Kiukweli kuna baadhi ya watu mavazi fulani au sare fulani zinawapendeza na wanatokelezea. Shuhudia wanavyopendeza!

Kiukweli kuna baadhi ya watu mavazi fulani au sare fulani zinawapendeza na wanatokelezea. Shuhudia wanavyopendeza!

Wanabodi,

Angalizo la uchangiaji: Kuna watu humu wana vijiba vya roho, akitokea mtu akapendeza wao wanakereka au akisifiwa wao wanakereka na kukasirika. Kama wewe ni mmoja wa kundi hili, nakuomba ushia hapa ili huko mbele usikereke.

Kufuatia mimi mwana jf mwenzenu umri wangu umesonga songa, nimefikia level ya kustaafu, hivyo nakuwa sina tena zile mada moto moto au maswali magumu magumu kama enzi zile kijana nikiendesha kipindi cha Kiti Moto.

Kufuatia neno "ukubwa dawa", mimi sasa ni mtu mzima hivyo napandisha mabandiko ya dawa kama bandiko hili.

Declaration of Understanding. Naomba kukiri, naaandikia kwa members wenye uwezo tofauti tofauti wa uelewa, hivyo ukikutana na bandiko langu ukajiona kama huelewi elewi, nakushauri jipitie zako tuu uendelee na safari yako, maana mabandiko mengine, nawaandikia watoto wa chekechea, wewe wa Ph.D utaishia chaka.

Leo naomba kutoa somo kuhusu mavazi fulani fulani, jee wajua mavazi yanazungumza?. Jee wajua dress code ni kiashiria cha the state of mind ya mvaaji na action anayoweza kufanya?.


Mfano mtu akikukaribisha kwake ukaenda the way utakavyomkuta amevaa utajua amekuitia nini na ni nini kitafuatia.

Wenzetu wazungu wana dress code kabisa ya matukio mbalimbali, kwa matukio serious wana vaa formal dress, yaani kuiambia, na kwa matukio ya kawaida, wanavaa kawaida, yaani casual but smart, sisi wabongo hatuna any specific dress code kwa matukio serious na yale ya kawaida.

Pia aina ya mavazi ni kwa maeneo au matukio fulani, mfano ukienda beach, unavaa beach wear, ukienda church unavaa vazi la heshima na ukitoka out kama ni first date out, usually wadada they dress to kill!.

Leo nimemuona Mama kavaa Combat, kwa jinsi hiyo combat ilivyo mkaa, imemtoa kweli kweli na kumpendezea, hivyo Mama ametokelezea.

Kwa sisi wenye jicho la tatu, hiyo combat ya mama inaongea, only wenye jicho la tatu ndio wanaona, na wenye sikio la tatu ndio wanaweza kusikia hiyo dress code inaongea nini.
View attachment 2011474
Kwa vile macho hayafanani, na kwa vile hakuna taarifa zozote za mama kuwa mjeshi kabla, hivyo wale wenye macho ya kawaida tuu, wakiona hii picha ya amevaa combat, wao wanaona ni mtu tuu wa kawaida yule yule Mama Samia waliyemzoe ila tuu leo amebadilika kwa kuvaa sare za jeshi, lakini sisi wenye jicho la tatu, hatuoni sare tuu tunamuona mtu ambaye ni mjeshi kweli kabisa, ndani ya sare yake, ila kabla ya kuvaa sare za jeshi, hatukumjua, kuwa ni mjeshi mpaka alipovaa sare ya jeshi, kwa jinsi zilivyo mkaa, ndipo macho yetu yamefunguka, kuona na kubaini kumbe ni mjeshi kabisa!.

