Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabla ya kupima utendaji wake ni vizuri kujua yeye yuko upande wa Nani?
Mkuu hadi leo sielewi why Malory yanasafiri mchanaMalori ni chanzo kikubwa.
Ukweli usioongelewa.
Upande upi kivipi?Kabla ya kupima utendaji wake ni vizuri kujua yeye yuko upande wa Nani?
Naunga mkono hoja mkuuMalori ni chanzo kikubwa.
Ukweli usioongelewa.
Mkuu hadi leo sielewi why Malory yanasafiri mchana
Na Simbachawene ni Waziri very senior, very wise and a good listener
I hope washauri watampa hili
Mkuu uko vizuri. Fasihi picha yatosha. Kula kumi.
kwiyo simbachawene ni malaika?Watanzania bwana hata angeshuka malaika awaongoze mtalaaumu tu.kila kiongozi hawezi kazi daaaaa
Too low
Too low
Hujui intelligence inafanyaje kqzi
What if Moses was the decoy na kwshamqliza kazi na anaendelea na yake?
Don’t treat a special force kama chiku abwao mkuuToo low
Utekaji, upotezaji watu, uuwaji na dhuluma zote hazina mbadala wa jina bali ni udhwalimu na ushetwani.
What if Moses was another innocent soul like anyone na kwamba labda sasa hivi ni marehemu au yuko kwenye basement za majumba mjini hapa hapa?
Ccm bila ya magufuli ni mavii ya kuku ,,,ajali zimerudi kama zamani ,bado kuvuliwa nguo abiria na kuimbishwa ule wimboNashangaa sana , waziri simbachawene anafanya kazi zipi? au hata majukumu yake baadhi hayajui,
nitazungumzia swala la ajari za barabarani kwa sasa naona ndio janga lililopo,
Nadhani ndani ya mwezi wa tisa ni ajari zaidi ya ishirini zimetokea na kuondoa watu, mwezi huu tena wa kumi wembe ni ule ule tangu tarehe moja ni ajari,
una vitu vingine lazima tu tuwe na akili ya kujihoji kwanini kipindi cha awamu ya tano ajari zilipungua kwa kiasi kikubwa?
kwanini sasaivi kuna mlolongo wa ajari kila week watu wanakufa na ajari nyingi zinahusisha mabasi tatizo nini?
sasahivi hadi kuna ligi za mabasi watu wanabeti na inajulikana kabisa iko wazi, lakini mhusika hata kutoa tu tamko kashindwa?
waziri yupo tu anazurula zurula inamaana ameridhika na ajari hizi?
imekua Tanzania ya ajari sasahivi
kiukweli Waziri simbachawene sasaivi tuambiane ukweli tu hiyo nafasi hauiwezi imekushindwa swala la ajari barabarani limekushindwa huna mbinu, umezidiwa hadi na kangi lugola,
utoke tu hapo utupishe,
inaumiza sana na inatia hasira
Wee mpumbavu nn umeelewa nilichoandika soma uelewe ndio ujibukwiyo simbachawene ni malaika?
Wee mpumbavu nn umeelewa nilichoandika soma uelewe ndio ujibu