chilonge
JF-Expert Member
- Dec 23, 2014
- 1,531
- 2,912
Katoka mbali na Klabu wapi?! Alikuwa anacheza bure kwani?!Manula ametoka mbali na klabu cha kushangaza wamepambana kumbakisha yule mkongo mwenye rasta
Kama mnaumia 'DUKA' kutemwa, msajilini nyie.