo yule askari akamluhusu
amsalimie, na Stellah akasogea ubavuni
mwa lile gari kubwa mfano wa loli, lililo
zibwa kama box, likiwekewa na wavu
wa kupitishia hewa, muda wote wakina
Rose walikuwa wamesimama
wanamtazama Stellah, siyo wao tu ata
polisi pia, walikuwa wana mtazama
mama huyu, siyo wakitaka kuona
anachoenda kufanya kwa Kipanta ila
walikuwa wanashangaa umbo la mama
huyu, na wengine wakajiuliza ni kitu
gani Kipanta alikuwa anafwata nje ya
ndoa, “habari yako bwana Kipanta”
alisalimia Stellah, na kumshtua Kipanta
ambae alikuwa ameinamisha sura yake
chini, na baada ya kuisikia sauti ya mke
wake, akainua uso na kumtazama,
“mke wangu naomba uni saidie, ongea
na hakimu tuweze kukata rufaa”
alisema Kipanta, kwa sauti ya
kubembeleza, “mh! ni kusaidie iliiweje,
si uongee na wanawanawake wako,
wakutoe ili mkaendelee kunywa bia”
alisema Stellah, kwa sauti ya chini,
ikionyesha kuwa akutaka, watu wengine
wasikie, “mke wangu na kuahidi sito
rudia tena, naomba unisamehe, nisaidie
nisiende gerezani” aliomboleza Kipanta,
kwa sauti ya juu, na kuanza kuwa
ng’amua waandishi waliokuwa wana
anza kutawanyika, maana kesi zilizo
kuwa zina fwatia, azikuwa na mvuto
kama ile ya Kipanta, “sikuja kuongea
hayo, nilikuja kukuona iliujuwe kuwa,
nilikuwepo na watoto wako wata sikia
kama ume fungwa miezi sita” alimaliza
kuongea Stellah, na kurudi kwenye gari
lake, na yeye akimwona mschana alie
semwa kutembea na Kipanta, na
kuwekewa nae madawa, yani Matrida
akipita mbele yake na kuelekea njia ya
kutokea pale mahakamani, yeye
akumjari akaondoka zake na kuelekea
moja kwa moja kwenye gari lake, na
wakati analipita BMW jeusi, akashtuliwa
na Joyce, “dada shikamoo” alisalimia
Joyce nae Stellah, akasimama na
wakasalimiana huku pia akimsalimia
Adellah mume wake, na Rose, Stellah
akuonyesha kinyongo chochote kwa
Rose, “bila shaka wewe ndie Adellah”
alisema Stellah, akimtazama dada yake
Rose, “ndiyo mimi, bila shaka ulisha wai
kunisikia hapo mwanzo?” aliuliza
Adellah, “ndiyo, nime elezwa kila kitu,
na mimi ndie nilie amua kumshawishi
Pross aje atoe ushaidi mahakamani , na
nime elewa ni kwa nini Rose alifanya
hayo yote, hivyo sina kinyongo na yeye,
ila sijalizishwa na adhabu aliyo ipata
Kipanta, japo akitoka jela, ndiyo ata
ipata adhabu kamili, maana atokuwa na
ata pakuanzia” alisema Stellah, na hapo
Rose pia akatumia nafasi hiyo kuomba
msamaha kwa Stellah, kwa madai
kisasi chake, kili iumiza familia nzima,
“mwisho niseme tu asante sana, nazani
sasa tuta kuwa na mausiano mema,
nichukuli kama mdogo wako” alisema
Rose, huku Adellah, nae akamshukuru
Stellah kwa moyo alio uonyesha, na
kujitolea kuwasaidia, akimwomba
kumsamehe mdogo wak, mwisho
wakashikana mikono, na kusahau
yaliyopita, zaidi Rose alimwomba
Stellah, kuwa anaitaji kuondoka na
Pross, maana aliitaji kumshukuru, na
kukaa nae kama mtu wa karibu na rafiki
wa familia, japo ilikuwa ni hatua ngumu
sana kwa Stellah, alie kuwa anafahamu
kuwa, Rose na Pross walisha wai
kupeana kitumbua, lakini akuwa na la
kufanya zidi ya kumluhusu, Pross
kuondokaa pamoja na Rose.*****
Rose na familia yake, awakuwa
wachoyo, wali enda nyumbani kwa kina
Pross pale kwenye kijumba cha udongo,
na kuichukuwa familia ya Pross, kisha
kwenda nayo kwenye hotel waliyo fikia
wakina Adellah, ambako walishinda
huko, wakipata chakula cha mchana na
jioni huku wakipata vinywaji, na
kuburudika kwa kuogelea kwenye
swimming pool, muda mwingi Rose na
Pross walionekana wakijitenga na
kuongea yanayo usiana na penzi lao,
huku Rose akimshukuru ssana, Pross,
kwa kitendo cha kusimama na kueleza
ukweli.
Tukio la kwenda hotelini na kufurahia
maisha, kilimfanya mama Pross azidi
kujivunia uzazi wa mwanamke
mwenzie, kuna wakati alijikuta, akisema
kimoyo moyo, “Feruz umetoweka, lakini
umeniachia kijana” ni kweli Feruz
alikuwa amemwachia mke wake
msaada mkubwa sana, maana
ukiachilia mke wake watoto wake na
shmeji yake yani mama mdogo, kuenjoy
pale hotelini, na kurudi siku ya pili, Rose
aliwaamishia wanafamilia wale kwenye
nyumba yake ya pale kibamba, na
kuwakabidhi moja ya maduka yake,
kuwa duka lao moja kwa moja, hiyo
ilikuwa kama ndoto, kwa mke wa feruz,
ambae alikuja kushangaa na roho yake
siku chache mbele, ni baada ya Rose
kukabidhiwa gari, la bwana Kipanta
ikiwa ni fidia ya milioni tano, alizo
takiwa kulipwa na Kipanta, na yeye
akampatia mama yake Pross, na
kumtafutia mwalimu wa kumfundisha
kuendesha gari, yeye pamoja na
wadogo zake na mama mdogo, wakati
huo Adellah alikuwa bado hotelini mjini
pamoja na familia yake, wanafanya
mpango wa passport mbili yani ya Pross
na Rose, iliwaende wakapumzike
kidogo, huko ufilipino, Rose mwenyewe
alikuwa analala shamba na Pross,
wakiitaji muda mwingi sana, wa kuwa
pamoja, tayari Rose aliacha kazi benk,
sababu dada yake alimweleza anatija
kufanya inshu nyingine, ambazo ni za
kibiashara, na tataribu zilipo kamilika,
kabla awajaondoka, Rise alifanya jambo
ambalo ni la kushangaza kidogo,
kwanza alimkabidhi nyumba mama
Pross na kuwa ni yakwake, pamoja na
maduka mawili, na lile gari lake, huku
maduka na salon zilizo bakia
akimkabidhi Stellah, kwamba zimsaidie
na watoto wake, kwamana yakwamba
ni matunda ya baba yao.
