Kiufundi Wachezaji hawa wa Simba SC wakibadilika kwa yafuatayo nitashukuru na Simba SC itaimarika zaidi

Kiufundi Wachezaji hawa wa Simba SC wakibadilika kwa yafuatayo nitashukuru na Simba SC itaimarika zaidi

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Beki Chemalone

Yuko vizuri ila Kiufundi GENTAMYCINE nimemtizama na nimegundua amebarikiwa Akili nyingi na Nguvu, ila hana Kasi (pace) na inaweza Kutugharimu tukikutana na Timu zenye Mafowadi Viberenge.

Kipa Ali Salim

Alianza vyema na akawa anakuja vizuri ila Kiufundi kwa Mechi kadhaa na za hivi Karibuni GENTAMYCINE nimegundua amebadilika, amekuwa mpuuzi mno, ana Sifa na amezidisha kujiamini wakati bado hajafikia kiwango hicho kwakuwa anaendelea Kujifunza.

Muzamiru Yasini

Ni Kiungo Mzawa Bora kwa sasa Tanzania na ana Kipaji kikubwa ila Kiufundi huwa anafanya Makosa yasiyo na ulazima huku akipenda sana Usela ambao kuna muda Unamgharimu Kadi. Kama huwa anavuta Pisi 3 kwa Siku basi GENTAMYCINE nashauri awe anavuta Pisi 1 tu ili asidate sana na atufanyie kazi ambayo tunampendea.

Kibu Denis

Nasikitika ni kwanini mpaka sasa siwasikii Watanzania wakimuimba huyu Shujaa mpya wa Tanzania.

Ni Kocha yoyote Mpumbavu tu ndiyo hatoweza Kumpanga na Kumtumia Uwanjani.

Na laiti 95% ya Wachezaji wa Simba SC wangekuwa Wanacheza kwa Pace na Energy yake Kubwa waliyonayo kila Mechi tunashinda na hata Msimu uliopita Simba SC ingekuwa Bingwa wa NBC Premier League.

Hata hivyo Kiufundi baada ya Kumtizama GENTAMYCINE nimegundua ana tatizo Sugu la kutokuwa na Umakini na hata Tenki lake la Pumzi huwa si la Kumaliza dakika 90 za Mchezo.

Leandre Willy Essomba Onana

Nimemuona Mechi kadhaa ila Kiufundi GENTAMYCINE niseme tu kuwa Simba SC tulikurupuka Kumsajili kwani hana yale Makali ya Kuipambania Simba SC.

Anatumia muda mwingi kutafuta Ufalme wa haraka ndani ya Kikosi wakati hana Uwezo huo.

Anapenda Kucheza na Jukwaa Kipuuzi Kipuuzi, Kujiremba mno na Mchoyo wa kuwapa Pasi Wenzake wakiwa katika Nafasi za Kufunga.

Shomary Kapombe

Ni Mtu na Nusu na hajawahi Kuniangusha GENTAMYCINE ila ajitahidi tu kuwa na Maamuzi ya haraka na apunguze Kigugumizi chake cha Miguu ambacho kuna nyakati huwa Kinamgharimu.

Saido Ntibanzokinza

Ana Kipaji Kikubwa na Kilichotuka kabisa ila Kiufundi GENTAMYCINE nimegundua kuwa anapenda mno Kulazimisha kila Tukio alifanye Yeye wakati Kiuhalisia na kwa Umri wake kuna nyakati zingine anashindwa na hata Kuwagharimu Wenzake.

Haya na nyie Wengine (hasa wana Simba SC) hebu kwa nia njema tu toeni Ushauri wenu wa Kiufundi kwa Wachezaji wetu/wenu ili wabadilike upesi na wawe na Msaada Kwetu kwa Mechi zijazo/Michuano ijayo kuanzia na huu wa tarehe 20 Oktoba, 2023 dhidi ya Al Ahly SC katika Ligi Mpya ya African Football League (AFL).

Otherwise nina Imani na Simba SC.
 
Beki Chemalone

Yuko vizuri ila Kiufundi GENTAMYCINE nimemtizama na nimegundua amebarikiwa Akili nyingi na Nguvu, ila hana Kasi ( pace ) na inaweza Kutugharimu tukikutana na Timu zenye Mafowadi Viberenge.

