Kituo cha Biashara Ubungo then asilimia 100 ya products ni imported tena kutoka China, inasikitisha mno

Kituo cha Biashara Ubungo then asilimia 100 ya products ni imported tena kutoka China, inasikitisha mno

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Ni wajinga ndio wanaweza shangilia huu ujinga, haiwezekani kijengwe the so called kituo cha biashara na asilimia 100 ya products hapo ni kutoka nje na tunaona ni sawa kabisa tena tunashangilia na kushangilia kabisa kwamba sasa maisha yatakuwa rahisi sana.

Ni sawa na Kariakoo pale na hivyo vituoa tunavyo shangilia ndio vinakuja kuu moja kwa moja viwanda hata vile vya SIDO, yaani hatutakuwa na hata viwanda vya sido tena make wachina watakuwa wanatutengenezea vitu kama hivyo vya sido na kutuletea.

Leo hii zile sendo za kimasai zile za culture tiyali wachina wanafyatua China na kutuletea, zile culture za kuvaa mikononi Wachina wanafyatua China na kutuletea na tunashangilia sana.sisi tunashangilia kwa sababu tuna akili fupi sana.

Huwezi jenga kituo cha Biasbara ndani ya nchi yako na hicho kituo kikawa na kituoa cha kuchuuza products za nje, hii ni kufilisika kimawazo kwa Watanzania na majukwaani utasikia Tanzakia ya Viwanda unakuja.

Tuendelee kuwakuzia wachina uchumia wao na hapo hapo tunawaponda na kulalamika kwamba wanauza bidhaa bei che wakat sisi ndio tunawatengenezea mazingira hayo.

Crativities nchi hii zinaenda zikiisha na miaka 10 ijayo tutakuwa tunaongea rugha moja na wachina ili anagalau watuajir8 hata kutafasiri, hizo ndii akili zetu.
 
Ni wajinga ndio wanaweza shangilia huu ujinga, haiwezekani kijengwe the so called kituo cha biashara na asilimia 100 ya products hapo ni kutoka nje na tunaona ni sawa kabisa tena tunashangilia na kushangilia kabisa kwamba sasa maisha yatakuwa rahisi sana.

Ni sawa na Kariakoo pale na hivyo vituoa tunavyo shangilia ndio vinakuja kuu moja kwa moja viwanda hata vile vya SIDO, yaani hatutakuwa na hata viwanda vya sido tena make wachina watakuwa wanatutengenezea vitu kama hivyo vya sido na kutuletea.

Leo hii zile sendo za kimasai zile za culture tiyali wachina wanafyatua China na kutuletea, zile culture za kuvaa mikononi Wachina wanafyatua China na kutuletea na tunashangilia sana.sisi tunashangilia kwa sababu tuna akili fupi sana.

Huwezi jenga kituo cha Biasbara ndani ya nchi yako na hicho kituo kikawa na kituoa cha kuchuuza products za nje, hii ni kufilisika kimawazo kwa Watanzania na majukwaani utasikia Tanzakia ya Viwanda unakuja.

Tuendelee kuwakuzia wachina uchumia wao na hapo hapo tunawaponda na kulalamika kwamba wanauza bidhaa bei che wakat sisi ndio tunawatengenezea mazingira hayo.

Crativities nchi hii zinaenda zikiisha na miaka 10 ijayo tutakuwa tunaongea rugha moja na wachina ili anagalau watuajir8 hata kutafasiri, hizo ndii akili zetu.
Tanzania ilisha kua damping place for cheap Chinese products kwasababu hatuna viongozi wenye maono ya mbali ya uchumi, tumakua sitelight state ya China bila hata kujua.......
 
Ni wajinga ndio wanaweza shangilia huu ujinga, haiwezekani kijengwe the so called kituo cha biashara na asilimia 100 ya products hapo ni kutoka nje na tunaona ni sawa kabisa tena tunashangilia na kushangilia kabisa kwamba sasa maisha yatakuwa rahisi sana.