Naam baada ya kumaliza mapumziko
yao bwana Mauricio kumaliza
mapumziko yake nchini Tanzania,
aliondoka na familia yake, pamoja na
Rose alie ambatana na Pross, na sasa
walikuwa wanajuwa kabisa kuwa wawili
awa ni wapenzi, na kule shamba
walimwacha kijana mmoja ili aendelee
kuliangalia shamba chini ya usimamizi
wa mama Pross, wakipanga kuwa ndiyo
sehemu ambayo itajengwa kiwanda cha
sabuni, za kuogea na mfuta ya ngozi,
hiyo ni kwa ufadhiri wa shemeji yake
bana Mauricio Frenandez.********
Yap, siku zilienda, ilikatika miezi sita,
Kipanta alitoka jela, na kuamaua kuridi
kijijini kwao Itaga, huko mkoa wa
tabora, Rose na Pross sasa walikuwa
wameshaanza kazi katika kiwanda chao
walicho kijenga kule kisalawe, huku
wakiishi kwenye nyumba yao kubwa
sana, waliyo ijenga Mbezi Malamba
mawili, na sasa Rose alikuwa
anaujauzito wa miezi minne.
Upande mwingine mama Pros alikuwa
anaendelea vizuri na maisha yake, na
watoto wake na mdogo wake,
wakisaidiana kuendesha biashara
walizo pewa na Rose, na sasa mama
ross alikuwa ame nawili kiasi cha
kwamba ungezania ni mwanamke wa
miaka ishilini na tisa au therasini, kwa
jinsi alivyo pendeza kwa mavazi ngozi,
na sura, kama ulimwona miezi sita
iliyopita akia anauza mboga mboga,
basi leo usinge mtambua atakidogo,
mama Pross pia alikuwa anauwezo wa
kuendesha gari vizuri kabisa, kiasi cha
kuweza kwenda mmwenyewe mbezi au
kaliakoo, kufwata bidhaa za madukani
na saloon na alipenda sana kuendesha
Toyota alphad.*******
Naam siku moja mama Pross akiwa
anatoka kaliakoo anaelekea mbezi,
akiwa ametoka kuchukuwa bidhaa za
dukani, akipitia barabara ya Kinyelezi ni
baada ya kuona barabara ya morogoro
ina foleni kubwa sana, na na wakati
anakatiza maeneo ya segera mwisho,
njia panda ya kwenda kwa bibi, akaona
madimbwi flani ya maji, akapunguza
mwendo ilikuya ingia yale madimbwi,
sasa basi wakati amesha yaingia
madimbwi, mala likatokea fusso na
mchanga, ambalo liliingia mazima
kwenye yale madimbwi, na kurusha maji
machafu kwenye gari lake, bahati nzuri
uwa aachi vioo wazi, hivyo gari
lilichafuka vibaya sana.
Mama Pross akawa anatembea huku
anatazama sehemu ya kuoshea gari,
mpaka alipo fika mbezi akua ameona
sehemu ya kuoshea gari, lakini ile
anakamata barabara ya kuelekea
Kibamba, kaona kuna sehemu
pameandikwa tunaosha magari bei poa,
na alipotazama nikweli akaona kuna
gari moja na pikipi kadhaa zinaoshwa,
hivyo akaona aitakuwa mbaya,
akipeleka gari maali pale……..
 
  • Thanks
Reactions: ADK
SEHEMU YA ALOBAINI NA SABA
STORY NA: Mbogo Edgar
ILIPOISHIA SEHEMU YA ALOBAINI NA
SITA: Mama Pross akawa anatembea
huku anatazama sehemu ya kuoshea
gari, mpaka alipo fika mbezi akua
ameona sehemu ya kuoshea gari, lakini
ile anakamata barabara ya kuelekea
Kibamba, kaona kuna sehemu
pameandikwa tunaosha magari bei poa,
na alipotazama nikweli akaona kuna
gari moja na pikipi kadhaa zinaoshwa,
hivyo akaona aitakuwa mbaya,
akipeleka gari maali pale…….. endelea
…..
