greater than
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 1,653
- 3,060
Kwani Gambo si alikuta suala Ujenzi wa stendi mpya ....Mchawi wa stendi ya Arusha ni Mrisho Gambo, sijui anafaidika nini na stand ile mbovu, mkurugenzi akisema aanze ujenzi gambo anasema anakwamishwa, sijui anakwamishwa wapi,gambo atakapoondoka arusha maendeleo yatajongea.
Doita ni hovyo sana!Ile Halmashauri Madiwani ni MANENO tu, wakiongozwa na cha ujanja DOITA..
Serikali kuu haina mkono katika kujenga kituo cha Mwenge?KITUO CHA MABASI MWENGE
View attachment 2994025View attachment 2994026View attachment 2994027
- Kipo chini ya manispaa ya Kinondoni
- Ujenzi ulianza 1/7/2019 mpaka 30/11/2023
- Ufadhili:fedha za ndani
- Kitahudumuia : Daladala 100 na Bajaji 60 kwa wakati mmoja.
- Gharama ya ujenzi : Billioni 15
View attachment 2994028
Hongera sana Manispaa ya Kinondoni ,mmeonesha uthubutu.
STENDI YA MABASI YA MKOA ARUSHA
View attachment 2994029View attachment 2994030View attachment 2994031View attachment 2994032
- Chini ya Halmashauri ya Jiji la Arusha
- Hakuna vyoo
- Hakuna Ofisi wala sehemu ya kujikinga jua na mvua.
- Mkakati wa stendi mpya umesuasua kwa zaidi ya miaka 10
Hapo Uongozi wa Jiji ujiskie haibu na kujitafakari sana....
Mh.Gambo, unazingua.
Manispaa Kinondoni haishindwi toa billioni 15 mkuu....Ina mapato makubwaSerikali kuu haina mkono katika kujenga kituo cha Mwenge?
Imekaaje hiyoNoma sana
Ni Sawa na mtoto mzuri halafu ana tabia mbaya
Hawa watu wanaoitwa wakuu wa mikoa na wilaya hawana maaana yoyote kwenye uongozi wa nchi na wanatakiwa kuondolewa.Mchawi wa stendi ya Arusha ni Mrisho Gambo, sijui anafaidika nini na stand ile mbovu, mkurugenzi akisema aanze ujenzi gambo anasema anakwamishwa, sijui anakwamishwa wapi,gambo atakapoondoka arusha maendeleo yatajongea.
Mbeya kuna stend au uchafu ule?Mbona Mbeya kulikuwa Sugu na stendi mpya ikatengewa eneo la eka kama 6...na wakaweka Pavements na taa ....
Hivi nyie watoto mna matatizo gani? Haibu ni nini? Mnapotakiwa kuweka h hamuweki, ati ela badala ya hela. Apa badala ya hapa. Mnaweka h ambapo hapatakiwi kuweka h. Mnaboa ujueKITUO CHA MABASI MWENGE
View attachment 2994025View attachment 2994026View attachment 2994027
- Kipo chini ya manispaa ya Kinondoni
- Ujenzi ulianza 1/7/2019 mpaka 30/11/2023
- Ufadhili:fedha za ndani
- Kitahudumuia : Daladala 100 na Bajaji 60 kwa wakati mmoja.
- Gharama ya ujenzi : Billioni 15
View attachment 2994028
Hongera sana Manispaa ya Kinondoni ,mmeonesha uthubutu.
STENDI YA MABASI YA MKOA ARUSHA
View attachment 2994029View attachment 2994030View attachment 2994031View attachment 2994032
- Chini ya Halmashauri ya Jiji la Arusha
- Hakuna vyoo
- Hakuna Ofisi wala sehemu ya kujikinga jua na mvua.
- Mkakati wa stendi mpya umesuasua kwa zaidi ya miaka 10
Hapo Uongozi wa Jiji ujiskie haibu na kujitafakari sana....
Mh.Gambo, unazingua.
Eti na sio ati .Hivi nyie watoto mna matatizo gani? Haibu ni nini? Mnapotakiwa kuweka h hamuweki, ati ela badala ya hela. Apa badala ya hapa. Mnaweka h ambapo hapatakiwi kuweka h. Mnaboa ujue
Tupo kwenye nyakati za keyboards zenye auto-correct.Maneno yanabadilishwa bila kujua.Hivi nyie watoto mna matatizo gani? Haibu ni nini? Mnapotakiwa kuweka h hamuweki, ati ela badala ya hela. Apa badala ya hapa. Mnaweka h ambapo hapatakiwi kuweka h. Mnaboa ujue
Kiswahili kinachoandikwa nyakati hizi na hiki kizazi cha sasa kinatia kichefuchefu, hapo bado haujakuta kwenye R inawekwa L na kwenye L inapachikwa RHivi nyie watoto mna matatizo gani? Haibu ni nini? Mnapotakiwa kuweka h hamuweki, ati ela badala ya hela. Apa badala ya hapa. Mnaweka h ambapo hapatakiwi kuweka h. Mnaboa ujue
Mkuu,Mbeya kuna stend au uchafu ule?
Ni aibu sana hii... Arusha ni miongoni mwa A-list cities in Tz ...but kuwepo kwa Makonda pale ni among mwa strategies za kufanikisha mambo kama haya na ni muhimu hiyo stand kupatikana mpya haswaa ukizingatia afcon itachezwa huko 2027 kwahyo kutakua na influx ya watu pia kwa wakat huo..KITUO CHA MABASI MWENGE
View attachment 2994025View attachment 2994026View attachment 2994027
- Kipo chini ya manispaa ya Kinondoni
- Ujenzi ulianza 1/7/2019 mpaka 30/11/2023
- Ufadhili:fedha za ndani
- Kitahudumuia : Daladala 100 na Bajaji 60 kwa wakati mmoja.
- Gharama ya ujenzi : Billioni 15
View attachment 2994028
Hongera sana Manispaa ya Kinondoni ,mmeonesha uthubutu.
STENDI YA MABASI YA MKOA ARUSHA
View attachment 2994029View attachment 2994030View attachment 2994031View attachment 2994032
- Chini ya Halmashauri ya Jiji la Arusha
- Hakuna vyoo
- Hakuna Ofisi wala sehemu ya kujikinga jua na mvua.
- Mkakati wa stendi mpya umesuasua kwa zaidi ya miaka 10
Hapo Uongozi wa Jiji ujiskie haibu na kujitafakari sana....
Mh.Gambo, unazingua.