Kiukweli nawashangaa wakenya, hivi wametuzidi Watanzania kwa lipi?

Kiukweli nawashangaa wakenya, hivi wametuzidi Watanzania kwa lipi?

wewe ni mjinga hujui indicators nyingi za kuonesha tumezidiwa na Kenya, soma level of formal education kwa raia wa Kenya na TZ , soma kuhusu HDI report ya UNDP hasa kuhusu household poverty Tanzania versus Kenya , ukimaliza hiyo soma Civic Education levels between raia wa two countries, kisha soma Kuhusu State foreign reserves / Economy kati ya Kenya na TZ kisha soma kuhusu Remittance amount from Diaspora between Kenya na TZ , kisha soma kuhusu wakenya wangapi wako makazini Europe and US versus wabongo, soma kuhusu level of democracy , human rights na muundo wa Tume ya Uchaguzi kati ya Kenya na TZ, kisha soma kuhusu Mashirika ya kimataifa yenye Headquarters Nairobi for East Africa kisha malizia na NGO ngapi ziko active Kenya versus TZ!!

mkuu kubali wametupita mbali mambo mengi ili tujitutumue!!

tunachowazidi Kenya kwasasa ni ukuaji wa uchumi mwaka jana TZ 6.8 Kenya 5.6!

wewe ni miongoni mwa watz wachache ambao hata leo hii wakiulizwa kenya imetuzidi nini,utajibu jumla tu aaaah wametuzidi mbaaali.

wakati wenzako tunaangalia hali ya masikini wa kikenya na kitz,wewe unaangalia namba za diaspora kati ya nchi hizi mbili[emoji16][emoji16].

wakati wenzako tunaangalia unafuu wa maisha kati ya nchi hizi mbili,wewe unaangalia HQ za mashirika wapi zinapatikana kwa wing[emoji16][emoji16]

wakati wengine tunaangalia kiwango cha ubora wa elimu anayotakiwa kuwa nayo mtu,wakenya nawewe mnaangalia quantity,ambayo inasababisha maghorofa na madaraja kuanguka kila siku huko[emoji16][emoji16]

wakati unapima uchumi kwa bajeti kubwa ya nchi,sisi tunaangalia impact ya bajeti kwa kila nchi,nguvu ya sarafu inasimama hapa sio namba[emoji16][emoji16].

umeingiza human righ,democracy na muundo wa tume ya uchaguzi kimakosa hapo,sijui huelewi ulichoandika au ulikusudia kuchanganya mambo!!!kama ulikusudia nikupe taarifa labda ulikuwa hujazaliwa,lutto ana kesi ICC kwa maswala haya yahusuyo uchaguzi,2017 kuna vifo vilisababishwa na uchaguzi wa kihuni unaousifia.

bado una muda mrefu wa kujifunza haya mambo kabla hujaamua kuita mtu ni mjinga.
 
wewe ni miongoni mwa watz wachache ambao hata leo hii wakiulizwa kenya imetuzidi nini,utajibu jumla tu aaaah wametuzidi mbaaali.

wakati wenzako tunaangalia hali ya masikini wa kikenya na kitz,wewe unaangalia namba za diaspora kati ya nchi hizi mbili[emoji16][emoji16].

wakati wenzako tunaangalia unafuu wa maisha kati ya nchi hizi mbili,wewe unaangalia HQ za mashirika wapi zinapatikana kwa wing[emoji16][emoji16]

wakati wengine tunaangalia kiwango cha ubora wa elimu anayotakiwa kuwa nayo mtu,wakenya nawewe mnaangalia quantity,ambayo inasababisha maghorofa na madaraja kuanguka kila siku huko[emoji16][emoji16]

wakati unapima uchumi kwa bajeti kubwa ya nchi,sisi tunaangalia impact ya bajeti kwa kila nchi,nguvu ya sarafu inasimama hapa sio namba[emoji16][emoji16].

umeingiza human righ,democracy na muundo wa tume ya uchaguzi kimakosa hapo,sijui huelewi ulichoandika au ulikusudia kuchanganya mambo!!!kama ulikusudia nikupe taarifa labda ulikuwa hujazaliwa,lutto ana kesi ICC kwa maswala haya yahusuyo uchaguzi,2017 kuna vifo vilisababishwa na uchaguzi wa kihuni unaousifia.

bado una muda mrefu wa kujifunza haya mambo kabla hujaamua kuita mtu ni mjinga.