Ukweli leo pale kijiweni, nikama alilala
bundi, maana ukiachilia gari ili moja
ambalo uoshwa kwa elfu tatu, na hizi
pikipiki chache ambazo uoshwa kwa
buku mpaka buku jero, akukuwa na kazi
yoyote waliyo letewa, mpaka mida hii ya
saa sita kasolo, hivyo ata fedha ya
kuwalipa wachotra maji, aikuwa
imepatikana, na kusababisha wachota
maji wakae pembeni wakisinzia kwa
njaa, na uchovu, huku wanaombea
itokee kazi, yani lije gari la kuoshwa,
ilinawao walipwe chao, na ata
lilipoonekana Toyota Alphad lina ingia
maali pale, wote wakainua vichwa na
kutazama lile gari, akiwepo kijana
Nungu, aliekuwa anamalizia kuosha
gari alilikuwa nalo, akacha kidogo na
kukulisogelea lile gari, ambalo dereva
wake alishusha kioo, na ndipo Kijana
Nungu alipo mtambua kuwa dereva
huyu alikuwa ni wakike, “karibu mama,
shikamoo” alisalimia Nungu akijuwa
kuwa amesha pata fedha, “marahaba,
mwanangu naitaji kuosha gari, sijuwi
mnafanya bei gani?” aliuliza mama yule
ambae sisi tuna mtambua kama mama
Pross, ambae bado alikuwa ndani
yagari, kitu ambacho kilisababisha wale
watu wengine waliokuwa wame kaa
pembezoni, akiwepo na bwana Feruz,
wasimwone vizuri mteja huyu, japo sauti
yake waliweza kuisikia kwambali,
sambamba na sauti ya music mmoja
sijuwagi kama ni wadini, au mipasho ya
kawaida, unasema “ombea adui yako
aishi siku nyingi, iliunapo fanikiwa
akujionee kwa macho” , “tunaosha nje
na ndani, au nje peke yake” aliuliza
Nungu, huku wenzake wakimtazama,
huku bwana Feruz akihisi kuifananisha
ile sauti, kama vile alisha wai kuisikia
sehemu, na akuna kitu alikuwa apendi
kama kukutana na mtu alie wai
kufahamiana nae kipindi akiwa askari,
hivyo Feruz, lakini akajipa moyo kuwa
akuwa anafahamiana na mwanamke
mwenye fedha za kuweza kumiliki
Alphad, “nje tu! siunaona hapo palivyo
chafuka” alisema mama Pross, “kama
nje ni elfu tatu, yani dakika kumi
umeondoka mama” alisema Nungu, na
hapo mama Pross akatoa elfu, tano na
kumpatia Nunguasante sana mama
ngoja nimtume mtu akatafute chenji,
alafu gari liweke pal..” kabla ajamaliza,
ghafla akavamiwa na Feruz, ambae ni
kama alikuwa anasubiri apewe ile ela,
“lete buku langu nikapate wali ndodo”
alisema Feruz, huku anaikwapua ile ela
mkononi kwa Nungu, “baba Pross ni
wewe mume wangu, au macho yangu?”
Feruz alisikia sauti ya yule mwanamke
aliekuwa ndani yagari, akiuliza kwa
mshangao mkubwa, siyo Feruz peke
yake ata wenzake walishangaa, hapo
moja kwa moja Feruz akaitambua ile
sauti kuwa ni ya mke wake, lakini mke
wake atakuwa wapi, maana akufikilia
kuwa yule mwanamke ndani yagri ndie
mke wake, anaanzaje yani, mama Pross
kuwa ndani ya gari lile au amepewa lift,
hivyo Feruz, akageuka haraka na
kutazama kwenye gari, ambako ilitokea
ile sauti, nikweli alimwona mwanamke
anae fanana na mke wake, lakini siyo
mke mke, yani kwa mawazo ya feruz,
maana kwa mwonekanano wa
wamanmke alie kuwa anamwona mbele
yake, labda kama alizaliwa upya kwenye
kizazi hiki, sababu uzuri aliokuwa nao,
ata kipindi cha uschana wake akuwai
kuwa nao, lakini Feruz, alikuwa
ameganda anamkodolea macho mwana
mama huyu, mrembo alie fanana aswa
na mke wake, japo huyu ni mrembo
kuzidi, “umekutwa na nini mume wangu,
yani mwisho wako ndiyo ume kuwa
huu?” aliuliza mama Pross, na kuzidi
kumchanganya Feruz, ambae sasa
alianza kuisikia sauti ya music kwenye
redio yagari, ombea adui yako, na sasa
ndiyo ikamjia hakiri kuwa alimwona
Pross akiwa na mama mmoja hivi, na
watoto wake, ikionyesha ni familia
yenye kujiweza, na ata Pross
alionekana kuwa mtanashati, hivyo
huyu pia ni mke wake, na kwa hakiri ya
haraka, akajuwa kuwa mke wake alisha
olewa tena na mtu mwenye fedha zake,
hivyo yeye amesha vuna alicho panda,
hapo ghafla bwana Feruz akahisi
kizungu zungu, na mwili ukaanza
kukosa nguvu, hukugiza likitanda
kwenye mboni za macho yake, “Nungu
mdake anaanguka huyooo!” Feruz
aliskia kwa mbali watu wakiongea
maneno hayo, huku akijihisi anaenda
chini kama kiroba, giza nene likiwa bado
limetanda usoni, akaisi Nungu
anamdaka, lakini akamshinda nguvu, na
kuzidi kwenda chini akajitaidi kujidaka,
lakini akuweza miguu aikuwa na nguvu,
hivyo akajipiga chini pwaah! “jamani
nisaidie ni mume wangu jamani” Feruz
akasikia sauti ya mke wake kwambali
akipiga yowe la kuomba msaada, hapo
Feruz akajitaidi kujiinua akashtuka
akizuiliwa, maeneo ya kifuani, “doctor
njoo haraka, amezinduka” Feruz alisikia
sauti ya mke wake akipiga kelele kwa
furaha, huku kama vile akiondoka
sehemu hiyo, “mh! doctor tena?”