Kipa Ali Salim

Alianza vyema na akawa anakuja vizuri ila Kiufundi kwa Mechi kadhaa na za hivi Karibuni GENTAMYCINE nimegundua amebadilika, amekuwa Mpuuzi mno, ana Sifa na amezidisha Kujiamini wakati bado hajafikia Kiwango hicho kwakuwa anaendelea Kujifunza.

Muzamiru Yasini

Ni Kiungo Mzawa Bora kwa sasa Tanzania na ana Kipaji kikubwa ila Kiufundi huwa anafanya Makosa yasiyo na ulazima huku akipenda sana Usela ambao kuna muda Unamgharimu Kadi. Kama huwa anavuta Pisi 3 kwa Siku basi GENTAMYCINE nashauri awe anavuta Pisi 1 tu ili asidate sana na atufanyie Kazi ambayo tunampendea.

Kibu Denis

Nasikitika ni kwanini mpaka sasa siwasikii Watanzania wakimuimba huyu Shujaa mpya wa Tanzania.

Ni Kocha yoyote Mpumbavu tu ndiyo hatoweza Kumpanga na Kumtumia Uwanjani.

Na laiti 95% ya Wachezaji wa Simba SC wangekuwa Wanacheza kwa Pace na Energy yake Kubwa waliyonayo kila Mechi tunashinda na hata Msimu uliopita Simba SC ingekuwa Bingwa wa NBC Premier League.

Hata hivyo Kiufundi baada ya Kumtizama GENTAMYCINE nimegundua ana tatizo Sugu la kutokuwa na Umakini na hata Tenki lake la Pumzi huwa si la Kumaliza dakika 90 za Mchezo.

Andrew Onana

Nimemuona Mechi kadhaa ila Kiufundi GENTAMYCINE niseme tu kuwa Simba SC tulikurupuka Kumsajili kwani hana yale Makali ya Kuipambania Simba SC.

Anatumia muda mwingi kutafuta Ufalme wa haraka ndani ya Kikosi wakati hana Uwezo huo.

Anapenda Kucheza na Jukwaa Kipuuzi Kipuuzi, Kujiremba mno na Mchoyo wa kuwapa Pasi Wenzake wakiwa katika Nafasi za Kufunga.

Shomary Kapombe

Ni Mtu na Nusu na hajawahi Kuniangusha GENTAMYCINE ila ajitahidi tu kuwa na Maamuzi ya haraka na apunguze Kigugumizi chake cha Miguu ambacho kuna nyakati huwa Kinamgharimu.

Saido Ntibanzokinza

Ana Kipaji Kikubwa na Kilichotuka kabisa ila Kiufundi GENTAMYCINE nimegundua kuwa anapenda mno Kulazimisha kila Tukio alifanye Yeye wakati Kiuhalisia na kwa Umri wake kuna nyakati zingine anashindwa na hata Kuwagharimu Wenzake.

Haya na nyie Wengine ( hasa wana Simba SC ) hebu kwa nia njema tu toeni Ushauri wenu wa Kiufundi kwa Wachezaji wetu / wenu ili wabadilike upesi na wawe na Msaada Kwetu kwa Mechi zijazo / Michuano ijayo kuanzia na huu wa tarehe 20 Oktoba, 2023 dhidi ya Al Ahly SC katika Ligi Mpya ya African Football League ( AFL )

Otherwise nina Imani na Simba SC.
Hongera Leo Genta umetulia sana na kutoa hoja mjarabu,achana na Ile kitu ya Arusha ambao wengi wanakutuhumu kutumia,I believe Leo hujagusa kabisa.Nakubaliana na hoja zako Kwa 95%
 
Beki Chemalone

Yuko vizuri ila Kiufundi GENTAMYCINE nimemtizama na nimegundua amebarikiwa Akili nyingi na Nguvu, ila hana Kasi ( pace ) na inaweza Kutugharimu tukikutana na Timu zenye Mafowadi Viberenge.