Zingatia tofauti kati ya mtu asiye mjeshi by nature na kuvaa sare za jeshi na mtu mjeshi by nature na kuvaa sare za jeshi. Asiye mjeshi by nature,
View attachment 2011725
kama huyu, akivaa sare za jeshi anakuwa amevaa tuu sare,
Lakini mtu mjeshi by nature, hata kama sio mwanajeshi, akivaa sare za jeshi, anakuwa ni mwake mwake!, huyu ni jeshi kama huyu
View attachment 2011739

Hata huyu Mzee wetu
3001226_nYERERE_COMBAT.jpeg

Mwalimu Nyerere, alikuwa mjeshi.
View attachment 2011753
Naomba kutoa onyo kwa wale wenzangu na mimi waliozoea, rais ikitokea upande ule, wa ma ustaadhi, basi wanajiachia na kupanga kufanya au kuleta ile michezo michezo yao!. Kama hata baada ya kusoma hapa na kumjua ni mjeshi na kama wanaweza kumletea mchezomchezo mjeshi...endeleeni ila msilalamike kuwa hamkujua, au hamkuambiwa, mlidhani ni sare tuu za jeshi! hii ni taarifa kwenu kuwa sio sare tuu!, msithubutu, na mkithubutu, shauri yenu!. Mimi mwenzenu Paskali Mayalla, japo wengi humu mnanifahamu kama mwandishi tuu wa habari wa kujitegemea, wengi humu wasicho kijua kuhusu mimi, kabla ya uandishi wa habari nilikuwa mjeda from JKT straight to JWTZ!. Chezea vitu vingine vyote ila geshi, usichezee kabisa!. Chezea watu wengine wote, ila Wajeda usichezee kabisa. Kazi ya jeshi ni moja tuu... "zikimkosa mbili...utaandika maelezo"!.

Kwa wale wenzangu na mimi wasio na uwezo wa kuisikia sauti ya mavazi fulani, this is a very loud and clear signál she is a very serious person, she is no nonsense lady, sio mtu wa kuletea mchezo mchezo, hivyo huu ni ujumbe mzito loud and clear kwa wote wanaopanga kuleta au kufanya mambo yao ya ile michezo michezo yao ya ajabu ajabu, before they do, they better think twice, and if possible waache kabisa!. kama hapo mwanzo iliyokuwa "hapa kazi tuu" naona sasa kuna relaxation mood na laxity ya watu ku relax na kuanza kuleta tena ile michezo michezo..., hii dress code ya leo inaniambia ile slogan ya "hapa kazi tuu", inaendelea kwa "kazi iendelee".

Paskali

View attachment 2011746
Kwahiyo umeleta mtego wa panya, unataka tupunguzwe mitaani!
Niandikie komenti yangu.
 
Mkuu Babati , kiukweli kuna michango mingine inakugusa hadi inakuumiza kwasababu ina ukweli mkubwa ambao unauma hivyo unaumia ila ndio ukweli wenyewe.

Human beings are not static, they are dynamic and hence, they changes with time, as days go by, the young and energetic people changes into old age and always try to fit and live in a certain lifestyle, while life also changes, with time, and place, hivyo if you can't change and adapt to the changing environment, then you just perish.

Naomba ni reserves mwingine ila kiukweli nimeguswa na jinsi nilivyo kuwa highly regarded humu jf na jinsi sasa ninavyo dharauliwa humu, hivyo na mimi nimebaini jf ina vilaza wengi kuliko tunavyotegemea, wao wanaona hili ni bandiko la mavazi tuu, hadi kuliita "utumbo".

Najitafakari
P
Hahahaha tafakari mkuu kwanini siku hizi JF unadharaulika tofauti na mwanzo watu walikuwa wanapenda mabandiko yako? sawa pamoja na ukilaza wetu hapa, kwani mkuu umeanza kulalamikiwa leo? mabandiko yako siku hizi hayana mashiko, mbona mwanzo awe CCM, CDM tusio na vyama tulikuwa tunapenda mabandiko yako? sababu ni moja tu ulikuwa una andika fact ambazo kila mtu alikuwa anajua unajenga hoja zenye kuelimisha sn, sawa binadamu ni dynamic nakubali mfano wachukue Ndugai na J Ulimwengu nani jamii ina mheshimu? Ndugai na Pro Assad nani ana heshimika au Bashiru na Lissu nani jamii ina mheshimu? Leo G Malisa ana heshimika kuliko PM. tatizo lilipo ni tamaa tu ndiyo inatutesa tunaacha ukweli njaa zinakuwa mbele. Asante mkuu
 
Kwani tunaongelea hoja ya umuhimu wa miradi kwa taifa? Nilidhani hoja yako ni kuwa miradi ya awamu ya tano yote ni ya JK.