alishangaa Feruz akijiuliza kimoyo
moyo, huku anafuambua macho, kweli
aliweza kufumbua macho, na kujikuta
yupo kwenye chumba kimoja tulivu,
chenye kuta nyeupe, akiwa amelazwa
kitandani, huku amefunikwa shuka
jeupe, na vitu kadhaa vilivyo ashilia
kuwa alikuwa hospital, “inamana
nilizimia” alijiuliza Feruz, huku
anautazama mlango uliokuwa wazi, na
hapo akamwona mke wake, ambae
mpaka sasa akuwa anaamini kama
kweli ni yeye na ana mwangaikia vile,
akiwa ameongozana na doctor mmoja
na nurse, wote wakike, Feruz
akamtazama mke wake ambae
kwamwonekano wake leo aligundua
kuwa kuna mambo mengi sana akuwa
amemtendea haki, maana alikuwa mzuri
wa sura na umbo, maana kuna tu vitu
ambavyo hapo mwanzo akuwa navyo
lakini sasa tulionekana wazi wazi, kama
vile hips makalio, na hata uzuri wa sura,
akuweza kumfananisha ata na Khadija
mschana kahaba alie mmalizia
pensheni yake, yani Khadija asingeweza
kumfikia mke wake ata robo ya uzuri,
“unajisikiaje bwana Feruz?” aliuliza
doctor, huku anaweka ki Bp machine
kifuani kwa feruz, “najiskia vizuri lakini
kichwa kizto kidogo” alijibu Feruz, huku
akimtazama mke wake, na macho yao
yalipo kutana Feruz alijikuta anatoa
machozi, “usiwe na wasi wasi bwana
Feruz, au atatizo lolote, una aja ya
kulia” alisema doctor alie maliza kupima
mapigo ya moyo, kisha akamtazama
mke wa bwana Feruz, “dada unaweza
kuondoka na mgonjwa wako, ila sasa
akapumzike ale vizuri inaonekana
alifanya kazi ngumu, bila kula, hivyo
ukampe chakula chepes kabla uja mpa
mlo kamili” alisema yule doctor na hapo
mama Pross akafanya utaratibu wa
kulipia matibabu aliyopewa, mume
wake, ambae alikuwa amekaa kweny
bench akimsubiri mke wake huyo, huku
akiitafakari hukumu yake, ambayo
itafidia ushenzi alio ufanya, huku wakati
mwingine akiwaza kama mke wake
atakuwa ameolewa basi yeye aombe
msaada wa kiasi cha fedha kitakacho
msaidia kuanza maisha mapya, “kuna
mambo utokea ili wengine wapate
nafasi ya kuishi kwa amani, maana
ninge kuwa nae asinge fanikiwa hivi”
aliwaza Feruz huku akimwona mke
wake anakuja pale alipo kuwa amekaa,
“aya twende mume wangu” alisema
mama Pross kwa sauti ya upole iliyo jaa
upendo wa hali ya juu, kiasi cha
kumshangaza bwana Feruz, amba
aliamua akae kimya bila kuhoji, mpaka
atakapo somewa shitaka lake.
Walitoka pale hospital na kupitia,
madukani, ambako mama Pross
alihakikisha amenunua nguo kadhaa na
viatu, kwaajili ya mume wake, ambae
kila walipo pita sehemu mbali mbali,
watu walizania kuwa mama huyu,
ameongozana na mtu wa kwenda
kumpa kazi za kufanya usafi nyumbani
kwake, lakini licha ya kuonyesha
upendo wa hali yajuu kwa mume wake,
ukweli bwana Feruz akuelewa kama
amesamehewa au anaenda kufanywa
kijakazi, au ata ambiwa kuwa safari
yako imeishia hapa, unaweza kuendelea
na zako.
Lakini waliingia kwenye gari, na moja
kwa moja walielekea nyumbani, kuliko
mshangaza Feruz ambae alishangaa
jumba lile ambalo nje yake kulikuwa na
gari jingine lime egeshwa, na waka
pokelewa na dada wakazi, ambae siyo
siri, alishangaa kumwona boss wake,
yani mama Pross akiingia na mtu wa
aina ile pale nyumbani, na mbaya zaidi
alimwingiza chumbani kwake, huku
boss wake huyu, akiagiza vipikwe
vyakula ambavyo kiukweli vilikuwa vya
kipekee, ikionyesha kuwa vyakula hivyo
ni kwaajili ya mgeni huyu, ambae alipo
mwona kwa mala ya kwanza alizania
kuwa ni mtu ambae amekuja kupewa
kazi ya kuokota taka taka kwenye eneo
la nyumba ile, lakini dada wa kazi,
akujuwa kuwa kule chumbani
kulitawaliwa na mambo mengi sana,
kuanzia vilio na kumbana msamaa,
“mke wangu naomba unisamehe sana
kwa yote niliyo yafanya kwa ko na
watoto, naomba uniombee msamaha
kwa watoto, kiukweli siwezi kupiga
magoti mbele yao” alisema Feruz huku
anaangua kilio cha chinichini,
akisaidiwa na mke wake, “mume
wangu, nilijuwa lazima utarudi, na
nilisha panga kukupokea naamini
umesha jifunza, na uwezi kurudia tena”
alisema mama Pross, huku
anabubujikwa na machozi,
walikumbatiana ikiwa ni ishala ya kuwa
akukuwa na utofauti kati yao.
Feruz aliingia bafuni kuoga akisaidiwa
na mke wake, alie mwogesha, na
alipomaliza alivaa vizuri, na kuelekea
sebuleni kwenye meza ya chakula,
alikaa pamoja na mke wake na kuanza
kupata chakula, kwa pamoja, huku
wakiongea ili na lile, “lakini mke wangu,
kabla sija ulizia watoto wapo wapi,
wacha nikueleze ukweli, mwenzio nime
teseka, yani nimeishi maisha ambayo
sikuwaza kuishi ata siku moja” alisema
Feruz, huku wote kwapamoja wakicheka
kwa uzuni, “ukweli sisi atuja teseka,
kama wewe, na mshukuru sana
ulituachia Pross, ndiyo maana sijaona
sababu ya kukataa kukupokea, maana
mwanao ndie amekuwa msaada
mkubwa kwetu” alisema mama Pross,
na kuanza kumsilia jinsi Pross alivyo
wasaidia kwa kila kitu, mpaka kufikia
pale walipo fikia.
