Kitwana Selemani Kondo na Rais Benjamin William Mkapa Diamond Jubilee hall 2004

Kitwana Selemani Kondo na Rais Benjamin William Mkapa Diamond Jubilee hall 2004

Mkapa alikuwa ana watu wake, business/intellectual types, akikupenda kakupenda hata watu wakisemaje hasikii.

Andy Chande alikuwa mtu ambaye Nyerere alimpenda sana, licha ya kutaifisha National Milling (kiwanda kilichokuwa cha Andy Chande), Mzee Chande hakumuwekea kinyongo Nyerere wala kuondoka Tanzania. Aliendelea kufanya kazi na Nyerere akiwa mwenyekiti wa bidi nyingi sana. Mkapa alimuheshinu sana Andy Chande kwa hilo.

The Range Rover Vogue did nit hurt his chances either.

Mimi nilikuwa nacheka sana nikienda pale Sea View na kuliona lile Range Rover, halafu namsikia Rais Mkapa anavyokemea rushwa mpaka kuunda Tume ya Warioba.

I guess he thought of himself as a special case.

Rex Mkapa, son of Julius Kaizari Nyerere.
Kwa kariba ya Mkapa na historia yake ya kujisomea na kutokuwa na makundi, aliwajua Watu wengi na tabia zao. Ila transformation aliyoifanya aliona mbali sana.

Au tuseme Mwalimu aliona mbali sana japo kama kuna wakati hawakuwa sawa.

Mkapa alikuwa anaiangalia Tanzania in big picture, kuna wengine wanaitazama kwa 'ya leo na hapa na pale'.
 
Kwa sababu ya woga wa kidini tu lakini kiuhalisia chuo cha waislamu cha Morogoro kilipaswa kuwa kiwe kimefungwa na kufutwa na TCU zaidi ya miaka kumi iliyopita.
Chuo mwaka mzima wanafundishwa Takbir
 
Mzee Mohamed Said najua wewe ni mpenzi wa mpira wa miguu Kwa kiasi chake na pia ni mpenzi wa mojawapo ya hizi timu za Kariakoo na najua timu unayoshabikia 😀😀.

Kwa miaka mingi kumekuwa na historia ikisemwasemwa timu fulani ilishiriki kuleta Uhuru na timu nyingine ya pale Kariakoo haikushiriki kwenye Uhuru. Binafsi naamini hili suala linahitaji kuwekewa sawa na historia sahihi kuandikwa.

Basi ukipata muda walau tuandikie makala fupi ya Ushiriki wa hizi timu katika mapigano ya Uhuru, ama Mchango wa waliokuwa Wanachama wa hivi vilabu katika mapigano ya Uhuru wa Tanganyika ikiwemo ufadhili katika TAA na baadaye TANU ili tuone hicho kinachosemwa na ukweli wake.

Asante tena Kwa jitihada zako za kutupa Elimu ya mambo mengi ambayo pengine hayapo katika Vitabu vyetu.
Muandiashi ameshiba historia nzuri ila angeweza kuiandika bila kuweka UISLAM ingependeza sana
 
Kwa kariba ya Mkapa na historia yake ya kujisomea na kutokuwa na makundi, aliwajua Watu wengi na tabia zao. Ila transformation aliyoifanya aliona mbali sana.

Au tuseme Mwalimu aliona mbali sana japo kama kuna wakati hawakuwa sawa.

Mkapa alikuwa anaiangalia Tanzania in big picture, kuna wengine wanaitazama kwa 'ya leo na hapa na pale'.
Benjamin Mkapa ndiye Rais mwenye akili zaidi aliyepata kutokea hapa Tanzania Hadi Sasa. Hakuwa Mwanasiasa, Hakuwa laghai wa maneno Wala hakupiga porojo. Ukweli na Uwazi ilikuwa Moja ya sera zake lakini bahati mbaya upeo wa watu wengi haukuwa mzuri kuweza kung'amua alichotaka tukipate.
 
