Kiukweli Manula alistahili kuagwa kwa heshima, Si kama hivi alivyofanyiwa

Kiukweli Manula alistahili kuagwa kwa heshima, Si kama hivi alivyofanyiwa

Manula ametoka mbali na klabu cha kushangaza wamepambana kumbakisha yule mkongo mwenye rasta
 
Ndivo mpira ulivo, ila kazi yake ilionekana na itabaki kama alama
 
Leo umeongea la maana , kumbe nje ya siasa za chadema unawaza vitu vya maana
 
Katika watu nilikuwa siwaamini ni huyo manula. Bado wachache timu itakaa vizuri.
 
FB_IMG_1722521600836_1.jpg
 
Back
Top Bottom