All the parameters you have indicated, Kenya ime izidi Tanzania. Tanzania imeizidi Kenya kwenye mtazamo wa jamii forums pekee, koukweli Tz ni ovyo EAC na SADC pia. Mnajijua, ukweli hampendi, propaganda ndio za wengi wenu. You pick selected info about Kenya kisha unajumuisha, utafiti mwafaka ukifanywa inakua aibu tupu kwa Tz.
 
All the parameters you have indicated, Kenya ime izidi Tanzania. Tanzania imeizidi Kenya kwenye mtazamo wa jamii forums pekee, koukweli Tz ni ovyo EAC na SADC pia. Mnajijua, ukweli hampendi, propaganda ndio za wengi wenu. You pick selected info about Kenya kisha unajumuisha, utafiti mwafaka ukifanywa inakua aibu tupu kwa Tz.
povu,

kenya bajeti kwa mwaka ni tsh tillioni 60,wakati ya tz ni 30tln,niambie kwa gape hii mmefanya nini ambacho mnaweza simama kwa wanaume mkajidai tusikohoe kabisa[emoji16][emoji16].

wakati huo ukikumbuka tumewazidi no of millionaires,thamani ya majengo kwa $3bln.
 
Mkuu, hata mimi nimecheka sana kuskia eti Wakenya wanawachukia Watanzania.
Kenya na Tanzania ni dunia mbili tofauti.
mkuu ni kweli wakenya wanachukia mno watz! sababu ni wivu kwa Presidaa bora Bulldozer, tz kufukuza wakenya waliojazana kufundisha english medium school bila vibali, amani, mvua zao ambazo wanalalamika kuwa hushikiliwa TZ, no nzige waliojazana Kenya nao wakiona mpaka wa tz wanageuza kurudi Kenya kushambulia mazao, chakula kingi, rasilimali nyingi kuwazidi, mbuga za wanyama, hakuna magaidi wa kisomali huku tz, hakuna ukabila, ukuaji wa kasi wa uchumi kuzidi wao, kuzuiwa wizi wao kwenye madini, kukomesha rushwa, kukataza mirungi, kuwazidi akili bomba la mafuta Uganda na mahusiano ya kibiashara na Rwanda, kununua ndege mpya za serikali, kujenga reli ya SGR ambayo ikikamilika Kenya itapoteza biashara nyingi na nchi za maziwa makuu maana SGR yao haikukamilika kwa ufisadi imeishia Naivasha tu na wanadaiwa mabilioni ya dollars, mtz akiuliza njia raia wa Kenya wanakupoteza unaenda mbali mno wa kuuliza ni askari tu, ukipanda taxi mtz kama huna map au hujui njia kule unakoenda dereva anakuzungusha mjini ili ujue unaenda mbali na kulipa pesa nyingi!

nilienda Nairobi Latema Road wakati flani hotelini kuliwekwa prostitutes wa kila namna nikaambiwa nichague hiyo tz hakuna!!
 
povu,

kenya bajeti kwa mwaka ni tsh tillioni 60,wakati ya tz ni 30tln,niambie kwa gape hii mmefanya nini ambacho mnaweza simama kwa wanaume mkajidai tusikohoe kabisa[emoji16][emoji16].

wakati huo ukikumbuka tumewazidi no of millionaires,thamani ya majengo kwa $3bln.

Rudi shule usome uchumi kaka. We have a bigger economy with wider devolved governments, which are budgeted for, sisi hatunyimi walimu mishahara eti tunajenga SGR, our education budget pekee inakaribia nusu ya your national budget, kuna waalimu wengi na bado hawatoshi, na kuna programs za kulipia karo wasio jiweza kupitia CDF (constituency development fund) na children department. Pia County governments have various services to the public which are budgeted for., our expenses are far bigger than your poverty stricken country. Munapumbazwa na vigorofa na brt na ka sgr when other essential sectors zimenyongwa., Kenya ineizidi Tanzania kwa mbali sana., you really struggle to compare yourselves to Kenya by trying to magnify Kenya's negatives, which are common in most nations, so that njidanganye mko nafuu.😂😂, Tanzania is 20 -50 years behind Kenya., ukubali ukatae, weka picha ya Kibera ukitaka.
 