😀😀😀😀 Hayo wayasema wewe. Mie nasubiria afungue Uzi maalumu wa mapambano ya Uhuru na Ushirikinwa Vilabu vyetu.

Hapa ngoja tuendelee kudurusu kuhusu Chuo Kikuu Cha Waislamu Morogoro na MDF , sijui walifunhua Sekondari ngapi kama kama walivyodhamiria 😃😃
Jamaa kasha sema, Mzee Said ni Kolo mwenzio, hawezi kusema kuhusu hilo😄😄😁
Anyway, tuendelee sasa; hivi kama ni kweli Waislamu walikua wanapenda elimu? Hakuna hata jina la shule waliojenga inayojulikana hadi leo? Shule karibu zote zilizo taifishwa na Nyerere zinajulikana, hili jambo wala halikua siri; wazee wa Kiislam wote waliosoma zinajulikana shule walizo soma; hakuna shule ya Kiislam hata moja. Halafu hi ya serikali kuvunja sijui hiyo taasisi yao ya Kiislam na kuundwa Bakwata, hivi shida ni JINA au nini? Waislamu waliokua hiyo taasisi na waliopo Bakwata kwani wamebadirishwa? Serikali inazuia Bakwata kufanya jambo lolote kubwa kwa maslahi ya Waislamu? Roman Catholic walinyang'anywa mashule, vyuo na hospitals, hutasikia popote wakilalamika cause wao na madhehebu mengine ya Kikristo wanajua, historia huwezi kuibadiri, muhimu ni kwenda mbele. Walijenga hospitals na mashule plus vyuo upya, mfano hospital ya Bugando ilianza kujengwa 1971, yaani miaka 8 tu toka waliponyang'anywa rasilimali zao, KCMC ya Lutheran as well, wakajenga na chuo kikuu kule Mwanza, leo SAUT but before ilikua ni Nyegezi institute of education; Mkapa amewapa majengo bure ili kiwe chuo kikuu, hivi bado kipo kweli? Roman Catholic waliuziwa majengo na serikali yale yalikua chuo cha bank ya NBC pale Iringa, na Lutheran as well; hawakupewa bure, wamelipa pesa na leo Waislam na Wakristo wanasoma pale. Acheni kulalamika, jambo la mwaka 1968, almost miaka 60 hadi leo unalalamika? Badiri mitazamo. Mnao wasomi kama kina Lipumba, professional Assad kwanini msiwatumie kukibadiri chuo chenu cha Morogoro? Nina uhakika hata mzee Mohammed kama ana ndoto ya wajukuu zake kupata maarifa, hawezi kupeleka mwanae or mjukui pale chuo cha Kiislam cha Morogoro, HAWEZI. Na wala mhafidhina yeyote humu, hawezi kupeleka mwanae au mjukui wake pale. Sasa sijui hilo nalo ni Nyerere au serikali?
 
