Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,752
- 5,609
Safi[emoji120]Aliandika TUKANA UONE
"Ikiwa hutaki tuchangie nenda kaandike sebuleni kwenu ili ndugu zako wakenue meno na kufurahia ujuha wako,lakini kwa hapa jukwaani tu utaula wa chuya!.
Hapa tutakukaanga,tutakupakua na utaliwa utake usitake"
"TUKANA UONE"
NakaziaHuyo anaekuunga mkono ni mtego huo huyo jamaa anahitaji mgongo wako wewe jiachie na umsifie shauri yako [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Hapana bwana Manula amefungwa derby mbili tu ngao ya hisani na Azam federation cup mechi za ligi hatujawahi fungwa na Yanga akiwa langoni angalia vizuri stats zakoAbsolutely! Aishi manila amewahi kutufungisha katika mechi za dirby nyingi the, hivyo asiaminiwe kamwe, kwani ndo alifanya tusichukue ubingwa msimu 2022-2023
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Kwa hili GENTAMYCIME GENTAMYCINEKipa Aishi Manula ) kuwa Duka ( Muuza Mechi ) na hakuna Mtu wa Mpira asiyelijua hili.
unaunga mkono upuuzi wa mpuuzi mwenzako?
Nisamehe Mrs Popomaunaunga mkono upuuzi wa mpuuzi mwenzako?
nisamehe mrs. genta.
Another ID [emoji23][emoji23] wewe Emoro una heka hekanisamehe mrs. genta.