Kituo kipya cha mabasi Dar kuanza kutumika Desemba 20

Magari kutoka Kanda ya ziwa hufika DAR usiki wa manane mengi, halafu ukute ndio unatakiwa kwenda Bunju, yerewiiiiii

Hawa wa kanda ya ziwa tunalala nao hapa stand kila siku. Asubuhi ndugu zao huja kuwachukua.
 
Magari kutoka Kanda ya ziwa hufika DAR usiki wa manane mengi, halafu ukute ndio unatakiwa kwenda Bunju, yerewiiiiii
Hakuna shida utapita goba, madale,tegeta,bunju
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…