Jamaa kasha sema, Mzee Said ni Kolo mwenzio, hawezi kusema kuhusu hilo😄😄😁
Anyway, tuendelee sasa; hivi kama ni kweli Waislamu walikua wanapenda elimu? Hakuna hata jina la shule waliojenga inayojulikana hadi leo? Shule karibu zote zilizo taifishwa na Nyerere zinajulikana, hili jambo wala halikua siri; wazee wa Kiislam wote waliosoma zinajulikana shule walizo soma; hakuna shule ya Kiislam hata moja. Halafu hi ya serikali kuvunja sijui hiyo taasisi yao ya Kiislam na kuundwa Bakwata, hivi shida ni JINA au nini? Waislamu waliokua hiyo taasisi na waliopo Bakwata kwani wamebadirishwa? Serikali inazuia Bakwata kufanya jambo lolote kubwa kwa maslahi ya Waislamu? Roman Catholic walinyang'anywa mashule, vyuo na hospitals, hutasikia popote wakilalamika cause wao na madhehebu mengine ya Kikristo wanajua, historia huwezi kuibadiri, muhimu ni kwenda mbele. Walijenga hospitals na mashule plus vyuo upya, mfano hospital ya Bugando ilianza kujengwa 1971, yaani miaka 8 tu toka waliponyang'anywa rasilimali zao, KCMC ya Lutheran as well, wakajenga na chuo kikuu kule Mwanza, leo SAUT but before ilikua ni Nyegezi institute of education; Mkapa amewapa majengo bure ili kiwe chuo kikuu, hivi bado kipo kweli? Roman Catholic waliuziwa majengo na serikali yale yalikua chuo cha bank ya NBC pale Iringa, na Lutheran as well; hawakupewa bure, wamelipa pesa na leo Waislam na Wakristo wanasoma pale. Acheni kulalamika, jambo la mwaka 1968, almost miaka 60 hadi leo unalalamika? Badiri mitazamo. Mnao wasomi kama kina Lipumba, professional Assad kwanini msiwatumie kukibadiri chuo chenu cha Morogoro? Nina uhakika hata mzee Mohammed kama ana ndoto ya wajukuu zake kupata maarifa, hawezi kupeleka mwanae or mjukui pale chuo cha Kiislam cha Morogoro, HAWEZI. Na wala mhafidhina yeyote humu, hawezi kupeleka mwanae au mjukui wake pale. Sasa sijui hilo nalo ni Nyerere au serikali?
Wana uwezo mkubwa wa kufanya makubwa ila wanalalamika kwa kila kitu.
 


Katika mkusanyiko huu wa Waislam chini ya Muslim Development Fund (MDF) Mwenyekiti wake akiwa Mzee Kondo, Mzee Kitwana Kondo alisema kuwa nia ya MDF ni kuwa na Chuo Kikuu na kujenga shule nchi nzima.

Maneno haya Mzee Kondo anawaambia Waislam na Rais Mkapa mwaka wa 2004.

Ikiwa huijui historia ya Waislam katika kutafuta elimu maneno ya Mzee Kondo kwako ni kama vile Waislam ndiyo kwanza wametupa shuka chini wanaamka usingizini kitandani wanataka na wao sasa wajenge shule na Chuo Kikuu.

Haikuwa hivyo.

Ukweli ni kuwa Waislam walianza kujenga shule zao toka ukoloni.

Ukweli ni kuwa baada ya uhuru kupatikana mwaka wa 1961 Waislam waliitisha Muslim Congress mwaka wa 1962 kujadili na kupanga upya mipango ya ujenzi wa shule na mwaka wa 1968 Waislam waliweka jiwe la msingi wa Chuo Kikuu.

Jiwe hili liliwekwa na Rais wa Tanzania Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akishuhudiwa na Mufti Sheikh Hassan bin Ameir na Tewa Said Tewa Rais wa EAMWS upande wa Tanganyika.

Wakati huo mwaka wa 1968 Rais Benjamin William Mkapa alikuwa Mhariri Mkuu wa magazeti ya TANU - The Nationalist na Uhuru.

Kitwana Kondo siku ile pale ukumbini anamueleza Rais Mkapa historia ambayo yeye Rais Mkapa si mgeni nayo kwani habari ya Waislam kujenga Chuo Kikuu ilikuwa habari kubwa mno na anaijua vyema kwani na ilichapwa na magazeti yake.

Si hilo tu magazeti haya ambayo yeye alikuwa Mhariri Mkuu yalikuwa mstari wa mbele kuandika mgogoro wa EAMWS uliosababisha EAMWS kuvunjwa na serikali na kuundwa BAKWATA.

Nilikuwa mmoja wa Waislam waliokuwa ndani ya ukumbi ule siku hii Rais Mkapa alipowapa Waislam majengo ya TANESCO Morogoro ili yawe Chuo Kikuu Cha Waislam.

