greater than
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 1,653
- 3,060
KITUO CHA MABASI MWENGE
Hongera sana Manispaa ya Kinondoni ,mmeonesha uthubutu.
STENDI YA MABASI YA MKOA ARUSHA
Hapo Uongozi wa Jiji ujiskie aibu na kujitafakari sana....
Mh.Gambo, unazingua.
- Kipo chini ya manispaa ya Kinondoni
- Ujenzi ulianza 1/7/2019 mpaka 30/11/2023
- Ufadhili:fedha za ndani
- Kitahudumuia : Daladala 100 na Bajaji 60 kwa wakati mmoja.
- Gharama ya ujenzi : Billioni 15
Hongera sana Manispaa ya Kinondoni ,mmeonesha uthubutu.
STENDI YA MABASI YA MKOA ARUSHA
- Chini ya Halmashauri ya Jiji la Arusha
- Hakuna vyoo
- Hakuna Ofisi wala sehemu ya kujikinga jua na mvua.
- Mkakati wa stendi mpya umesuasua kwa zaidi ya miaka 10
Hapo Uongozi wa Jiji ujiskie aibu na kujitafakari sana....
Mh.Gambo, unazingua.