Kitunguu swaumu na upara

Kitunguu swaumu na upara

Inamaana unajitahidi kudhibiti uzee? Kubali tu bwana wewe!
 
nina miaka 29 nakipara kimeanza nywele zangu zambele zimeanza fifia@ wataalamu wa mambo nipen data
 
Chukua Magadi kijiko kimoja weka kwenye maji nusu lita kisha pasha moto hadi uone povu, Baada ya maji kupoa chukua kitambaa kilowanishe kwenye maji hayo yenye mchanganyiko na Magadi kisha anza kusugua kichwani (Sehemu yenye kipara)

Nimeamua kukusaidia, Sikutaka mambo ya PM.
 
Nimepata taarifa kutoka kwa bwana mmoja aniambia nitumie kitunguu swaumu kwa kukiponda ponda kisha nisugue kwenye nywele zangu ambazo zimeanza kufifia kama upara kisha zitaanza kurudi.

Nipo kwenye dozi hapa na kweli nikipaka nasikia hasa inaingia nahisi ndo inapenya zake ndani kwenda kurekebisha maoto.

Kama kuna mtu ashawahi tumia tofauti na hii tushare maujanja au kama kuna mtu naye nywele zake zinapotea basi namkaribisha tutumie.

Feedback muhimu

Ni kweli vitunguu swaumu husaidia ukuaji wa nywele na hata wahindi hutumia sana hii pale ambapo nywele zao zikikatika. Lakini kuwa makini sana na uwingi wa kitunguu chako kwenye nywele na usikae nacho sana kwenye ngozi kitunguu swaumu huunguza ngozi kikitumika kingi na ukitumia kwa muda mrefu kwenye ngozi.
Pia unaweza tumia olive oil na castor oil hukuza nywele kwa haraka na huzifanya ziwe imara zisikatike.
I hope utaona mabadiliko.[emoji4]
 
Ni kweli vitunguu swaumu husaidia ukuaji wa nywele na hata wahindi hutumia sana hii pale ambapo nywele zao zikikatika. Lakini kuwa makini sana na uwingi wa kitunguu chako kwenye nywele na usikae nacho sana kwenye ngozi kitunguu swaumu huunguza ngozi kikitumika kingi na ukitumia kwa muda mrefu kwenye ngozi.
Pia unaweza tumia olive oil na castor oil hukuza nywele kwa haraka na huzifanya ziwe imara zisikatike.
I hope utaona mabadiliko.[emoji4]
kwa hvyo mkuu kitumike kiasi gani kitunguu ?
 
Ni kweli vitunguu swaumu husaidia ukuaji wa nywele na hata wahindi hutumia sana hii pale ambapo nywele zao zikikatika. Lakini kuwa makini sana na uwingi wa kitunguu chako kwenye nywele na usikae nacho sana kwenye ngozi kitunguu swaumu huunguza ngozi kikitumika kingi na ukitumia kwa muda mrefu kwenye ngozi.
Pia unaweza tumia olive oil na castor oil hukuza nywele kwa haraka na huzifanya ziwe imara zisikatike.
I hope utaona mabadiliko.[emoji4]
mkuu olive oil na castor oil vipimo vyake vinaakuwaje
 
Back
Top Bottom