Laiti EAMWS isingepigwa marufuku na serikali Waislam wangekuwa na Chuo Kikuu toka mwaka wa 1968.

Kuvunjwa kwa EAMWS na kuundwa BAKWATA ndiyo mwisho wa juhudi za Waislam kujenga shule na Chuo Kikuu walichokusudia.

Historia ya Waislam wa Tanzania katika juhudi ya kutafuta elimu ni ndefu na imejaa misukosuko mingi.

Hotuba hii ya Mzee Kondo imenikumbusha maneno ya Mufti Sheikh Hassan bin Ameir alipowaambia Waislam mara tu baada ya kupata uhuru kuwa, "Waislam tumeupigania uhuru hadi umepatikana sasa tujenge shule tujielimishe tutawale nchi pamoja na wenzetu."

Faza hao unaowaita waislamu ni kina Nani na labda kipi unawagusia sia Sana katika nyuzi zako?

sio kwa ubaya Wala kejeli
 
Na Nyerere angesema "huu uhuru umepatikana kwa juhudi zangu mimi mzanaki" ingekuwaje hiyo mzee...

Hakuna kitu kibaya kama kupambania jambo na watu wanaojitazama kimakundi ya kikabila au kidini.
Word..
uislamu umepumbaza na kuharibu jinsi yake ya kufikiri sheikh MS
 


Katika mkusanyiko huu wa Waislam chini ya Muslim Development Fund (MDF) Mwenyekiti wake akiwa Mzee Kondo, Mzee Kitwana Kondo alisema kuwa nia ya MDF ni kuwa na Chuo Kikuu na kujenga shule nchi nzima.

Maneno haya Mzee Kondo anawaambia Waislam na Rais Mkapa mwaka wa 2004.

Ikiwa huijui historia ya Waislam katika kutafuta elimu maneno ya Mzee Kondo kwako ni kama vile Waislam ndiyo kwanza wametupa shuka chini wanaamka usingizini kitandani wanataka na wao sasa wajenge shule na Chuo Kikuu.

Haikuwa hivyo.

Ukweli ni kuwa Waislam walianza kujenga shule zao toka ukoloni.

Ukweli ni kuwa baada ya uhuru kupatikana mwaka wa 1961 Waislam waliitisha Muslim Congress mwaka wa 1962 kujadili na kupanga upya mipango ya ujenzi wa shule na mwaka wa 1968 Waislam waliweka jiwe la msingi wa Chuo Kikuu.

Jiwe hili liliwekwa na Rais wa Tanzania Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akishuhudiwa na Mufti Sheikh Hassan bin Ameir na Tewa Said Tewa Rais wa EAMWS upande wa Tanganyika.

Wakati huo mwaka wa 1968 Rais Benjamin William Mkapa alikuwa Mhariri Mkuu wa magazeti ya TANU - The Nationalist na Uhuru.

Kitwana Kondo siku ile pale ukumbini anamueleza Rais Mkapa historia ambayo yeye Rais Mkapa si mgeni nayo kwani habari ya Waislam kujenga Chuo Kikuu ilikuwa habari kubwa mno na anaijua vyema kwani na ilichapwa na magazeti yake.

Si hilo tu magazeti haya ambayo yeye alikuwa Mhariri Mkuu yalikuwa mstari wa mbele kuandika mgogoro wa EAMWS uliosababisha EAMWS kuvunjwa na serikali na kuundwa BAKWATA.

Nilikuwa mmoja wa Waislam waliokuwa ndani ya ukumbi ule siku hii Rais Mkapa alipowapa Waislam majengo ya TANESCO Morogoro ili yawe Chuo Kikuu Cha Waislam.

Laiti EAMWS isingepigwa marufuku na serikali Waislam wangekuwa na Chuo Kikuu toka mwaka wa 1968.

Kuvunjwa kwa EAMWS na kuundwa BAKWATA ndiyo mwisho wa juhudi za Waislam kujenga shule na Chuo Kikuu walichokusudia.

