ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Sijaelewa ni mentality ya raia tu kupenda kupelekana polisi kwa kesi hata ndogondogo au ni mazingira polisi wametengeneza ili kupiga hela kwa sababu haiwezekani asubuhi tu kituo kinajaa wateja zaidi ya 100 na ni kila siku mpaka inafikia hatua wanaitwa kwa foleni.
Mambo haya hayapo katika vituo vingine iwe ni masasi au Dodoma au Mtwara au Songea au Singida au Arusha au Dar ni hapo tu Tunduru naomba pachunguzwe kuna nini?
Mambo haya hayapo katika vituo vingine iwe ni masasi au Dodoma au Mtwara au Songea au Singida au Arusha au Dar ni hapo tu Tunduru naomba pachunguzwe kuna nini?