Naam watoto wote wa Feruz walipewa
taalifa ya ujio wa baba yao pale
nyumbani, kwakifupi mtoto ni mtoto tu!
awakuwa na kinyongo na baba yao,
walimchukulia kama baba yao, Pross
alimtammburisha Rose kwa baba yake,
na maisha yakaendelea, sasa bwana
Feruz aliishi kama baba wa familia, japo
mwanzo akujiamini, lakini siku zilivyo
songa ndivyo alivyo anza kujiamini, na
kujikubari kuwa yeye ni baba tena, mke
wake akuwa mbinafsi, alimpa uhuru
mume wake, na kumpa nafasi yake
kama baba, mfano bwana Feruz aliweza
kuchukuwa gari na kutembea tembea
mitaani, alikuwa huru kutumia fedha,
kwa matumizi binafsi, aliweza kununua
vinywaji vya ulevi na kunywea
nyumbani, huku akizidi kunawili, kila
siku zilivyoenda, na kurudisha ngozi ya
ujana, na mwili wa kiungwana, ule mwili
ambao unaamkiwa na kila mtu wa lika
lolote, kasoro wazee, mwili ambao
ukiomba namba ya simu ya mwanamke
siku hiyo hiyo lazima utasikia “baby
nikuambie kitu kama uto jari” sijuwi
uwa kina fwataga nini hapo, maana
lazima utaonekana unafedha ukiwa na
mwili kama huo, ambao sasa alikuwa
nao bwana Feruz, toka kwenye ule mwili
wa kubebea maji ya kuoshea magari,
kwa bwana Nungu, ambae sasa alikuwa
anapita siku moja moja, kuwasalimia na
kuwapelekea gari walioshe.
Kwakifupi sasa alikuwa baba mwema,
akumsumbua mke wake, lakini usilo
lijuwa ukweli lita kusumbua sana,
sikuelewa Feruzi likuwa na maana gani,
kumbe basi siku zote alikuwa
anatamani sana, kwenda mivinjeni,
sijuwi kufanya nini.******
Naam ilipita miezi kadhaa tayari Rose
alisha jifungua mtoto wakike, mama
Pross ndie alie enda kukaa na mzazi, na
ndipo ilipo timia siku ile ambayo, Feruz
alikuwa anaiitaji, siku ya kwenda
mivinjeni, yeye mwenye alisema siku ya
kurudisha heshima yake iliyo potea,
ilikuwa ni siku ya jumamoss, mida ya
kumi jioni, siku ambayo mtaa wa
mivinjeni nje kidogo ya makazi ya polisi,
kwenye mtaa uliochangamka, kwa
maduka bar na saloon vibanda vya
biashara, watu magari na boda boda,
pembezoni mwa bar moja kubwa sana,
ambayo kwa sasa ni mpya, bar iliyo jaza
watu kibao, palionekana saloon,
ambayo kiukweli ilikuwa kama ime kosa
mvuto, na kuanza kufilisika,
kilichoonyesha kuwa ni saloon, ni wana
dada wanne waliokuwa wamekaa nje
yake, huku macho yao kwenye bar,
unajuwa kwanini macho yao yalikuwa
kwenye bar, ni kwamba wana dada awa
walikuwa wanatazama kule, ikiwa ni
kawaida yao, kutazama mwanaume
yoyote atakae wakonyeza, kwa lengo la
kwenda kula nae bata, na mwisho wa
siku kwenda kuepeana dudu, kwa
makubaliano ya malipo, hiyo ilikuwa
siku za nyuma, lakini kwa sasa,
ghalama ilikuwa ni bia tu, mwanaume
huyo ange pewa kitumbua, mpaka
asubuhi, ni kutokana na kuchoka kwa
wanawake awa, ambao sasa
walipoteza mvuto, kwa ukata wafedha,
“sikuizi mambo magumu jamani, yani
akuna ata wa bia” alisema mmoja wao,
akikumbuka kuwa sasa walikuwa
wanamaliza week pasipo kuitwa na
mwanaume yoyote, “yani siyo kama
kipindi cha Feruz, tulikuwa tuna kula
raha jamani” alisema Khadija, na hapo
zikaanza story za zama hiyo, lakini
ikabakia kuwa plau la jana alipozi njaa
ya leo, “hivi yupo wapi mtu mwenye,
ajafa kwa stroke kweli” aliuliza mmoja
wao, na wote wakacheka, “nilisikia
anaonekana huko mbezi ya kimara,
anaosha magari” alijibu Khadija, na
wote wakacheka tena, “uliweza kumfilisi
yule baba jamani” alisema mmoja wao,
huku wakijikalisha kiasala asala, na
kufanya vinguo vyao vifupi kuacha
vitumbua wazi, kama umetokea mkoani
leo unge sema ni bahati mbaya, ila
ilikuwa ni makusudi, kuvutia mtu yoyote
atakae ona, “tena anabahati nilimjulia
uzeeni, mbona ange nikoma” alisema
Khadija huku wakilitazama gari moja
aina ya Toyota Alphad lililokuwa lina
pita mbele yao taratibu, na kwenda
kusimama pale kwenye bar, “mh! wenye
magari mazuri kama awa wanakuja na
watu wao” alikosoa Khadija baada ya
kuona wenzake wanalikodolea lile gari,
kutazama ata shuka nani, toka ndani
yagari, ambalo lilizimwa mala tu baada
ya kusimama.
Naam mlango wa dereva wagari
ulifunguliwa, nao waka kaza macho,
wakamwona anashuka mzee mmoja wa
makamo, mwenye umbo pana kidogo,
na mwenye kuvalia kitanashati,
“hhhhhaaaa! Feruz” kwa sauti ya
mshangao na yachini, iliwatoka wote
wanne, huku wakijikuta wanatazama
usoni vinywa wazi, tabasamu la
bumbuwazi, na macho ya
mshangao………
 
  • Thanks
Reactions: ADK
SEHEMU YA ALOBAINI NA NANE
STORY NA: Mbogo Edgar
ILIPOISHIA SEHEMU YA ALOBAINI NA
SABA: Naam mlango wa dereva wagari
ulifunguliwa, nao waka kaza macho,
wakamwona anashuka mzee mmoja wa
makamo, mwenye umbo pana kidogo,
na mwenye kuvalia kitanashati,
“hhhhhaaaa! Feruz” kwa sauti ya
mshangao na yachini, iliwatoka wote
wanne, huku wakijikuta wanatazama
usoni vinywa wazi, tabasamu la
bumbuwazi, na macho ya
mshangao……… endelea …..
kisha waka mtazama Feruz alie kuwa
anaingia kwenye eneo la ile bar,
akitokomea ndanikabisa ya bar upande
wa counter, “inamaana ajaniona?”
aliuliza Khadija huku anasimama,
“asinitanie” alisema Khadija, huku na
kuvaa viatu vyake vya wazi, (sendo)
zilizo chakaa kiasi, ni kwavipi
alionyesha amekosa ata buku za
kununulia sendo za plastic, alafu
akatoka mbio mbio, kueleleka kule bar,
huku wenzake pia wakiinuka na
kumfwata mwenzao wakijuwa leo wana
kumbushia enzi zao.