mkuu ni kweli wakenya wanachukia mno watz! sababu ni wivu kwa Presidaa bora, amani, mvua zao ambazo hushikiliwa TZ, no nzige, chakula kingi, rasilimali, hakuna ukabila, ukuaji wa kasi wa uchumi kuzidi wao, kuzuiwa wizi kwenye madini, kukomesha rushwa, kukataza mirungi, kuwazidi akili bomba la mafuta Uganda na mahusiano ya kibiashara na Rwanda, kununua ndege mpya za serikali, kujenga reli ya SGR ambayo ikikamilika Kenya itapoteza biashara nyingi na nchi za maziwa makuu maana SGR yao haikukamilika kwa ufisadi imeishia Naivasha tu na wanadaiwa mabilioni ya dollars! nk

nilienda Nairobi Latema Road wakati flani hotelini kuliwekwa prostitutes wa kila namna nikaambiwa nichague hiyo tz hakuna!!
K
Kumbe wewe ni masikini, mfuko wako ni wa Latema street!., najua uliona pale pako sawa, ila ni sehemu ya ma hustlers,watu wenye hela fupi. Wanajinyima, na sio wewe pekee, watanzania wengi wakija Kenya wanaishi sehemu duni kama slums ama wanakodesha lodging za back streets, zile cheap za ukahaba, kisha wanakua na mtazamo usio sahihi kuhusu Kenya, kumbe ni uwezo wao mdogo. Siwezi kuenda Europe nikaishi kwa slums zao kisha nika conclude hiyo ndio hali yao. Lazima ni sample all areas kabla ya ku conclude. Mombasa pia watanzania wakija wanatulia pale mwembe Tayari, mahali mabasi yakutoka Tz yanasimama., wachache utawaona Tudor ama Nyali, sana sana watanzania wa asili ya kiarabu utawapata sehemu zenye adabu, wafrika weusi wanaumia sana.
 
Rudi shule usome uchumi kaka. We have a bigger economy with wider devolved governments, which are budgeted for, sisi hatunyimi walimu mishahara eti tunajenga SGR, our education budget pekee inakaribia nusu ya your national budget, kuna waalimu wengi na bado hawatoshi, na kuna programs za kulipia karo wasio jiweza kupitia CDF (constituency development fund) na children department. Pia County governments have various services to the public which are budgeted for., our expenses are far bigger than your poverty stricken country. Munapumbazwa na vigorofa na brt na ka sgr when other essential sectors zimenyongwa., Kenya ineizidi Tanzania kwa mbali sana., you really struggle to compare yourselves to Kenya by trying to magnify Kenya's negatives, which are common in most nations, so that njidanganye mko nafuu.😂😂, Tanzania is 20 -50 years behind Kenya., ukubali ukatae, weka picha ya Kibera ukitaka.
yes tunakubali TZ tuko nyuma sababu ya Nyerere na siasa zake but soon mtachukua nafasi yetu because of Bulldozer na watakaompokea urais, statistics za ukuaji uchumi tayari tumewaacha mbali last year TZ 6.8 Kenya 5.6 what is your comment for that mkuu?

This year Kenyans are locked down to curb Covid 19 , they become poor because of losing employments and many of them are killed everyday by soldiers for defying night curfews and in the chaos of competing for Kibera slum food assistance!! TZ corona imeenda for good do know why? because Tanzanians were not locked down and have developed kinga ya mwili mtu akipata Corona inadunda tu! shule na michezo tumefungua!! nyie bado! sisi hatupokei Masks toka nje zina Coronavirus!! sisi tunaomba Mungu nyie je? we tz continue to produce nyie mwahangaika nayo tu! tupongezeni basi!!

Tanzania rushwa has dropped from 100% to almost zero while Kenya remains the world second most corrupt country, very sorry for you guys, Ruto kaiba how much dollars na yule waziri nimesahau jina lake hata wakenya hamumtaki tena? Sonko ameiba nusu bajeti ya Kenya, anamiliki gari 200, nyumba 100 na viwanja nchi nzima mnafikiri hatujui habari zenu?

We have decided to give Magufuli five years tena awanyooshe vizuri mtatupigia magoti in few years tunajenga viwanda na hatutahitaji tena your products na US mlikojazana wakenya mnafukuzwa!!
 
wewe ni mjinga hujui indicators nyingi za kuonesha tumezidiwa na Kenya, soma level of formal education kwa raia wa Kenya na TZ , soma kuhusu HDI report ya UNDP hasa kuhusu household poverty Tanzania versus Kenya , ukimaliza hiyo soma Civic Education levels between raia wa two countries, kisha soma Kuhusu State foreign reserves / Economy kati ya Kenya na TZ kisha soma kuhusu Remittance amount from Diaspora between Kenya na TZ , kisha soma kuhusu wakenya wangapi wako makazini Europe and US versus wabongo, soma kuhusu level of democracy , human rights na muundo wa Tume ya Uchaguzi kati ya Kenya na TZ, kisha soma kuhusu Mashirika ya kimataifa yenye Headquarters Nairobi for East Africa kisha malizia na NGO ngapi ziko active Kenya versus TZ!!

mkuu kubali wametupita mbali mambo mengi ili tujitutumue!!

tunachowazidi Kenya kwasasa ni ukuaji wa uchumi mwaka jana TZ 6.8 Kenya 5.6!