Ila upo sawa Chato airpot kwa sasa sioni umuhimu wake. Naona ni hasara.
Hiyo miradi ya kulitia hasara taifa kwanza hata kuongelewa haitakiwi.

Hiyo miradi haikuwa kipau mbele cha watanzania au taifa bali ni maamuzi binafsi ya kiongozi.
 
Tanzania kuna watu hawaelewi uzito wa dhana nzima ya "Civilian control of the military" and "Justice must not only be done, it must seem to be done".

Likewise, civilians must not only control the military, they must seem to control the military.

Maana yake, viongozi wa kiraia waliochaguliwa kwa kura hawatakiwi kuonekana katika muonekano wa kijeshi.
 
Tanzania kuna watu hawaelewi uzito wa dhana nzima ya "Civilian control of the military" and "Justice must not only be done, it must seem to be done".

Likewise, civilians must not only control the military, they must seem to control the military.

Maana yake, viongozi wa kiraia waliochaguliwa kwa kura hawatakiwi kuonekana katika muonekano wa kijeshi.
Hilo lingetumika kama haki ya mpiga kura ingeheshimiwa kwenye uchaguzi.
 
Inachukua muda mrefu kujijengea heshima, mfupi mno kuipoteza mazima.

Wanabodi,

Angalizo la uchangiaji: Kuna watu humu wana vijiba vya roho, akitokea mtu akapendeza wao wanakereka au akisifiwa wao wanakereka na kukasirika. Kama wewe ni mmoja wa kundi hili, nakuomba ushia hapa ili huko mbele usikereke.

Kufuatia mimi mwana jf mwenzenu umri wangu umesonga songa, nimefikia level ya kustaafu, hivyo nakuwa sina tena zile mada moto moto au maswali magumu magumu kama enzi zile kijana nikiendesha kipindi cha Kiti Moto.

Kufuatia neno "ukubwa dawa", mimi sasa ni mtu mzima hivyo napandisha mabandiko ya dawa kama bandiko hili.

Declaration of Understanding. Naomba kukiri, naaandikia kwa members wenye uwezo tofauti tofauti wa uelewa, hivyo ukikutana na bandiko langu ukajiona kama huelewi elewi, nakushauri jipitie zako tuu uendelee na safari yako, maana mabandiko mengine, nawaandikia watoto wa chekechea, wewe wa Ph.D utaishia chaka.

Leo naomba kutoa somo kuhusu mavazi fulani fulani, jee wajua mavazi yanazungumza?. Jee wajua dress code ni kiashiria cha the state of mind ya mvaaji na action anayoweza kufanya?.


Mfano mtu akikukaribisha kwake ukaenda the way utakavyomkuta amevaa utajua amekuitia nini na ni nini kitafuatia.

Wenzetu wazungu wana dress code kabisa ya matukio mbalimbali, kwa matukio serious wana vaa formal dress, yaani kuiambia, na kwa matukio ya kawaida, wanavaa kawaida, yaani casual but smart, sisi wabongo hatuna any specific dress code kwa matukio serious na yale ya kawaida.

Pia aina ya mavazi ni kwa maeneo au matukio fulani, mfano ukienda beach, unavaa beach wear, ukienda church unavaa vazi la heshima na ukitoka out kama ni first date out, usually wadada they dress to kill!.

Leo nimemuona Mama kavaa Combat, kwa jinsi hiyo combat ilivyo mkaa, imemtoa kweli kweli na kumpendezea, hivyo Mama ametokelezea.

