Kituo cha kuuliza maswali ya kifala, na wewe uliza lako

Swali; Je hivi ni kweli mmeona hii coment yangu?
Jibu; Anzisha uzi wako kisha hesabu like utakazopata, jitahidi pia uweke kitufe chako chenye selfie camera ukifunge kwenye kila post/comment na kiwe automatic kupiga selfie kwa yule atakayetazama kila post yako!!
 
Daa unafaa kuajiliwa na Nyambali Nyangwine kuandaa vitabu vya maswali na majibu
 
Naitwa CHUMA ULETE kutoka Mafinga Iringa

Nasikia Mfalme wa Tanzania ndg Pombe Lissu anahamia nyumbani kwake Kenya,swali ni je bado atakuwa na madaraka ya kifalme kwa nchi yake ya chato?
 
Naitwa CHUMA ULETE kutoka Mafinga Iringa

Nasikia Mfalme wa Tanzania ndg Pombe Lissu anahamia nyumbani kwake Kenya,swali ni je bado atakuwa na madaraka ya kifalme kwa nchi yake ya chato?
Bila shaka ; Kumbuka hata yeye alivyomwalika rasi wa morko, alimuomba amjengee bahar ya mkra domya, na hata hivyo huko ndiko atahamia ili akajfunze kuogelea mpra, lakini na wewe hivi hili swal gani kwani hili ni swali la kijinga?
Ungeegelezea kwenye orodha ya kuzidisha namba!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…