Historia ya Waislam wa Tanzania katika juhudi ya kutafuta elimu ni ndefu na imejaa misukosuko mingi.

Hotuba hii ya Mzee Kondo imenikumbusha maneno ya Mufti Sheikh Hassan bin Ameir alipowaambia Waislam mara tu baada ya kupata uhuru kuwa, "Waislam tumeupigania uhuru hadi umepatikana sasa tujenge shule tujielimishe tutawale nchi pamoja na wenzetu."

Hadi sasa MDF imeshajenga vyuo na shule ngapi mheshimiwa?
 


Katika mkusanyiko huu wa Waislam chini ya Muslim Development Fund (MDF) Mwenyekiti wake akiwa Mzee Kondo, Mzee Kitwana Kondo alisema kuwa nia ya MDF ni kuwa na Chuo Kikuu na kujenga shule nchi nzima.

Maneno haya Mzee Kondo anawaambia Waislam na Rais Mkapa mwaka wa 2004.

Ikiwa huijui historia ya Waislam katika kutafuta elimu maneno ya Mzee Kondo kwako ni kama vile Waislam ndiyo kwanza wametupa shuka chini wanaamka usingizini kitandani wanataka na wao sasa wajenge shule na Chuo Kikuu.

Haikuwa hivyo.

Ukweli ni kuwa Waislam walianza kujenga shule zao toka ukoloni.

Ukweli ni kuwa baada ya uhuru kupatikana mwaka wa 1961 Waislam waliitisha Muslim Congress mwaka wa 1962 kujadili na kupanga upya mipango ya ujenzi wa shule na mwaka wa 1968 Waislam waliweka jiwe la msingi wa Chuo Kikuu.

Jiwe hili liliwekwa na Rais wa Tanzania Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akishuhudiwa na Mufti Sheikh Hassan bin Ameir na Tewa Said Tewa Rais wa EAMWS upande wa Tanganyika.

Wakati huo mwaka wa 1968 Rais Benjamin William Mkapa alikuwa Mhariri Mkuu wa magazeti ya TANU - The Nationalist na Uhuru.

Kitwana Kondo siku ile pale ukumbini anamueleza Rais Mkapa historia ambayo yeye Rais Mkapa si mgeni nayo kwani habari ya Waislam kujenga Chuo Kikuu ilikuwa habari kubwa mno na anaijua vyema kwani na ilichapwa na magazeti yake.

Si hilo tu magazeti haya ambayo yeye alikuwa Mhariri Mkuu yalikuwa mstari wa mbele kuandika mgogoro wa EAMWS uliosababisha EAMWS kuvunjwa na serikali na kuundwa BAKWATA.

Nilikuwa mmoja wa Waislam waliokuwa ndani ya ukumbi ule siku hii Rais Mkapa alipowapa Waislam majengo ya TANESCO Morogoro ili yawe Chuo Kikuu Cha Waislam.

Laiti EAMWS isingepigwa marufuku na serikali Waislam wangekuwa na Chuo Kikuu toka mwaka wa 1968.

Kuvunjwa kwa EAMWS na kuundwa BAKWATA ndiyo mwisho wa juhudi za Waislam kujenga shule na Chuo Kikuu walichokusudia.

Historia ya Waislam wa Tanzania katika juhudi ya kutafuta elimu ni ndefu na imejaa misukosuko mingi.

Hotuba hii ya Mzee Kondo imenikumbusha maneno ya Mufti Sheikh Hassan bin Ameir alipowaambia Waislam mara tu baada ya kupata uhuru kuwa, "Waislam tumeupigania uhuru hadi umepatikana sasa tujenge shule tujielimishe tutawale nchi pamoja na wenzetu."

TV imaan tu inawashinda mtaweza endesha taasisi za elimu? Wewe na wanaharakati wenzio hamna kitu mnajua zaidi ya lawama!
 