Naam waliingia kwa speed mle ndani ya
bar, na kusimama kati kati, wakaanza
kuangaza macho huku na huku,
kumtafuta bwana Feruz, ambae
walimwona kuwa ni tupa tupa,
wakamwona ndio kwanza anaelekea
counter, na alipoifikia counter ambayo
ilikuwa na watu wachache, akasimama,
hapo Khadija akatoka mbio tena, kuwai
counter, huku macho ameyaelekeza kwa
Feruz, na kumwona akiingiza mkono
mfukoni, na kutoa wallet, mpaka
anaifungua ile wallet, tayari Kahdija na
wenzake walisha mfikia, “jamani baby,
afadhari nime kuona, yani nilikuwa na
kutafuta mwenzio” alisema Khadija
huku anaweka mkono kwenye bega la
Feruz, macho kwenye wallet, ambayo
ilikuwaimeshona fedha zikiwa ni note za
elfu kumi kumi, zilizo jaa kiasi cha
wallet kushindwa kufunga vizuri, Feruz
akashtuka kidogo, na kuutoa mkono wa
Khadija begani kwake, kisha akajifanya
kumtazama kwa mshangao, “jamani
baby, ni mimi, hooo pole nime kushtua”
alisema Khadija kwa sauti flani ya
kutokea puani, ambayo aikumkela Feruz
peke yake, ata waliokuwa karibu na pale
nao, walikeleka, “sasa utaha rabu gani
wa kuvamia mtu ata ujasalimiana nae?”
aliuliza Feruz, huku akimtazama Khadija
kwa jicho kali, “basamahani baby
nilijuwa umesha niona” alisema Khadija,
kwa sauti ya upole, hapo nikama Feruz
alipoa flani, akamgeukia mhudumu, na
kumpatia note mbili za elefu kumi kumi,
“naomba wine” alisema Feruz, kisha
akatulia kusubiri alicho agiza, “na mimi
nipatie bia ya baridi” alisema Khadija
kisha akawatazama wenzake nikama
alikuwa anawaeleza na wao waagize,
“na mimi kama hiyo” “na mimi kama
hiyo” wote wakaagiza, jumla ya bia nne,
huku wanakaa, kwenye viti virefu vya
pale counter “yani baby kuna watu
wanaroho mbaya, eti waliniambia sijuwi
hupo mbezi una fanya nini sijuwi”
alisema Khadija kwa sauti ya
kujibebisha, “ni kweli nipo upande huo,
lakini nipo Kibamba” aijibu Feruz, kwa
sauti flani hivi, ambayo utumiwa na
watu wenye fedha zao, yani sauti tulivu,
na yaupole, “vipi ubaridi huu?” aliuliza
mhudumu wa counter, “huo huo
unatosha” alijibu Khadija, huku na yeye
akiwa anapanda juu ya kiti kirefu,
namhudumu aka wafungulia bia zao,
ambazo ile kabla ata mhudumu aja
chukuwa wine na kumpatia Feruz tayari
zilikuwa nusu, maana walizigugumia
ungesema walikuwa na kiu ya miaka,
“bado elfu nne, alisema yule mhudumu,
huku anampatia bwana Feruz wine na
glass, hapana sinywei hapa, naenda
kunywea nyumba, alafu hii wine bei
gani?” aliuliza Feruz, huku wakina
Khadija wakimtazama Feruz kwa
mshtuko, na mshangao, ni baada ya
kusikia kuwa anywei hapa, ila anaenda
kunywea nyumbani, hapo wakatazama
kwa mshangao, “wine elfu kumi na sita”
alijibu yule dada mhudumu huku
ameshikilia zile noti mbili za elfu kumi
kumi, “sasa mbona unasema bado elfu
nne, wakati mimi ndiyo nadai elfu nne”
aliuliza Feruz akionyesha mshangao
kiasi, na kuwafanya wakina Khadija
washtuke kidogo, “baby, si anadai na
hizi bia?” aliuliza Khadija huku akishuka
kwenye kile kiti kilefu na kumsogelea
Feruz, “eti ndiyo una maanisha hivyo?”