Kwa sisi wenye jicho la tatu, hiyo combat ya mama inaongea, only wenye jicho la tatu ndio wanaona, na wenye sikio la tatu ndio wanaweza kusikia hiyo dress code inaongea nini.
View attachment 2011474
Kwa vile macho hayafanani, na kwa vile hakuna taarifa zozote za mama kuwa mjeshi kabla, hivyo wale wenye macho ya kawaida tuu, wakiona hii picha ya amevaa combat, wao wanaona ni mtu tuu wa kawaida yule yule Mama Samia waliyemzoe ila tuu leo amebadilika kwa kuvaa sare za jeshi, lakini sisi wenye jicho la tatu, hatuoni sare tuu tunamuona mtu ambaye ni mjeshi kweli kabisa, ndani ya sare yake, ila kabla ya kuvaa sare za jeshi, hatukumjua, kuwa ni mjeshi mpaka alipovaa sare ya jeshi, kwa jinsi zilivyo mkaa, ndipo macho yetu yamefunguka, kuona na kubaini kumbe ni mjeshi kabisa!.

Zingatia tofauti kati ya mtu asiye mjeshi by nature na kuvaa sare za jeshi na mtu mjeshi by nature na kuvaa sare za jeshi. Asiye mjeshi by nature,
View attachment 2011725
kama huyu, akivaa sare za jeshi anakuwa amevaa tuu sare,
Lakini mtu mjeshi by nature, hata kama sio mwanajeshi, akivaa sare za jeshi, anakuwa ni mwake mwake!, huyu ni jeshi kama huyu
View attachment 2011739

Hata huyu Mzee wetu
3001226_nYERERE_COMBAT.jpeg

Mwalimu Nyerere, alikuwa mjeshi.
View attachment 2011753
Naomba kutoa onyo kwa wale wenzangu na mimi waliozoea, rais ikitokea upande ule, wa ma ustaadhi, basi wanajiachia na kupanga kufanya au kuleta ile michezo michezo yao!. Kama hata baada ya kusoma hapa na kumjua ni mjeshi na kama wanaweza kumletea mchezomchezo mjeshi...endeleeni ila msilalamike kuwa hamkujua, au hamkuambiwa, mlidhani ni sare tuu za jeshi! hii ni taarifa kwenu kuwa sio sare tuu!, msithubutu, na mkithubutu, shauri yenu!. Mimi mwenzenu Paskali Mayalla, japo wengi humu mnanifahamu kama mwandishi tuu wa habari wa kujitegemea, wengi humu wasicho kijua kuhusu mimi, kabla ya uandishi wa habari nilikuwa mjeda from JKT straight to JWTZ!. Chezea vitu vingine vyote ila geshi, usichezee kabisa!. Chezea watu wengine wote, ila Wajeda usichezee kabisa. Kazi ya jeshi ni moja tuu... "zikimkosa mbili...utaandika maelezo"!.

Kwa wale wenzangu na mimi wasio na uwezo wa kuisikia sauti ya mavazi fulani, this is a very loud and clear signál she is a very serious person, she is no nonsense lady, sio mtu wa kuletea mchezo mchezo, hivyo huu ni ujumbe mzito loud and clear kwa wote wanaopanga kuleta au kufanya mambo yao ya ile michezo michezo yao ya ajabu ajabu, before they do, they better think twice, and if possible waache kabisa!. kama hapo mwanzo iliyokuwa "hapa kazi tuu" naona sasa kuna relaxation mood na laxity ya watu ku relax na kuanza kuleta tena ile michezo michezo..., hii dress code ya leo inaniambia ile slogan ya "hapa kazi tuu", inaendelea kwa "kazi iendelee".

Paskali

View attachment 2011746
 
Wanabodi,

Angalizo la uchangiaji: Kuna watu humu wana vijiba vya roho, akitokea mtu akapendeza wao wanakereka au akisifiwa wao wanakereka na kukasirika. Kama wewe ni mmoja wa kundi hili, nakuomba ushia hapa ili huko mbele usikereke.

