Kiukweli nawashangaa wakenya, hivi wametuzidi Watanzania kwa lipi?

Kiukweli nawashangaa wakenya, hivi wametuzidi Watanzania kwa lipi?

Mkuu, unajua 5.6% ya GDP ya 96 then na 6.8% ya 55%, gani kubwa?., unajua Nigeria iki kua kwa only 2%, that growth is huge than your 6.8%.,
Wacha nikurahisishie. Kuna masikini akinunua Kitu kama TV, Fridge ama gari kwa mfano, na tajiri anunue vitu hivyo hivyo, inaezekana masikini ameongeza mali yake kwa 10% increament, ukiangalia uwezo wake wa kiuchumi, na kuna uwezekano tajiri amenunua vitu same na za yule masikini, but itakua maybe 0.5 or 1% increament kwa mali yake., ndio maana gap ya Kenya na Tz inapanuka, licha ya Tz kukua zaidi ya 6%., pale ambapo Kenya itaanza kukua below 2%, itawachukua miaka zaidi ya kumi kuifikia Kenya, na ujue Kenya inafaa iwe imesimama, ama inkua negative or below 2% kwa miaka zaidi ya kumi. Ndio maana wale wenye wivu na roho mbaya huwa wanafurahia Kenya ikipata janga, ndani mwao wanaona ni fursa ya kuipiku Kenya. Hilo halifanyiki hivi karibuni. Kenya iko na stable economic foundation.

umeeleza vizuri nimeipenda !

one big remaining question is how Kenya can paralyse the speed ya economic growth ya TZ chini ya Bulldozer?

hivi mnajua tumeanza kupokea groups of tourists from the west? waambieni wazungu wako Kenya waje huku TZ kwa wingi kutalii because Tanzania is now Corona free zone! we have forgotten to wear masks! we breathe freely!!
 
yes tunakubali TZ tuko nyuma sababu ya Nyerere na siasa zake but soon mtachukua nafasi yetu because of Bulldozer na watakaompokea urais, statistics za ukuaji uchumi tayari tumewaacha mbali last year TZ 6.8 Kenya 5.6 what is your comment for that mkuu?

This year Kenyans are locked down to curb Covid 19 , they become poor because of losing employments and many of them are killed everyday by soldiers for defying night curfews and in the chaos of competing for Kibera slum food assistance!! TZ corona imeenda for good do know why? because Tanzanians were not locked down and have developed kinga ya mwili mtu akipata Corona inadunda tu! shule na michezo tumefungua!! nyie bado! sisi hatupokei Masks toka nje zina Coronavirus!! sisi tunaomba Mungu nyie je? we tz continue to produce nyie mwahangaika nayo tu! tupongezeni basi!!

Tanzania rushwa has dropped from 100% to almost zero while Kenya remains the world second most corrupt country, very sorry for you guys, Ruto kaiba how much dollars na yule waziri nimesahau jina lake hata wakenya hamumtaki tena? Sonko ameiba nusu bajeti ya Kenya, anamiliki gari 200, nyumba 100 na viwanja nchi nzima mnafikiri hatujui habari zenu?

We have decided to give Magufuli five years tena awanyooshe vizuri mtatupigia magoti in few years tunajenga viwanda na hatutahitaji tena your products na US mlikojazana wakenya mnafukuzwa!!
On
On corruption, labda nikuelimishe kidogo. Kile kinafanya Kenya ionekane kua corrupt ni freedom of media which brings good publicity and exposure ya corruption for all to see. Africa hii na nchi nyingi wanahabari wakipewa uhuru na uwezo wa kufanya uchunguzi, utaona vile corruption imesambaa, nchi mingi mno zimeoza, pia hiyo Tz yako, ni vigumu wao kuwajibika kikamilifu kwa maana hawana upinzani mkubwa kwa hivyo checks and balances doesn't work well. Swali langu kwako : serikali ya Tanzania imekua ikifanya nini kutokea 1994 hadi wa leo? Bado poverty levels zenyu ziko juu, licha ya nchi kua kubwa, na rotuba na madini kibao, hamuwezi kusingizia vita, Rwanda na Angola wametoka vitani nyuma yenu lakini wamekua kwa kasi sana, ni juzi tu mmetajwa lower middle income, ila ni kwa kiwango cha chini sana, bado mko mlangoni, yani uchumi wenu ukitikiswa kidogo muna anguka LDC, kama vile Algeria walianguka kutoka middle income to lower middle income, but kwa kiwango cha juu karibu na level ya middle income, corona ikiisha na bei ya mafuta ikipanda kidogo wanarudi juu, wako mlangoni mwa middle income.
 