Jamaa kasha sema, Mzee Said ni Kolo mwenzio, hawezi kusema kuhusu hilo😄😄😁
Anyway, tuendelee sasa; hivi kama ni kweli Waislamu walikua wanapenda elimu? Hakuna hata jina la shule waliojenga inayojulikana hadi leo? Shule karibu zote zilizo taifishwa na Nyerere zinajulikana, hili jambo wala halikua siri; wazee wa Kiislam wote waliosoma zinajulikana shule walizo soma; hakuna shule ya Kiislam hata moja. Halafu hi ya serikali kuvunja sijui hiyo taasisi yao ya Kiislam na kuundwa Bakwata, hivi shida ni JINA au nini? Waislamu waliokua hiyo taasisi na waliopo Bakwata kwani wamebadirishwa? Serikali inazuia Bakwata kufanya jambo lolote kubwa kwa maslahi ya Waislamu? Roman Catholic walinyang'anywa mashule, vyuo na hospitals, hutasikia popote wakilalamika cause wao na madhehebu mengine ya Kikristo wanajua, historia huwezi kuibadiri, muhimu ni kwenda mbele. Walijenga hospitals na mashule plus vyuo upya, mfano hospital ya Bugando ilianza kujengwa 1971, yaani miaka 8 tu toka waliponyang'anywa rasilimali zao, KCMC ya Lutheran as well, wakajenga na chuo kikuu kule Mwanza, leo SAUT but before ilikua ni Nyegezi institute of education; Mkapa amewapa majengo bure ili kiwe chuo kikuu, hivi bado kipo kweli? Roman Catholic waliuziwa majengo na serikali yale yalikua chuo cha bank ya NBC pale Iringa, na Lutheran as well; hawakupewa bure, wamelipa pesa na leo Waislam na Wakristo wanasoma pale. Acheni kulalamika, jambo la mwaka 1968, almost miaka 60 hadi leo unalalamika? Badiri mitazamo. Mnao wasomi kama kina Lipumba, professional Assad kwanini msiwatumie kukibadiri chuo chenu cha Morogoro? Nina uhakika hata mzee Mohammed kama ana ndoto ya wajukuu zake kupata maarifa, hawezi kupeleka mwanae or mjukui pale chuo cha Kiislam cha Morogoro, HAWEZI. Na wala mhafidhina yeyote humu, hawezi kupeleka mwanae au mjukui wake pale. Sasa sijui hilo nalo ni Nyerere au serikali?
Makwizi...
Tatizo lako ni kutokuijua historia ya Waislam.

Waislam walikuwa wanajenga Chuo Kikuu mwaka wa 1968 kupitia EAMWS na walikuwa wameshajenga shule nyingi.

Serikali ikaivunja EAMWS na kuunda BAKWATA.

Hili nimelizungumza kwenye video nyingi.


View: https://youtu.be/IvodWTgWpSM?si=X5Rr9dOQdC_Q7UNe
 
Makwizi...
Tatizo lako ni kutokuijua historia ya Waislam.

Waislam walikuwa wanajenga Chuo Kikuu mwaka wa 1968 kupitia EAMWS na walikuwa wameshajenga shule nyingi.

Serikali ikaivunja EAMWS na kuunda BAKWATA.

Hili nimelizungumza kwenye video nyingi.


