Kituo Chetu Mabasi Arusha hiki hapa

Kituo Chetu Mabasi Arusha hiki hapa

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
arusha-bus-terminal.jpg

Eneo kinapotarajiwa kujengwa ni palepale Bondeni City ambapo pembeni yake kutakuwa na mji wa kisasa (satellite city)

Kwa mgeni wa jiji la Arusha, eneo la bondeni lipo barabara inayoelekea kwenye kambi ya kufunza vijana (JKT Oljoro) kutoka kwa mromboo ni takribani 8km.

Kwa taarifa za awali ni kuwa kituo hicho kinaanza kujengwa kuanzia mwezi wa kwanza (January) ambapo tayari vifaa vya ujenzi vya mkandarasi vipo njiani.

Soma Pia: Hii stand kuu ya Arusha ni aibu kwa Rais wa nchi

Hivyo basi baada ya sarakasi nyingi za akina Gambo and company kutaka stand ijengwe kwenye maeneo yao ili serikali iwalipe naona kabisa ni gharabao!!.

Welcome Geneva of Africa 😂!.
 
Hizi blah blah za ujenzi wa stand ya mabasi ya Arusha nimezikisikia tangu 2016 na kila mwaka wanatangaza kinakwenda kikamilika.
Hivi mpaka leo hii bado hakijakamilika?
 
Hizi blah blah za ujenzi wa stand ya mabasi ya Arusha nimezikisikia tangu 2016 na kila mwaka wanatangaza kinakwenda kikamilika.
Hivi mpaka leo hii bado hakijakamilika?
Serikali ya wkt wa Magufuri ilikuwa tayari inataka kutoa pesa iliyotengwa mkuu, shida ikaja kwa wanasiasa kina Gambo and company.

Walitaka kijengwe eneo la makazi ya watu na eneo ambalo tayari viwanja vingi wamemilikishana wao ili serikali iwalipe.

Unavyojua mzee baba JPM hakuwa na longolongo akisikia mna msuguana anachomoa mshiko anapeleka eneo lingine ili nyie mbaki mnayamaliza kwanza.

Sasa basi kwa kuwa mwakani ni safari ya uchaguzi mkuu, stendi inaenda kutumika kiwahadaa wananchi ya kwamba 'bila mimi isingejengwa'

Hivyo basi yetu macho na masikio ili lengo litimie!.
 
Hizi blah blah za ujenzi wa stand ya mabasi ya Arusha nimezikisikia tangu 2016 na kila mwaka wanatangaza kinakwenda kikamilika.
Hivi mpaka leo hii bado hakijakamilika?
Mambo ya serikali hayo, too much word vitendo zero
 
Hizi blah blah za ujenzi wa stand ya mabasi ya Arusha nimezikisikia tangu 2016 na kila mwaka wanatangaza kinakwenda kikamilika.
Hivi mpaka leo hii bado hakijakamilika?
Tatizo la Arusha ni thamani ya ardhi! Bei ziko juu sana. Hivyo kila mwenye nafasi pale Arusha Jiji anawaza udalali na manufaa binafsi.
 
Back
Top Bottom