Kiukweli mabinti wa Arusha wako straight

Mademu wa Kaloleni wanakaribiana na usela mavi.
Yaani namuambia
Jane Mambo ana jibu Haina noma jombaa.[emoji36]
So violent wadada wa chuga.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ni kweli kabisa tupo straight na ukituma nauli hatuli..Tunakuja kabisa wawili na meno yetu ya gold[emoji6]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
hueleweki...unataka nini sasa we boya?
 
Hata wanaume wa Songea Singapore mbona wana swagger za mambele! Utumwa huo coca
 
Naanza kudunduliliza vihela vijae nipande pipa nitimbe huko mjini Arusha nifaidi matunda ya huko.
 
Hao mademu mpka cocaine wanatumia nilipigwa kichwa na demu wa arusha sitak kupasikia huko walaaniwe [emoji34][emoji34][emoji34]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…