Kiukweli mabinti wa Arusha wako straight

Kiukweli mabinti wa Arusha wako straight

Mademu wa Kaloleni wanakaribiana na usela mavi.
Yaani namuambia
Jane Mambo ana jibu Haina noma jombaa.[emoji36]
So violent wadada wa chuga.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ni kweli kabisa tupo straight na ukituma nauli hatuli..Tunakuja kabisa wawili na meno yetu ya gold[emoji6]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Habari aisee kiukweli mimi nimeishi na kubahatika kufanya kazi mkoa wa Arusha muda mrefu na nimezunguka mikoa mingine ila suala la mahusiano mabinti wa Arusha sio kama Dar wazushi na walaghai kiukweli Arusha mfano baadhi ya watoto wa Mbauda, Ngusero, Mpaka Sakina wapo straight sio wazushi.

Yaani basi tu kwa sababu saivi nipo Dar mkoa ambao nilipanga kuishi muda wote Arusha hivyo changamoto niliyokutana nayo ndomana nipo Dar kwa sasa.

Sijajua kwa upande wa wenzangu kwa upande wangu hawakunisumbua akipanga appointment jumamos au siku yoyote sio hapa Dar mtu anasema j2 ntakutafuta ikifika siku hiyo ratiba nyingi mara oooh nimepata dharura ilimradi akuzingue.

Nachokumbuka kuna mdada nilimpata suala la dini lakini mahusiano hayakudumu alikataa kubadili dini awe mkristo na mimi nilikataa mwisho wa siku akapata muislamu akamuoa big up A city.
hueleweki...unataka nini sasa we boya?
 
Hata wanaume wa Chuga, wako real sanaa, hawana longo longo, nachopenda wana exposure ya mambeleeee, hawana unafiki na figisu za kibongooo.

Chugastan n [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Hata wanaume wa Songea Singapore mbona wana swagger za mambele! Utumwa huo coca
 
Naanza kudunduliliza vihela vijae nipande pipa nitimbe huko mjini Arusha nifaidi matunda ya huko.
 
Hao mademu mpka cocaine wanatumia nilipigwa kichwa na demu wa arusha sitak kupasikia huko walaaniwe [emoji34][emoji34][emoji34]
 
Back
Top Bottom