Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kwani makolo wanajua maana ya ustaarabu?Huyu Mchezaji ameibeba sana Simba, alipaswa kuthaminiwa na kuagwa kwa heshima.
Ameachwa kikatili sana! Hakika wahenga walisema, Tenda Wema Nenda zako.
Ametangazwa kuachwa?Ameachwa kikatili sana! Hakika wahenga walisema, Tenda Wema Nenda zako.
Ubaya UbwelaHuyu Mchezaji ameibeba sana Simba, alipaswa kuthaminiwa na kuagwa kwa heshima.
Ameachwa kikatili sana! Hakika wahenga walisema, Tenda Wema Nenda zako.
Alimuuza nani?Amestahili. Mchukueni Yanga aje awauze.
DaahUbaya Ubwela
Mbona ufipa hawakumuaga msigwa kwa heshima,Huyu Mchezaji ameibeba sana Simba, alipaswa kuthaminiwa na kuagwa kwa heshima.
Ameachwa kikatili sana! Hakika wahenga walisema, Tenda Wema Nenda zako.
Mkuu jitahidi sana kujikita kwenye mada, Leo si siku nzuri sana, sina uvumilivu hata chembeMbona ufipa hawakumuaga msigwa kwa heshima,
Aagwe vipi wakati tayari yupo timu nyinginezoHuyu Mchezaji ameibeba sana Simba, alipaswa kuthaminiwa na kuagwa kwa heshima.
Ameachwa kikatili sana! Hakika wahenga walisema, Tenda Wema Nenda zako.
Amesajiliwa timu nyingineKama ameachwa binafsi sijafurahia uhuni umefanyika.
Kwa HakikaZile tano zilimponza......
Aliibeba ,kwamba alikuwa halipwiHuyu Mchezaji ameibeba sana Simba, alipaswa kuthaminiwa na kuagwa kwa heshima.
Ameachwa kikatili sana! Hakika wahenga walisema, Tenda Wema Nenda zako.
Hata hivyo sio sababu ya kumkataa kihuni hivyoKwa Hakika