Ni sawa na Kariakoo pale na hivyo vituoa tunavyo shangilia ndio vinakuja kuu moja kwa moja viwanda hata vile vya SIDO, yaani hatutakuwa na hata viwanda vya sido tena make wachina watakuwa wanatutengenezea vitu kama hivyo vya sido na kutuletea.

Leo hii zile sendo za kimasai zile za culture tiyali wachina wanafyatua China na kutuletea, zile culture za kuvaa mikononi Wachina wanafyatua China na kutuletea na tunashangilia sana.sisi tunashangilia kwa sababu tuna akili fupi sana.

Huwezi jenga kituo cha Biasbara ndani ya nchi yako na hicho kituo kikawa na kituoa cha kuchuuza products za nje, hii ni kufilisika kimawazo kwa Watanzania na majukwaani utasikia Tanzakia ya Viwanda unakuja.

Tuendelee kuwakuzia wachina uchumia wao na hapo hapo tunawaponda na kulalamika kwamba wanauza bidhaa bei che wakat sisi ndio tunawatengenezea mazingira hayo.

Crativities nchi hii zinaenda zikiisha na miaka 10 ijayo tutakuwa tunaongea rugha moja na wachina ili anagalau watuajir8 hata kutafasiri, hizo ndii akili zetu.
Una kahoja kamsingi sema umeshindwa kukapangilia tu. Kwanza fanya editing ya lugha ili ueleweke vyema...

Ngoja 'nipige mswaki' nije kuchangia...
 
Africa tulishakubali kuwa wachuuzi wa bidhaa za kichana, inasikitisha sana.
 
Sasa hapo analaumiwa nani au alaumiwe nani? Na kabla hujajibu hilo swali kwanza unatakiwa ujiulize wanaofanya hizo biashara kwa maana hao wamiliki wa hayo maduka waliyapataje hayo maeneo?

And inawezekana hoja yako ni ya msingi lakini si hoja ambayo inatakiwa kuletwa kwenye serious business za watu, kwa maana hii hoja ilitakiwa ijadiliwe miaka kadhaa huko nyuma na ifanyiwe utekelezwaji huko ila kwa sasa ni ngumu hasa linapokuja swala la serious business.

Ni kweli watu wanatakiwa wawe wazalendo ila huwezi kuweka uzalendo kwenye biashara ambazo Zina ushindani.

Biashara ni biashara na faida ndio mlengo mkubwa wa Kila mfanya biashara, ila hoja hiyo ingekua na mashiko labda kama lile eneo vizimba vyote vingekua vinamilikiwa na serikali ila kama ni watu wamekodishwa au wameuziwa kwa mamilion ya fedha sidhani kama inaweza kuwa rahisi kuwapangia nini cha kuuza ila badala yake wao wanauza chochote ambacho wataona ni rahisi kurudisha fedha zao walizowekeza kupitia hiyo bidhaa.
 
Ni wajinga ndio wanaweza shangilia huu ujinga, haiwezekani kijengwe the so called kituo cha biashara na asilimia 100 ya products hapo ni kutoka nje na tunaona ni sawa kabisa tena tunashangilia na kushangilia kabisa kwamba sasa maisha yatakuwa rahisi sana.

Ni sawa na Kariakoo pale na hivyo vituoa tunavyo shangilia ndio vinakuja kuu moja kwa moja viwanda hata vile vya SIDO, yaani hatutakuwa na hata viwanda vya sido tena make wachina watakuwa wanatutengenezea vitu kama hivyo vya sido na kutuletea.

Leo hii zile sendo za kimasai zile za culture tiyali wachina wanafyatua China na kutuletea, zile culture za kuvaa mikononi Wachina wanafyatua China na kutuletea na tunashangilia sana.sisi tunashangilia kwa sababu tuna akili fupi sana.

Huwezi jenga kituo cha Biasbara ndani ya nchi yako na hicho kituo kikawa na kituoa cha kuchuuza products za nje, hii ni kufilisika kimawazo kwa Watanzania na majukwaani utasikia Tanzakia ya Viwanda unakuja.