Hao ni Maceo wa start up Kenya
20200721_172457.jpg
 
umeeleza vizuri nimeipenda !

one big remaining question is how Kenya can paralyse the speed ya economic growth ya TZ chini ya Bulldozer?

hivi mnajua tumeanza kupokea groups of tourists from the west? waambieni wazungu wako Kenya waje huku TZ kwa wingi kutalii because Tanzania is now Corona free zone! we have forgotten to wear masks! we breathe freely!!
Kenya haiwezi kuzuiya ukuaji wa uchumi wa Tanzania, ukweli ni eti bado hamuwezi kufikia Kenya kirahisi kama mnavyo dhania, licha ya kukua kwenyu. Kenya imekita mizizi, na iko na huge and the best human resource in Eastern Africa. Uwezo wa raiya ndio chanzo cha ukuaji wa uchumi, mengine kama infrastructure ni added advantage.
 
Sio kwamba wametuzidi ila sisi wenyew hatujiamini halafu tumekuwa wanafki.

Usipojiamini wewe mwenyewe hakuna atakayekuamini. Huku mitandaoni watanzania kila kukicha wanatukana na kudharau viongozi wao lakn hilo Kwa wenzetu hulioni. Hata kama wanakosoa wanakosoa Kwa akili na hekima.

Chukulia mfano kwenye corona. Wakenya wakitoa ripoti kuwa wanawagonjwa 10 watanzania wanasifia kuwa hao wamesema ukweli lakn huku Tanzania wakisema wanawagonjwa 8 watanzania wanaanza kukejeli kuwa wanaficha taarifa.
👍👍👍👍👍👍👍👍
👍👍👍👍👍👍👍👍👍
👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍
Hapo umenena kama wazee kumi
 
Wewe unatakiwa urudi shule ama una ulemavu wa akili.

Over 93% of Kenyan total workforce are employees, while 79% of Tanzanian total workforce (which is twice bigger than that of Kenya) are independent, self employed in agricultural and mining sectors.

Sasa kujiajiri kupi unaongelea? Ubepari umewasidiaje Wakenya ??
Jamaa mjinga sana huyo, sijui hizo propaganda huwa wanalishwa wapi!

Very "unrealistic" propaganda.
 
Ili kutibu ugonjwa lqzima ujue unaumwa nini na ukubalieane na ugonjwa then upate tiba. Tatizo letu watanzania hutataki kukubaliana na matatizo na changamoto zetu. Tumebaki kujifananisha na majirani zetu wakati suluisho letu liko ndani ya nchi na sio nje. Ukweli Kenya wametushinda Kwa Sana Tu
*Wana export labor kubwa Sana duniani kwasababu vijana wao Wana fit kwenye international Labour market especially kwenye hospitality sector.
*Wamefanikiwa Ku export investment out of kenya on the likes of kcb, equity, jubilee insurance, mwanachi communication as part of nations group etc
*Wamefanikiwa Ku attract big investments from across the world na kuifanya kuwa hub Kwa east and central Africa
*Wamefanikiwa kutengeneza mazingira mazuri ya kibiashara na viwanda ndio maana asilimia kubwa Tanzania tuna export raw materials na Ku import finished goods from Kenya.
Sinto ingia deep level ya uchumi, middle class, infrastructure, education etc vingi vimeshaongelewa
 
*Wana export labor kubwa Sana duniani kwasababu vijana wao Wana fit kwenye international Labour market especially kwenye hospitality sector.
*Wamefanikiwa Ku export investment out of kenya on the likes of kcb, equity, jubilee insurance, mwanachi communication as part of nations group etc
*Wamefanikiwa Ku attract big investments from across the world na kuifanya kuwa hub Kwa east and central Africa
*Wamefanikiwa kutengeneza mazingira mazuri ya kibiashara na viwanda ndio maana asilimia kubwa Tanzania tuna export raw materials na Ku import finished goods from Kenya

Blah blah tu unapiga hapa!

Eleza kwa takwimu sio kupiga kinanda tu kama unaimba kwaya!

Sema hiyo nguvu kazi iliyoenda nje ni watu moja mbili tatu, viwanda moja mbili tatu, investment moja mbili tatu!


Na uweke takwimu zenye ithibati, sio kupiga tu porojo za paukwa pakawa!
 
Rudi shule usome uchumi kaka. We have a bigger economy with wider devolved governments, which are budgeted for, sisi hatunyimi walimu mishahara eti tunajenga SGR, our education budget pekee inakaribia nusu ya your national budget, kuna waalimu wengi na bado hawatoshi, na kuna programs za kulipia karo wasio jiweza kupitia CDF (constituency development fund) na children department. Pia County governments have various services to the public which are budgeted for., our expenses are far bigger than your poverty stricken country. Munapumbazwa na vigorofa na brt na ka sgr when other essential sectors zimenyongwa., Kenya ineizidi Tanzania kwa mbali sana., you really struggle to compare yourselves to Kenya by trying to magnify Kenya's negatives, which are common in most nations, so that njidanganye mko nafuu.[emoji23][emoji23], Tanzania is 20 -50 years behind Kenya., ukubali ukatae, weka picha ya Kibera ukitaka.
Wauguzi wagoma Kenya - BBC News Swahili


ukimakiza kuisoma hiyi,sema nikupe nyingine.
 
Back
Top Bottom