Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ah mkuu miaka mtu mwenye miaka 25 upara wa nini bhan?Nimeishia kucheka tu! Pole mkuu, kwani una miaka mingapi? Mbona kama kipara kimekuota mapema hivyoo?
Nimepata taarifa kutoka kwa bwana mmoja aniambia nitumie kitunguu swaumu kwa kukiponda ponda kisha nisugue kwenye nywele zangu ambazo zimeanza kufifia kama upara kisha zitaanza kurudi.
Nipo kwenye dozi hapa na kweli nikipaka nasikia hasa inaingia nahisi ndo inapenya zake ndani kwenda kurekebisha maoto.
Kama kuna mtu ashawahi tumia tofauti na hii tushare maujanja au kama kuna mtu naye nywele zake zinapotea basi namkaribisha tutumie.
Feedback muhimu
kwa hvyo mkuu kitumike kiasi gani kitunguu ?Ni kweli vitunguu swaumu husaidia ukuaji wa nywele na hata wahindi hutumia sana hii pale ambapo nywele zao zikikatika. Lakini kuwa makini sana na uwingi wa kitunguu chako kwenye nywele na usikae nacho sana kwenye ngozi kitunguu swaumu huunguza ngozi kikitumika kingi na ukitumia kwa muda mrefu kwenye ngozi.
Pia unaweza tumia olive oil na castor oil hukuza nywele kwa haraka na huzifanya ziwe imara zisikatike.
I hope utaona mabadiliko.[emoji4]
mkuu olive oil na castor oil vipimo vyake vinaakuwajeNi kweli vitunguu swaumu husaidia ukuaji wa nywele na hata wahindi hutumia sana hii pale ambapo nywele zao zikikatika. Lakini kuwa makini sana na uwingi wa kitunguu chako kwenye nywele na usikae nacho sana kwenye ngozi kitunguu swaumu huunguza ngozi kikitumika kingi na ukitumia kwa muda mrefu kwenye ngozi.
Pia unaweza tumia olive oil na castor oil hukuza nywele kwa haraka na huzifanya ziwe imara zisikatike.
I hope utaona mabadiliko.[emoji4]
Madhali cha kwangu hakiumi wala hakiwashi na kiwepo tu .,. Ila mpaka uje ugundue Nina airport labda niwe chaka.
ah mkuu miaka mtu mwenye miaka 25 upara wa nini bhan?
Hii ninaushuhuda toka kwa rafiki yangumafuta ya mzeituni pia ni mazuri
Yenyewe tu ni tiba toshaunachanganya na nini mkuu?
unayatumia vipi mkuu..nifungukie kwanzaHii ninaushuhuda toka kwa rafiki yangu
Hayo mafuta ya mizeituni yanapatikana kwa urahisi hapa nchini? Maana Mimi huwa nahisi hayapatikani kwa urahisimafuta ya mzeituni pia ni mazuri
mkuu mimi nywele zangu zinaanza kufifia kwa mbali kama manyoya sina upara totaly kama cha mkuu wa nchi hii....Kipara hakizuiliki mkuu, otherwise uzioteshe kama Rooney