View: https://youtu.be/IvodWTgWpSM?si=X5Rr9dOQdC_Q7UNe

Heshima kwako mzee wangu; mimi sina shida sana na hiyo historia ulioisema, nimetaka kujua tu majina ya hizo shule zilizo jengwa na taasisi yeyote ya kiislam na serikali ikazichukua, hilo tu. Historia ya shule za sekondari Tanzania inajulikana hadi wamiliki wake, Pugu, Malangali, Mirambo, Tosomaganga nk ni miongoni mwa shule ambazo zinaitafuta karne 1 kwasasa na zipo hadi leo; wamiliki wake wanajulikana pia, naomba majina ya school za Kiislamu hilo tu. Hilo moja, lingine ni hili; kama Waislamu walipenda elimu, why hawaoneshi hivo kizazi chetu? Wakristo wanaonekana hivo miaka yote, walinyang'anywa shule na hospitals zao mwaka 1967 but wala haukipita muda mrefu, miaka 4 baadae, Roman Catholic hao wakaibuka na mradi wa hospital ya Bugando na ipo hadi leo, mbona vya Kiislamu havitokei? Well, back to the story you brought it here, Waislamu mmepewa majengo yakiwa na kila kitu BURE na serikali ili kiwe chuo kikuu? Je maendeleo ya kile chuo leo yapoje? Mfano wewe mzee wangu, mjukuu wako say ana dream ya kuja kua Mhasibu halafu amepata vyuo 2, hicho cha Kiislamu cha Morogoro na SAUT cha Mwanza, utamshauri akasome wapi? Jibu kama mtu unaemuogopa Mungu, sio kama mwana DINI. Kumbuka imeandikwa, "USIONGEE UONGO"

Narudia nilicho wahi kuandika huko nyuma, somo la historia sikulipenda sana shuleni cause yeyote anaweza kutunga story na kuisimulia na watu wakaiamini; tunayo mifano mingi sana. Mfano mdogo tu, mapinduzi ya Zanzibar. Hadi sasa hivi, binafsi sielewi nimuamini nani? Nizar Khasam yule MZanzibari au nilicho fundishwa shuleni, shuleni haumkuti kabisa bwana Okelo, mtaani humkuti kabisa Karume, shida ya historia
 
Kwanini rais awatafutie majengo? Hawa nao kwa utegemezi, we acha tu. Hata wangepewa chuo kikuu cha Dar es salaam, bado kitawashinda na wataendelea kulalamika. Mwarabu aliwajaza na kuwaachia ujingaaa.
 
Heshima kwako mzee wangu; mimi sina shida sana na hiyo historia ulioisema, nimetaka kujua tu majina ya hizo shule zilizo jengwa na taasisi yeyote ya kiislam na serikali ikazichukua, hilo tu. Historia ya shule za sekondari Tanzania inajulikana hadi wamiliki wake, Pugu, Malangali, Mirambo, Tosomaganga nk ni miongoni mwa shule ambazo zinaitafuta karne 1 kwasasa na zipo hadi leo; wamiliki wake wanajulikana pia, naomba majina ya school za Kiislamu hilo tu. Hilo moja, lingine ni hili; kama Waislamu walipenda elimu, why hawaoneshi hivo kizazi chetu? Wakristo wanaonekana hivo miaka yote, walinyang'anywa shule na hospitals zao mwaka 1967 but wala haukipita muda mrefu, miaka 4 baadae, Roman Catholic hao wakaibuka na mradi wa hospital ya Bugando na ipo hadi leo, mbona vya Kiislamu havitokei? Well, back to the story you brought it here, Waislamu mmepewa majengo yakiwa na kila kitu BURE na serikali ili kiwe chuo kikuu? Je maendeleo ya kile chuo leo yapoje? Mfano wewe mzee wangu, mjukuu wako say ana dream ya kuja kua Mhasibu halafu amepata vyuo 2, hicho cha Kiislamu cha Morogoro na SAUT cha Mwanza, utamshauri akasome wapi? Jibu kama mtu unaemuogopa Mungu, sio kama mwana DINI. Kumbuka imeandikwa, "USIONGEE UONGO"

Narudia nilicho wahi kuandika huko nyuma, somo la historia sikulipenda sana shuleni cause yeyote anaweza kutunga story na kuisimulia na watu wakaiamini; tunayo mifano mingi sana. Mfano mdogo tu, mapinduzi ya Zanzibar. Hadi sasa hivi, binafsi sielewi nimuamini nani? Nizar Khasam yule MZanzibari au nilicho fundishwa shuleni, shuleni haumkuti kabisa bwana Okelo, mtaani humkuti kabisa Karume, shida ya historia
Makwizi...
Naamini unatambua kuwa Wakristo Waafrika hawakupata kujenga shule yoyote Tanganyika.

