Kituo cha Polisi Wilaya ya Butiama chajengwa kwa Tsh. Milioni 802, kukamilika Desemba 2023

Jamani...jamani...Tanzania nchi yangu...hili jengo ni la zaidi ya milioni 800? Ama kweli nchi yangu Tanzania...
 
Karibuni!
 

Attachments

  • FE2447C2-F498-4176-8116-F20AD464141B.jpeg
    120.6 KB · Views: 4
Mkuu hivi kituo cha polisi panakwepo na miundombinu zipi? Je umejiuliza kama fanitures nazo ni sehemu ya mkataba?
Labda kama wananunua bunduki na vifaru
800m ni pesa ndefu mkuu
Watanzania sio wapumbafu
Hilo jengo halizidi milion 40
 
Tusitafute mjadala bado kuna nyumba za askari hazijawekwa pichani.

Na majengo ya serikali ni ya gharama kwanza Mengi

tofali wana LAZA
Madirisha Flat Bar au Nondo zinazotumika sio za kukata na Mkasi kama za nyumba tunazoishi.
Bati ndio usiseme gauge inayotumika
Finishing zake ndio kabisaaa

Ukisikia ujenzi wa majengo ya serikali usije ukafananisha na ujenzi wako wewe hata siku moja.
 
Hata kama umeshiriki kupiga usitete wizi, milioni 802 haziwezi kufika kwa hicho kibanda.
 
Mnapiga mpaka chumbani kwa Mtakatifu!
 
Kweli jengo la police linajengwa kama nyumba ya kuishi
Hivi wakandarasi hawaendi na wakati?
Hata ku copy majengo ya kisasa kwenye mataifa mengine wameshindwa
Jengo fupi kwa hela hizo wamepiga nusu
 
Halafu waziri ana angalia hilo banda na kufurahia kugumia pesa zote hizo.
Hii Ccm ina laana ya walio kufa
 

Tuonesheni hizo nyumba basi. Inawezekana upigaji ukawa mkunwa zaidi.
 
Hapo ndiyo mtajua kwa nini serikali imewang'ang'ania walimu kusimamia ujenzi wa madarasa kwa bei ndogo na madarasa yanakamilika!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…