Wao huwa wanazingatia sehemu ya lockup pekee na kaunta ya kusaidia kuchukua rushwaUjenzi haujakaa wa ramani ya kituo kuweza kujihami ikiwa watavamiwa na watenda maovu.
Ifike mahali vituo vya polisi viwe Standard nchi nzima kuanzia Central Polisi za Mkoa, wilaya na vituo vidogo, badala ya ujenzi holela usiozingatia kuwa viko ktk utayari wa kujihami kukitokea chochote wakisubiri msaada.
Chadema huyo anajua hizo sero ujambazi wake utakwisha huko MaraDuh!!
Basi mtoa mada atakuwa na ajenda yake binafsi.....au ni mkandarazi aliyekosa zabuni......
Tukiandamana tunanyukwa VIRUNGU VYA UGOKO!Hii Nchi sio wanapiga ila wanafumua aisee!!!
Wizo hapo hakuna ujenzi wa pesa hizo!!!
bro mimi nilijenga nyumba ya vyumba 4 na sebule ya kisasa kwa tsh. mil 9 hadi kuezekaHahaha mi kijijini nilijenga mjengo mkali kuliko huo Kwa 28 m ila wabongo nyosooo
Hizo 800mil ni pamoja na ujenzi wa nyumba za askari? Nyumba ngapi zinajengwa?Nyumba za Askari mbona ujaweka picha au unatafuta mjadala
Nyingi tuHizo 800mil ni pamoja na ujenzi wa nyumba za askari? Nyumba ngapi zinajengwa?
🤣🤣🤣🤣🤣😝😝😝😝😝😝😝🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😆😆😆😆😆😆😆😆😆😂😂🤣🤣🤣🤣😂😝😝😝Wao huwa wanazingatia sehemu ya lockup pekee na kaunta ya kusaidia kuchukua rushwa
😂😂😂 wizo falaaTukiandamana tunanyukwa VIRUNGU VYA UGOKO!
Tumuachie mungu wizo!! BORA KUNYANDUANA.
😂😂😂 KUNYANDUANA😂😂😂 wizo falaa
Bora nini??
Pumbavu weweMajizi yashakwapua kitita yameelekeza kumalizia nyumba zao.
Huku chawa Lucas Mbwa Wa Shamba na wenzie wako busy kuimba mapambio mama amewafikia watanzania.
😂😂😂😂 mwehu wee😂😂😂 KUNYANDUANA
Zipo pia sema mpiga picha katafuta kiki Ili aweze kuishi naeLabda na nyumba za polisi kama tano hivi.
Kazi kweli kweli...Hichi kituo ndo Mil 802?
Kweli Tanzania tuna safari ndefu sana.