Kiuhalisia hayati Magufuli alishinda uchaguzi 2020, vijana jitokezeni kujiandikisha na kupiga kura

Kiuhalisia hayati Magufuli alishinda uchaguzi 2020, vijana jitokezeni kujiandikisha na kupiga kura

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118
Habari JF,

Linapokuja suala la kuchagua viongozi vijana wengi tunakuwa bize na kazi, hatujiandikishi, hatupigi kura ,sababu kubwa ni kwamba ya ubize ,umbali wa vituo walivyojiandikisha na kura yake haiwezi badili chochote CCM itashinda.

2020 ukiachana na upande wa ubunge ambako hayati Magufuli alichukizwa na kitendo cha wabunge wa Upinzani kutoka bungeni na kuapa hawatorudi bungeni, JPM alishinda uchaguzi sababu alikuwa anakubali na wapinzani wengi hawakupiga kura.

Wapinzani social medias tuko active sana lakini hatujiandikishi na hatupigi kura.​
 
Kiufupi CCM toka Mfumo wa vyama vingi aliyewai kushinda kwa haki ni Kikwete tu Uchaguzi wa muhula wake wa kwanza Chaguzi zote zilizo fata CCM haijawai kushinda kiti cha urais achilia mbali viti vingi vya wabunge wa upinzani ambao uwa wanashinda kwa haki ila kutangazwa sasa.
 
Habari jf , linapokuja suala la kuchagua viongozi vijana wengi tunakuwa bize na kazi , hatujiandikishi , hatupigi kura ,sababu kubwa ni kwamba ya ubize ,umbali wa vituo walivyojiandikisha na kura yake haiwezi badili chochote CCM itashinda .

2020 ukiachana na upande wa ubunge ambako hayati Magufuli alichukizwa na kitendo cha wabunge wa Upinzani kutoka bungeni na kuapa hawatorudi bungeni ,JPM alishinda uchaguzi sababu alikuwa anakubali na wapinzani wengi hawakupiga kura .

Wapinzani social medias tuko active sana lakini hatujiandikishi na hatupigi kura .

Tanzania hakuna uchaguzi bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Kama magufuli aliamua hiyo 2020 kuwa wapinzani hawatarudi bungeni, sasa hivi mnataka watu wakapige kura ili iweje wakati rais anaweza kuamua nani atangazwe mshindi?

Na kama Magufuli aliweza kuamua nani arudi bungeni, una uhakika gani kuwa alipata ushindi wa kura alizotangazwa nazo? Mtu mjinga tu au anayefaidika na hizi chaguzi za kishenzi ndio anaweza kuendelea kujitokeza kushiriki huo upuuzi uitwao uchaguzi. Ni aidha machafuko, ama mapinduzi ya kijeshi ili kurejesha heshima ya box la kura.
 
Kiufupi CCM toka Mfumo wa vyama vingi aliyewai kushinda kwa haki ni Kikwete tu Uchaguzi wa muhula wake wa kwanza Chaguzi zote zilizo fata CCM haijawai kushinda kiti cha urais achilia mbali viti vingi vya wabunge wa upinzani ambao uwa wanashinda kwa haki ila kutangazwa sasa.
Absolutely right.
 
Habari jf , linapokuja suala la kuchagua viongozi vijana wengi tunakuwa bize na kazi , hatujiandikishi , hatupigi kura ,sababu kubwa ni kwamba ya ubize ,umbali wa vituo walivyojiandikisha na kura yake haiwezi badili chochote CCM itashinda .

2020 ukiachana na upande wa ubunge ambako hayati Magufuli alichukizwa na kitendo cha wabunge wa Upinzani kutoka bungeni na kuapa hawatorudi bungeni ,JPM alishinda uchaguzi sababu alikuwa anakubali na wapinzani wengi hawakupiga kura .

Wapinzani social medias tuko active sana lakini hatujiandikishi na hatupigi kura .


Ni kweli kabisa alishinda 100% kwa michakato ya porini kama wateule wake wanavyotukumbusha hapa...

Mnajieleza sana kwa nyuzi mfululizo, mnakosa confidence ta kutangaza 99% zenu za ushindi? Tangazeni tu wabongo walishazoea, wapo busy kubet na kushangilia yanga na simba, wataelewa tu na maisha yataendelea.
 

Attachments

  • 5770917-12f2f23d25bbe7fc3516e11af8120993.mp4
    15.1 MB
  • 5811319-c90487a0a3c9f670172c401e803cbac6.mp4
    3.5 MB
CCM wenyewe wameshasema wazi ushindi wao hautegemei kura sasa kwanini mtu ujitese kukaa kwenye foleni juani eti kusubiri kupiga kura!
 
Habari JF,

Linapokuja suala la kuchagua viongozi vijana wengi tunakuwa bize na kazi, hatujiandikishi, hatupigi kura ,sababu kubwa ni kwamba ya ubize ,umbali wa vituo walivyojiandikisha na kura yake haiwezi badili chochote CCM itashinda.

2020 ukiachana na upande wa ubunge ambako hayati Magufuli alichukizwa na kitendo cha wabunge wa Upinzani kutoka bungeni na kuapa hawatorudi bungeni ,JPM alishinda uchaguzi sababu alikuwa anakubali na wapinzani wengi hawakupiga kura.

Wapinzani social medias tuko active sana lakini hatujiandikishi na hatupigi kura.​
Alishinda kwa kura ngapi!? Data ziko wapi?
 
Habari JF,

Linapokuja suala la kuchagua viongozi vijana wengi tunakuwa bize na kazi, hatujiandikishi, hatupigi kura ,sababu kubwa ni kwamba ya ubize ,umbali wa vituo walivyojiandikisha na kura yake haiwezi badili chochote CCM itashinda.

2020 ukiachana na upande wa ubunge ambako hayati Magufuli alichukizwa na kitendo cha wabunge wa Upinzani kutoka bungeni na kuapa hawatorudi bungeni, JPM alishinda uchaguzi sababu alikuwa anakubali na wapinzani wengi hawakupiga kura.

Wapinzani social medias tuko active sana lakini hatujiandikishi na hatupigi kura.​
Tanzania imekaliwa na maiti hakuna siku wataamka kudai haki zao hata zikinyakuliwa na mtu mnyonge
 
Kiufupi CCM toka Mfumo wa vyama vingi aliyewai kushinda kwa haki ni Kikwete tu Uchaguzi wa muhula wake wa kwanza Chaguzi zote zilizo fata CCM haijawai kushinda kiti cha urais achilia mbali viti vingi vya wabunge wa upinzani ambao uwa wanashinda kwa haki ila kutangazwa sasa.
Uko sahihi baada ya kazi nzuri aliyokuwa ameifanya Rais Mkapa ccm ilipita kwa kishindo 2004 na 2005.
 
Back
Top Bottom