Kipa Ali Salim

Alianza vyema na akawa anakuja vizuri ila Kiufundi kwa Mechi kadhaa na za hivi Karibuni GENTAMYCINE nimegundua amebadilika, amekuwa Mpuuzi mno, ana Sifa na amezidisha Kujiamini wakati bado hajafikia Kiwango hicho kwakuwa anaendelea Kujifunza.

Muzamiru Yasini

Ni Kiungo Mzawa Bora kwa sasa Tanzania na ana Kipaji kikubwa ila Kiufundi huwa anafanya Makosa yasiyo na ulazima huku akipenda sana Usela ambao kuna muda Unamgharimu Kadi. Kama huwa anavuta Pisi 3 kwa Siku basi GENTAMYCINE nashauri awe anavuta Pisi 1 tu ili asidate sana na atufanyie Kazi ambayo tunampendea.

Kibu Denis

Nasikitika ni kwanini mpaka sasa siwasikii Watanzania wakimuimba huyu Shujaa mpya wa Tanzania.

Ni Kocha yoyote Mpumbavu tu ndiyo hatoweza Kumpanga na Kumtumia Uwanjani.

Na laiti 95% ya Wachezaji wa Simba SC wangekuwa Wanacheza kwa Pace na Energy yake Kubwa waliyonayo kila Mechi tunashinda na hata Msimu uliopita Simba SC ingekuwa Bingwa wa NBC Premier League.

Hata hivyo Kiufundi baada ya Kumtizama GENTAMYCINE nimegundua ana tatizo Sugu la kutokuwa na Umakini na hata Tenki lake la Pumzi huwa si la Kumaliza dakika 90 za Mchezo.

Andrew Onana

Nimemuona Mechi kadhaa ila Kiufundi GENTAMYCINE niseme tu kuwa Simba SC tulikurupuka Kumsajili kwani hana yale Makali ya Kuipambania Simba SC.

Anatumia muda mwingi kutafuta Ufalme wa haraka ndani ya Kikosi wakati hana Uwezo huo.

Anapenda Kucheza na Jukwaa Kipuuzi Kipuuzi, Kujiremba mno na Mchoyo wa kuwapa Pasi Wenzake wakiwa katika Nafasi za Kufunga.

Shomary Kapombe

Ni Mtu na Nusu na hajawahi Kuniangusha GENTAMYCINE ila ajitahidi tu kuwa na Maamuzi ya haraka na apunguze Kigugumizi chake cha Miguu ambacho kuna nyakati huwa Kinamgharimu.

Saido Ntibanzokinza

Ana Kipaji Kikubwa na Kilichotuka kabisa ila Kiufundi GENTAMYCINE nimegundua kuwa anapenda mno Kulazimisha kila Tukio alifanye Yeye wakati Kiuhalisia na kwa Umri wake kuna nyakati zingine anashindwa na hata Kuwagharimu Wenzake.

Haya na nyie Wengine ( hasa wana Simba SC ) hebu kwa nia njema tu toeni Ushauri wenu wa Kiufundi kwa Wachezaji wetu / wenu ili wabadilike upesi na wawe na Msaada Kwetu kwa Mechi zijazo / Michuano ijayo kuanzia na huu wa tarehe 20 Oktoba, 2023 dhidi ya Al Ahly SC katika Ligi Mpya ya African Football League ( AFL )

Otherwise nina Imani na Simba SC.
Chukua Like yako.....
 
Kwa che malone spidi sio lazima,cos beki wa kati jukumu laake la kwanza sio kukaba mawinga,hilo ni jukumu la mabeki wa pembeni.
 
Kwa che malone spidi sio lazima,cos beki wa kati jukumu laake la kwanza sio kukaba mawinga,hilo ni jukumu la mabeki wa pembeni.
kwa iyo beki za pembeni zikipitwa inakuwa ndo lazima awe na spidi sasa ama
 
Kujiamini kwingi mno na wachezaji hawana kasi na hawana kiu kubwa ya matokeo. Tusubiri tarehe 20
 
Simba IMEJAZA wazee na Mizigo
Tukipata nafasi tutawachambua Hawa wachezaji WABOVU..