aliuliza Feruz, akimtazama yule
mhudumu, “ndiyo mzee wangu, au
hukunielewa?” aliuliza yule dada
mhudumu, huku anajitabasamulisha,
“kwani mimi nilipokuja hapa nilikuagiza
nini?” aliuliza feruz, akimtazama yule
mhudumu, hapo akadakia Khadija,
“lakini baby…” kabla ajamaliza kuongea
akakatizwa na Feruz, “weee kwanza ilo
jina siliitaji, unatasababisha watu
wanione wa hajabu, mimi na familia
yangu, alafu unaniita majina ya ajabu
ajabu” alisema Feruz, akiwa
amemtazama Khadija, usoni, kwa
macho makali kweli kweli, “sahamani
lakini bab.. lakini Feruz jamani
usikasilike, tuakae tuongee kwanza”
alisema Khadija huku wenzake
wakitazama zile bia mezani, ambazo
mpaka sasa zilikuwa nusu chupa, na
wakijuwa fika kuwa walikuwa
wanaitajika kulipia wenyewe, na wakati
awakuwa na ata shilingi moja, ya
mkoroni, “tuongee nini, kuna maongezi
gani yenye faida, kati yetu” aliuliza
Feruz, kabla aja mgeukia mhudumu,
huku watu waliokuwa karibu wakigeuka
na kuwatazama, “dada nipatie chenji
yangu, naitaji kuondoka haraka”
alisema Feruz, na hapo yule dada
mhudumu akachukuwa shilingi elfu nne,
na kumpatia Feruz, ile anataka
kuondoka Khadija akamdaka mkono,
plizzzz jamani Feruz, naomba basi
utulipie ata hizi bia nne tu, usinifanyie
hivyo jamani” alilalamika Khadija huku
akiwa ameung’ang’ania mkono wa
Feruz, “we mwanamke mbona
sikuelewi, nikulipie bia nne kwa
mkataba gani, yani yote uliyo nifanyia,
na aibu uliyo nisaidia kuitafuta, bado
unataka kunifanya mimi mjinga, ebu
niachie mkono, ukapambane na hali
yako” alisema Feruz, huku ana
upapatua mkono wake na kujitoa kwa
Khadija, ambae sasa nikama alianza
kulenwga na machozi, “jamani baby, ni
samehe, nilikukosea kweli, mwenzio
nina umbuka” alisema Khadija waka
kulalama, huku akimtazama Feruz, alie
kuwa anatembea kuelekea nje kabisa ya
eneo la bar, “kwahiyo nikusamehe ili
waje, unifanye tena mjinga wako?,
labda ume sahamu, mjinga ni wakati
wa kwenda tu, lakini wakurudi ninakuwa
mwelevu” alisema Feruzi, na kuendelea
na safari yake, Khadija akaanza
kumfwata, lakini kabla aja fika mbali,
akamsikia yule mhudumu wa pale
counter anasema, “we dada ebu njoo
hapa, unaenda wapi wakati hamjalipa
vinywaji.
Naam hapo ndipo Khadija alipo kuwa
amepasahau, kuwa kuna kulipa
vinywaji, akageuka nakuwatazama
wenake wanne, ambao pia walikuwa
wamekaa kwenye vile viti virefu,
wanamtazama, kama vile
wanamtazama boss alie filisika, “sasa
dada tuna fanyaje maana mtu tulie
mtegea ndiyo yule ameondoka?” lakini
wakati rafiki zake Khadija wana waza
ilo, Kahdija akaona sasa anaumbuka
vibaya, na ukichukulia pale ni mtaani
kwake, hivyo ni aibu ya mwaka, akaona
ni vyema akiwai kwenye gari aka
mbebeleze Feruz, ambae kiukweli
matendo aliyo wai kumfanyia ni mabaya
sana, lakini ilionyesha kuwa, Khadija
alisha mchukulia kama huyu jamaa ni
bwege, na kwa jinsi alivyo mzimia
kipindi kile, na kumaliza fedha za
penshen bila kukumbuka familia, lazima
leo ata mwelewa, na kuendelea kula
bata, hivyo Khadija akachomoka mbio,
kueleka nje, kule alikoelekea Feruz,
lakini ile ana piga hatua mbili,
akumwona mhdumu alie beba tray lenye
bia tatu, aka mvaa mzima mzima, na
kumsukuma nyuma huku tray
kiliponyoka mkononi kwa mhudumu na
kujibwaga chini, huku ukisikika mlio
kama wa bomu, bia zikizibuka na
kupasuka, huku Khadija mwenye
akijisogeza pembeni kukwepa vipande
vya chupa, pasipo kuangalia kama
kulikuwa na meza iliyo jaa vinywaji ya
wateja,a mbao walipo jaribu kumzuwia
walisha chelewa, tayari Khadija alisha
sukuma meza nako ikasikika, “bwah!!!!”
hapo Kahadija akajuwa tayari amesha
zalisha deni jingine kubwa, akajishika
kichwani kwa mshangao wa fadhaa,
huku akizungusha macho kutazama
watu waliokuwepo mle ndani ya bar,
akaona wana inuka kwenye viti vyao, na
kutazama pale palipotokea mtimbiliko,
akawatazama wenzake pale walipokaa,
akuwaona, na alipotazama upande
wakutokea, akawaona ndio kwanza
wapotelea barabarani kwa mwendo wa
jinni, yani wakunyemelea, ikionyesha
wazi walikuwa wanatoroka, “dada
unalipa” ilisikika sauti ya kijana mmoja,
hapo Khadija akakumbuka kuwatazama
wale waliokaa kwenye ile meza, aliyo
isukuma, akawaona vijana sita, wakiwa
wamesimama huku watano kati yao,
wakiwa wamekunja sura za hasira, ni
mmoja tu alikuwa ametulia
anatabasamu, Khadija akazama kule
kwenye maegesho ya magari,
akamwona Feruz akiwa amesimama nje
ya gari akimtazama huku anacheka,
hapo Khadija akajuwa kuwa Feruz siyo
yule wa zamani, alie mlia fedha zake
zote, na kumtimua nyumbani kwake,
huku akimwingizia waume humo humo
ndani, “we! mwanamke, una shangaa
nini ebu toa fedha nunua bia nyingine
hapa” alisema mmoja kwa hasira, huku
ana mshika mkono Khadija na kumvutia
kwake, ni kati ya wale watano wenye
hasira, “hapana jamani mbona ni
mambo madogo sana haya, bia kitu
gani?” alisema yule ambae alionekana
kutabasamu, huku anamtazama
Khadija, wakati huo yule dada
mhudumu wa counter,alikuwa amesha
sogea eneo la tukio, nakumtazama
Khadija kwa mshangao, “jamani we
dada zile za counter ujalipa ume vunja
tena bia tatu, na ume vunja bia za
wateja” aliseyule dada wa couneter,
kwa mshangao uliochanganyika na
lawama, “kwakweli lazima alipe”
alisema yule mhudumu alie sukumwa
na kuangusha vinywaji, hapo Khadija
akamtazama tena Feruz, ambae
sasalimwona akiingia kwenye gari lake
na kuondoka zake, “dada unamdai bei
gani?” aliuliza yule ambae akuwa
amekasirika, na kumfanya Khadija
alipukwe na furaha ya kimoyo moyo,
“elfu kumi na nne” alijibu dad wa
counter, uwezi amini, jamaa alizama
mfukoni, na kuibuka na na wekundu
wawili, aka mkabidhi, ok tuleetee
vinywaji vingine tunaenda kuka pale”
alisema yule jamaa, huku wenzake
akimshangaa, “asante sana kaka
yangu, lile zee lilizania nitaumbuka”
alisema Khadija kwa sauti ya juu, iliyo
jaa dharau na furaha, huku anataka
kuondoka zake, “dada jiunge na sisi,
uoni kama ni bahati, watu tume kulipia
na tuna taka tukupe offer, au hupo na
mtu wako?” aliuliza yule jamaa, kwa
sauti ya kirafiki huku anatabasamu,
hapo khakaadija akachekelea kimoyo
moyo na kujisemea, “ange kuwepo yule
baradhuri, roho inge muuma,
nanitakutafuta tu! nile ela zako” Khadija
akajifanya kuona aibu, jamani sija
wazowea alafu nitakuwa
nimewaongezea bajeti msiyo ipanga”
alisema Khadija kwa sauti flani ya
kujifanya mwema, lakini kwa wazoefu,
usinge danganyika, sababu sauti yake
na vitendo avikulingana na sura yake,
“usijari wangu, twende tuka pige pige
story, si unaona tupo wenyewetu!”
