Kiukweli nawashangaa wakenya, hivi wametuzidi Watanzania kwa lipi?

Kiukweli nawashangaa wakenya, hivi wametuzidi Watanzania kwa lipi?

Wakenya hata korona imewashinda kuidhibiti.

Waje tanzania tuwafundishe
 
Watanzania mjifunze kutengeneza memes. Life ain't so serious after all. 😁😁😁
 
Tumewashinda kwa hii pia......

<blockquote class="twitter-tweet"><p lang="en" dir="ltr">African countries with the Most Improved Health Care Systems in 2020<br><br>1. South Africa<br><br>2. Tunisia<br><br>3. Kenya<br><br>4. Algeria<br><br>5. Nigeria<br><br>6. Egypt<br><br>7. Morocco<br><br>8. Rwanda<br><br>9. Tanzania<br><br>10. Zambia.</p>&mdash; Africa Facts Zone (@AfricaFactsZone) <a href="">July 22, 2020</a></blockquote> <script async src="https://platform.twitter.com/widgets.js" charset="utf-8"></script>
 
Nipe mfano kenya wanatangaza utalii sana kuliko sisi kivipi
Kuna tangazo moja nililiona mahali mtandaoni sijalipata. Kwenye hizi expo ambazo hufanyika bara Ulaya, Asia, Marekani nk, Kenya ilikuwa inatangaza vivutio vyake.

Tulikuwa na kauli mbiu, "Visit Kenya and see Mt Kilimanjaro." Nyie waswahili mnasema, Za kuambiwa changanya na za kwako.
 
Huijui Kenya wewe, endelea na umario , chati ya kuwa juu kiuchumi inashikiliwa na wachache wengi wako taabani na nilichokomenti ndiyo maisha yao
Ficha upuuzi wako, Nimeishi sana Nairobi, hata magari yao serikali imepiga marafuku magari chakavu tofauri na sisi tunaingiza mikweche.
Jamaa wanachapa kazi sana, watafutaji sana na wanafanya kazi kwa muda mrefu sana, kwa kifupi wapo juu mno...
Choka mbaya nao wapo sana tu lakini hawalingani na humu kutwa kushinda vijiweni
 
Ficha upuuzi wako, Nimeishi sana Nairobi, hata magari yao serikali imepiga marafuku magari chakavu tofauri na sisi tunaingiza mikweche.
Jamaa wanachapa kazi sana, watafutaji sana na wanafanya kazi kwa muda mrefu sana, kwa kifupi wapo juu mno...
Choka mbaya nao wapo sana tu lakini hawalingani na humu kutwa kushinda vijiweni
Kama Kenya ni Nairobi sawa, jijibu mwenyewe nishakuelewa ni mtu wa aina gani, hoja ni nzito kuliko maneno ya kipuuzi, uliza jioni hii wamepika nini ule , usubiri kesho tena
 
Kama Kenya ni Nairobi sawa, jijibu mwenyewe nishakuelewa ni mtu wa aina gani, hoja ni nzito kuliko maneno ya kipuuzi, uliza jioni hii wamepika nini ule , usubiri kesho tena
Haha uko na UJINGA si haba. HONGERA.
 
Back
Top Bottom