You are one silliest being unworthy of wasting one's precious time on. You are but an epitome of human with no working brain.

Kindly, stay with your stupidity.

Thank you.
 
You are one silliest being unworthy of wasting one's precious time on. You are but an epitome of human with no working brain.

Kindly, stay with your stupidity.

Thank you.
unfortunately i know more about your country than you do!!nipongeze basi!

najua pia stori ya Mzee Jomo ambae aliingia kwa gari pale Nairobi akienda Nakuru akasema mimi ni JONGOO akimaanisha JOGOO na hii ardhi ni mali yangu hadi niseme mwisho basi gari ikienda akasinzia akashtuka karibu na Nakuru akasema hapa mwisho wa ardhi yangu!! Ardhi hiyo sasa ni mali ya The Excellency Mr Independence tena mlitaka kumpora akasema i have just inherited mimi kosa langu nini?

Kenya mnakuwaje na Rais kama huyo anamiliki ardhi robo ya nchi nzima huku mamilioni ya wakenya wakilala barabarani Nairobi?

What do you guys mean by your policy of ‘ willing to sell and willing to buy?’ yaani maskini wanauzia ardhi matajiri na kubaki homeless ni hivyo au sio???
 
wewe ni mjinga hujui indicators nyingi za kuonesha tumezidiwa na Kenya, soma level of formal education kwa raia wa Kenya na TZ , soma kuhusu HDI report ya UNDP hasa kuhusu household poverty Tanzania versus Kenya , ukimaliza hiyo soma Civic Education levels between raia wa two countries, kisha soma Kuhusu State foreign reserves / Economy kati ya Kenya na TZ kisha soma kuhusu Remittance amount from Diaspora between Kenya na TZ , kisha soma kuhusu wakenya wangapi wako makazini Europe and US versus wabongo, soma kuhusu level of democracy , human rights na muundo wa Tume ya Uchaguzi kati ya Kenya na TZ, kisha soma kuhusu Mashirika ya kimataifa yenye Headquarters Nairobi for East Africa kisha malizia na NGO ngapi ziko active Kenya versus TZ!!

mkuu kubali wametupita mbali mambo mengi ili tujitutumue!!

tunachowazidi Kenya kwasasa ni ukuaji wa uchumi mwaka jana TZ 6.8 Kenya 5.6!

You are shamefully disgusting! You talk about"Diaspora", may I ask you a question? why should one leave his own country and go live and work in a foreign country? and to be precisely enough, the so called diaspora wanafanya kazi za hovyo mno: Kuchambisha vikongwe, vilema, kazi za ndani, kubeba maboksi, potters supamaketi na kazi nyingine nyingi za hovyo -- ndio Wakora wa Kikenya huko nje.

Eti mashirika ya Kimataifa, are you this dumb! Most of these so called international corporations are owned by western countries who are opposed to socialist ideology, how on earth would you expect them to be headquartered in Tanzania?

Umenipa mlolongo wa vitu kibao kusoma, sikiliza wewe jinga-jinga, jifunze international politics halafu taratibu utagundua unapokwama kuiona vyema Kenya.

Eti kenya kuna demokrasia, wewe ni mzima? tangu uhuru, Kenya imetewaliwa na Wakikuyu na only once na Kalenjin tu. Is this democracy?
 
You are shamefully disgusting! You talk about"Diaspora", may I ask you a question? why should one leave his own country and go live and work in a foreign country? and to be precisely enough, the so called diaspora wanafanya kazi za hovyo mno: Kuchambisha vikongwe, vilema, kazi za ndani, kubeba maboksi, potters supamaketi na kazi nyingine nyingi za hovyo -- ndio Wakora wa Kikenya huko nje.

Eti mashirika ya Kimataifa, are you this dumb! Most of these so called international corporations are owned by western countries who are opposed to socialist ideology, how on earth would you expect them to be headquartered in Tanzania?

Umenipa mlolongo wa vitu kibao kusoma, sikiliza wewe jinga-jinga, jifunze international politics halafu taratibu utagundua unapokwama kuiona vyema Kenya.

