Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema watahudhuria huoni nembo yao kwenye tangazo!Hata modality ya mkutano huo pia ni lazima ibadilike
Mwangwi na kishindo cha CHADEMA hakiwezi kuyaacha mambo kubaki vilevile
CHADEMA tunawaaminia. Nyie ndiye sauti ya watanzania wasio na sauti (voiceless) kwa sasa
Inawezeka Zitto ni mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM who knows.Hahahaaaa....... Wanasubiri CCM waamue kwanza.
Hiyo TCD ni usanii tu kama shirikisho la akina Steve Nyerere!
Chadema waliuliza hiyo nembo nani kawaruhusu kuitumia bila ridhaa yao.Chadema watahudhuria huoni nembo yao kwenye tangazo!
Umesoma sababu ya kuahirisha? Labda kama hilo lengo liko nyuma ya pazia.labda wana jambo la msingi lakini inawezekana pia wanataka kujitoa kwenye lawama maana chadema wamegoma kushiriki hivyo ni vema kuweka mambo sawa na chadema kwanza ili kupunguza malalamiko yasiyo ya lazima.. kama lengo ni hilo mimi naunga mkono hoja yao
ukiijua siasa hautapata tabu mkuu maana kinachotoka hadharani sio kinachopikwa jikoni...Umesoma sababu ya kuahirisha? Labda kama hilo lengo liko nyuma ya pazia.
Why wasting time and money on a useless exercise like this one?
Mbowe akisimama 2025 hata na hii katiba mbovu lazima atachukua nchiHata modality ya mkutano huo pia ni lazima ibadilike
Mwangwi na kishindo cha CHADEMA hakiwezi kuyaacha mambo kubaki vilevile
CHADEMA tunawaaminia. Nyie ndiye sauti ya watanzania wasio na sauti (voiceless) kwa sasa
Ukiona jambo ndani yake kuna Zitto usiliamini snWakati wanaandaa mikutano hawawasiliani ?
Ratiba za Ofisi za marais huwa zinakuwa zinajulikana hata miezi 3 mbeleni.
CCM wameingilia mkutano wa TCD.Wakati wanaandaa mikutano hawawasiliani ?
Ratiba za Ofisi za marais huwa zinakuwa zinajulikana hata miezi 3 mbeleni.