Kituo cha Polisi Wilaya ya Butiama chajengwa kwa Tsh. Milioni 802, kukamilika Desemba 2023

 Kituo cha Polisi Wilaya ya Butiama chajengwa kwa Tsh. Milioni 802, kukamilika Desemba 2023

Ujenzi haujakaa wa ramani ya kituo kuweza kujihami ikiwa watavamiwa na watenda maovu.

Ifike mahali vituo vya polisi viwe Standard nchi nzima kuanzia Central Polisi za Mkoa, wilaya na vituo vidogo, badala ya ujenzi holela usiozingatia kuwa viko ktk utayari wa kujihami kukitokea chochote wakisubiri msaada.
 
Ujenzi haujakaa wa ramani ya kituo kuweza kujihami ikiwa watavamiwa na watenda maovu.

Ifike mahali vituo vya polisi viwe Standard nchi nzima kuanzia Central Polisi za Mkoa, wilaya na vituo vidogo, badala ya ujenzi holela usiozingatia kuwa viko ktk utayari wa kujihami kukitokea chochote wakisubiri msaada.
Wao huwa wanazingatia sehemu ya lockup pekee na kaunta ya kusaidia kuchukua rushwa
 
Majizi yashakwapua kitita yameelekeza kumalizia nyumba zao.

Huku chawa Lucas Mbwa Wa Shamba na wenzie wako busy kuimba mapambio mama amewafikia watanzania.
Pumbavu wewe

Mbowe amekupa room hapo kwake? Ndg Joyce mukya
 
Labda na nyumba za polisi kama tano hivi.
 
Back
Top Bottom