Ujenzi haujakaa wa ramani ya kituo kuweza kujihami ikiwa watavamiwa na watenda maovu.
Ifike mahali vituo vya polisi viwe Standard nchi nzima kuanzia Central Polisi za Mkoa, wilaya na vituo vidogo, badala ya ujenzi holela usiozingatia kuwa viko ktk utayari wa kujihami kukitokea chochote wakisubiri msaada.
Ifike mahali vituo vya polisi viwe Standard nchi nzima kuanzia Central Polisi za Mkoa, wilaya na vituo vidogo, badala ya ujenzi holela usiozingatia kuwa viko ktk utayari wa kujihami kukitokea chochote wakisubiri msaada.