Shule zilikuwa zikijengwa na Wamishionari kwa misada kutoka Ulaya shule zikijengwa na serikali na elimu ikitolewa kwa ubaguzi dhidi ya Waislam.

Waislam walikuwa wakijenga shule zao wenyewe kwa msaada wa EAMWS.

Dar es Salaam Waislam walikuwa na shule iliyojulikana kama Al Jamiatul Islamiyya Muslim School, Al Hassanain na Habibu Punja.

Baada ya uhuru Waislam walifanya mkutano mwaka wa 1962 uliojulikana kama Muslim Congress kujadili elimu na kupitia EAMWS wakajenga shule Kinondoni Muslim School, ikajengwa shule nyingine Uzaramo (sina jina la shule), ikajengwa shule nyingine Kibohehe, Kilimanjaro.

Moshi Mjini na Tanga kulikuwa na Muslim School ziliyojengwa toka enzi za ukoloni.

Mchame ilijengwa shule mwaka wa 1930s kwa juhudi ya Rajabu Ibrahim Kirama na shule nyingine zikajengwa Upare na inasemekana katika Tanganyika nzima ndiko kulikojengwa shule nyingi za Waislam kwa juhudi za Waislam wenyewe na kwa msaada wa EAMWS.

Taarifa za EAMWS zinaonyesha EAMWS ilijenga shule, misikiti, shule za ufundi na hosteli katika nchi zote za Afrika ya Mashariki.

EAMWS Afrika Mashariki ilijenga jumla ya shule 77, 728 misikiti 675, 329 na Shule za Ufundi 3 pamoja na hosteli kadhaa hadi kufikia mwaka wa 1968 ilipopigwa marufuku na serikali.

EAMWS ilipigwa marufuku wakati inajenga Chuo Kikuu na jiwe la msingi liliwekwa na Julius Nyerere.

Nimeandika kwa kirefu juhudi za Waislam katika kutafuta elimu ndani ya kitabu hiki: ''The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 - 1968) The Untold Story of The Muslim Struggle Against British Colonialism,'' London 1998 na katika kitabu: ''Rajabu Ibrahim Kirama Jemadari wa Vita Kuwa Jemadar wa Uislam,'' Dar es Salaam 2020.

Halikadhalika paper:

The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).

Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000’ (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15th – 17th 2003).

Kwa kuhitimisha napenda kukufahamisha kuwa kuna uliyoandika nimeyakalia kimya na sababu ni kutaka tujadili elimu peke yake kisha hayo mengine In Shaa Allah tutaendelelea tukimaliza mjadala huu wa elimu.

Ama kuhusu historia ya Zanzibar napenda kukudokeza kuwa nilikuwa Research Assistant wa Dr. Harith Ghassany kwa miaka saba wakati anatafiti kitabu chake, ''Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru,'' (2010).

Kawaida yangu ni kuzungumza kitu ambacho nakijua.
Karibu sana.

Angalia picha hapo chini Mufti Sheikh Hassan bin Ameir akiwa na Julius Nyerere na Tewa Said Tewa Rais wa EAMWS (Tanzania) katika sherehe za kuweka jiwe la msingi wa Chuo Kikuu.

1731444875426.jpeg

1731444418561.jpeg
 
Misri na Algeria ni miongoni mwa Mataifa yenye vyuo bora sana Duniani na majority ni Waislamu.

Nafikiri ngozi nyeusi ina namna yake pekee ya kuupokea na kuutafsiri Uislamu.
 
Najaribu kujiuliza zile shule za Kanisa pamoja na Mahospitali zilizochukuliwa na Serikali ingekuwa ndio upande wa pili mbona tungeloa mate.
 
Back
Top Bottom