Tuendelee kuwakuzia wachina uchumia wao na hapo hapo tunawaponda na kulalamika kwamba wanauza bidhaa bei che wakat sisi ndio tunawatengenezea mazingira hayo.

Crativities nchi hii zinaenda zikiisha na miaka 10 ijayo tutakuwa tunaongea rugha moja na wachina ili anagalau watuajir8 hata kutafasiri, hizo ndii akili zetu.
 

Attachments

  • 1728759764686.jpg
    1728759764686.jpg
    154.8 KB · Views: 2
Nahisi watu wengi hawana uelewa wa "national interest ni nini". Kuna vitu kama taifa tunatakiwa tuweke tayari kufanya kwa ajili ya hicho kitu. Kuwakubalia wachina wake kuchuuza vitu walivyotengenezea kwako kwetu ni ujinga wa hali ya juu. Tunaweza kuwataka walete hivo viwanda huku maana wataleta ujuzi na maarifa mapya.
Wachina walipofungua uchumi wao mwaka 1978 hawakuchukua bidhaa za Marekani na Ulaya bali waliruhusu viwanda vya kimarekani kuanzisha viwanda China na kuleta ujuzi mpya.
Pia walianza kupeleka watoto wao kusoma huko na kuiba ujuzi kuurudisha china. Kitengo cha propaganda za nje cha China kina lengo moja tu la kuhakikisha mchina popote alipo anainufaisha nchi ya China. Wakati mwingine tutumie vichwa vyetu kufikiria mambo ya msingi na sio namna ya kutomba tu. Maana wengi wa wanao takiwa kufikiria kwa ajili ya taifa hili ndicho kilichowajaa vichwani mwao. Ole wa Tanzania yangu!
 
Nahisi watu wengi hawana uelewa wa "national interest ni nini". Kuna vitu kama taifa tunatakiwa tuweke tayari kufanya kwa ajili ya hicho kitu. Kuwakubalia wachina wake kuchuuza vitu walivyotengenezea kwako kwetu ni ujinga wa hali ya juu. Tunaweza kuwataka walete hivo viwanda huku maana wataleta ujuzi na maarifa mapya.
Wachina walipofungua uchumi wao mwaka 1978 hawakuchukua bidhaa za Marekani na Ulaya bali waliruhusu viwanda vya kimarekani kuanzisha viwanda China na kuleta ujuzi mpya.
Pia walianza kupeleka watoto wao kusoma huko na kuiba ujuzi kuurudisha china. Kitengo cha propaganda za nje cha China kina lengo moja tu la kuhakikisha mchina popote alipo anainufaisha nchi ya China. Wakati mwingine tutumie vichwa vyetu kufikiria mambo ya msingi na sio namna ya kutomba tu. Maana wengi wa wanao takiwa kufikiria kwa ajili ya taifa hili ndicho kilichowajaa vichwani mwao. Ole wa Tanzania yangu!
Hii ndio hoja ya kusikilizwa na kufanyiwa kazi... Waweke viwanda...

Na kama wafanyabishara wa Tz watakuwa na bei fair... Basi kuna muda itawalazimu hao wachina kuleta viwanda... Sababu hakutakuwa na haja ya kuleta bidhaa na haliyakuwa kuna mwengine (kariakoo) anauza kama wewe... Hivyo ili uweze kushindana nae lazima uweke kiwanda eneo husika (Tz)
 
Hakuna aliye katazwa kuzalisha bidhaa na kuuza kama wafanyavyo Wachina,tujilaumu kwa upumbavu wetu,Mchina hana kosa lolote mbona ndo walio jenga kiwanda Cha Urafiki pale Ubungo na tukakiua kwa upumbavu wetu,Leo hii kiwanda Cha Tanganyika parks kimekuwa kanisa badala ya eneo la uzalishaji,tuko kimya kwa sababu ya watu kuuziwa maji ya upako na upumbavu mwingine.

