Uchunjuba Punjubi
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 799
- 622
Kila la kheri mkuu, ila nakukumbusha tena, Kipara hakizuiliki, labda ukafanye kama Rooneymkuu mimi nywele zangu zinaanza kufifia kwa mbali kama manyoya sina upara totaly kama cha mkuu wa nchi hii....
sasa mimi nataka nizikuze ziwe nene
mkuu si kweli..ntakuja toa ushuhuda hapa na picha ya kabla na baadaKila la kheri mkuu, ila nakukumbusha tena, Kipara hakizuiliki, labda ukafanye kama Rooney
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ata ukinuna vip ukija jf utacheka tu. LazimaInamaana unajitahidi kudhibiti uzee? Kubali tu bwana wewe!
Tuseme Inshallah mkuumkuu si kweli..ntakuja toa ushuhuda hapa na picha ya kabla na baada
Kaka tupe mrejeshomkuu si kweli..ntakuja toa ushuhuda hapa na picha ya kabla na baada
Tupe mrejesho basi mkuu na ulitumia nini na nini au vpmkuu si kweli..ntakuja toa ushuhuda hapa n
a picha ya kabla na baada
Tatizo lisikilizie Kwa jirani aiseee...kwani kipara ni ugonjwa? mbona watu wanapambana na kipara kiasi hicho? au ndo tuseme wanapambana na uzee!
duuh! kweli ujana raha.
Ukapotelea wapi.. watu tunasubiri mrejesho.. kama. hakuna kilichotokea sema kam kuna badiliko pia sema kwa kiasi gani?mkuu si kweli..ntakuja toa ushuhuda hapa na picha ya kabla na baada
MrejeshoNimepata taarifa kutoka kwa bwana mmoja aniambia nitumie kitunguu swaumu kwa kukiponda ponda kisha nisugue kwenye nywele zangu ambazo zimeanza kufifia kama upara kisha zitaanza kurudi.
Nipo kwenye dozi hapa na kweli nikipaka nasikia hasa inaingia nahisi ndo inapenya zake ndani kwenda kurekebisha maoto.
Kama kuna mtu ashawahi tumia tofauti na hii tushare maujanja au kama kuna mtu naye nywele zake zinapotea basi namkaribisha tutumie.
Feedback muhimu
Mim nlivojifungua nywele zilinyonyoka mbele.....nkaanza kupaka Mnyonyo oil..... nywele zangu zote zimerudi lbd uwe unapaka pia hiyoNimepata taarifa kutoka kwa bwana mmoja aniambia nitumie kitunguu swaumu kwa kukiponda ponda kisha nisugue kwenye nywele zangu ambazo zimeanza kufifia kama upara kisha zitaanza kurudi.
Nipo kwenye dozi hapa na kweli nikipaka nasikia hasa inaingia nahisi ndo inapenya zake ndani kwenda kurekebisha maoto.
Kama kuna mtu ashawahi tumia tofauti na hii tushare maujanja au kama kuna mtu naye nywele zake zinapotea basi namkaribisha tutumie.
Feedback muhimu
ikoje iyo mkuuNaendesha udadisi binafsi kwa wenye matatizo ya nywele;
Je kuna mtu amewahi kutumia mafuta yatokanayo na mbegu za maboga? Mbegu za maboga mixer na mnyonyo?
Mfano haya yana mafuta ya nyonyo na mafuta ya maboga. Au ukishindwa kuyapata [kwa Mbeya ni easy zaidi] tafuta mafuta ya maboga utachanganya mwenyewe na mafuta ya nyonyo kuyatumia katika nywele kwa muda huo, pamoja na kula mbegu za mabogaikoje iyo mkuu
asanteM
Mfano haya yana mafuta ya nyonyo na mafuta ya maboga. Au ukishindwa kuyapata [kwa Mbeya ni easy zaidi] tafuta mafuta ya maboga utachanganya mwenyewe na mafuta ya nyonyo kuyatumia katika nywele kwa muda huo, pamoja na kula mbegu za mabogaView attachment 2241269.