Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Hii ni Dhihaka kubwa kwa Manula, hata kwa Kapombe walichemsha hawa MakoloHata hivyo sio sababu ya kumkataa kihuni hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni Dhihaka kubwa kwa Manula, hata kwa Kapombe walichemsha hawa MakoloHata hivyo sio sababu ya kumkataa kihuni hivyo
Hizi ndio timu za Bongo, leo mtu anathubutu kabisa kusema Manula kaibeba kuipeleka wapi. Ushabiki wa aina hii ni ushabiki wa kizamani na kishamba.Kaibeba na kupeleka wapi?
Mkude chama na boko wameondoka hvyo yy ni nani?
daah aiseeHuyu Mchezaji ameibeba sana Simba, alipaswa kuthaminiwa na kuagwa kwa heshima.
Ameachwa kikatili sana! Hakika wahenga walisema, Tenda Wema Nenda zako.
Ni goli gani kati ya yale matano,Manula ndiye alifungisha?Amestahili. Mchukueni Yanga aje awauze.
Hakusema kama anaondoka. AngeagwaMbona ufipa hawakumuaga msigwa kwa heshima,
jibu swali wacha mikwara dogoMkuu jitahidi sana kujikita kwenye mada, Leo si siku nzuri sana, sina uvumilivu hata chembe
Kesho anatambulishwa YangaHuyu Mchezaji ameibeba sana Simba, alipaswa kuthaminiwa na kuagwa kwa heshima.
Ameachwa kikatili sana! Hakika wahenga walisema, Tenda Wema Nenda zako.
Muulize mwenyewe jibu analo🤣Mchukueni ni kipa mzuri.Ni goli gani kati ya yale matano,Manula ndiye alifungisha?