1. AYOUB Lakred Bomu

2. Sadio Kanute Bomu.

3. Moses Phiri Bonu

4. Aubin Kramo Bomu.

5. Will Onana Bomu

6. Luis MIQUISSONE Bomu

7.( Saido Ntibazonkiza )
 
Simba IMEJAZA wazee na Mizigo
Tukipata nafasi tutawachambua Hawa wachezaji WABOVU..

1. AYOUB Lakred Bomu

2. Sadio Kanute Bomu.

3. Moses Phili Bonu

4. Aubin Kramo Bomu.

5. Will Onana Bomu

6. Luis MIQUISSONE Bomu

7.( Saido Ntibazonkiza )
Kumbe Simba SC ina Mchezaji aitwae Moses Phili kama ulivyoandika hapa?

Kazi ipo........!!
 
ANDREW ONANA SI MCHEZAJI WA SIMBA NI GOLIKIPA WA MANCHESTER UNITED.

MBOMBO ngafu......

TAHIRAAAAAAAAAA
WEWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
 
Beki Chemalone

Yuko vizuri ila Kiufundi GENTAMYCINE nimemtizama na nimegundua amebarikiwa Akili nyingi na Nguvu, ila hana Kasi (pace) na inaweza Kutugharimu tukikutana na Timu zenye Mafowadi Viberenge.

Kipa Ali Salim

Alianza vyema na akawa anakuja vizuri ila Kiufundi kwa Mechi kadhaa na za hivi Karibuni GENTAMYCINE nimegundua amebadilika, amekuwa mpuuzi mno, ana Sifa na amezidisha kujiamini wakati bado hajafikia kiwango hicho kwakuwa anaendelea Kujifunza.

Muzamiru Yasini

Ni Kiungo Mzawa Bora kwa sasa Tanzania na ana Kipaji kikubwa ila Kiufundi huwa anafanya Makosa yasiyo na ulazima huku akipenda sana Usela ambao kuna muda Unamgharimu Kadi. Kama huwa anavuta Pisi 3 kwa Siku basi GENTAMYCINE nashauri awe anavuta Pisi 1 tu ili asidate sana na atufanyie kazi ambayo tunampendea.

Kibu Denis

Nasikitika ni kwanini mpaka sasa siwasikii Watanzania wakimuimba huyu Shujaa mpya wa Tanzania.

Ni Kocha yoyote Mpumbavu tu ndiyo hatoweza Kumpanga na Kumtumia Uwanjani.

Na laiti 95% ya Wachezaji wa Simba SC wangekuwa Wanacheza kwa Pace na Energy yake Kubwa waliyonayo kila Mechi tunashinda na hata Msimu uliopita Simba SC ingekuwa Bingwa wa NBC Premier League.

Hata hivyo Kiufundi baada ya Kumtizama GENTAMYCINE nimegundua ana tatizo Sugu la kutokuwa na Umakini na hata Tenki lake la Pumzi huwa si la Kumaliza dakika 90 za Mchezo.

Andrew Onana

Nimemuona Mechi kadhaa ila Kiufundi GENTAMYCINE niseme tu kuwa Simba SC tulikurupuka Kumsajili kwani hana yale Makali ya Kuipambania Simba SC.

Anatumia muda mwingi kutafuta Ufalme wa haraka ndani ya Kikosi wakati hana Uwezo huo.

Anapenda Kucheza na Jukwaa Kipuuzi Kipuuzi, Kujiremba mno na Mchoyo wa kuwapa Pasi Wenzake wakiwa katika Nafasi za Kufunga.

Shomary Kapombe

Ni Mtu na Nusu na hajawahi Kuniangusha GENTAMYCINE ila ajitahidi tu kuwa na Maamuzi ya haraka na apunguze Kigugumizi chake cha Miguu ambacho kuna nyakati huwa Kinamgharimu.

Saido Ntibanzokinza

Ana Kipaji Kikubwa na Kilichotuka kabisa ila Kiufundi GENTAMYCINE nimegundua kuwa anapenda mno Kulazimisha kila Tukio alifanye Yeye wakati Kiuhalisia na kwa Umri wake kuna nyakati zingine anashindwa na hata Kuwagharimu Wenzake.

