mwilongo Aron
Senior Member
- Oct 15, 2014
- 109
- 54
Unamaanisha hicho kituo pana choo labda? Fafanua ni maji machafu ya kutokea wapi.Uongozi wa mabasi yaendayo kasi DRT Mnaharibu heshima ya mradi na taswira ya serikali kwa utiririshaji wa maji machafu barabarani kuanzia mida ya saa 6:00 usiku Hadi saa 7:30 hivi.
Ukweli ni kuwa maji hayo yanayosambaa barabarani yananuka sana hasa upande wa kutokea mjini yaani upande wa kushoto. Maji haya yanaweza kusababisha magonjwa ya mlipuko..
Viongozi wa serikali kuanxia ngazi ya mtaa Hadi NEMC fuatilieni hii kero na ikiwezekana wapeni semina ya Utunzaji wa mazingira hawa watu.
Tanzania itaendelea kwa kushauriana kama hivi na si kuzodoana
Inasikitisha sanaUongozi wa mabasi yaendayo kasi DRT Mnaharibu heshima ya mradi na taswira ya serikali kwa utiririshaji wa maji machafu barabarani kuanzia mida ya saa 6:00 usiku Hadi saa 7:30 hivi.
Ukweli ni kuwa maji hayo yanayosambaa barabarani yananuka sana hasa upande wa kutokea mjini yaani upande wa kushoto. Maji haya yanaweza kusababisha magonjwa ya mlipuko..
Viongozi wa serikali kuanxia ngazi ya mtaa Hadi NEMC fuatilieni hii kero na ikiwezekana wapeni semina ya Utunzaji wa mazingira hawa watu.
Tanzania itaendelea kwa kushauriana kama hivi na si kuzodoana
Nadhani ni mikojo inayotoka kwenye vyoo.. Usiku ndiyo wanafungulia ili yatoke, hiyo barabara ya kwenda Mbezi ambayo magari yakaida yanpita maji yanakuwa yamesambaa na yanatoa harufu Kali. Wale wanaoendesha pipiki Naamini watakuwa wanayaoga sana.. maana ni lazima yakurukie.. Fike pale usiku uone harufu ni aibuHayo maji yanatokea ndani ya kituo au nje?
Ndiyo yanatoka kwenye vyoo vya kituo, yaani yanafunguliwa usiku , na yanasambaa barabara ya Morogoro upande wa kuelekea mbeziUnamaanisha hicho kituo pana choo labda? Fafanua ni maji machafu ya kutokea wapi.