Kituo cha Polisi Wilaya ya Butiama chajengwa kwa Tsh. Milioni 802, kukamilika Desemba 2023

Nyumba yangu milioni 38 nzuri kuliko kituo hicho
 
Chini Zimeenda Undergound floor mbili? 802 which? 802 who? Watu wanajua kupiga kwenye utawala huu wa kizimkazi na hapa ipooo.
 
Pumbavu mkubwa,imemsikiliza Mkuu wa Mkoa au na wewe ni sehemu ya huu upigaji ?.
Naandika nikifahamu ndg

Upumbavu wangu ni kuwa na taarifa zaidii yako na kuwa na pesa zaidi yako?

Ndg maisha ayaendi hivyo ndio maana unaishi kwa shemj tena unalala sebuleni

Wahed
 
Naandika nikifahamu ndg

Upumbavu wangu ni kuwa na taarifa zaidii yako na kuwa na pesa zaidi yako?

Ndg maisha ayaendi hivyo ndio maana unaishi kwa shemj tena unalala sebuleni

Wahed

Haya bishana na RC mwenye taarifa zote wewe mburukenge unajua nini zaidi ya kujisifia ujinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…