Bibi FaizaFixy mara kadhaa huwa anasema Watanzania tunasumbuliwa na ujinga.Linchi limejaa Kodi za kijinga toka kwenye mtaji na sio faida ya biashara,Kuna siku moja niliongea na Mchina mmoja akasema hivi ni ngumu sana nyie kuwa Matajiri kwa sababu kila ofisi unayo kwenda ya serikali wanataka pesa tu.
 
Kilichofanyika hapo ni kuinufaisha china na siyo watanzania kama watawala wanavyotuaminisha.China katupiga KO.
 
Ni wajinga ndio wanaweza shangilia huu ujinga, haiwezekani kijengwe the so called kituo cha biashara na asilimia 100 ya products hapo ni kutoka nje na tunaona ni sawa kabisa tena tunashangilia na kushangilia kabisa kwamba sasa maisha yatakuwa rahisi sana.

Ni sawa na Kariakoo pale na hivyo vituoa tunavyo shangilia ndio vinakuja kuu moja kwa moja viwanda hata vile vya SIDO, yaani hatutakuwa na hata viwanda vya sido tena make wachina watakuwa wanatutengenezea vitu kama hivyo vya sido na kutuletea.

Leo hii zile sendo za kimasai zile za culture tiyali wachina wanafyatua China na kutuletea, zile culture za kuvaa mikononi Wachina wanafyatua China na kutuletea na tunashangilia sana.sisi tunashangilia kwa sababu tuna akili fupi sana.

Huwezi jenga kituo cha Biasbara ndani ya nchi yako na hicho kituo kikawa na kituoa cha kuchuuza products za nje, hii ni kufilisika kimawazo kwa Watanzania na majukwaani utasikia Tanzakia ya Viwanda unakuja.

Tuendelee kuwakuzia wachina uchumia wao na hapo hapo tunawaponda na kulalamika kwamba wanauza bidhaa bei che wakat sisi ndio tunawatengenezea mazingira hayo.

Crativities nchi hii zinaenda zikiisha na miaka 10 ijayo tutakuwa tunaongea rugha moja na wachina ili anagalau watuajir8 hata kutafasiri, hizo ndii akili zetu.


Mwanzoni walidanganya kuwa kituo hicho kitatumika kusafirisha bidhaa za TZ kwenda nje ya nchi na kupokea bidhaa pia toka China na kuuza nchini na nchi jirani.

Kinachofanyika sasa hivi, Kituo cha Biashara cha Ubungo hao wachina wanaleta bidhaa zao tu toka China to Tz, na bidhaa za low quality na wanauza kwa bei chini ya Kkoo na hii itaenda ua kabisa biashara Kkoo, hii ni hatari, Serikali ihakikishe Kituo cha Biashara cha Ubungo kitumike kuuza bidhaa zetu nje ya nchi na kupokea pia bidhaa kutoka nje ya nchi na bidhaa zenye ubora na kwa bei sahihi ili Kkoo isije kufa kabisa, tutapoteza ajira binafsi nyingi mnoooo
 
Ni wajinga ndio wanaweza shangilia huu ujinga, haiwezekani kijengwe the so called kituo cha biashara na asilimia 100 ya products hapo ni kutoka nje na tunaona ni sawa kabisa tena tunashangilia na kushangilia kabisa kwamba sasa maisha yatakuwa rahisi sana.

Ni sawa na Kariakoo pale na hivyo vituoa tunavyo shangilia ndio vinakuja kuu moja kwa moja viwanda hata vile vya SIDO, yaani hatutakuwa na hata viwanda vya sido tena make wachina watakuwa wanatutengenezea vitu kama hivyo vya sido na kutuletea.

Leo hii zile sendo za kimasai zile za culture tiyali wachina wanafyatua China na kutuletea, zile culture za kuvaa mikononi Wachina wanafyatua China na kutuletea na tunashangilia sana.sisi tunashangilia kwa sababu tuna akili fupi sana.

Huwezi jenga kituo cha Biasbara ndani ya nchi yako na hicho kituo kikawa na kituoa cha kuchuuza products za nje, hii ni kufilisika kimawazo kwa Watanzania na majukwaani utasikia Tanzakia ya Viwanda unakuja.