alisema yule asiye na hasira, huku
wenzake wakionekana kuanza kuelewa
anacho kifanya mwenza.
Ukweli Khadija alijiunga na wale vijana
sita, na kuanza kunywa nao pombe,
Khadija aliwacheka rafiki zake pamoja
na bwana Feruz, ambae alitamani ange
kuwa na namba yake ya simu, ange
mpigia na kumweleza, jinsi anavyo kula
bata, na vijana wale, aliyawaza hayo
Khadija, huku anakunywa pom,be kwa
fujo, akiofia kuichelewa ile offer, ambayo
akujuwa itaishia saangapi, pasipo
kujuwa kuwa kinachofwata baada ya
masaa machache ni zaidi ya mateso.
Maana walikunywa pombe mpaka saa
tano usiku, uku muda wote akifanyiana
michezo ya kimahaba, na vijana wale,
ambapo kama unge fika kwa haraka,
usinge tambua kuwa nani anaenda kula
kitumbua, ata Khadija mwenyewe
alikuwa amesha juwa kuwa lazima
mmoja wao akale kitumbua chake na
yeye alisha jiweka tayari kuliwa
kitumbua, na aikuwa kesi kwake,
sababu amesha zowea kuliwa kitumbua
kiolela.
Mida hiyo ndiyo mid ambayo,
waliondoka pele bar, wakitumia gari lao,
na kupotelea kusiko julikana, maana
wale vijana walikuwa na gari aina ya
Toyota Noah, hakuna alie juwa
walikoelekea, usiku ule, na akuna alie
juwa kilicho tokea, japo mimi najuwa
kilicho tokea, na kama nikisema
nisimulie kilichotokea basi tuta lazima
kuongeza kurasa nyingine tano, na
watoto wakafungiwe, japo nao wanaitaji
kujifunza mambo ambayo awatakiwi
kuyafanya, ata kwabahati mbaya, ila
basi, watu walio pia mapema kuwai
makazini na kwenye miangaiko yao,
ndio walio mkuta Khadija akiwa amelala
pembezoni mwa ile bar, karibu na
saloon yake akiwa mtupu kama alivyo
zaliwa, ajitambui kabisa, huku
akionenaka kuaribiwa sehemu zake za
siri, yani mbele na mgongoni, huku
akitapakaliwa na hajakubwa, iliyo
changanyika na damu, huku Khadija
mwenyewe akiwa ajitambui, sikujuwa
kama ni usingizi, au alipoteza fahamu,
kama ujuwavyo wanadamu, kitu cha
kwanza wakapiga picha nyingi sana,
kwa aajili ya kupost mitandaoni, kisha
waka piga simu polisi, ilia je
achukuliwe.
Mpaka namaliza kuandika simulizi hii,
Khadija bado alikuwa hospital
ameshazinduka, na mesha shonwa
nyuzi kadhaa kwenye nyia ya
hajakubwa, ikisemekana kuwa
aliingiziwa kitu kigumu, japo yeye
anasema, wale vijana walimpaka
kwazamu, wakiitumia njia hiyo, mpaka
alipopoteza fahamu kutokana na
maumivu makali, aliumia sana, ata
rafiki zake walipokuja kumtazama,
alihisi wanakuja kumsanifu, kuna
wakati alitaka kuhisi, kuwa wale vijana
walitumwa na Feruz, lakini ukweli ni
kwamba vijana wale walikuwepo pale
muda mrefu, na awakuwa na mausiano
na Feruz, ambae Khadija akutaka ata
kumtafuta tena, alimwona kama
mkosi.*****
Naam mapaka sasa Feri anaishi vizuri
na familia yake, huku bwana Kipanta
akiwa tabora anafanya vibarua kwenye
mashamba ya tumbaku, kwa ujira
mdogo, Pross na Rose wanaendelea na
maisha yao na biashara zao vizuri uku
wana lea mtoto wao, japo anajiiba mala
moja moja kwa madam Stellah, ambae
licha ya kufanikiwa katika maisha na
kuweza kuendesha maisha yake yeye
mwenyewe, na kuishi maisha ya
kifahari, lakini akutaka kuolewa tena,
kwa kutegemea dudu ya Pross, ambayo
sas alikuwa anaipata mala moja au
mbili kwa week.
Hapo ndiyo mwisho wa simulizi yetu, ya
# KITUMBUA_CHABUKU , na kama ilivyo
kawaida yetu, huo ndio mwanzo wa
simulizi nyingine, asanteni sana kwa
kuwa pamoja nasi toka mwanzo mpaka
leo tumefikia mwisho, asanteni kwa
maoni na ushauri, mlitufanya tujione
kuwa tupo pamoja, asanteni kwa
michango yenu ya hali na mali,
msichoke kwa mwenye kuitaji simulizi
zetu zilizo pita, anaweza kutu
tamazama whatsaap kwa namba
0756211027
 
Back
Top Bottom