Haya na nyie Wengine (hasa wana Simba SC) hebu kwa nia njema tu toeni Ushauri wenu wa Kiufundi kwa Wachezaji wetu/wenu ili wabadilike upesi na wawe na Msaada Kwetu kwa Mechi zijazo/Michuano ijayo kuanzia na huu wa tarehe 20 Oktoba, 2023 dhidi ya Al Ahly SC katika Ligi Mpya ya African Football League (AFL).

Otherwise nina Imani na Simba SC.

Jongo.
 
Beki Chemalone

Yuko vizuri ila Kiufundi GENTAMYCINE nimemtizama na nimegundua amebarikiwa Akili nyingi na Nguvu, ila hana Kasi (pace) na inaweza Kutugharimu tukikutana na Timu zenye Mafowadi Viberenge.

Kipa Ali Salim

Alianza vyema na akawa anakuja vizuri ila Kiufundi kwa Mechi kadhaa na za hivi Karibuni GENTAMYCINE nimegundua amebadilika, amekuwa mpuuzi mno, ana Sifa na amezidisha kujiamini wakati bado hajafikia kiwango hicho kwakuwa anaendelea Kujifunza.

Muzamiru Yasini

Ni Kiungo Mzawa Bora kwa sasa Tanzania na ana Kipaji kikubwa ila Kiufundi huwa anafanya Makosa yasiyo na ulazima huku akipenda sana Usela ambao kuna muda Unamgharimu Kadi. Kama huwa anavuta Pisi 3 kwa Siku basi GENTAMYCINE nashauri awe anavuta Pisi 1 tu ili asidate sana na atufanyie kazi ambayo tunampendea.

Kibu Denis

Nasikitika ni kwanini mpaka sasa siwasikii Watanzania wakimuimba huyu Shujaa mpya wa Tanzania.

Ni Kocha yoyote Mpumbavu tu ndiyo hatoweza Kumpanga na Kumtumia Uwanjani.

Na laiti 95% ya Wachezaji wa Simba SC wangekuwa Wanacheza kwa Pace na Energy yake Kubwa waliyonayo kila Mechi tunashinda na hata Msimu uliopita Simba SC ingekuwa Bingwa wa NBC Premier League.

Hata hivyo Kiufundi baada ya Kumtizama GENTAMYCINE nimegundua ana tatizo Sugu la kutokuwa na Umakini na hata Tenki lake la Pumzi huwa si la Kumaliza dakika 90 za Mchezo.

Andrew Onana

Nimemuona Mechi kadhaa ila Kiufundi GENTAMYCINE niseme tu kuwa Simba SC tulikurupuka Kumsajili kwani hana yale Makali ya Kuipambania Simba SC.

Anatumia muda mwingi kutafuta Ufalme wa haraka ndani ya Kikosi wakati hana Uwezo huo.

Anapenda Kucheza na Jukwaa Kipuuzi Kipuuzi, Kujiremba mno na Mchoyo wa kuwapa Pasi Wenzake wakiwa katika Nafasi za Kufunga.

Shomary Kapombe

Ni Mtu na Nusu na hajawahi Kuniangusha GENTAMYCINE ila ajitahidi tu kuwa na Maamuzi ya haraka na apunguze Kigugumizi chake cha Miguu ambacho kuna nyakati huwa Kinamgharimu.

Saido Ntibanzokinza

Ana Kipaji Kikubwa na Kilichotuka kabisa ila Kiufundi GENTAMYCINE nimegundua kuwa anapenda mno Kulazimisha kila Tukio alifanye Yeye wakati Kiuhalisia na kwa Umri wake kuna nyakati zingine anashindwa na hata Kuwagharimu Wenzake.

Haya na nyie Wengine (hasa wana Simba SC) hebu kwa nia njema tu toeni Ushauri wenu wa Kiufundi kwa Wachezaji wetu/wenu ili wabadilike upesi na wawe na Msaada Kwetu kwa Mechi zijazo/Michuano ijayo kuanzia na huu wa tarehe 20 Oktoba, 2023 dhidi ya Al Ahly SC katika Ligi Mpya ya African Football League (AFL).

Otherwise nina Imani na Simba SC.
Naunga mkono hoja
 
Back
Top Bottom