Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jisemee nafsi yako usinisemee......Inatusaidia nini?
Waliomsema hayati JPM ni watu wenye uelewa duni tu juu ya nafasi ya AMIRI JESHI WA MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA.....Magufuli alivaa hivi wakamtukana sana!
Sijui nae huyu atatukanwa kama vile?
Kazi ya gwanda la jeshi sio kumpendeza mtu, ni vazi la kazi.Wanabodi,
Kufuatia mimi mwana jf mwenzenu umri wangu umesonga songa, nimefikia level ya kustaafu, hivyo nakuwa sina tena zile mada moto moto au maswali magumu magumu kama enzi zile kijana nikiendesha kipindi cha Kiti Moto.
Kufuatia neno "ukubwa dawa", mimi sasa ni mtu mzima hivyo napandisha mabandiko ya dawa kama bandiko hili.
Leo naomba kutoa somo kuhusu mavazi fulani fulani, jee wajua mavazi yanazungumza?. Jee wajua dress code ni kiashiria cha the state of mind ya mvaaji na action anayoweza kufanya?.
Mfano mtu akikukaribisha kwake ukaenda the way utakavyomkuta amevaa utajua amekuitia nini na ni nini kitafuatia.
Wenzetu wazungu wana dress code kabisa ya matukio mbalimbali, kwa matukio serious wana vaa formal dress, yaani kuiambia, na kwa matukio ya kawaida, wanavaa kawaida, yaani casual but smart, sisi wabongo hatuna any specific dress code kwa matukio serious na yale ya kawaida.
Pia aina ya mavazi ni kwa maeneo au matukio fulani, mfano ukienda beach, unavaa beach ware, ukienda church unavaa vazi la heshima na ukitoka out kama ni first date out, usually wadada they dress to kill.
Leo nimemuona Mama kavaa Combat, kwa jinsi hiyo combat ilivyo mtoa na kumpendezea, combat ile imeongea, only wenye jicho la tatu ndio wanaweza kusikia hiyo dress code inaongea nini.
View attachment 2011474
Wajameni macho hayafanani, kwa vile hakuna taarifa zozote za mtu kuwa mjeshi kabla, hivyo wakiona picha hii ya Rais Mama Samia, wanao wanaona ni mtu aliyevaa sare za jeshi, lakini sisi wenye jicho la tatu, tunamuona mtu ambaye ni mjeshi kabisa, ila hatukumjua, kuwa ni mjeshi mpaka alipovaa sare ya jeshi ndio tumebaini ni mjeshi kabisa!, hivyo wale waliopanga kufanya ile michezo yenu.... kama unaweza kumletea mchezo mjeshi...endeleeni ila msilalamike kuwa hamkujua, mlidhani ni sare tuu za jeshi!.
Kwa wale wenzangu na mimi wasio na uwezo wa kuisikia sauti ya mavazi fulani, this is a very loud and clear she is a very serious person, she is no nonsense lady, sio mtu wa kuletea mchezo mchezo, hivyo huu ni ujumbe mzito kwa wote wanaopanga kuleta au kufanya mambo ya mchezo mchezo, they better think twice, kama hapo mwanzo iliyokuwa "kazi tuu" naona relaxation mood ya watu ku relax na kuanza kuleta tena ile michezo michezo..., hii dress code ya leo inaniambia ile slogan ya "hapa kazi tuu", inaendelea kwa "kazi iendelee"
Paskali
Hatari snNamuonea na uzee ulivyo anza kumchakaza
Siamini kama Paschal anaweza kuleta hoja dhaifu hiviIkatokea mama Samia akakupa teuzi unaayotafuta basi atadharaulika Sana.
Unaandika ujinga gani huu wewe?
Kuna mkeka wa madas bado haujatoka mzee anausubiria huo.Pia teuzi hata kwenye chama zimeisha hivyo mkuu wetu Paschal awe mpole
😅😂🤣niacheni nicheke miePia teuzi hata kwenye chama zimeisha hivyo mkuu wetu Paschal awe mpole
Pascal anayeponda wapinzani wanaopata Kura 100000 wakati yeye kwenye chama chake pendwa anaambulia kura 1.Wanabodi,
Kufuatia mimi mwana jf mwenzenu umri wangu umesonga songa, nimefikia level ya kustaafu, hivyo nakuwa sina tena zile mada moto moto au maswali magumu magumu kama enzi zile kijana nikiendesha kipindi cha Kiti Moto.