Kufuatia mimi mwana jf mwenzenu umri wangu umesonga songa, nimefikia level ya kustaafu, hivyo nakuwa sina tena zile mada moto moto au maswali magumu magumu kama enzi zile kijana nikiendesha kipindi cha Kiti Moto.

Kufuatia neno "ukubwa dawa", mimi sasa ni mtu mzima hivyo napandisha mabandiko ya dawa kama bandiko hili.

Declaration of Understanding. Naomba kukiri, naaandikia kwa members wenye uwezo tofauti tofauti wa uelewa, hivyo ukikutana na bandiko langu ukajiona kama huelewi elewi, nakushauri jipitie zako tuu uendelee na safari yako, maana mabandiko mengine, nawaandikia watoto wa chekechea, wewe wa Ph.D utaishia chaka.

Leo naomba kutoa somo kuhusu mavazi fulani fulani, jee wajua mavazi yanazungumza?. Jee wajua dress code ni kiashiria cha the state of mind ya mvaaji na action anayoweza kufanya?.


Mfano mtu akikukaribisha kwake ukaenda the way utakavyomkuta amevaa utajua amekuitia nini na ni nini kitafuatia.

Wenzetu wazungu wana dress code kabisa ya matukio mbalimbali, kwa matukio serious wana vaa formal dress, yaani kuiambia, na kwa matukio ya kawaida, wanavaa kawaida, yaani casual but smart, sisi wabongo hatuna any specific dress code kwa matukio serious na yale ya kawaida.

Pia aina ya mavazi ni kwa maeneo au matukio fulani, mfano ukienda beach, unavaa beach wear, ukienda church unavaa vazi la heshima na ukitoka out kama ni first date out, usually wadada they dress to kill!.

Leo nimemuona Mama kavaa Combat, kwa jinsi hiyo combat ilivyo mkaa, imemtoa kweli kweli na kumpendezea, hivyo Mama ametokelezea.

Kwa sisi wenye jicho la tatu, hiyo combat ya mama inaongea, only wenye jicho la tatu ndio wanaona, na wenye sikio la tatu ndio wanaweza kusikia hiyo dress code inaongea nini.
View attachment 2011474
Kwa vile macho hayafanani, na kwa vile hakuna taarifa zozote za mama kuwa mjeshi kabla, hivyo wale wenye macho ya kawaida tuu, wakiona hii picha ya amevaa combat, wao wanaona ni mtu tuu wa kawaida yule yule Mama Samia waliyemzoe ila tuu leo amebadilika kwa kuvaa sare za jeshi, lakini sisi wenye jicho la tatu, hatuoni sare tuu tunamuona mtu ambaye ni mjeshi kweli kabisa, ndani ya sare yake, ila kabla ya kuvaa sare za jeshi, hatukumjua, kuwa ni mjeshi mpaka alipovaa sare ya jeshi, kwa jinsi zilivyo mkaa, ndipo macho yetu yamefunguka, kuona na kubaini kumbe ni mjeshi kabisa!.

Zingatia tofauti kati ya mtu asiye mjeshi by nature na kuvaa sare za jeshi na mtu mjeshi by nature na kuvaa sare za jeshi. Asiye mjeshi by nature,
View attachment 2011725
kama huyu, akivaa sare za jeshi anakuwa amevaa tuu sare,
Lakini mtu mjeshi by nature, hata kama sio mwanajeshi, akivaa sare za jeshi, anakuwa ni mwake mwake!, huyu ni jeshi kama huyu
View attachment 2011739

