Kiufundi Wachezaji hawa wa Simba SC wakibadilika kwa yafuatayo nitashukuru na Simba SC itaimarika zaidi

Kiufundi Wachezaji hawa wa Simba SC wakibadilika kwa yafuatayo nitashukuru na Simba SC itaimarika zaidi

Binafsi kwa msimu huu wachezaji waliosajiliwa niliyempitisha moja kwa moja ni Ngoma ila atafutiwemtu wa kusaidiana nae kukaba. Che malone nampa 70% akiongeza kasi na utulivu akiwa na mpira atakua tishio.
 
Simba IMEJAZA wazee na Mizigo
Tukipata nafasi tutawachambua Hawa wachezaji WABOVU..

1. AYOUB Lakred Bomu

2. Sadio Kanute Bomu.

3. Moses Phiri Bonu

4. Aubin Kramo Bomu.

5. Will Onana Bomu

6. Luis MIQUISSONE Bomu

7.( Saido Ntibazonkiza )
Kramo usimuhukumu kwasababu hajacheza bado
 
Kramo usimuhukumu kwasababu hajacheza bado

Hiyo ndio IMEISHA kaka.

Kwa historia ya Mpira wa Bongo HAIWEZEKANI Tena kucheza Tanzania.

Hayo yaliyomkuta kramo yamewakuta pia....
Thadeo Lwanga.
Peter Banda.
Hassan Dilunga
Asante kwasi nk
 
Hiyo ndio IMEISHA kaka.

Kwa historia ya Mpira wa Bongo HAIWEZEKANI Tena kucheza Tanzania.

Hayo yaliyomkuta kramo yamewakuta pia....
Thadeo Lwanga.
Peter Banda.
Hassan Dilunga
Asante kwasi nk
Dah sad..binafsi sikufurahishwa kurudishwa kwa konde pia.
 
Dah sad..binafsi sikufurahishwa kurudishwa kwa konde pia.

Kuna Upigaji unaendeleaje ndani ya Club
Kuna Billions Of Money za African super league 5

Mo akajiingiza na kujifanya analeta usajili WA KISHINDO kwa kuleta mchezaji mkubwa kutoka timu kubwa na kumleta goalkeeper Bora Africa

Ilikuwa Lazima Wasajili Miquisson na Mzungu au Mwarabu mmoja hata kama hakuna kitu. Ili IONEKANE Hela nyingi IMETUMIKA KWENYE usajili

Hela za super cup( African super league zimepigwa na Mo.
 
Shida ya Simba ni kukosa kiungo namba 6 halisi. Na pia shida inaweza kuwa kwa Robertinho kwa kushindwa kukitumia kikosi ipasavyo mfano kama hakuna namba sita halisi kwenye kikosi, kocha anaweza kumtumia fullback kama inverted fullback mfano Zimbwe aungane na Mzamiru kama viungo wawili wa chini timu ikiwa inashambaulia na juu yake kuwe na namba 8 wawili mfano Ngoma na Saido.

Hii itasaidia timu ikiwa shambuliwa kwa counter attacks kwasbb kuna kuwa kuna uwiano wa idadi ya namba kutoka ushambuliaji hadi safu ya ulinzi.

Shida nyingine Mzamiru sio namba 8 bora kama alivyo Ngoma. Ngoma ana uwezo mzuri wa kuona mashimo/njia za mpira, kupiga pasi ndefu/fupi, kuusoma mchezo kuliko Mzamiru ambaye sifa yake kubwa ni kukaba tu ni vichache sana Mzamiru atakupa akiwa na mpira mguuni, swali kwann huwa anasogoea kama namba 8 na Ngoma kubaki namba 6? Hapa ndio sbb ya Simba kuruhusu magoli mengi kwa vile Ngoma sio mzuri kwenye kukaba na pia kipindi timu inashambuliwa Mzamiru huwa hayupo eneo la tukio.

La mwisho ni issue ya kisaikolojia kwa Kibu, tangia aifunge Yanga,,,, juhudi yake kurudi nyuma na kukaba imepungua, atafosi kupiga ata sehemu ambayo hapaswi kupiga badala ya kutengeneza nafasi kwa wenzake.
 
Beki Chemalone

Yuko vizuri ila Kiufundi GENTAMYCINE nimemtizama na nimegundua amebarikiwa Akili nyingi na Nguvu, ila hana Kasi (pace) na inaweza Kutugharimu tukikutana na Timu zenye Mafowadi Viberenge.

Kipa Ali Salim

Alianza vyema na akawa anakuja vizuri ila Kiufundi kwa Mechi kadhaa na za hivi Karibuni GENTAMYCINE nimegundua amebadilika, amekuwa mpuuzi mno, ana Sifa na amezidisha kujiamini wakati bado hajafikia kiwango hicho kwakuwa anaendelea Kujifunza.

Muzamiru Yasini

Ni Kiungo Mzawa Bora kwa sasa Tanzania na ana Kipaji kikubwa ila Kiufundi huwa anafanya Makosa yasiyo na ulazima huku akipenda sana Usela ambao kuna muda Unamgharimu Kadi. Kama huwa anavuta Pisi 3 kwa Siku basi GENTAMYCINE nashauri awe anavuta Pisi 1 tu ili asidate sana na atufanyie kazi ambayo tunampendea.

