Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,886
- 9,088
Hicho anachoingiza ni nini mkuu?Inakatisha tamaa sana.View attachment 1614530
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hicho anachoingiza ni nini mkuu?Inakatisha tamaa sana.View attachment 1614530
Yaani unachomaanisha Zanzibar ndo wanatakiwa kupewa furushi la karatasi za kura zikiwa kwenye Bahasha kabisa? Huoni wewe ndo mpumbavu?Hii Zanzibar jana acha upuuzi
Hiyo ni bahasha yenye kura tayariHicho anachoingiza ni nini mkuu?
Kitaje sasa hivi acha mbwembweNitakitaja ikihitajika.
Nani kwakwambia karatasi zao ha huku ni sawa huoni wewe ndio mpumbavu kilaza mkubwaYaani unachomaanisha Zanzibar ndo wanatakiwa kupewa furushi la karatasi za kura zikiwa kwenye Bahasha kabisa? Huoni wewe ndo mpumbavu?
Hiyo iko sawa kwan ACT hatarajii kushinda.Jimbo la Ilemela - Mwanza, Kata ya Kiseke chama cha ACT wazalendo jana kiliwaita mawakala wao na kuwapa semina elekezi, baada ya maelekezo kukamilika wakauliza hela ya nauli, wakajibiwa tutwatumia ujumbe kwenye simu zenu maskini wakasubiri kuona muamala unasoma, asubuhi wameishafika vituoni wakapokea ujumbe wa maneno na blah blah za tutawafikiria....walichofanya wakapigiana simu wakipie kura chama kingine cha upinzani, na kisha wakaondoka vituoni....kwa hiyo kura za ACT ya Ayatolla na Membe huko Ilemela hazina mlinzi!
Nimeambiwa na shemeji yangu ambaye alikuwa awe wakala wa ACT!
kila kituo mawakala 4 au 3Eg jimbo zima vituo 105
Wee mwongo. Kitaje hicho kituo. Lumumba kwa umbeya hamjamboNitakitaja ikihitajika.
Jimbo gani Hilo? Tuanzie hapo.Kituo nilichopigia kura hakuna wakala hata mmoja wa CHADEMA wala ACT Wazalendo
Kweli CHADEMA mmeshindwa kupata wakala wa kulinda kura za Lissu? Nimesikitika sana tena sana.
CHADEMA hawana Mbunge alienguliwa, angalau kura za Lissu zingelindwa. ACT Diwani hana wakala.
Nimekata tamaa kama ndiyo hivi.
Mawakala wamekamatwa na mapolisi usiku kwa amri toka juu.Kituo nilichopigia kura hakuna wakala hata mmoja wa CHADEMA wala ACT Wazalendo
Kweli CHADEMA mmeshindwa kupata wakala wa kulinda kura za Lissu? Nimesikitika sana tena sana.
CHADEMA hawana Mbunge alienguliwa, angalau kura za Lissu zingelindwa. ACT Diwani hana wakala.
Nimekata tamaa kama ndiyo hivi.
Kura ya awali iliingizwa katika bahasha na leo ndio zimeingizwa katika sanduku. Kabla ya kura kuanza mkuu wa kituo amefungua masanduku mbele ya mawakala anatoa bahasha na kusoma jina la mpiga kura na kufungua kura zipo tatu rais, mwakilishi na diwani na kuingiza katika sanduku la leo.Inakatisha tamaa sana.View attachment 1614530
Kituo nilichopigia kura hakuna wakala hata mmoja wa CHADEMA wala ACT Wazalendo
Kweli CHADEMA mmeshindwa kupata wakala wa kulinda kura za Lissu? Nimesikitika sana tena sana.
CHADEMA hawana Mbunge alienguliwa, angalau kura za Lissu zingelindwa. ACT Diwani hana wakala.
Nimekata tamaa kama ndiyo hivi.
Uwezekano wa Lissu kushinda ni 0.00089%
Mnyika kazi ya Ukatibu mkuu imeshamshinda
Uchaguzi 2020 - John Mnyika, Uchaguzi huu msifanye masikhara na maslahi ya Mawakala
Kwako Katibu Mkuu wa CHADEMA Ndg John Mnyika. Mwaka 2015 uligombea ubunge Jimbo la Kibamba, hongera ulifanikiwa kupita kutokana na mawakala waliojitoa kufa kupona kwa ajili yako, wapo waliokataa kuhongwa, wapo walioumizwa na wapinzani wako, na wengine walitaka mpaka kuondolewa Uhai kwa kulinda...www.jamiiforums.com
Vituo kibao Mawakala wamenyimwa barua ya utambulisho na wengi kuzuiwa kuingia ndani ya vituo vya kura!, Ungeuliza ungeonyeshwa wako nje wamejikunyata hawana namna!
Kituo nilichopigia mawakala walikuwa nje wamezuiwa kuingia ndani!
Nieleweshe asee maana wote watatu mule ndani nimewakuta wamevaa nguo zinazo fanana so nani wakala na nani msimamizi paleSasa hapo ni kwamba hakuna wakala au hujaelewa yupi ni wakala maaana Title ya thread haiendani na ulicho kiandika ndani [emoji848][emoji848][emoji848]