Hata huyu Mzee wetu
3001226_nYERERE_COMBAT.jpeg

Mwalimu Nyerere, alikuwa mjeshi.
View attachment 2011753
Naomba kutoa onyo kwa wale wenzangu na mimi waliozoea, rais ikitokea upande ule, wa ma ustaadhi, basi wanajiachia na kupanga kufanya au kuleta ile michezo michezo yao!. Kama hata baada ya kusoma hapa na kumjua ni mjeshi na kama wanaweza kumletea mchezomchezo mjeshi...endeleeni ila msilalamike kuwa hamkujua, au hamkuambiwa, mlidhani ni sare tuu za jeshi! hii ni taarifa kwenu kuwa sio sare tuu!, msithubutu, na mkithubutu, shauri yenu!. Mimi mwenzenu Paskali Mayalla, japo wengi humu mnanifahamu kama mwandishi tuu wa habari wa kujitegemea, wengi humu wasicho kijua kuhusu mimi, kabla ya uandishi wa habari nilikuwa mjeda from JKT straight to JWTZ!. Chezea vitu vingine vyote ila geshi, usichezee kabisa!. Chezea watu wengine wote, ila Wajeda usichezee kabisa. Kazi ya jeshi ni moja tuu... "zikimkosa mbili...utaandika maelezo"!.

Kwa wale wenzangu na mimi wasio na uwezo wa kuisikia sauti ya mavazi fulani, this is a very loud and clear signál she is a very serious person, she is no nonsense lady, sio mtu wa kuletea mchezo mchezo, hivyo huu ni ujumbe mzito loud and clear kwa wote wanaopanga kuleta au kufanya mambo yao ya ile michezo michezo yao ya ajabu ajabu, before they do, they better think twice, and if possible waache kabisa!. kama hapo mwanzo iliyokuwa "hapa kazi tuu" naona sasa kuna relaxation mood na laxity ya watu ku relax na kuanza kuleta tena ile michezo michezo..., hii dress code ya leo inaniambia ile slogan ya "hapa kazi tuu", inaendelea kwa "kazi iendelee".

Paskali

View attachment 2011746
Ujinga mtupu we ukiona mtu anashikwa makalio na wazungu ujue hakuna kitu hapo
 
Kuna kesi ya Mbowe nilitegemea ushushe nondo kama mwanasheria na mwandishi wa habari mwandamizi lakini siku hizi huna tofauti na Kibajaji au Ndugai
Kama mwanasheria na wakili hawezi kuingilia mahakama. Hata Lissu hajasema lolote kuhusu hiyo kesi kwababu hiyo hiyo.
 
Ajitafakari kwanini jamii now inamdharau Paschal?
Nadhani sababu moja wapo ni kuiacha mkono Chadema kwenye kuisapoti. Kitendo ambacho ni dhambi kubwa Sana.

Kama ulikuwa mtu utakuwa kuku, kama ulikuwa mwenye akili utakuwa zuzu.
 
Mkuu Babati , kwa vile jf ni user generated forum, kila mtu yuko free kuzungumzia chochote anachoona kinafaa, na japo ni kweli kesi ya Mbowe ndio habari kuu ya mujini kwa sasa, sio lazima kila mtu aizungumzie kesi ya Mbowe. Pili ni mwanasheria in a sense that nimesoma sheria, but I've never practiced hivyo sina uwezo huo wa ulioutegemea wa kushusha nondo kama mwanasheria, mimi ni mwandishi wa habari tuu wa kujitegemea na sio mwanasheria as mwanasheria.
P
Sasa nimeamini wewe ni mtoto wa "nyoka", mwanzoni nilidhani ni fix zako za kupenyeza habari maalumu kwa jamii bila kustua watu. Ha ha haaa! Sasa ngoja nikupeleke kwenye fani yako ingawa mimi si mwandishi wa habari.
====
MAHOJIANO YA NDUGU PASCAL MAYALLA NA TUJITEGEMEE WA KITUO CHA HABARI CHA JAMIIFORUMS.COM JUU YA TATHMINI YA MAENDELEO YA NCHI YETU YALIVYOCHANGIWA NA VYOMBO VYA HABARI TOKA TUPATE UHURU MIAKA 60 ILIYOPITA