Kufuatia neno "ukubwa dawa", mimi sasa ni mtu mzima hivyo napandisha mabandiko ya dawa kama bandiko hili.
Leo naomba kutoa somo kuhusu mavazi fulani fulani, jee wajua mavazi yanazungumza?. Jee wajua dress code ni kiashiria cha the state of mind ya mvaaji na action anayoweza kufanya?.
Psychoanalysis: Je, wajua dress code ya mtu ina represent the soundness of his mind?
Salaam, Declaration of Interest. Hili ni bandiko kuhusu hypothetical situation tuu na sio any real situation, lunazungumzia a hypothetical being not a real being na halimlengi mtu yoyote specific kwa sababu jf ni home of great thinkers, great thinkers don't discuss people, they discuss ideas...www.jamiiforums.com
Mfano mtu akikukaribisha kwake ukaenda the way utakavyomkuta amevaa utajua amekuitia nini na ni nini kitafuatia.
Wenzetu wazungu wana dress code kabisa ya matukio mbalimbali, kwa matukio serious wana vaa formal dress, yaani kuiambia, na kwa matukio ya kawaida, wanavaa kawaida, yaani casual but smart, sisi wabongo hatuna any specific dress code kwa matukio serious na yale ya kawaida.
Pia aina ya mavazi ni kwa maeneo au matukio fulani, mfano ukienda beach, unavaa beach ware, ukienda church unavaa vazi la heshima na ukitoka out kama ni first date out, usually wadada they dress to kill!.
Leo nimemuona Mama kavaa Combat, kwa jinsi hiyo combat ilivyo mtoa na kumpendezea, combat ile imeongea, only wenye jicho la tatu ndio wanaweza kusikia hiyo dress code inaongea nini.
View attachment 2011474
Wajameni macho hayafanani, kwa vile hakuna taarifa zozote za mtu kuwa mjeshi kabla, hivyo wakiona picha hii ya Rais Mama Samia, wanao wanaona ni mtu aliyevaa sare za jeshi, lakini sisi wenye jicho la tatu, tunamuona mtu ambaye ni mjeshi kabisa, ila hatukumjua, kuwa ni mjeshi mpaka alipovaa sare ya jeshi ndio tumebaini ni mjeshi kabisa!, hivyo wale waliopanga kufanya ile michezo yenu.... kama unaweza kumletea mchezo mjeshi...endeleeni ila msilalamike kuwa hamkujua, mlidhani ni sare tuu za jeshi!.
Kwa wale wenzangu na mimi wasio na uwezo wa kuisikia sauti ya mavazi fulani, this is a very loud and clear she is a very serious person, she is no nonsense lady, sio mtu wa kuletea mchezo mchezo, hivyo huu ni ujumbe mzito kwa wote wanaopanga kuleta au kufanya mambo ya mchezo mchezo, they better think twice, kama hapo mwanzo iliyokuwa "kazi tuu" naona relaxation mood ya watu ku relax na kuanza kuleta tena ile michezo michezo..., hii dress code ya leo inaniambia ile slogan ya "hapa kazi tuu", inaendelea kwa "kazi iendelee"
Paskali
😅😅😅Kuna mkeka wa madas bado haujatoka mzee anausubiria huo.
Umeonaeee?Duh,.kweli vyeo vinatafutwa
Kusema ukweli Pascal amekitumikia chama for futile profit Hatimaye sasa amezeeka.Kwa andiko hili kweli Pascal Mayalla umezeeka! Jaribu kutumia muda huu wa uzee wako kucheza na wajukuu na kuwaasa wawe watu wenye msimamo kama Jenerali Ulimwengu.
Waambie ukweli kabisa kwamba wasiige mfano wako mbaya. Kwamba pamoja na kujitahidi kujipendekeza lakini bado umeambulia patupu. Bora ungebaki na msimamo wako wa zamani ukabaki na heshima yako..
Alishapoteza mvuto tangu alivyo amua kuunga juhudi kisa kaka yake basi.Pascal anayeponda wapinzani wanaopata Kura 100000 wakati yeye kwenye chama chake pendwa anaambulia kura 1.
Huaminiki kwenye jamii
😅😅😅ukiona heading sasa ilivyoandikwa.Umeonaeee?
Yaani mtu ana wajukuu kama alivyo Pascally lkn anaamua kujitoa akili ili mradi wamuone wamtupie mifupa.