Eti kenya kuna demokrasia, wewe ni mzima? tangu uhuru, Kenya imetewaliwa na Wakikuyu na only once na Kalenjin tu. Is this democracy?
mkuu nakwama wapi kuisoma Kenya please educate me!! eti wakora ni nini? ha ha ha
 
The fact is wakenya wengi hawaipendi Kenya, Maisha ya Kenya maeneo mengi utapeli mwingi, ukabila mwingi, raia wana maisha ya ajabu ila kinachonishangasha kwao kuzungumza lugha ya kiingereza kwa ufasaha wanahisi ndiyo maisha bora tayari. Slave mentality
 
yes tunakubali TZ tuko nyuma sababu ya Nyerere na siasa zake but soon mtachukua nafasi yetu because of Bulldozer na watakaompokea urais, statistics za ukuaji uchumi tayari tumewaacha mbali last year TZ 6.8 Kenya 5.6 what is your comment for that mkuu?

This year Kenyans are locked down to curb Covid 19 , they become poor because of losing employments and many of them are killed everyday by soldiers for defying night curfews and in the chaos of competing for Kibera slum food assistance!! TZ corona imeenda for good do know why? because Tanzanians were not locked down and have developed kinga ya mwili mtu akipata Corona inadunda tu! shule na michezo tumefungua!! nyie bado! sisi hatupokei Masks toka nje zina Coronavirus!! sisi tunaomba Mungu nyie je? we tz continue to produce nyie mwahangaika nayo tu! tupongezeni basi!!

Tanzania rushwa has dropped from 100% to almost zero while Kenya remains the world second most corrupt country, very sorry for you guys, Ruto kaiba how much dollars na yule waziri nimesahau jina lake hata wakenya hamumtaki tena? Sonko ameiba nusu bajeti ya Kenya, anamiliki gari 200, nyumba 100 na viwanja nchi nzima mnafikiri hatujui habari zenu?

We have decided to give Magufuli five years tena awanyooshe vizuri mtatupigia magoti in few years tunajenga viwanda na hatutahitaji tena your products na US mlikojazana wakenya mnafukuzwa!!
Mkuu, unajua 5.6% ya GDP ya 96 then na 6.8% ya 55%, gani kubwa?., unajua Nigeria iki kua kwa only 2%, that growth is huge than your 6.8%.,
Wacha nikurahisishie. Kuna masikini akinunua Kitu kama TV, Fridge ama gari kwa mfano, na tajiri anunue vitu hivyo hivyo, inaezekana masikini ameongeza mali yake kwa 10% increament, ukiangalia uwezo wake wa kiuchumi, na kuna uwezekano tajiri amenunua vitu same na za yule masikini, but itakua maybe 0.5 or 1% increament kwa mali yake., ndio maana gap ya Kenya na Tz inapanuka, licha ya Tz kukua zaidi ya 6%., pale ambapo Kenya itaanza kukua below 2%, itawachukua miaka zaidi ya kumi kuifikia Kenya, na ujue Kenya inafaa iwe imesimama, ama inkua negative or below 2% kwa miaka zaidi ya kumi. Ndio maana wale wenye wivu na roho mbaya huwa wanafurahia Kenya ikipata janga, ndani mwao wanaona ni fursa ya kuipiku Kenya. Hilo halifanyiki hivi karibuni. Kenya iko na stable economic foundation.
 
unfortunately i know more about your country than you do!!nipongeze basi!

najua pia stori ya Mzee Jomo ambae aliingia kwa gari pale Nairobi akienda Nakuru akasema mimi ni JONGOO akimaanisha JOGOO na hii ardhi ni mali yangu hadi niseme mwisho basi gari ikienda akasinzia akashtuka karibu na Nakuru akasema hapa mwisho wa ardhi yangu!! Ardhi hiyo sasa ni mali ya The Excellency Mr Independence tena mlitaka kumpora akasema i have just inherited mimi kosa langu nini?

Kenya mnakuwaje na Rais kama huyo anamiliki ardhi robo ya nchi nzima huku mamilioni ya wakenya wakilala barabarani Nairobi?

What do you guys mean by your policy of ‘ willing to sell and willing to buy?’ yaani maskini wanauzia ardhi matajiri na kubaki homeless ni hivyo au sio???


Wewe hujitambui, una kiwewe. una weweseka.

Mimi sio Mkenya, mi Mtanzania.
 
Back
Top Bottom