TUJITEGEMEE: Habari za leo watumiaji wa kituo hiki bora cha habari. Ninawaribisha, na kwa kweli karibu sana watumiaji wetu wa kituo hiki bora cha habari barani Africa na duniani kwa ujumla mahali lugha ya kiswahili inatumika. Wapendwa watumiaji wa kituo hiki ninafurahi kuwakumbusha kuwa nchi yetu itakuwa inasherekea kumbukumbu ya kujipatia uhuru miaka 60 iliyopita ambao tuliupata tarehe 09/12/1961. Miaka sitini ni mingi na katika wingi huo kuna mambo mengi ya kimaendeleo yamefanyika katika kulistawisha taifa hili. Maendeleo haya yamepatikana kutokana na juhudi mbali mbali kutoka kwa wadau mbali mbali wakiwemo wahandishi wa habari. Wandishi wa habari na watangazaji wa habari wametoa mchango mkubwa tena kwa jasho na damu. Kwa hiyo juhudi zao hizi hatuwezi kuzipuuza tunapofanya tathmini ya maendeleo yetu kama nchi toka tupate uhuru miaka sitini iliyopita.

Kwa msingi huo ndani ya kituo chetu hiki bora cha habari duniani cha JF tumemkaribisha Ndugu yetu, mwananchi mwenzetu, mwanasheria kwa kusomea na kubwa kuliko nguli wetu wa habari kwa kuandika na wakati fulani kuzitangaza na kuzichambua habari hizo hapa nchini na nje ya nchi. Huyu pia anaaminika kuwa nguli wa habari za kiuchunguzi akiamua kufanya hivyo. Kwenye habari, nguli huyu sifa zake ni nyingi nikizieleza hapa zote nitawachosha kwa wingi wa sifa kemkem za mwana habari huyu. Wapendwa watumiaji wa kituo hiki, nguli huyu si mwingine bali ni ndugu Pascal Mayalla, ambaye amefanya kazi katika vituo mbalimbali vya habari hapa nchini vikiwemo vya serikali na vya binafsi. Pia ndugu Mayalla ni mjasiriamali kwenye tasnia ya habari. Lengo hasa la kuwa na Ndugu Mayalla hapa ni kufanya mahojiano naye juu tathmini ya mchango wa vyombo vya habari katika kuliletea taifa letu maendeleo.

Mkuu, nguli wa habari Ndugu Pascal Mayalla, habari za leo na karibu sana kwenye kituo chetu na karibu uwasalimie watumiaji wa kituo hiki kisha tuendelee na lengo hasa la kukualika hapa.

MAYALLA: Asante sana ndugu TUJITEGEMEE. Habari za leo nzuri. Watumiaji wa kituo hiki muhimu cha habari nawasalimu sana. Nimefurahi sana kukaribishwa hapa kwa ajili ya mahojiano muhimu sana juu ya mchango wa tasnia ya habari katika kufanikisha maendeleo tuliyonayo leo kama nchi toka tupate uhuru mwaka 1961. Kwa mara nyingine asante sana.

TUJITEGEMEE: Tuanze mahojiano yetu juu ya habari za upatikanaji wa uhuru wa nchi yetu. Ndugu Mayalla, ni lini hasa ulianza kusikia habari za uhuru wa nchi yetu na nini hasa kilikusukuma kuzifuatilia kwa karibu sana?

MAYALLA: ......
 
Rais Samia sio mtu wa mchezo mchezo kama wengine walivyo mdhania kuwa utawala wake huenda unge kuwa lege lege.

Kulikuwa na mchanganyiko wa mawazo tofauti;

wapo walio kuwa na hofu wakidhani kuwa nchi inaweza kuyumba.....n.k
wapo baadhi ya wana siasa waliona sasa ikulu ile paleeeeeeeee......

Kumbe Amiri Jeshi Mkuu Rais Samia alikuwa anapiga rada tu......ni Imara zaidi ya chuma cha pua.
kama ni medali....basi anastahili kuvishwa medali ya kiviti.
Nampa saluti.
 
Back
Top Bottom