Tuendelee kuwakuzia wachina uchumia wao na hapo hapo tunawaponda na kulalamika kwamba wanauza bidhaa bei che wakat sisi ndio tunawatengenezea mazingira hayo.

Crativities nchi hii zinaenda zikiisha na miaka 10 ijayo tutakuwa tunaongea rugha moja na wachina ili anagalau watuajir8 hata kutafasiri, hizo ndii akili zetu.
Wamewatafutia watu wao sehemu za kuuza bidhaa zao, connection, ajira na makazi kwa gharama zetu
 
Hii ndio hoja ya kusikilizwa na kufanyiwa kazi... Waweke viwanda...

Na kama wafanyabishara wa Tz watakuwa na bei fair... Basi kuna muda itawalazimu hao wachina kuleta viwanda... Sababu hakutakuwa na haja ya kuleta bidhaa na haliyakuwa kuna mwengine (kariakoo) anauza kama wewe... Hivyo ili uweze kushindana nae lazima uweke kiwanda eneo husika (Tz)
Hata wakijenga viwanda mnufaika wa kwanza atakuwa ni Mchina, Watanzania watakuwa manamba tu wa kulipwa shilingi 400 kwa siku kama alivyo dai mdau mmoja humu kuwa tajiri Mo ndo analipa hiyo bei.

Kabla hamja dai viwanda vipya mnapaswa kujiuliza vilivyo kuwepo zamani viko wapi ? Kiwanda Cha kutengeneza baiskeli za Swala, Tanganyika parks,Urafiki,Mwatex,Gerenal tyre nk viko wapi ?

Kuna kipindi Shujaa JPM alimwambia Mbunge wa Moro mjini bwana Abood kuwa kaua viwanda na kufanya sehemu za karakana na kufungia Mbuzi.
 
Mwanzoni walidanganya kuwa kituo hicho kitatumika kusafirisha bidhaa za TZ kwenda nje ya nchi na kupokea bidhaa pia toka China na kuuza nchini na nchi jirani.

Kinachofanyika sasa hivi, Kituo cha Biashara cha Ubungo hao wachina wanaleta bidhaa zao tu toka China to Tz, na bidhaa za low quality na wanauza kwa bei chini ya Kkoo na hii itaenda ua kabisa biashara Kkoo, hii ni hatari, Serikali ihakikishe Kituo cha Biashara cha Ubungo kitumike kuuza bidhaa zetu nje ya nchi na kupokea pia bidhaa kutoka nje ya nchi na bidhaa zenye ubora na kwa bei sahihi ili Kkoo isije kufa kabisa, tutapoteza ajira binafsi nyingi mnoooo
Kariakoo huu mziki lazima muucheze!!! Mlizoea kutuibia sasa wizi wenu umefika mwisho!!!

Mnaendekeza vijana wahuni eti mnawaita MAWINGA wanatupiga cha juu mpaka jasho!! Sasa basiii
 
Worry out,

Ndivo inavoanzaga, then tunareplace mdogo mdogo tunavoweza tengeneza,

Kwanza tuanze na uhakika wa masoko then tuhimize viwanda vya kufanya replacement ya baadhi ya bidhaa

Then tutafika 30-50% of vifaa vinatoka bongo. Hapo patatosha kufanya maendeleo ya kila sekta
 
Uchumi wa dunia ushafanya dunia kijiji kiongozi, tulishazubaa awali na kwa sasa hamna namna ya kuzuia zaidi ya kuwa walaji tu! Tech za sido ufundi mchundo wetu hadi zikue na kuwa matured ni kama impossible kwa sasa, tutafute maeneo mengine tu la viwanda tushachelewa sana! Hapo hamna mwanamaombi, padri, mtume, mwanasiasa wala mganga wa kienyeji atatutoa! Wachina wamewekeza sana wkt sisi tunavuja kamasi na sasa wanavuna tu na hili ni wimbi la dunia nzima sio hapo Ubungo tu
 
Back
Top Bottom