Kibu Denis

Nasikitika ni kwanini mpaka sasa siwasikii Watanzania wakimuimba huyu Shujaa mpya wa Tanzania.

Ni Kocha yoyote Mpumbavu tu ndiyo hatoweza Kumpanga na Kumtumia Uwanjani.

Na laiti 95% ya Wachezaji wa Simba SC wangekuwa Wanacheza kwa Pace na Energy yake Kubwa waliyonayo kila Mechi tunashinda na hata Msimu uliopita Simba SC ingekuwa Bingwa wa NBC Premier League.

Hata hivyo Kiufundi baada ya Kumtizama GENTAMYCINE nimegundua ana tatizo Sugu la kutokuwa na Umakini na hata Tenki lake la Pumzi huwa si la Kumaliza dakika 90 za Mchezo.

Leandre Willy Essomba Onana

Nimemuona Mechi kadhaa ila Kiufundi GENTAMYCINE niseme tu kuwa Simba SC tulikurupuka Kumsajili kwani hana yale Makali ya Kuipambania Simba SC.

Anatumia muda mwingi kutafuta Ufalme wa haraka ndani ya Kikosi wakati hana Uwezo huo.

Anapenda Kucheza na Jukwaa Kipuuzi Kipuuzi, Kujiremba mno na Mchoyo wa kuwapa Pasi Wenzake wakiwa katika Nafasi za Kufunga.

Shomary Kapombe

Ni Mtu na Nusu na hajawahi Kuniangusha GENTAMYCINE ila ajitahidi tu kuwa na Maamuzi ya haraka na apunguze Kigugumizi chake cha Miguu ambacho kuna nyakati huwa Kinamgharimu.

Saido Ntibanzokinza

Ana Kipaji Kikubwa na Kilichotuka kabisa ila Kiufundi GENTAMYCINE nimegundua kuwa anapenda mno Kulazimisha kila Tukio alifanye Yeye wakati Kiuhalisia na kwa Umri wake kuna nyakati zingine anashindwa na hata Kuwagharimu Wenzake.

Haya na nyie Wengine (hasa wana Simba SC) hebu kwa nia njema tu toeni Ushauri wenu wa Kiufundi kwa Wachezaji wetu/wenu ili wabadilike upesi na wawe na Msaada Kwetu kwa Mechi zijazo/Michuano ijayo kuanzia na huu wa tarehe 20 Oktoba, 2023 dhidi ya Al Ahly SC katika Ligi Mpya ya African Football League (AFL).

Otherwise nina Imani na Simba SC.
Kabla sijachangia chochote, chukua Kwanza maua yako kuhusu Onana. Ukiondoa goli la Simba day anabaki na urembo tu.
 
Shida ya Simba ni kukosa kiungo namba 6 halisi. Na pia shida inaweza kuwa kwa Robertinho kwa kushindwa kukitumia kikosi ipasavyo mfano kama hakuna namba sita halisi kwenye kikosi, kocha anaweza kumtumia fullback kama inverted fullback mfano Zimbwe aungane na Mzamiru kama viungo wawili wa chini timu ikiwa inashambaulia na juu yake kuwe na namba 8 wawili mfano Ngoma na Saido.

Hii itasaidia timu ikiwa shambuliwa kwa counter attacks kwasbb kuna kuwa kuna uwiano wa idadi ya namba kutoka ushambuliaji hadi safu ya ulinzi.

Shida nyingine Mzamiru sio namba 8 bora kama alivyo Ngoma. Ngoma ana uwezo mzuri wa kuona mashimo/njia za mpira, kupiga pasi ndefu/fupi, kuusoma mchezo kuliko Mzamiru ambaye sifa yake kubwa ni kukaba tu ni vichache sana Mzamiru atakupa akiwa na mpira mguuni, swali kwann huwa anasogoea kama namba 8 na Ngoma kubaki namba 6? Hapa ndio sbb ya Simba kuruhusu magoli mengi kwa vile Ngoma sio mzuri kwenye kukaba na pia kipindi timu inashambuliwa Mzamiru huwa hayupo eneo la tukio.

La mwisho ni issue ya kisaikolojia kwa Kibu, tangia aifunge Yanga,,,, juhudi yake kurudi nyuma na kukaba imepungua, atafosi kupiga ata sehemu ambayo hapaswi kupiga badala ya kutengeneza nafasi kwa wenzake.
Chukua like yako..ukiangalia hata Yanga walikua wanataka kumsajili Ngoma ili akacheze namba 8 na sio 6.
 
Boko kwa aliyo yafanya inatosha, aondoke kabla tuu kabla hajapoteza kale kasifa aliko jijengea kwa muda wote alio cheza msimbazi, sasa hivi muda mwingi anaikaba timu ni kama vile Simba hua inacheza pungufu akiwemo uwanjani, asome alama za nyakati
 
Back
Top Bottom